logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Maombi ya Kibatala kuhusu ulinzi wa Polepole uamuzi kutolewa leo

Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es salaam leo itaendelea na usikilizaji wa maombi ya dharura namba 24511 ya mwaka 2025 yaliyo . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Kesi ya Lissu kuendelea hapo kesho Oktoba 16

Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) iliyokuwa inaendelea katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Kiwanda cha nguo chateketea kwa moto huku 16 wafariki dunia

Takriban watu 16 wamefariki dunia baada ya moto mkubwa kuzuka katika kiwanda cha nguo nchini Bangladesh, huku maafisa wakisema kuwa huwenda . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Mahakama yatupilia mbali kesi ya Luhaga Mpina

Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imeitupa kesi ya Luhaga Mpina na ACT-Wazalendo, ikieleza kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi, Tume Huru y . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

KAMPASI YA NJOMBE KUCHOCHEA MAENDELEO YA ELIMU NA UCHUMI KUSINI

Kuanzishwa kwa Kampasi ya Njombe ya Chuo Kikuu cha Dodoma kupitia Mradi wa HEET kumeanza kutaleta mabadiliko makubwa katika sekta ya elimu, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Tanzania iko tayari kushirikiana na Jumuiya ya Madola katika kuongeza ufanisi

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Bi. Amina Khamis Shaaban amesema kuwa Tanzania iko tayari kushirikiana na Jumuiya ya Madola katika kuon . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Dkt. Natu atambua mchango wa IMF kwa maendeleo ya nchi

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Natu El-maamry Mwamba amelishukuru Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) kwa mchango wake mkubwa katika maend . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Kitabu cha historia ya miaka 60 mbio za Mwenge wa Uhuru chazinduliwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amezindua Kitabu cha Historia ya Miaka sitini (60) ya Mbio za Mwenge wa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Kilicho muua Odinga chabainishwa

Kufuatia taarifa zilizoeleza kuwa Odinga ambaye alikuwa amewasili katika eneo la Koothattukulam mkoa wa Ernakulam jimbo la Kerala kwa ajili . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 15, 2025

Raila Odinga afariki dunia

Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya Raila Amolo Odinga amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80 Jumatano wakati akipokea matibabu katika hospita . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Inter Milan yavutiwa na beki wa Palace Marc Guehi

Klabu ya Italia Inter Milan imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace Marc Guehi lakini Liverpool bado wan . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa, Senegal na Ivory Coast Ndani!

Sadio Mané ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuibuka shujaa kwa Senegal, akifunga magoli mawili muhimu katika ushindi wa 4-0 . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Msanii Mkongwe wa R&B, D’Angelo Afariki Dunia Akiwa na Miaka 51

Mwanamuziki maarufu wa Marekani, Michael Eugene Archer almaarufu D’Angelo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51 baada ya kusumbuliwa n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Meya wa Odesa avuliwa uraia na Zelensky

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amemvua uraia Meya wa Odesa, Gennadiy Trukhanov, kwa madai ya kumiliki pasi ya kusafiria ya Uru . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Donald Trump atishia kusitisha ununuzi wa mafuta ya kupikia kutoka China

Rais wa Marekani Donald Trump ameikosoa China siku ya Jumanne, Oktoba 14, kwa kutonunua tena soya kutoka Marekani na kudai kuwa nchi yake in . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Wanajeshi wachukuwa madaraka baada ya rais kuondolewa na Bunge

Bunge la taifa la Madagascar limepiga kura ya kumuondoa Rais Andry Rajoelina kwa kura nyingi (130 kati ya wabunge 163) siku ya Jumanne, Okto . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Kukubali Masharti Bila Kusoma Yatajwa Kuhatarisha Usalama wa Taarifa Binafsi

Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imeonya watumiaji wa simu na mitandao kuacha tabia ya kukubali masharti (Terms and Conditions) . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Mpango amewasili Viwanja vya Sokoine kushiriki kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Isdory Mpango, amewasili katika Viwanja vya Sokoine jijini Mbeya kushiriki kilele . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

MANISPAA YA GEITA YANG’ARA KITAIFA KATIKA MBIO ZA MWENGE WA UHURU 2025

Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeibuka mshindi wa kwanza kitaifa katika mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu ikiongoza miongoni mwa Halmasha . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Watanzania wasisitizwa kuendelea kumwombea baba wa taifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Philip Mpango amewasihi Watanzania kuendelea kumuombea Baba wa Taifa hayati Mwalim . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Uwanja wa uhuru wafika asilimia 90 ua marekebisho

Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amefanya ziara ya kukagua Uwanja wa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Wanawake Chunya wachangamkia fursa ya uchimbaji madini

Sekta ya Madini nchini Tanzania inaendelea kuwa kichocheo kikubwa cha maendeleo ya kiuchumi na kijamii na sasa inajulikana kama Sekta jumuis . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Majaliwa ashiriki ibada ya kumwombea baba wa taifa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Oktoba 14 mwaka huu ameshiriki katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyer . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

MAJALIWA ARIDHISHWA NA MAANDALIZI YA KILELE CHA MBIO ZA MWENGE WA UHURU

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa  Oktoba 13 mwaka huu amekagua Maandalizi ya Kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru na Kumbukizi ya Baba w . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

Walimu washauriwa kuimarisha usalama wa watoto

Serikali imeendelea kusisitiza umuhimu wa kutekeleza Mpango wa Shule Salama nchini, ikitoa wito kwa walimu wakuu, wenyeviti wa kamati za shu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Venezuela yazifunga balozi zake Norway, Australia

Venezuela imetangaza kufunga balozi zake nchini Norway na Australia, na kufungua mpya katika mataifa ya Burkina Faso na Zimbabwe, ikisema ni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Zelenskiy kukutana na Trump Ijumaa kuzungumzia silaha mpya

Rais Donald Trump amethibitisha kuwa atamkaribisha Volodymyr Zelenskiy White House Ijumaa hii kujadili msaada wa kijeshi na makombora ya Tom . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

China 'kupambana hadi mwisho' vita vya biashara na Marekani

China imesema iko tayari “kupambanaa hadi mwisho” katika vita vya kibiashara na Marekani, baada ya Rais Donald Trump kutangaza ushuru wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Ezekia Wenje Ahama CHADEMA, Ajiunga CCM Chato

“Nimeamua kujiunga na CCM kwa sababu nimeona dhamira ya kweli ya serikali ya Dk. Samia katika kulinda amani na kuwaletea Watanzania maende . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 14, 2025

UMOJA NI NGUVU: KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE MIAKA 26 BAADA YA KUTUTOKA.

Methali isemayo " Umoja ni nguvu ,utengano ni udhaifu" bado inaishi katika mioyo ya watanzania ,hasa tunapomkumbuka Baba wa taifa mwalimu Ju . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Makamu Wa Rais Dkt. Mpango, Majaliwa Wahudhuria Ibada Ya Kumuombea Mwalimu Nyerere Mbeya

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameshiriki leo, Oktoba 14, 2025, katika Ibada ya kumuombea Baba wa Tai . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Watu 300,000 walitoroka Sudan Kusini mnamo mwaka 2025 kufuatia mgogoro wa kivita

Takriban watu 300,000 wameikimbia Sudan Kusini tangu mwanzoni mwa mwaka 2025, huku mzozo kati ya viongozi wanaohasimiana ukitishia kuzua vit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Pendekezo la Trump la Mashariki ya Kati ni 'nafasi ya mwisho' ya amani katika eneo hilo

Rais wa Misri ameuambia mkutano wa kilele wa viongozi wa dunia siku ya Jumatatu kwamba pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump la Mashari . . .

Burudani
  • Na Baba Juti
  • October 13, 2025

CAM'RON : "Nimeingiza Takribani Bilioni 24.5 ndani ya Miaka Minne kupitia Biashara ya Dawa za Kuongeza Nguvu Za Kiume"

RAPA mkongwe kutoka Nchini Marekani ameweka wazi kuwa licha ya kwamba hayuko sana katika soko la muziki wa Hip Hop na Filamu kama ilivyoku . . .

Burudani
  • Na Baba Juti
  • October 13, 2025

FAT JOE: Bruno Mars Alinifokea Baada Ya Kumuuliza Asili Yake Kama Ni Puerto Rico

Rapa Fat Joe amefunguka namna ambavyo ailumizwa moyo na majibu ya msanii mwenzake Bruno Mars baada ya "kumchenjia" mbele za watu pasipo kua . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Dereva wa Mbunge atozwa faini ya Sh.100,000 kwa kosa la kuendesha gari kinyume na sheria

DEREVA wa Mbunge wa Kibra Peter Orero ambaye alinaswa kwenye kamera akiendesha gari upande usiofaa wa barabara siku ya Jumatatu ametozwa fai . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Wakazi wa Shinyanga watakiwa kujitokeza katika kambi ya Madaktari Bingwa

Kambi ya Madaktari Bingwa wa Mama Samia ni mpango wa serikali ya awamu ya tano ya kusogeza huduma za afya kwa wananchi hasa huduma za kibing . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Mshtakiwa kesi ya bangi apaswa kutoa maelezo ya kujitetea

KIJANA MMOJA mkazi wa Yombo Wilaya ya Temeke Hamza Kaisi amejikuta akiangukia  katika mikono ya serikali  baada ya Mahakama ya Wil . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Wanne matatani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya

MAHAKAMA Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewatia washtakiwa wanne matatani baada ya kuwakuta na kesi ya kujibua mbapo w . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Polisi wajipanga kuimarisha ulinzi kilele cha Mwenge wa Uhuru Mbeya

Jeshi la  Polisi Mkoa wa Mbeya chini ya  Kamishna Msaidizi wa Polisi (SACP) Benjamani Kuzaga amesema kielekea kilele cha mbio za m . . .

Kurasa 15 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category