Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imemtia nguvuni Waziri wa zamani Nchini Kenya, Raphael Tuju ambaye Familia yake ilidai ametekwa kabla ya kujitokeza na kukiri kuwa mafichoni siku ya Jumamos . . .
Waziri Kwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa mwaka 2025/2026 na mpango wa bajeti wa mwaka wa Fedha 2 . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amewaambia waandishi wa habari akiwa Palm Beach kwamba Marekani na Iran zina maeneo makubwa ya makubaliano katika mazungumzo yao yanayoendelea.Akiwa karibu na n . . .
Ndege ya kijeshi iliyokuwa na watu 121, wengi wao wanajeshi, ilianguka muda mfupi baada ya kupaa jana Jumatatu huko Puerto Leguizamo, Colombia, na kuua watu wasiopungua 33.Naibu wa meya wa mji huo Car . . .
Mabaki ya Waafrika kadhaa ambao miili yao ilifukuliwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya utafiti wa kisayansi miaka mingi iliyopita yalizikwa tena Jumatatu nchini Afrika Kusini.Mabaki ya kiasi watu 63 wa . . .
Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta kinachomilikiwa na tajiri namba moja barani Afrika Mnigeria, Aliko Dangote, kimethibitisha kuanza kusafirisha mafuta katika mataifa mbalimbali ya Afrika, baada ya . . .
Mapigano makali yameripotiwa mapema Jumatatu nchini DRC, baada ya waasi wa AFC/M23 kuvamia ngome ya wapiganaji wa Wazalendo eneo la Kazinga, wilayani Masisi mkoani Kivu Kaskazini.Makabiliano . . .
- Lengo ni kuikinga nchi na athari za Vita vya Iran- EWURA na waagizaji wapewa maelekezo- Waziri Ndejembi aonya walanguziSerikali imewahakikishia wananchi uwepo wa akiba ya mafuta ya kutosha nchini, h . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limemkamata Ibrahimu Kitundu (18) Mkazi wa Kata ya Ipuli kwa tuhuma za kufanya shambulio la aibu kwa kuingiza uume wake kwenye mdomo wa Mtoto na kumlazimisha aunyonye a . . .
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Yvette Cooper, amekashifu vikali mashambulizi yaliyolenga kambi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Uingereza katika kisiwa cha Diego Garcia.Mashambulizi hayo ya . . .
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza ameridhia ombi la wananchi wa Kata za Mabatini na Mbugani, Wilaya ya Nyamagana, la kurejesha huduma za kipolisi katika Kituo cha Polisi Mabatini kilichoharibiwa wakati . . .
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfanyabiashara anayeficha mafuta kwa kisingizio cha kusubiri bei . . .
Chama cha wanasheria nchini Uganda, ULS, kimeishtaki serikali ya Uganda kwa kile chama hicho kimesema polisi kuendelea kuzingira makazi ya mwanasiasa wa upinzani, Robert Kyagulani, maarufu kama Bob Wi . . .
Rubani wa shirika la ndege la Air Canada na msaidizi wake wamethibitishwa kufa baada ya ndege yao kugonga gari lilokuwa limeegeshwa kwenye uwanja wa ndege wa Le Guardia jijini New York.Ndege hiyo iliy . . .
Jeshi la polisi mkoa Mwanza tangu tarehe 20/03/2026 usiku liliwakamata na linaendelea kuwahoji watu watatu (3) ambao ni askari mgambo kwa tuhuma za mauaji ya kijana aitwaye Rashid Masunga Nyandonga, m . . .
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema wamefurahishwa na ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mifumo ya Kodi nchini, kwa namna ilivyoakisi maoni n . . .
Zaidi ya watu 3,186 wameuawa nchini Iran tangu kuzuka kwa mapigano Februari 28 kulingana na Shirika la kutetea haki za binadamu (Hrana) lenye makao yake nchini Marekani.Kati ya watu hao waliouawa,1,39 . . .
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufundisha maadili mema kwa kizazi cha sasa ili kuwa na Taifa zu . . .
Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, kufulia, kupigia mswaki, kunyweshea mifugo, kumwagilia maua a . . .
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah akiwa katika Iftari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar Machi 17, 2026 amesema Serikali hait . . .
WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda Kanda . . .
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa hadi kufa Joseph Mhulilwa, dereva bajaji na mkazi wa Mtwivila B, Manispaa ya Iringa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi mtoto wake wa . . .
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema kuwa hakuna mpango wa kushawishi unaoonesha kuwa operesheni ya Marekani na Israel dhidi ya Iran itafanikiwa.Merz ameyasema haya katika hotuba yake mbele ya . . .
Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mapendekezo ya Tume aliyoiunda ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi, yanashauri kuwepo kwa utulivu katika ulipaji wa kodi wafanyabiashara.Mkuu huy . . .
Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza , Amir Mkalipa, amevitaka vikundi vilivyopata mikopo ya asilimia 10 katika wilaya hiyo kuhakikisha vinarejesha fedha hizo kwa wakati ili kutoa fursa kwa vikundi . . .
Mbunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe. Agnesta Kaiza, ametembelea na kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali muhimu katika Shule ya Msingi Buguruni Viziwi, jijini Da . . .
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipokea kwa niaba ya Serikali msaada wa magari matatu ya zimamoto na uokoaji yaliyotolewa na Taasisi ya Zimamot . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesema matumizi sahihi ya teknolojia katika mifumo ya Mahakama yanaweza ni nyenzo muhimu ya kuimarisha upa . . .
Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe dkt Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi viongozi na kupanga vituo vipya kwa ubalozi.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 18,2025 na Katibu Mkuu Kio . . .
Kilio cha baadhi ya wafanyabiashara kuhusu mfumo wa haki na usawa katika ulipaji wa kodi, kinakwenda kupata muarobaini, baada ya Tume ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi kutoa map . . .