logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Dini
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

China imemwachilia huru mchungaji wa Kiprotestanti

Mchungaji wa Kiprotestanti Ezra Jin, mwanzilishi wa moja ya makanisa makubwa zaidi ya kiinjili yasiyotambuliwa rasmi nchini China, ambaye alikuwa anashikiliwa tangu mwezi Oktoba, ameachiliwa huru, shi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2026

Ukraine yahimiza raia kuondoka maeneo yanayokaliwa na Urusi

Ukraine imetoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi katika maeneo yanadhibitiwa na Urusi na kuhamihiza waondoke kuepuka hatari ya mashambulizi ya kutokea angani.Ukraine imewasihi raia wake kuondoka katik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Wasichana wanane wakamatwa kisa moto wa bweni uliouwa 16

MAMLAKA ya Kenya imewakamata wanafunzi wanane wanaoshukiwa kuchoma moto bweni la shule la wasichana  ikiwa ni siku chache zilizopita na kuwaua wanafunzi wenzao 16  huku majeruhi w akiwa 79.W . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Wanafunzi 16 wafariki 74 wajeruhiwa katika ajali ya Moto

Wanafunzi16 wamefariki dunia huku wengine 74 wakijeruhiwa baada ya moto mkubwa kuteketeza bweni la wanafunzi katika Chuo cha Wasichana cha Utumishi kilichopo Gilgil Kaunti ya Nakuru nchini Kenya usiku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Israel yamuua kiongozi mpya wa kijeshi wa Hamas

Israel imetangaza kwamba imemuua Mohammed Odeh mkuu mpya wa tawi la kijeshi la Hamas katika ukanda wa Gaza katika shambulio lililofanyika Jumanne. Odeh alikuwa ameteuliwa hivi karibuni kuchukua . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Urusi na Ukraine zashambuliana vikali kwa droni, makombora

Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana vikali usiku kucha kwa kutumia droni na makombora. Mapigano hayo yanaonesha kuendelea kwa mvutano mkali kati ya pande hizo licha ya juhudi za kimataifa za ku . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Israel yamuua kamanda mpya wa tawi la kijeshi la Hamas

Israel imetangaza leo kuwa imemuua kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Odeh mauaji hayo yamefanyika baada ya Israel kumuua mtangulizi wa kamanda huyo mapema mwezi huu.Israel i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 24, 2026

Urusi yazidisha mashambulizi Ukraine

Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya makombora na droni dhidi ya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, na kusababisha vifo vya watu wanne na wengine kujeruhiwa.Maafisa wa Ukraine wanasema mashambulizi hayo yam . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 21, 2026

Familia ya msanii aliyechomwa kwa madai ya kujichora chale ya Ruto mwilini yalilia haki

FAMILIA ya mwimbaji wa nyimbo za injili Rachel Wandeto aliyefariki baada ya kuchomwa imetoa wito kwa polisi kuharakisha uchunguzi kuhusu shambulio la kikatili lililosababisha kifo chake, na kuhakikish . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 15, 2026

Israel na Hezbollah zaendelea kushambuliana

Mapigano yanaendelea kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Hezbollah la nchini Lebanon licha kuwepo makubaliano ya kusitisha vita na jitihada za mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani.Jeshi la Israe . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 15, 2026

Zelensky ;shambulizi la Urusi limewaua watu 24

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema leo Ijumaa kuwa shambulizi la Urusi dhidi ya jengo moja la makaazi kwenye mji mkuu Kyiv limewaua watu 24 ikiwemo watoto wa watatu.Ingawa taarifa hizo amezit . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • May 7, 2026

Argentina yahaha kubaini chanzo cha virusi vya hanta

Mlipuko wa virusi vya hanta kwenye meli ya kitalii wazua taharuki huko nchini Argentina huku ikichunguzwa kama chanzo huku abiria wakipelekwa Ulaya kwa matibabu ya dharura.Maafisa wa afya na wataalamu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 6, 2026

Mtanzania Macha Mongu Afariki Hormuz Baada ya Meli Kushambuliwa, TASAC Yathibitisha

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC limethibitisha kifo cha baharia raia wa Tanzania, Macha Maregesi Mongu, baada ya meli aliyokuwa akifanyia kazi kushambuliwa kwa bomu katika Mfereji wa Hormuz. . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • April 28, 2026

29 wauawa Nigeria; washambuliaji walenga vijana uwanjani

Watu waliokuwa na silaha wamewaua takriban watu 29 katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Nigeria, huku mashuhuda wakisema washambuliaji waliwalenga vijana waliokuwa wamekusanyika katika uwanja wa mpi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 25, 2026

Milipuko, milio ya risasi yatikisa miji ya Mali

Milio ya risasi imesikika pia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Modibo Keita kwenye mji mkuu Bamako huku mashuhuda wakisema kuwa wameshuhudia pia mapigano kwenye mji wa kaskazini wa Gao na Sev . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 24, 2026

Trump atangaza Iran kusitisha hukumu ya kifo kwa wanawake 8 wanaharakati

Donald Trump ametangaza kile alichokiita habari njema, akidai kuwa Iran imesitisha mpango wa kuwanyonga wanawake wanaharakati wanane waliokuwa wakikabiliwa na adhabu ya kifo.Kupitia uju . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 23, 2026

Serikali Yachukua Mwili wa Edgar Lungu, Familia Yapinga Mazishi ya Kitaifa

Serikali ya Zambia imethibitisha kuuchukua mwili wa Rais wa zamani Edgar Lungu aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini miezi 10 iliyopita, hatua iliyozua mjadala mkubwa na mvutano m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 22, 2026

Ongezeko la joto kali laathiri mifumo ya chakula duniani

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebainisha kuwa kiwango kikubwa cha joto kinachoshuhudiwa duniani, kinaiweka mashakani mifumo ya upatikanaji wa chakula hali hiyo inahatarisha maisha ya zaidi ya watu bilio . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • April 20, 2026

Watoto wanane wauawa katika shambulizi Louisiana

Mwanamume mmoja amewauwa watoto wanane, saba ambao wakiwa wake mwenyewe na kuwapiga risasi wanawake wawili katika shambulizi moja mjini Shreveport, jimboni Louisiana nchini Marekani.Kulingana na taari . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 17, 2026

Utata Wagubika Kifo cha Waziri wa Mawasiliano Burundi Gabby Bugaga Akiwa Ndani ya Gari

Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika kile kilichoelezwa kuwa ajali, huku utata ukigubika mazingira . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • April 10, 2026

Wawili Wafariki na wengine kujeruhiwa ajali Morogoro

Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari dogo aina ya Subaru lenye namba za usajili T 743 EKD kugongana na lori lililokuwa limebeba shehen . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 6, 2026

Makanisa kuendelea na kelele Mombasa wamiliki hoteli wakilalamika

HOTELI zilizo karibu na maeneo ya ibada jijini Mombasa zimepata pigo baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kubatilisha uamuzi uliokuwa umewalinda dhidi ya kelele na kutoka makanisa jirani.Awali, B . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 4, 2026

Tetemeko la ardhi lawauwa watu wanane nchini Afghanistan

Watu wanane wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo katika tetemeko la ardhi lililokumba eneo la Gosfand Dara mkoani Kabul, nchini Afghanistan. Hayo yamesemwa leo na wizara ya afya nchini humo n . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • April 4, 2026

Vita Yazidi Kuchemka, Marekani Yapoteza Ndege Mbili

Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Iran, huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwa baadhi ya wahudumu . . .

Kurasa 1 ya 59

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

Idadi ya walioambukizwa Ebola Kongo inaendelea kupanda

Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

Watu 130 wakamatwa Tanzania kwa tuhuma za kuchochea uhalifu

Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

Makamu wa rais wa Zambia anusurika ajali ya Helikopta ya jeshi

Habari
news
  • 21 masaa yaliopita

Wakaazi wa Johannesburg wawakamata wageni na kuwakabidhi kwa polisi

Habari
news
  • jana

WIZARA YA MADINI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA UAIT KUKUZA UONGEZAJI THAMANI WA MADINI YA VITO

Habari
news
  • jana

Raia wa Zambia wajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwezi ujao

Michezo
news
  • jana

Ufaransa yafuzu nusu fainali ya kombe la dunia, yaiondoa Morocco

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Idadi ya walioambukizwa Ebola Kongo inaendelea kupanda

    • 21 masaa yaliopita
  • Watu 130 wakamatwa Tanzania kwa tuhuma za kuchochea uhalifu

    • 21 masaa yaliopita
  • Makamu wa rais wa Zambia anusurika ajali ya Helikopta ya jeshi

    • 21 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode