logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • May 15, 2026

Jasinta Makwabe aweka wazi aina ya mwanaume anayemtaka

Mwanamitindo Jasinta Makwabe ameibua mjadala mtandaoni baada ya kuweka wazi kuwa hawezi kuwa kwenye mahusiano na mwanaume ambaye amemzidi urefu.Kauli hiyo imezua maoni to . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • May 13, 2026

Mwigizaji Maarufu wa Nigeria Alexx Ekubo Afariki

Taarifa zinazosambaa mtandaoni zinadai kuwa mwigizaji maarufu wa Nigeria Alexx Ekubo amefariki akiwa na umri wa miaka 40, hali ambayo imeacha mashabiki na tasnia ya filam . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 11, 2026

Cardi B na Stefon Diggs Waonekana Pamoja Tena Washington

Katika tukio lililovuta hisia za mashabiki wengi, Cardi B na Stefon Diggs wameonekana pamoja tena katika hafla ya Siku ya Akina Mama iliyofanyika Washington, D.C., iliyoa . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • May 8, 2026

Lulu Diva na D Voice waweka Wazi Penzi Lao Hadharani, Watangaza Mpango wa Ndoa

Msanii wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva, usiku wa kuamkia leo Mei 8, 2026 ameibua gumzo kubwa mitandaoni baada ya kuweka wazi hisia zake kwa msanii wa singeli ku . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 7, 2026

Msanii wa Filamu Careen Simba Achumbiwa, Mashabiki Wabaki Na Maswali

Msanii wa filamu na video vixen maarufu, Careen Simba, amezua gumzo mitandaoni baada ya kutangaza rasmi kuwa amekubali kuchumbiwa.Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Caree . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2026

Tekno Kurejea na Album Mpya 2026, Mashabiki Wasubiri Kwa Hamu

Muimbaji maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amewapa mashabiki wake habari njema baada ya kutangaza ujio wa album yake mpya aliyoipa jina “Where Did Love Go?”. Tangaz . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2026

Samia Khan, ang’ara katika Shindano la Top Model – Miss World Tanzania 2026

Mbunifu chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Samia Khan, ameendelea kuvutia hisia za wengi baada ya kuonesha ubunifu wake wa kipekee katika jukwaa la Shindano la Top Model nd . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • April 11, 2026

Mahakama yatoa maamuzi Mapya Kesi ya talaka ya Cardi B na Offset

Rapa Offset ameibua utata mpya katika kesi yake ya talaka na Cardi B baada ya kudai kupimwa DNA kwa mtoto mdogo wa msanii huyo ili kubaini uhalali wa . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • April 8, 2026

Shaggy Afunguka Siri ya Mafanikio Yake Kwenye Muziki

Msanii mkongwe wa muziki wa dancehall, Shaggy, hivi karibuni alifanya mahojiano na chanzo kimoja cha habari, ambapo alizungumzia safari yake ya muziki na sababu ya kudumu . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • April 8, 2026

Redsan Atangaza Tamasha Kubwa la “Redsan At 30” Baada ya Mafanikio ya Nyashinski

Msanii mkongwe wa Dancehall kutoka Kenya, Redsan, ametangaza rasmi tamasha lake kubwa litakalofanyika baadaye mwaka huu, akilenga kuandika historia mpya katika . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2026

Kanye West Azuiwa Kuingia Uingereza, Tamasha Kubwa Lafutwa

Tamasha kubwa la muziki la Wireless Festival limefutwa rasmi baada ya Rapa Ye (zamani akijulikana kama Kanye West) kuzuiwa kuingia nchini Uingereza kufuatia historia ya k . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 7, 2026

Kim Kardashian na Hamilton Waweka Wazi Penzi Lao

Staa wa reality TV Kim Kardashian na bingwa wa dunia wa Formula One, Lewis Hamilton, hatimaye wameweka wazi uhusiano wao hadharani kupitia mtandao wa Instagram.Wawili hao . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Nattyebrandy
  • April 4, 2026

Filamu 5 za Yesu Unazopaswa Kuangalia

Kuna siku unakaa tu na unataka kuangalia kitu chenye maana sio tu burudani, bali kitu kinachokufanya ufikirie kidogo kuhusu maisha. Filamu za Yesu zina nguvu hiyo. Zinaku . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • April 4, 2026

Kutoka Urafiki hadi Muziki: Bridget Blue na Nikita Kering Walivyounda ‘Mimi na Wewe

Msanii wa muziki wa RnB kutoka nchini Kenya, Bridget Blue, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika tasnia ya muziki baada ya kuachia albamu yake mpya aliyoipa jina . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • March 26, 2026

Maitre Gims Wawekewa Kizuizini Ufaransa kwa Uchunguzi wa Utakatishaji Fedha

Msanii maarufu wa muziki wa mtindo wa rapa na mwenye asili ya Kongo, Maitre Gims, amewekwa kizuizini nchini Ufaransa ili kuhojiwa kuhusiana na uchunguzi wa “utakatishaj . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2026

Chris Brown awacha viongozi ''hawataki amani''

Msanii wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown, ameibua mjadala mitandaoni baada ya kuweka ujumbe mfupi katika ukurasa wake wa Insta Story kwenye Instagram akis . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2026

Hakuna wa kumfikia Drake kwenye mauzo Duniani

Msanii wa hip hop kutoka Canada, Drake, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki wa kimataifa baada ya kutajwa kuwa rapa anayeuza zaidi duniani kwa miaka 11 mfulu . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Bahati apima DNA na mwanamke anaedaiwa kuwa ni Mama yake

MWANAMUZIKI kutoka nchini Kenya Bahati hatimaye amekutana na mwanamke anayedaiwa kuwa ni Mama yake Judith Makokha na kuchukua hatua ya kwenda kupima naye vinasaba (DNA).M . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Gachi Amshutumu Yammi Kwa Kuvunja Mahusiano Yake

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Fatma Omary ‘Gachi’ hivi karibuni ameibuka hadharani na madai mazito yanayomhusisha rafiki yake wa karibu, Yammi, katika kuvunjika kwa mah . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • February 17, 2026

Mzee Steven Hizza Afariki Dunia Tanga

Mwanamuziki mkongwe nchini Tanzania, Mzee Steven Hizza, maarufu kwa wimbo wake wa “Tanzania Yetu Ndiyo Nchi ya Furaha,” amefariki dunia jioni ya jana Jumatatu katika . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 12, 2026

Chris Brown aweka rekodi hii Dunia

Chris Brown ameandika historia mpya katika tasnia ya muziki duniani baada ya ziara yake ya Breezy Bowl XX kutajwa rasmi kuwa tour iliyoingiza mapato makubwa zaidi kuwahi . . .

news
TAMASHA
  • Na Nattyebrandy
  • February 10, 2026

Tamasha la 24 Sauti za Busara Lapangwa Kufanyika Machi 11 – 14 ,2027

Tamasha kubwa la muziki la kimataifa, Sauti za Busara, linalofanyika visiwani Zanzibar, limeendelea kuthibitisha hadhi yake kama moja ya matamasha makubwa na yenye mvuto . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • February 10, 2026

Msanii wa Tanzania Manfongo Aapa Kuongoza Kampeni za Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto Kupitia Muziki

Katika Tamasha la Sauti za Busara 2026, msanii wa muziki wa singeli kutoka Tanzania, Manfongo, ametangaza rasmi dhamira yake ya kuanza kufanya kazi za muziki na kampeni z . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • February 10, 2026

Wasanii Wengi Hutengeneza Muziki Bila Kuzingatia Mustakabali wa Mtoto - Labdi

Mwanamuziki wa muziki wa asili (traditional/fusion) kutoka Kenya, Labdi, ambaye ni miongoni mwa wasanii waliopata fursa ya kutumbuiza katika Tamasha la 23 la Sauti za Bus . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • February 6, 2026

BASATA Yapiga Marufuku MC na DJ Wasio na Vibali

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa kuanzia leo Februari 06 mwaka huu waongoza sherehe na matukio (MCs) pamoja na Manju Muziki (DJs) wote wasio na vibali h . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 3, 2026

Davido Akosa Grammy Tatu Mfululizo

Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na tuzo yoyote kwenye toleo la 68 la Gramm . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • February 2, 2026

Hii hapa orodha Kamili ya Washindi wa Grammy Awards 2026

 Usiku wa Februari mosi mwaka huu ulimalizika kwa mwangaza mkubwa katika Grammy Awards tukio kuu la muziki duniani lililoandaliwa katika Crypto Arena.Staa wa Rap Ken . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Jackie Chan Ajiandalia Wimbo wa Mazishi

Imeelezwa kuwa muigizaji maarufu wa filamu duniani Jackie Chan, tayari ameandaa wimbo maalum wa kuchezwa siku atakayofariki pamoja na siku ya mazishi yake. Taarifa hizo z . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Spotify Yazizima! Drake Afikisha Rekodi Isiyowahi Kutokea

Rapper maarufu kutoka Canada Drake ameendelea kuandika historia katika muziki wa HipHop baada ya kuwa msanii wa kwanza wa HipHop duniani kufikisha wasikilizaji . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

Mfanyabiashara maarufu anayefahamika kwa jina la Niffer amethibitisha rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na aliyekuwa mpenzi wake OG Phone and Accessories akieleza kuwa u . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

msanii maarufu wa RnB JUMA JUX kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia ushindi wa kipengele cha Msanii Bora wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 19, 2025

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa mkubwa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa amehukumiwa na Mahakama ya Romania kifungo cha miezi tisa jela kwa kosa la kuvuta bangi jukwaani akiwa anafa . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, amehukumiwa kifungo cha miezi tisa jela na Mahakama ya Romania kwa kosa la kuvuta bangi hadharani wakati wa onyesh . . .

Kurasa 1 ya 15

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbeto: Rais Mwinyi Agoma Kuvunja Katiba ili Abaki Madarakani Zanzibar

    • 12 masaa yaliopita
  • Kiongozi Mkuu Wa Iran Adaiwa Kujificha Mahali Pasipojulikana

    • 12 masaa yaliopita
  • Trump: Hatuna haraka ya kufikia makubaliano na Iran

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode