logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Mbeto: Rais Mwinyi Agoma Kuvunja Katiba ili Abaki Madarakani Zanzibar

Chama Cha Mapinduzi kimepongeza uamuzi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Rais Dk Hussein Ali Mwimyi kwa kushinda majaribu ya wapambe walioanza kumshinikiza avunje katiba n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 12 masaa yaliopita

Kiongozi Mkuu Wa Iran Adaiwa Kujificha Mahali Pasipojulikana

Viongozi wakuu wa Iran wanadaiwa kuingia katika hali ya tahadhari kubwa ya kiusalama kufuatia hofu ya mashambulizi mapya baada ya vita vya hivi karibuni vilivyoihusisha Marekani na Israel.Kwa mujibu w . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Trump: Hatuna haraka ya kufikia makubaliano na Iran

Rais wa Marekani amesema kuwa mazungumzo yanaendelea “kwa utaratibu na kwa njia yenye kujenga,” na kusisitiza kuwa hana haraka ya kufikia makubaliano ya kuvimaliza vita baina yake na Iran.Trump am . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Spika wa Bunge la Senegal atangaza kujiuzulu

Spika wa Bunge la Senegal ametangaza kwamba atajiuzulu wadhifa huo siku mbili baada ya mshirika wake wa karibu Ousmane Sonko kuvuliwa uwaziri mkuu hatua inayozidisha mzozo wa kisiasa nchini humo.Ingaw . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Mamlaka za DRC zatangaza visa 900 vinavyohusiana na Ebola

Mamlaka za nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimesema visa vinavyohisiwa kuwa vya Ebola vimeongezeka na kufikia 900, katikati ya mlipuko wa ugonjwa huo Mashariki mwa taifa hilo.Hivyo taarifa ya . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 13 masaa yaliopita

Wafungwa wachukua udhibiti wa gereza wakitaka mageuzi

Mamia ya wafungwa katika gereza la jiji la Barinas nchini Venezuela wamechukua udhibiti wa gereza hilo hapo Mei 24,2026 kwa madai ya kuteswa na kutaka mkurugenzi wa gereza hilo afukuzwe kazi.Ingawa ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • jana

Makubaliano ya amani ya Iran yakaribia kukamilika

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema makubaliano ya awali kuhusu amani kati ya Marekani na Iran yako karibu kukamilika, huku matumaini yakiongezeka ya kumalizika kwa vita vilivyodumu kwa miezi mita . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

WAZIRI MKUU "MIRADI YA BARABARA NI UFUNGUO WA UCHUMI WA WANANCHI"

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya barabara nchini kwa kuwa ndiyo msingi wa kufungua uchumi, kurahisisha usafirishaji wa mazao na kuchochea maendel . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • jana

Waziri Mkuu Ahimiza Malezi Ya Kimaadili Na Ushirikiano Wa Kijamii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga kizazi chenye maadili, kinachoheshimu viongozi, wazazi pamoja . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • jana

Rais mteule Romuald Wadagni kuapishwa rasmi

Rais mteule Romuald Wadagni, aliyetangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Aprili 12 nchini Benin, ataapishwa na kukabidhiwa rasmi mamlaka ya uongozi wa nchi wakati wa sherehe ambayo inataraj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Kamishna wa Polisi Tanzania Aingia Kwenye Orodha ya Vikwazo vya Marekani

Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemtaja Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Faustine Jackson Mafwele, chini ya kifungu cha 7031(c) kutokana na kile ilichodai kuwa ni taarifa za kuaminika zinazomhusisha . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Zaidi ya vituo 50 vya kutoa lishe vyafungwa Sudan

Nchini Sudan, zaidi ya vituo 50 vya kutoa lishe katika jimbo la Darfur Magharibi,vimelazimika kusitisha shughuli zao kutokana na kupungua kwa ufadhili, watu karibu laki mbili wakisalia bila msaada.Shi . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Kenya "Wadau katika sekta ya usafirishaji watangaza kumaliza mgomo wao"

Wadau wa sekta ya usafirishaji nchini Kenya, wametangaza kumaliza mgomo waliopanga kuufanya tena wiki ijayo baada ya majadilino na Rais William Ruto.Kupitia hotuba kwa taifa, Rais Ruto, amesema tatizo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mawaziri wa Kigeni wa NATO wanakutana Sweden

Mawaziri wa Mambo ya Kigeni wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kujihami, NATO, wanakutana nchi Sweden leo Ijumaa.Huo ni mkutano wa kwanza wa ngazi ya mawaziri tangu Rais Donald Trump wa Marekani alipotil . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Ebola yatua mji wa Bukavu unaodhibitiwa na waasi wa M23

Kwa mujibu wa msemaji wa M23, mgonjwa huyo mwenye umri wa miaka 28 alitokea mjini Kisangani, lakini alifariki dunia kabla ya majibu ya vipimo kuthibitisha kuwa alikuwa ameambukizwa Ebola. Kisa hicho k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

DKT MWIGULU MGENI RASMI SIKU YA ZIWA VICTORIA, MWANZA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria yatakayofanyika katika . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kenya "Serikali yatakiwa kuchukua hatua dhidi ya mauaji ya wanawake"

Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Kenya, yametoa muda wa siku 40 kwa serikali kushughulikia ongezeko la visa vya mauaji ya wanawake na vitendo vingine vya Ukatili wa Kijinsia, yakisema iwap . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Sierra Leone yawapokea wahamiaji waliofukuzwa kutoka Marekani

Sierra Leone  imekuwa taifa jingine la Afrika kuwapokea wahamiaji waliofukuzwa kutoka Marekani chini ya utawala wa Rais Donald Trump na kampeni yake dhidi ya aliowataja wahamiaji haramu.Kwa mujib . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Urusi na China zataka diplomasia ili kuvimaliza vita Ukraine

Urusi na China zimetoa wito wa kuimarishwa kwa juhudi za kidiplomasia ili kufanikisha suluhisho la kudumu kwa vita vya Ukraine.Hii ni kufuatia mazungumzo kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

WHO" Mlipuko wa Ebola, Kongo huenda ulianza muda mrefu"

Shirika la Afya Duniani WHO limesema mlipuko wa Ebola ambao tayari umesababisha vifo vya watu 130 nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo huenda ulianza miezi miwili iliyopita.Mtalaamu wa virusi wa shi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

DRC: Upinzani waajaribu kuungana dhidi ya mabadiliko ya katiba

Upinzani nchini DRC unajaribu kuungana dhidi ya marekebisho ya katiba. Mnamo Mei 6, 2026, wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Rais Félix Tshisekedi alifungua mlango wa muhula wa tatu unaowezeka . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wanajeshi wa Rwanda kuendelea na oparesheni zao nchini Msumbiji

Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, amesema nchi ya Msumbiji imefanikiwa kupata fedha kwa ajili ya vikosi vya Kigali vilivyoko nchini humo kuendelea na operesheni za kijeshi kwa mj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mawaziri wa fedha wa G7 wajadili hatua za kunyoosha uchumi

Mawaziri wa fedha wa nchi zilizostawi kiviwanda duniani za G7 wamekubaliana kuhusu haja ya kuchukua hatua ili kukabiliana na ukosefu wa usawa wa kibiashara katika uchumi wa dunia uliogawanyika.Hayo ni . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • May 15, 2026

TANZANIA KUTUMIA FIFA WORLD CUP 2026 KUTANGAZA UTALII WA AFCON 2027

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara imeandaa mkakati wa kuitangaza Tanzania kama kivutio cha kipekee cha utalii kuelekea mashindano ya AFCON 2027.Ingawa ameeleza kuwa . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 15, 2026

CDC yathibitisha mlipuko wa Ebola nchini Kongo

Mlipuko mpya wa ugonjwa hatari wa homa ya Ebola umethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na tayari umesababisha vifo vya watu 65 na wengine karibu 250 wanashukiwa kuwa wameambukizwa.Taari . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • May 15, 2026

Polisi Pwani wawashikilia wanne kwa tuhuma za mauaji Vikawe

Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya watu watatu na kujeruhi watu 14 waliokuwa wakidaiwa kwenda kuvunja nyumba zao Mei 6, 2026 katika e . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2026

Kagame akosoa matumizi ya vikwazo katika siasa za kimataifa

Rais wa Rwanda Paul Kagame amekosoa matumizi yanayoongezeka ya vikwazo katika siasa za kimataifa, akionya kwamba nchi zenye nguvu mara nyingi huvitumia vikwazo hivyo isivyo haki dhidi ya mataifa dhaif . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2026

Angela Merkel aitetea serikali ya mseto ya Kansela Merz

Kansela wa zamani wa Ujerumani Angela Merkel amevunja ukimya na kutoa wito kwa Wajerumani kuwa na subira na serikali ya sasa huku akiwataka kufanya tathmini ya haki ya mafanikio yaliyofikiwa.Merkel am . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • May 15, 2026

Karibu watu milioni 19.5 wanakabiliwa na viwango vikubwa vya ukosefu wa usalama wa chakula

Takwimu mpya kutoka IPC—mojawapo ya zana zinazoongoza duniani za kupima njaa iliyotengenezwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa—zinaonya kwamba karibu watu milioni 19.5 nchini Sudan wanakabiliwa na . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 15, 2026

Waasi wanawazuilia wanajeshi 200 wa Mali katika Mji wa Kidal

Nchini Mali, waasi wa Azawad Liberation Front, wanaotaka kujitawala Kaskazini mwa nchi hiyo, wanasema wanawashikilia wanajeshi zaidi ya 200 kama wafungwa wa kivita katika mji wa Kidal.Tangazo la waasi . . .

Kurasa 1 ya 161

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbeto: Rais Mwinyi Agoma Kuvunja Katiba ili Abaki Madarakani Zanzibar

    • 12 masaa yaliopita
  • Kiongozi Mkuu Wa Iran Adaiwa Kujificha Mahali Pasipojulikana

    • 12 masaa yaliopita
  • Trump: Hatuna haraka ya kufikia makubaliano na Iran

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode