Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene ameviomba vyombo vilivyopo chini ya wizara hiyo kufanya utafiti na kuja na suluhisho la kuondoa na kupunguza malalamiko kutoka kwa wananchi ikiwemo . . .
Umoja wa Mataifa umeomba ufadhili wa dharura kusaidia zaidi ya raia 80,000 waliokimbilia Burundi kufuatia mmapigano ya hivi karibuni yaliyotokea Kivu Kusini, hususani katika mji wa Uvira ambako kumesh . . .
Umoja wa Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na taasisi zinazoongoza mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na C-Sema na Elimika, wameandaa mwongozo wa uandishi wa ha . . .
Hii ni habari ya kusikitisha kuhusu kifo cha mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 47 kutoka Vietnam, ambaye alikufa baada ya kuacha kutumia dawa zake za shinikizo la damu na kufuata ushauri kutok . . .
Ng’ombe 22 wa mfugaji Alex Idege, mkazi wa Kijiji cha Kasingili, Kata ya Ilola, Wilaya ya Shinyanga, wamekutwa wamekufa zizini muda mfupi baada ya kurejea kutoka malishoni, katika tukio linaloibua m . . .
Mtandao wa kijamii wa TikTok umechukua hatua muhimu ya kibiashara kwa kufikia makubaliano ya kuanzisha ubia na kampuni za Marekani, hatua inayolenga kutatua changamoto za kisheria na kiusalama zilizok . . .
WABUNGE nchini Brazil mnamo Jumatano walipiga kura kufupisha kifungo ambacho Rais Jair Bolsonaro aliangushiwa kutoka miaka 27 hadi miaka miwili.Mswada walioupitisha kufupisha adhabu hiyo, hata hivyo h . . .
Papa Leo, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, siku ya Alhamisi Desemba 18, 2025 amewakemea vikali viongozi wa kisiasa na viongozi wa dini wanaotumia imani za kidini kuhalalisha migogoro, vita au sera . . .
Katika tathmini ya utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, Mkoa wa Pwani umejipanga kufanya uhakiki wa wananchi wasio na uwezo ili waweze kufikiwa na mpango wa Bima ya Afya kwa W . . .
Papa Leo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani leo Vatican City, Desemba 18 mwaka huu amekemea vikali matumizi ya dini kama chombo cha kuhalalisha migogoro ya kisiasa, vurugu, . . .
Maandamano yaliyoambatana na vurugu yamezuka kote mjini Dhaka na sehemu nyingine za Bangladesh kufuatia kifo cha mwanaharakati maarufu Sharif Osman Hadi kutangazwa Alhamisi jioni.Waandamanaji hao wana . . .
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Alhamisi lilimuidhinisha Rais wa zamani wa Iraq Barham Salih kuwa mkuu ajaye wa shirika la wakimbizi, UNHCR, akiwa ni kwanza kutoka Mashariki ya Kati tangu mwishoni . . .
Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo majaji wawili zaidi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wake dhidi ya raia wa Israel.Majaji hao walioongezwa kwenye orodha ya vikwazo . . .
Wanaume saba wanaoaminika kuwa na uhusiano wa kiitikadi na washambuliaji wawili waliohusika na shambulizi la kigaidi kwenye ufuo wa Bondi siku ya Jumapili wamekamatwa kusini-magharibi mwa Sydney.Taari . . .
Viongozi wa Umoja wa Ulaya hatimaye wamefikia makubaliano ya kuipatia Ukraine mkopo wa kiasi cha yuro bilioni 90 katika kipindi cha miaka miwili ijayo, hii ikiwa ni kulingana na Rais wa Baraza la Ulay . . .
Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Rukwa limefanya operesheni maalum ya usalama barabarani kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, ikilenga kulinda usalama wa wasafiri na watumiaji wa . . .
Nigeria imeomba radhi Burkina Faso kufuatia ukiukaji wa anga yake wiki iliyopita. Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria amepokelewa Jumatano, Desemba 17, na Kapteni Ibrahim TraorĂ . . .
Umoja wa Mataifa na mashirika mengine ya misaada 200 wametahadharisha kwamba operesheni za kiutu kwenye maeneo ya Kipalestina na hasa Ukanda wa Gaza ziko hatarini kufungwa hayo yamesemwa kwenye t . . .
Kamati ya Bajeti ya Bunge la Ujerumani imeidhinisha kitita cha yuro bilioni 52 za matumizi ya kijeshi wakati taifa hilo likijaribu kujiimarisha katikati ya kitisho cha kiusalama kinachosababishwa na u . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi ya Disemba 18 mwaka huu na kuweka wazi mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko hapo awali.Rais Trump alianza . . .
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuchomwa moto kwa magari mawili katika Kij . . .
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI] Mhe. Prof Riziki Shemdoe amewataka Wakuu wa Shule za Sekondari nchini kutokuwa kikwazo cha utendaji kazi wa wa . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewataka wananchi kuachana na imani potofu ikiwemo kuamini katika ushirikina ambao unaweza kuchochea mauaji, ukatili na matukio mengine ya jinai katika baadhi ya maene . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Desemba 17 mwaka huu amezindua utoaji wa elimu ya Bima ya Afya kwa Wote mkoani Mwanza, akihimiza wananchi kushiriki ili kuhakikisha kila mmoja anakuwa na . . .
Uamuzi katika kesi iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kufutwa kwa Sherehe za Uhuru 2025, unatarajiwa kutolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, . . .
Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne Desemba 16 amepanua orodha ya raia wa kigeni waliopigwa marufuku kuingia nchini Marekani ambayo sasa inajumuisha Raia wa Syria, Burkina Faso, Mali, na Pa . . .
Timu ya mawakili inayomwakilisha kiongozi wa zamani wa upinzani nchini Kongo Roger Lumbala imetangaza siku ya Jumanne Desemba 16 kwamba watakata rufaa siku ya Jumatano baada ya mteja wao kuhukumiwa ki . . .
Sudan inaongoza kweye orodha ya chi zenye migogoro ya kibinadamu duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, kulingana na ripoti iliyochapishwa siku ya Jumanne na kundi la kimataifa la misaada, huku vita vik . . .
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata madumu 23,755 ya mafuta ya kupikia yaliyoingizwa nchini Tanzania kinyume na taratibu kupitia Bandari ya Kunduchi jijini Dar es Salaam.Akizungumza Kamishna Mk . . .
Baraza la Ulaya ni shirika linaloongoza kwa masuala ya haki za binaadamu barani humuna na pia limepiga hatua muhimu kuelekea ulipaji wa fidia za kivita kwa watu wa Ukraine.Hatua hiyo imepelekea Baraza . . .