logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya nchini kutenga muda wa kus . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Zungu, amesema mipango ya maendeleo katika sekta ya utalii haipaswi kuchangany . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa wa vita na raia baada ya siku mbili za mazungumzo ya amani yanayosimamiwa na Marekani . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wanaume waonywa saratani ya matiti

Asilimia moja ya wanaume hupata saratani ya matiti kwa mwaka, hivyo wametakiwa kuwahi hospitali pindi wanapotambua mabadiliko yoyote katika . . .

Muziki
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

BASATA Yapiga Marufuku MC na DJ Wasio na Vibali

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa kuanzia leo Februari 06 mwaka huu waongoza sherehe na matukio (MCs) pamoja na Manju Muzik . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

TANESCO Kutekeleza Maboresho ya Umeme Mwanza

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaarifu wateja wake pamoja na wakazi wa Mkoa wa Mwanza kuwa kutakuwa na zoezi la maboresho ya miundo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Rais Museveni Kuwasili Tanzania kwa Ziara ya Kikazi

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho  Februari 7 mwaka huu kwa ziara ya kikazi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

TIMD Mwanza Yawakumbusha Madereva Kuheshimu Wanafunzi

TAASISI ya Madereva wa Magari ya Abiria na Mizigo (TIMD) mkoani Mwanza imesema imepokea na kuanza kutekeleza agizo la Waziri wa Uchukuzi, Pr . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

SERIKALI YAHIMIZA UWEKEZAJI VIWANDA VYA UCHAKATAJI MADINI GEITA

SERIKALI imewahimiza wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika viwanda vya uchenjuaji na uchakataji wa madini ya dhahabu mkoani Gei . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa UM akosoa kuvunjwa kwa vyama vya siasa

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imejibu kuhusu kufutwa kwa vyama vya siasa nchini Burkina Faso, uamuzi uliofa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

WANANCHI NYAHINGI WAIOMBA SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA SHULE YA MSINGI

Wananchi wa mtaa wa Nyahingi, kata ya Mkolani, wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Shule ya Msingi N . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Baraza la Ushindani Lawaonya Wadau Kuhusu Sheria

Serikali kupitia Baraza la Ushindani (FCT) imeendesha semina kwa wadau wa Mkoa wa Mwanza hatua inayolenga kuimarisha ufanisi wa utekelezaji . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

KIJANA ANASWA AKIBA SADAKA KANISANI KWA KUTUMIA GUNDI KWENYE KIJITI JIJINI NAIROBI

Mtaa wa Githurai 45 ulijaa kicheko na mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Kevo’ kunaswa akitekeleza wizi wa aina y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Nyumba 3,000 kando ya Mto Msimbazi kubomolewa

Nyumba zaidi ya 3,000 zilizopo kandokando ya Mto Msimbazi zinatarajia kubomolewa ili kupunguza athari za mafuriko katika eneo la Jangwani na . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Simba Yakamilisha Mchakato wa Kumuacha Kibu Denis Ajiunge na Al Nasr Libya

KLABU ya Simba SC ipo hatua za mwisho kukamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wake, Kibu Denis, kwenda klabu ya Al Nasr ya Libya.Cha . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ryan Routh Afungwa Maisha kwa Jaribio la Kumuua Rais Trump

MAHAKAMA nchini Marekani imemhukumu Ryan Routh kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais wa Marekani, Don . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Serikali Kishapu Yalipa Kipaumbele Zao la Pamba

Serikali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeendelea kulitambua zao la pamba kama zao la kimkakati kutokana na mchango wake mkubwa kati . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kairuki Aonya Matumizi Mabaya ya Mitandao ya Kijamii

Serikali imewaonya wananchi wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kudhalilisha viongozi au kusambaza taarifa za uchochezi na ikisisitiza . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

GGML YAKABIDHI NYUMBA KWA JESHI LA POLISI GEITA

Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imekamilisha ujenzi wa nyumba mbili pacha za askari Polisi katika Mtaa wa Mgusu, Kata ya Mgusu, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Barabara ya Kenyata Mkuyuni Yafunguliwa Baada ya Marekebisho

Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Mwanza, Eng. Ambrose Paschal, amethibitisha kufunguliwa kwa kipande cha barabara ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

IGP Wambura Awataka Watanzania Kushiriki Kudhibiti Silaha

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amewataka Watanzania wote kushiriki kikamilifu katika udhibiti na usimamizi wa silaha, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Wafungwa 410 Wahitimu Masomo ya ujasiriamali Nchini

Serikali imesisitiza kuwa magereza nchini si sehemu ya mateso, bali ni vituo vya marekebisho na maendeleo ya wafungwa kupitia elimu na mafun . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ajali ya Mashua Ugiriki Yaua Wahamiaji 15 Chios

Watu 15 wamefariki dunia kufuatia ajali ya kugongana kati ya mashua ya walinzi wa pwani ya Ugiriki na mashua iliyokuwa imewabeba wahamiaji, . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ronaldo Agoma Kuichezea Al Nassr, Asema Inanyanyaswa

Nyota wa Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuanza mgomo wa kuichezea Al Nassr akionya kuwa endapo malalamiko yake hayatashughulikiwa, yuko . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Rais Kiir Amteua Marehemu Kwenye Kamati ya Uchaguzi

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit amejikuta katika sintofahamu baada ya kumteua kimakosa mtu aliyeshafariki dunia kuwa mjumbe wa Kama . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda

Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Marekani yasema imerejesha $500m kwa Venezuela

Marekani imerejesha fedha za mauzo ya mwanzo ya mafuta ya Venezuela, ikiwa ni sehemu ya makubaliano baina ya Caracas na Washington yaliyofik . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Kifo cha Saif al-Islam Gaddafi

Saif al-Islam Gaddafi, mtotoa mdogo wa Muammar al-Gaddafi na mgombea katika uchaguzi wa rais wa 2021, ambao hatimaye haukufanyika, ameuawa n . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

HIZI NDIO FAIDA YA KULA UWELE

1 Huimarisha afya ya mmeng’enyo wa chakulaUwele una nyuzinyuzi (fiber) nyingi, husaidia choo kuwa laini na kuzuia tatizo la kufunga choo.2 . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA MADINI NCHINI TANZANIA

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa (kulia) akioneshwa picha zilizopo ukutani ( Wall Museum) zilizokuwa zikimuonesha historia ya Mgo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Rais Samia Aanza Mazungumzo ya Kimataifa Dubai Kuvutia Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi mazungumzo na viongozi pamoja na wadau wa kimataifa kw . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Refa Abongile kuchezesha FAR Rabat vs Yanga

Refa wa kimataifa mwenye historia ya “bahati” kwa klabu za Kaskazini mwa Afrika zinapocheza nyumbani, Tom Abongile kutoka Afrika Kusini, . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Polisi Mwanza Wakamata Watuhumiwa 19 wa Wizi Daladala

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata watu 19, wakiwemo madereva na makondakta wa daladala, kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

RC Mtanda Aagiza Uchunguzi wa Kuvuliwa Cheo kwa Mwalimu Mkuu Magu

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Said Mtanda, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina baada ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nenge Jonathan P . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Waziri Mkuu Ahamasisha Zana Endelevu za Kilimo Afrika

waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza umuhimu wa kuharakisha utekelezaji wa mifumo ya zana endelev . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Tshisekedi Aweka Masharti Magumu Mazungumzo ya Amani DRC

Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tchisekedi kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa ya . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Davido Akosa Grammy Tatu Mfululizo

Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na tuzo yoyo . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

HIZI NDIZO FAIDA ZA KUTUMIA MTAMA

Tajiri wa Virutubisho MuhimuMtama umejaa virutubisho muhimu kama vile magnesiamu, fosforasi, manganese, na chuma. Magnesiamu ni muhimu kwa a . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Serikali Yaendelea Kuimarisha Upatikanaji wa Haki Mwanza

Serikali imeendelea kusisitiza ushirikiano wake na mhimili wa Mahakama kama nguzo muhimu katika kulinda haki, kudumisha amani na kuchochea m . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

VISIWA VYA BEZI NA TEFU KUNUFAIKA NA UMEME WA JUA MWANZA

Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Mhe. Kafiti William Kafiti amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanzisha mradi wa kusamba . . .

Kurasa 1 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category