logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2025

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04, 2025 katika kesi ya jinai namba 48250 ya mwaka 2025, inayo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2025

Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

Kuelekea kongamano la Kimataifa kuhusu amani kwenye ukanda wa Maziwa Makuu litakolofanyika siku ya Alhamisi jijini Paris, mashirika kumi na mawili yasiyokuwa ya kiserikali na yale ya kutoa misaada ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi

Wajumbe wa Kamati za Utafiti na Ubunifu ambayo ni Kamati Elekezi na Kamati ya Kiufundi wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa weledi uwazi na ubunifu ili kuhakikisha kuwa tafiti zinazofanyika zinatoa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Uthamini wa fidia mradi wa SGR kipande cha sita Tabora-Kigoma waendelea kwa kasi

Serikali inaendelea na zoezi la uthamini maeneo yatakayopitiwa na ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa SGR kipande cha sita kutoka mikoa ya Tabora hadi Kigoma katika wilaya za Tabora Mjini, Uyui, Urambo, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Kaya 28 zakabidhiwa hundi za fidia kupisha mradi wa maji Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Oktoba 28 mwaka huu amekabidhi rasmi hundi za malipo ya fidia kwa kaya 28 za wakazi wa Bonde la Maisaka, waliopisha ujenzi wa mradi mkubwa w . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Ruvuma wakulima 383 kunufaika na mitambo ya umwagiliaji

Wizara ya Kilimo imekabidhi vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima 383 wa Wilaya za Songea na Nyasa mkoani Ruvuma vitakavyowasaidia kumwagilia zaidi ya ekari 500 za kilimo.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya K . . .

UTALII
  • Na Jembe Digital
  • October 28, 2025

Tamasha la Land Rover kutangaza vivutio vya utalii nchini

Tamasha la Land Rover Iringa 2025 litakalofanyika mwezi Novemba 2025 linatarajia kutangaza vivutio vya utalii vya mkoa wa Iringa hivyo kuvutia watalii wengi kutoka ndani na nje ya nchi.Akizungumza kat . . .

Uwekezaji
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Tajiri Aliko Dangote aweka rekodi mpya Afrika

Ripoti kutoka Mabilionea Bloomberg Mfanyabiashara mkubwa wa nchini Nigeria, Aliko Dangote, ameandika historia mpya kwa kuwa Mwafrika wa kwanza kufikisha utajiri wa Dola Bilioni 30.3.​Utajiri huu wa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Mtahiniwa kufanya KCSE rumande Lamu

MWANAFUNZI wa shule ya upili iliyo eneo la Lamu ya Kati, Kaunti ya Lamu, huenda akalazimika kufanya mitihani yake ya KCSE akiwa chini ya ulinzi wa polisi.Hii ni kutokana na kuwa, alikamatwa na kuwekwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Baraza la usalama na UN lawateua wataalam kuchunguza ukiukaji wa haki

Baraza la Haki za bindamu la Umoja wa Mataifa, limewateua watalaam watatu, kuchunguza madai ya ukiukwaji wa haki Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kufuatia uhaba wa bajeti ya fedha, kuwa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

TET na NECTA kujadili utekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa

Taasisi ya Elimu Tanzania ( TET) na Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) wamefanya kikao cha pamoja kwa lengo la kujadiliana masuala mbalimbali juu ya utekekelezaji wa mitaala iliyoboreshwa ya Elimu y . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

WAKULIMA WADOGO 634 KUNUFAIKA NA KILIMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI KAGERA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Fatma Mwassa amezindua ugawaji wa vifaa vya umwagiliaji kwa wakulima wadogo ili kuwawezesha vijana na wanawake kushiriki kikamilifu katika kilimo cha kisasa chenye tija na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

VItuo vya kupigia kura vyaongezwa

Jumla ya vituo 384 vya kupigia kura vimeandaliwa katika Jimbo la Mwibara na Bunda katika kata kumi na tisa ili kurahisisha zoezi la upigaji kura ambapo kila kituo kimoja kitahudumia wananchi wasiozidi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

India na China zarejesha usafiri wa moja kwa moja wa ndege

Abiria wa safari ya kwanza ya moja kwa moja kati ya India na China katika kipindi cha miaka mitano wamewasili leo Jumatatu, baada ya mataifa hayo makubwa ya Asia kuondoa marufuku ya usafiri wa anga .A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Urusi yajaribu kombora la nyuklia la Burevestnik

Baada ya Gazeti la Wall Street Journal kuripoti kuwa utawala wa Trump umeondoa kizuizi muhimu kwa Ukraine kutumia baadhi ya makombora ya masafa marefu iliyotolewa na washirika wa Magharibi, Putin alis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Trump atangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia

Donald Trump ametangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia alipowasili Malaysia siku ya Jumapili kama sehemu ya ziara yake barani Asia, ziara ya kwanza tangu arudi madarakani . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 26, 2025

Dkt. Mwinyi" Nitaendelea Kuimarisha Udhamini Na Miundombinu Ya Michezo"

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Tamko la UDASA sio msimamo wa UDSM-Prof. Anangisye

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema hakitambui wala kuhusika kwa namna yoyote na tamko lililotolewa na Jumuiya ya Wataaluma wa Chuo hicho (UDASA) Oktoba 23, 2025.Akitoa taarifa hii, Makamu Mk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Rais Samia apokea ujume maalumu wa Rais Tshisekedi

Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, umewasilishwa na Mjumbe Maalum na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa nchi hiyo, Mhe. Floribert Anzuluni, Ikulu Jijini Da . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wajerumani wengi waunga mkono kauli ya Merz kuhusu uhamiaji

Raia wengi wa Ujerumani wanakubaliana na matamshi ya hivi karibuni ya kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yanayopendekeza kwamba matatizo yanatokana na uhamiaji yanadhihirika wazi katika barabara za n . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

LUKUWI AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MWANZA.

‎‎Naibu Kamishna wa Uhamiaji (Utawala), DCI Elizabeth Lukuwi Oktoba 23 mwaka huu amefanya ziara ya kikazi katika Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza  kwa lengo la kuzungumza na Maafisa na Askari . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Tathmini ya elimu ya mwaka wanafunzi wapaza sauti

Wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wameipongeza Serikali kwa kuboresha miundombinu ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari, wakisema hatua hiyo imeimarisha mazingira ya kujifunza na kufundisha.H . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Meta Yapanga Kuondoa Wafanyakazi 600 Katika Kitengo cha AI

Kampuni ya Meta, hapo awali inayojulikana kama Facebook, imepanga kuondoa takriban wafanyakazi 600 kutoka katika kitengo chake cha AI, hatua inayolenga kurekebisha muundo wa kazi na kuongeza ufanisi w . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Waziri mkuu atoa wiki moja kituo cha polisi Nandagala kianze huduma

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 23 mwaka huu amekagua ujenzi wa kituo cha Polisi Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi na kuagiza kituo hicho kianze kazi ifikapo Novemba 1 mwaka huu. Aidha Mhes . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2025

Wananchi wajiandaa kupîga kura siku ya Jumamosi

Wananchi wa Cote Dvoire, kesho watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu ambao rais Alassane Ouattara, anatarajiwa kushinda muhula wa nne, baada ya wapinzani wake wakuu rais za zamani Laurent Gbagbo na mwana . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

COPPER yakabidhiwa mbegu ya kisasa ya Choroko tani 1.5

Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi Mbegu ya kisasa ya Choroko tani moja na nusu kwa Wakulima wa Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuzitumia katika msimu wa kilimo wa 2025 . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

Wapima udongo watakiwa kuzingatia weledi na uadilifuu

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Wizara ya Kilimo, Bw. James Kibamba, amewataka Wataalamu wa udongo nchini kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uadilifu na umakini ili kuhakikisha matokeo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Kilimo, madini na umeme vyachangia kukuza uchumi wa nchi

Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPPC) David Kafulila amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan sekta ya kilimo imepata maen . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Wazazi kujengewa Wodi mpya Handeni kwa Sh milioni 530

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Salum Nyamwese amesema Serikali imetenga Shilingi milioni 530 kwa ajili ya ujenzi wa wodi mpya ya wazazi katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji Handeni hatua inayolenga kubor . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • October 23, 2025

Polisi Mbeya yapokea magari manne mapya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limepokea magari manne mapya aina ya Robur Armored TLC300 ukiwa ni mgao kutoka kwa Mkuu wa Jeshi hilo nchini.Akizungumza mara baada ya kupokea magari hayo  Oktoba 23 . . .

Kurasa 1 ya 121

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

    • October 29, 2025
  • Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

    • October 29, 2025
  • Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

    • October 29, 2025

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode