logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Wagombea watakiwa kuzingatiai ilani, kutoa ahadi zinazotekelezeka

OKTOBA 29, mwaka huu Watanzania watatekeleza jambo kubwa la kidemokrasia na kihistoria la kuwachagua viongozi wa kuwaongoza kwa miaka mitano . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Tanzania kuendeleza mapinduzi ya elimu kidigitali

TANZANIA imeahidi kuendeleza mapinduzi ya kidigitali katika sekta ya elimu kupitia ushirikiano na Kampuni ya eee Austria.Katibu Mkuu wa Wiza . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Mshikamano wahitajika mageuzi kiuchumi nchini

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Hashil Abdallah amesema ili kufanikisha mageuzi ya kiuchumi na teknolojia kunahitajika m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Tanzania kuandaa wataalamu wa nyuklia

 TANZANIA imeanza kuandaa wataalamu wa Sayansi na Teknolojia ya Nyuklia kupitia vyuo vya ndani na nje ya nchi kwa lengo la ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Malawi vyama viwili vyajitangazia ushindi urais

 VYAMA vya siasa vinavyowaunga mkono wagombea wakuu wa urais nchini Malawi vimejitangazia ushindi kabla ya Tume ya Uchaguzi kutangaza m . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Mawakili wa Serikali watakiwa kuzingatia sheria za Hifadhi ya Jamii

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari amewataka Mawakili wa Serikali kuyatumia mafunzo yanayotolewa kuhusu Hifadhi ya Jamii, katika kuh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Mgombea urais Salum Mwalimu aahidi uwekezaji mkubwa kupitia Kituo cha PPP

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amemtumia salam Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • 15 masaa yaliopita

Hizi hapa faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli!

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa ki . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Serikali Inatambua Kazi Nzuri ya OSHA Nchini

Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Amina Makilagi, amesema serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi ( . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 16 masaa yaliopita

Kabila akabiliwa na Mashtaka Makali ya Mauaji, Ubakaji na Usaliti

Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo – Mahakama Kuu ya Kikosi cha Jeshi imeweka Ijumaa kama siku ya kutoa uamuzi katika kesi ya kihi . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Miili ya masista wanne waliofariki ajalini Mwanza yaagwa leo Bagamoyo

Miili ya masista wanne wa waliofariki ajalini Mwanza ikiingizwa katika Kanisa la Mwenyeheri Isdory Bakanja Boko, Jimbo Katoliki Bagamoyo kwa . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 17 masaa yaliopita

Yanga Sc leo kibarua wanacho dhidi ya Wiliete FC

Kipyenga cha mashindano ya ngazi ya klabu barani Afrika kimepulizwa wiki hii na leo ni zamu ya mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga, ambao watas . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Soko jipya la Madini Laanzishwa Tanga

Mnyororo wa Thamani wa Madini Kubaki Tanga Kupitia Soko la Madini ☑️ Fursa Mpya kwa Wachimbaji Wadogo kuuza Dhahabu na Vito kwa bei s . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Bodi ya kituo cha umahiri, usalama barabarani yazinduliwa rasmi

Serikali kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) imezindua Bodi shirikishi . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Polepole atoa majibu baada ya kuitwa ofisi ya DCI

Baada ya Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) kumuita aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole kutoa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 18 masaa yaliopita

Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa Mjini, Frank Nyalusi Afariki

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Ijuma . . .

Michezo
  • Na Jacobmlaytz
  • 20 masaa yaliopita

FADLU DAVIDS BYE BYE SIMBA SC, AMGOMEA MO DEWJI

Kocha wa Simba Fadlu Davids hana mpango wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo msimu huu 2025-26.Rais wa Simba Mo Dewji amejitahidi kumshawishi . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • 21 masaa yaliopita

Ukraine yanyaka Wakenya wakipigana kwa niaba ya Urusi vitani

WANAJESHI wa Ukraine wanaendelea kuwazuilia zaidi ya Wakenya wanne ambao imebainika walinyakwa wakipigania jeshi la Urusi.Ukraine na Urusi z . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Marekani yapiga kura ya turufu azimio la UNSC kutaka kusitishwa mara moja kwa mapigano Gaza

Marekani kwa mara nyingine tena imepinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi lililotaka kusitishwa mara moja na . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Zaidi ya watu 30 wamefariki kwa Ebola nchini DRC

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza siku ya Alhamisi kuwa wagonjwa 48 wa Ebola wamethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

FAIDA YA KULA UTUMBO WA TAULO WA NG'0MBE

Faida ya kula utumbo wa taulo (ambao pia hujulikana kama utumbo mkubwa, au kwa Kiingereza tripe) ni nyingi kiafya, hasa pale unapopikwa vizu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kikosi cha Simba Chatua Botswana kwa Mtanange wa CAFCL

Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu

Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Dkt. Samia" Uchaguzi si Vita, Ni Tendo la Demokrasia Tukapige kura, Turudi Nyumbani"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Baraza la usalama la UN kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita na kuruhusu misaada kuingia Gaza, licha ya ku . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wanasiasa wasipotoshe kura ya mapema Z’bar

TUME ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imepuliza kipenga cha kuanza kampeni za vyama vya siasa za takribani siku 40, zikihusisha ya vyama vya siasa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

ACT-Wazalendo yapinga uamuzi wa INEC kumuondoa Mpina

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema hakikubaliani na uamuzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kumuondoa mgombea wake wa urais, Luhaga Mp . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kigoma Bodaboda waonywa uhalifu

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2025, Ismail Alli Ussi amewataka maofisa usafirishaji wa pikipiki za abiria maarufu kama ‘bodabo . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Zanzibar yazizima: Samia kunadi Ilani ya CCM leo

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, leo kunadi sera na ilani katika viunga vya Unguja, visiwani Zanzibar, wanan . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wataalamu wa ugani nchini wametakiwa kufikisha elimu ya usimamizi wa misitu kwa wananchi

WATAALAMU wa ugani nchini wametakiwa kufikisha kwa wananchi elimu ya usimamizi wa misitu, ili suala la usimamizi endelevu wa misitu, kitalu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kesi ya Lissu moto; Akataa kuendelea na shauri kisa wafuasi

KESI ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeendelea kuwa moto mahakamani, safari . . .

Jamii
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Tambua tatizo la kukosa usingizi kunavyoathiri afya ya wakazi miji mikubwa

KATIKA miji mikuu inayozidi kukua kwa kasi kama Dar es Salaam, ndoto za mafanikio zinaambatana na hali halisi inayoleta madhara kimyakimya k . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wadau wataja mambo 20 kuimarisha demokrasia nchini Tanzania

WADAU wa demokrasia nchini, wamependekeza zaidi ya mambo 20 wanayoamini yakifanyiwa kazi yanaweza kuimarisha umoja na mshikamano nchini.Wada . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Nchi zinazoendelea Afrika zapewa mbinu mpya kupambana na umaskini

Balozi wa China nchini Chen Mingjian amesema nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania zinaweza kuondokana na umaskini iwapo watu wake watakuwa na . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ziara ya Donald Trump Nchini Uingereza kupingwa na waandamanaji

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye amewa . . .

mahusiano
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Hizi hapa Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli!

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa ki . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ahukumiwa kwa kurejesha fedha alizowakwepa TRA

Mahakama ya Wilaya Mbeya imemuhukumu Mfanyabiashara Benedicto Abel Matandiko wa Jijini la Mbeya adhabu ya kutofanya Kosa lolote la Jinai nda . . .

Matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Askofu Mkuu Novatus Rugambwa afariki dunia

Aliyekuwa Balozi wa Baba Mtakatifu nchi mbalimbali duniani Mtanzania Askofu Mkuu Novatus Rugambwa amefariki dunia usiku wa Septemba 16 mwaka . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ushirikiano wa Tanzania na Japan wazidi kuimarika

Ushirikiano wa Tanzania na Japan umezidi kuimarika baada ya kuzinduliwa kwa Kamati ya Pamoja ambayo itasaidi katika Biashara ya Kabon hususa . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Sekta binafsi kushirikishwa katika programu ya TFSRPP

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Mweli amesema Serikali kupitia Wizara ya Kilimo inatambua na kuthamini mchango wa Sekta Binafsi kat . . .

Kurasa 1 ya 190

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category