Chama Cha Mapinduzi kimepongeza uamuzi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Rais Dk Hussein Ali Mwimyi kwa kushinda majaribu ya wapambe walioanza kumshinikiza avunje katiba n . . .
Viongozi wakuu wa Iran wanadaiwa kuingia katika hali ya tahadhari kubwa ya kiusalama kufuatia hofu ya mashambulizi mapya baada ya vita vya hivi karibuni vilivyoihusisha Marekani na Israel.Kwa mujibu w . . .
Rais wa Marekani amesema kuwa mazungumzo yanaendelea “kwa utaratibu na kwa njia yenye kujenga,” na kusisitiza kuwa hana haraka ya kufikia makubaliano ya kuvimaliza vita baina yake na Iran.Trump am . . .
Spika wa Bunge la Senegal ametangaza kwamba atajiuzulu wadhifa huo siku mbili baada ya mshirika wake wa karibu Ousmane Sonko kuvuliwa uwaziri mkuu hatua inayozidisha mzozo wa kisiasa nchini humo.Ingaw . . .
Mamlaka za nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimesema visa vinavyohisiwa kuwa vya Ebola vimeongezeka na kufikia 900, katikati ya mlipuko wa ugonjwa huo Mashariki mwa taifa hilo.Hivyo taarifa ya . . .
Mamia ya wafungwa katika gereza la jiji la Barinas nchini Venezuela wamechukua udhibiti wa gereza hilo hapo Mei 24,2026 kwa madai ya kuteswa na kutaka mkurugenzi wa gereza hilo afukuzwe kazi.Ingawa ku . . .
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema makubaliano ya awali kuhusu amani kati ya Marekani na Iran yako karibu kukamilika, huku matumaini yakiongezeka ya kumalizika kwa vita vilivyodumu kwa miezi mita . . .
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya barabara nchini kwa kuwa ndiyo msingi wa kufungua uchumi, kurahisisha usafirishaji wa mazao na kuchochea maendel . . .
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga kizazi chenye maadili, kinachoheshimu viongozi, wazazi pamoja . . .
Rais mteule Romuald Wadagni, aliyetangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Aprili 12 nchini Benin, ataapishwa na kukabidhiwa rasmi mamlaka ya uongozi wa nchi wakati wa sherehe ambayo inataraj . . .
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemtaja Kamishna Msaidizi Mwandamizi, Faustine Jackson Mafwele, chini ya kifungu cha 7031(c) kutokana na kile ilichodai kuwa ni taarifa za kuaminika zinazomhusisha . . .
Nchini Sudan, zaidi ya vituo 50 vya kutoa lishe katika jimbo la Darfur Magharibi,vimelazimika kusitisha shughuli zao kutokana na kupungua kwa ufadhili, watu karibu laki mbili wakisalia bila msaada.Shi . . .
Wadau wa sekta ya usafirishaji nchini Kenya, wametangaza kumaliza mgomo waliopanga kuufanya tena wiki ijayo baada ya majadilino na Rais William Ruto.Kupitia hotuba kwa taifa, Rais Ruto, amesema tatizo . . .
Mawaziri wa Mambo ya Kigeni wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kujihami, NATO, wanakutana nchi Sweden leo Ijumaa.Huo ni mkutano wa kwanza wa ngazi ya mawaziri tangu Rais Donald Trump wa Marekani alipotil . . .
Kwa mujibu wa msemaji wa M23, mgonjwa huyo mwenye umri wa miaka 28 alitokea mjini Kisangani, lakini alifariki dunia kabla ya majibu ya vipimo kuthibitisha kuwa alikuwa ameambukizwa Ebola. Kisa hicho k . . .
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha maadhimisho ya kwanza ya Siku ya Ziwa Victoria yatakayofanyika katika . . .
Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Kenya, yametoa muda wa siku 40 kwa serikali kushughulikia ongezeko la visa vya mauaji ya wanawake na vitendo vingine vya Ukatili wa Kijinsia, yakisema iwap . . .
Sierra Leone imekuwa taifa jingine la Afrika kuwapokea wahamiaji waliofukuzwa kutoka Marekani chini ya utawala wa Rais Donald Trump na kampeni yake dhidi ya aliowataja wahamiaji haramu.Kwa mujib . . .
Urusi na China zimetoa wito wa kuimarishwa kwa juhudi za kidiplomasia ili kufanikisha suluhisho la kudumu kwa vita vya Ukraine.Hii ni kufuatia mazungumzo kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais w . . .
Shirika la Afya Duniani WHO limesema mlipuko wa Ebola ambao tayari umesababisha vifo vya watu 130 nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo huenda ulianza miezi miwili iliyopita.Mtalaamu wa virusi wa shi . . .
Upinzani nchini DRC unajaribu kuungana dhidi ya marekebisho ya katiba. Mnamo Mei 6, 2026, wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Rais Félix Tshisekedi alifungua mlango wa muhula wa tatu unaowezeka . . .
Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, Olivier Nduhungirehe, amesema nchi ya Msumbiji imefanikiwa kupata fedha kwa ajili ya vikosi vya Kigali vilivyoko nchini humo kuendelea na operesheni za kijeshi kwa mj . . .
Mawaziri wa fedha wa nchi zilizostawi kiviwanda duniani za G7 wamekubaliana kuhusu haja ya kuchukua hatua ili kukabiliana na ukosefu wa usawa wa kibiashara katika uchumi wa dunia uliogawanyika.Hayo ni . . .
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Wizara imeandaa mkakati wa kuitangaza Tanzania kama kivutio cha kipekee cha utalii kuelekea mashindano ya AFCON 2027.Ingawa ameeleza kuwa . . .
Mlipuko mpya wa ugonjwa hatari wa homa ya Ebola umethibitishwa nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo na tayari umesababisha vifo vya watu 65 na wengine karibu 250 wanashukiwa kuwa wameambukizwa.Taari . . .
Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watuhumiwa wanne kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji ya watu watatu na kujeruhi watu 14 waliokuwa wakidaiwa kwenda kuvunja nyumba zao Mei 6, 2026 katika e . . .
Rais wa Rwanda Paul Kagame amekosoa matumizi yanayoongezeka ya vikwazo katika siasa za kimataifa, akionya kwamba nchi zenye nguvu mara nyingi huvitumia vikwazo hivyo isivyo haki dhidi ya mataifa dhaif . . .
Kansela wa zamani wa Ujerumani Angela Merkel amevunja ukimya na kutoa wito kwa Wajerumani kuwa na subira na serikali ya sasa huku akiwataka kufanya tathmini ya haki ya mafanikio yaliyofikiwa.Merkel am . . .
Takwimu mpya kutoka IPC—mojawapo ya zana zinazoongoza duniani za kupima njaa iliyotengenezwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa—zinaonya kwamba karibu watu milioni 19.5 nchini Sudan wanakabiliwa na . . .
Nchini Mali, waasi wa Azawad Liberation Front, wanaotaka kujitawala Kaskazini mwa nchi hiyo, wanasema wanawashikilia wanajeshi zaidi ya 200 kama wafungwa wa kivita katika mji wa Kidal.Tangazo la waasi . . .