1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Diddy kutoka jela ni mei 2028

Kutoka kwenye website ya Magereza nchini Marekani (Federal Bureau of prison) Msanii Diddy anatarajiwa kuachiliwa kutoka Gerezani M . . .

Marioo Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mke Wake

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo, amezua gumzo mitandaoni baada ya kuandika ujumbe mrefu wenye hisia kali kupitia u . . .

Jembe Michezo

Mtanzania aweka rekodi mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship

LOLITA Borega aweka rekodi nyingine tena nchini Tanzania baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water . . .

Simba yatoa viingilio Kuelekea mchezo wa Jumapili dhidi ya Nsingizini Hotspurs

Kikosi kilirejea jana Dar es Salaam, leo vijana wamepumzika na kesho watarudi Mo Simba Arena kuanza maandalizi ya mchezo wa Jumapi . . .

Jembe Habari

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04 . . .

Kaya 28 zakabidhiwa hundi za fidia kupisha mradi wa maji Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Oktoba 28 mwaka huu amekabidhi rasmi hundi za malipo ya fidia kwa kaya . . .

Habari Zote
Kitaifa

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04, 2025&nbs . . .

Kimataifa

Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

Kuelekea kongamano la Kimataifa kuhusu amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu litakolofanyika siku ya Alhamisi jijini Paris, mashirika kumi na . . .

Habari

Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Kamisha Msaidizi Mwandanizi wa Polisi (SACP) Marco G. Chilya amewataka Maafisa na askari na Polisi wasaidi . . .

Matukio

Jera miaka 30 kwa kusafirisha dawa za kulevya

Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 30 jela Mohamed Hassan Nahero mwenye umri wa miaka 55, mkazi wa Ki . . .

Habari

Mhe,Chumi awahakikishia waangalizi uchaguzi huru

Serikali imeihakikishia Timu ya Waangalizi ya Uchaguzi ya Wabunge-Wanawake kutoka Jumuiya ya Madola (CWP) kuwa Uchaguzi Mkuu wa Rais, wabung . . .

Habari

Taasisi za madini zaeleza mafanikio robo ya kwanza 2025,26

Menejimenti ya Wizara ya Madini Oktoba 27 mwaka huuu ilikutana na Wakuu wa Taasisi zake katika kikao kilicholenga kupokea taarifa ya ufuatil . . .