Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva @luludivatz amefungukia tuhuma za kutoka kimapenzi na aliyekuwa X wa Hamisa Mobetto, Kelvin Sowax kabla hajaolewa.Lulu . . .
Muigizaji mkongwe na maarufu wa filamu za BongoMuvi, Issa Musa maarufu kama “Cloud”, jana mchana amewasili nchini akitokea London, Uingereza, ambako anaishi na famili . . .
Tamasha jipya la muziki na utamaduni, Futopia Festival 2025, limeendelea kuteka hisia za mashabiki waliomiminika Fumba Town, Zanzibar. Baada ya siku ya kwanza iliyojaa su . . .
Zanzibar jana ilikuwa sehemu ya moto kabisa baada ya kuzinduliwa rasmi kwa tamasha jipya la Futopia. Siku ya kwanza pekee imeonyesha wazi kuwa hili si tukio la kawaida, b . . .
“Kuanzishwa kwa Tamasha la Futopia hakumaanishi tumeliacha Sauti za Busara,” alisema Lorenzo, Mkurugenzi wa Busara Promotions, katika ufunguzi rasmi wa tamasha jipya . . .
MSANII wa Bongo Fleva, Rajab Abdul 'Harmonize', ameungana tena kimuziki na mrembo mwenye kipaji Abigail Chamungwana 'Abigail Chams' kwenye kazi mpya iitwayo "Lala", wimbo . . .
Rapa na Emcee kutoka Uingereza mwenye asili ya Zimbabwe Rhyme Assassin ameachia wimbo mpya unaokwenda kwa jina la Be Might Kupitia wimbo huo uliotayarishwa . . .
Mtanzania Juma Hamad maarufu kama Jayzow ameshinda tuzo ya Kimataifa katika tuzo za GMA ( Ghana Merit Awards 2025 ) zilizofanyika Nchini Ghana Jayzow ameibu . . .
China imeanza maonesho ya Michezo ya siku tatu kwa Roboti wenye umbo la binadamu, ikilenga kuonesha maendeleo katika teknolojia ya akili bandia na uhandisi wa roboti, Mas . . .
Mtunzi na mwimbaji wa nyimbo za mbalimbali za hamasa za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ikiwemo ya ‘Tundu Lissu wapeleke mchakamchaka’, George Mwingira a . . .
Rapa maarufu Eve ameweka wazi mtazamo wake kuhusu mabadiliko ya muziki wa rap nchini Uingereza, akisema kuwa kwa sasa rap ya U.K. imejipata na imepata sauti yake tofauti . . .
Msanii anayechipukia kwa kasi, Dk. Balafu, ameendelea kutikisa anga ya muziki baada ya kuachia lyrics video ya wimbo wake mpya “Never Sell My Soul”. Audio ya wimbo hu . . .
Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu Sean "Diddy" Combs anataka kuondolewa katika gereza la MDC Brooklyn, akidai kuwa mazingira ya gerezani ni kama "jahannamu." Kupitia . . .
Rapa maarufu kutoka Memphis, GloRilla, hatimaye amezungumza hadharani kufuatia kukamatwa kwake hivi karibuni kwa tuhuma za kumiliki dawa za kulevya, na kwa mujibu wa mael . . .
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Jux, kwa mara nyingine amewashangaza mashabiki wake baada ya kuweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake Priscilla wanatarajia kupata m . . .
Msanii Lahy Uhn ameachia rasmi wimbo wake mpya unaoitwa “It’s Aiight”, kazi inayobeba uhalisia wa maisha, hisia kali na ujumbe wa matumaini. Kupitia sauti yake yeny . . .
Mwanamitindo na sosholaiti maarufu kutoka Kenya, Vera Sidika, anayejulikana kwa jina la utani kama Vee Beiby, ameibuka upya na kuteka mitandao ya kijamii kwa kishindo baa . . .
Mwanamuziki nguli wa Rock na Heavy Metal, Ozzy Osbourne, maarufu kama ‘Prince of Darkness’, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76. Taarifa rasmi kutoka kwa famili . . .
Msanii maarufu wa muziki kutoka Nigeria, David Adedeji Adeleke, anayefahamika zaidi kwa jina la Davido, ameendelea kuthibitisha kuwa ni mmoja wa mastaa matajiri zaidi bar . . .
Klabu ya Liverpool ya England inaendelea kuweka juhudi zake za kumtia mikononi mshambuliaji chipukizi Hugo Ekitike kutoka Eintracht Frankfurt ya Ujerumani, katika dirisha . . .
Joel Lwaga amefunguka kuhusu hali yake ya kiafya baada ya kupata ajali ya kimichezo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lwaga ameeleza kuwa alipata jeraha la mguu wakati . . .
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amesema kocha wa kikosi hicho Fadlu Davids anahusika moja kwa moja na kutoongezwa au kuvunjwa kwa mikataba kwa baadhi . . .
Aliyekuwa kipa wa Simba SC na timu ya taifa, Taifa Stars, Aishi Salum Manula, amerejea rasmi katika klabu yake ya zamani ya Azam FC baada ya kusaini mkataba wa miaka minn . . .
MSANII mashuhuri wa muziki wa hip-hop, Sean Diddy Combs maarufu kama P Diddy, ameendelea kusalia rumande baada ya Jaji Arun Subramanian wa Mahakama ya Shirikisho kumkatal . . .
BAADA ya siku tano za hekaheka ndani ya Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar (ZIFF), msimu wa 28, tamasha hilo litafungwa rasmi kesho huku washindi mbalimbali wa . . .
Msaniii Enock Bella amejitokeza hadharani kumuomba msamaha Mbosso kwa yote ambayo amemkosea katika maisha waliyoishi zamani mpaka sasa.Enock ameomba msamaha huo baada ya . . .
Kwa zaidi ya Miaka saba sasa Game ya muziki wa #BongoFleva imeshindwa kuzalisha wasanii wapya wakubwa ambao tunaweza kujivunia kama wasanii wetu wapya wakubwa.Ukitoa Kiza . . .
Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni . . .
Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es Salaam limewahakikishia usalama wananchi katika mechi ya Simba na Yanga inayotarajiwa kuchezwa kesho Jumatano Juni 25, 2025 huku ik . . .
Rapper na producer maarufu kutoka Marekani, Russ, ameweka wazi mtazamo wake kuhusu tatizo la msongo wa mawazo (depression) linalowakumba watu wengi, akisema kuwa mara nyi . . .
Mwanamuziki maarufu kutoka Nigeria, Tiwa Savage, amefunguka kuhusu safari yake ya muziki, akieleza kuwa alipoanza hakufikiria sana kuhusu fedha, bali aliingia kwenye muzi . . .
Kwa mara ya kwanza katika historia ya mpira wa Tanzania inaenda kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania NBC kwenda kuamuliwa na Waamuzi kutoka nje ya Tanzania.Shirikish . . .
Mwigizaji na msanii mashuhuri wa muziki, Miley Cyrus, amefunguka kwa kina kuhusu safari yake katika tasnia ya muziki na kueleza namna ambavyo amekua na uelewa mkubwa kuhu . . .