logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • 18 masaa yaliopita

Aliyejiteka Kenya akamatwa

Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) imemtia nguvuni Waziri wa zamani Nchini Kenya, Raphael Tuju ambaye Familia yake ilidai ametekwa kabla ya kujitokeza na kukiri kuwa mafichoni siku ya Jumamos . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 20 masaa yaliopita

Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

Waziri Kwa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa mwaka 2025/2026 na mpango wa bajeti wa mwaka wa Fedha 2 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 22 masaa yaliopita

Trump Atoa Matumaini Mapya Kuhusu Uhusiano wa Marekani na Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amewaambia waandishi wa habari akiwa Palm Beach kwamba Marekani na Iran zina maeneo makubwa ya makubaliano katika mazungumzo yao yanayoendelea.Akiwa karibu na n . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Ndege ya kijeshi yaanguka na kuuwa watu 33 Colombia

Ndege ya kijeshi iliyokuwa na watu 121, wengi wao wanajeshi, ilianguka muda mfupi baada ya kupaa jana Jumatatu huko Puerto Leguizamo, Colombia, na kuua watu wasiopungua 33.Naibu wa meya wa mji huo Car . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Miili ya Waafrika iliyopelekwa Ulaya kwa utafiti yazikwa

Mabaki ya Waafrika kadhaa ambao miili yao ilifukuliwa na kupelekwa Ulaya kwa ajili ya utafiti wa kisayansi miaka mingi iliyopita yalizikwa tena Jumatatu nchini Afrika Kusini.Mabaki ya kiasi watu 63 wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Kampuni ya mafuta ya Dangote yaanza kusafirisha mafuta kwa nchi za Afrika

Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta kinachomilikiwa na tajiri namba moja barani Afrika Mnigeria, Aliko Dangote, kimethibitisha kuanza kusafirisha mafuta katika mataifa mbalimbali ya Afrika, baada ya . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 23 masaa yaliopita

Waasi wa M23 wavamia ngome ya Wazalendo Masisi nchini DRC

Mapigano makali yameripotiwa mapema Jumatatu nchini DRC, baada ya waasi wa AFC/M23 kuvamia ngome ya wapiganaji wa Wazalendo eneo la Kazinga, wilayani Masisi mkoani Kivu Kaskazini.Makabiliano . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Serikali yatangaza hatua kuhakikisha mafuta yanapatikana

- Lengo ni kuikinga nchi na athari za Vita vya Iran- EWURA na waagizaji wapewa maelekezo- Waziri Ndejembi aonya walanguziSerikali imewahakikishia wananchi uwepo wa akiba ya mafuta ya kutosha nchini, h . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kijana akamatwa kwa shambulio la aibu dhidi ya mtoto

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limemkamata Ibrahimu Kitundu (18) Mkazi wa Kata ya Ipuli kwa tuhuma za kufanya shambulio la aibu kwa kuingiza uume wake kwenye mdomo wa Mtoto na kumlazimisha aunyonye a . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Yvette Cooper akemea mashambulizi ya Iran kuelekea Diego Garcia

Waziri wa Mambo ya Ndani wa Uingereza, Yvette Cooper, amekashifu vikali mashambulizi yaliyolenga kambi ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Uingereza katika kisiwa cha Diego Garcia.Mashambulizi hayo ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Waomba huduma ya kipolisi irejee, RPC Mutafungwa awataka kutunza amani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza ameridhia ombi la wananchi wa Kata za Mabatini na Mbugani, Wilaya ya Nyamagana, la kurejesha huduma za kipolisi katika Kituo cha Polisi Mabatini kilichoharibiwa wakati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ndejembi ataka EWURA kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfanyabiashara anayeficha mafuta kwa kisingizio cha kusubiri bei . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Serikali yashtakiwa kwa kuendelea kuzingira makazi ya Bobi Wine

Chama cha wanasheria nchini Uganda, ULS, kimeishtaki serikali ya Uganda kwa kile chama hicho kimesema polisi kuendelea kuzingira makazi ya mwanasiasa wa upinzani, Robert Kyagulani, maarufu kama Bob Wi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Rubani Na msaidizi wake wafariki katika ajali ya ndege kwenye uwanja wa New York

Rubani wa shirika la ndege la Air Canada na msaidizi wake wamethibitishwa kufa baada ya ndege yao kugonga gari lilokuwa limeegeshwa kwenye uwanja wa ndege wa Le Guardia jijini New York.Ndege hiyo iliy . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Mgambo Watatu Mwanza Wakamatwa kwa Tuhuma za Mauaji ya Kijana

Jeshi la polisi mkoa Mwanza tangu tarehe 20/03/2026 usiku liliwakamata na linaendelea kuwahoji watu watatu (3) ambao ni askari mgambo kwa tuhuma za mauaji ya kijana aitwaye Rashid Masunga Nyandonga, m . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Wafanyabiashara wakoshwa mapendekezo tume ya Rais ya kodi

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema wamefurahishwa na ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mifumo ya Kodi nchini, kwa namna ilivyoakisi maoni n . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Idadi ya watu waliouawa katika mashambulio Iran yapita 3100

Zaidi ya watu 3,186 wameuawa nchini Iran tangu kuzuka kwa mapigano Februari 28 kulingana na Shirika la kutetea haki za binadamu (Hrana) lenye makao yake nchini Marekani.Kati ya watu hao waliouawa,1,39 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Nchimbi awasisitiza viongozi wa dini kuimarisha mafundisho ya maadili kwa vijana

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufundisha maadili mema kwa kizazi cha sasa ili kuwa na Taifa zu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

WIKI YA MAJI, Rais Samia alivyoitoa Wizara ya Maji kutoka kuwa kero na lawama hadi faraja

Maji ni miongoni mwa huduma muhimu ya kijamii. Maji ni huduma ambayo kila mtu anahitaji tena kila siku. Utahitaji maji kwa kuoga, kupikia, kufulia, kupigia mswaki, kunyweshea mifugo, kumwagilia maua a . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Serikali yatangaza kutowavumilia wanaokwepa kodi

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdullah akiwa katika Iftari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar Machi 17, 2026 amesema Serikali hait . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Wanafunzi watatu wafariki dunia kwa kupigwa na radi Dar

WANAFUNZI watatu wa Shule ya Msingi Msongola iliyopo eneo la Msongola, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda Kanda . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Dereva Bajaj Aliyemuua Mwanaye Apate Utajiri, Ahukumiwa Kifo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Iringa imemhukumu kunyongwa hadi kufa Joseph Mhulilwa, dereva bajaji na mkazi wa Mtwivila B, Manispaa ya Iringa, baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi mtoto wake wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Merz "Ujerumani haitoshiriki vita dhidi ya Iran Jacob Safari"

Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema kuwa hakuna mpango wa kushawishi unaoonesha kuwa operesheni ya Marekani na Israel dhidi ya Iran itafanikiwa.Merz ameyasema haya katika hotuba yake mbele ya . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Dkt Samia: Kodi zisipendelee wala kukandamiza watu

Rais wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan amesema mapendekezo ya Tume aliyoiunda ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi, yanashauri kuwepo kwa utulivu katika ulipaji wa kodi wafanyabiashara.Mkuu huy . . .

Uwekezaji
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Amir Mkalipa Asisitiza Marejesho ya Mikopo ya Asilimia 10 Ilemela

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza , Amir Mkalipa, amevitaka vikundi vilivyopata mikopo ya asilimia 10 katika wilaya hiyo kuhakikisha vinarejesha fedha hizo kwa wakati ili kutoa fursa kwa vikundi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

MBUNGE JIMBO LA SEGEREA AWAFARIJI WANAFUNZI WA SHULE YA BUGURUNI VIZIWI

Mbunge wa Jimbo la Segerea kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Mhe. Agnesta Kaiza, ametembelea na kutoa msaada wa mahitaji mbalimbali muhimu katika Shule ya Msingi Buguruni Viziwi, jijini Da . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

TANZANIA YAPOKEA MAGARI MATATU YA ZIMAMOTO KUTOKA JAPAN KUIMARISHA HUDUMA ZA UOKOAJI

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipokea kwa niaba ya Serikali msaada wa magari matatu ya zimamoto na uokoaji yaliyotolewa na Taasisi ya Zimamot . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 7 siku zilizopita

GWAJIMA "TEKNOLOJIA IIMARISHE UPATIKANAJI WA HAKI KWA WANAWAKE"

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesema matumizi sahihi ya teknolojia katika mifumo ya Mahakama yanaweza ni nyenzo muhimu ya kuimarisha upa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Samia Suluhu Hassan Afanya Uteuzi Mpya wa Viongozi na Mabalozi

Rais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mhe dkt Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi viongozi na kupanga vituo vipya kwa ubalozi.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Machi 18,2025 na Katibu Mkuu Kio . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Dkt Samia:Kutakuwa na haki, usawa ulipaji kodi

Kilio cha baadhi ya wafanyabiashara kuhusu mfumo wa haki na usawa katika ulipaji wa kodi, kinakwenda kupata muarobaini, baada ya Tume ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi kutoa map . . .

Kurasa 1 ya 147

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Aliyejiteka Kenya akamatwa

    • 18 masaa yaliopita
  • Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

    • 20 masaa yaliopita
  • Kinachosababisha magamba kichwani mwa watoto wachanga

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode