Mchungaji wa Kiprotestanti Ezra Jin, mwanzilishi wa moja ya makanisa makubwa zaidi ya kiinjili yasiyotambuliwa rasmi nchini China, ambaye alikuwa anashikiliwa tangu mwezi Oktoba, ameachiliwa huru, shi . . .
Ukraine imetoa tahadhari kwa raia wake wanaoishi katika maeneo yanadhibitiwa na Urusi na kuhamihiza waondoke kuepuka hatari ya mashambulizi ya kutokea angani.Ukraine imewasihi raia wake kuondoka katik . . .
MAMLAKA ya Kenya imewakamata wanafunzi wanane wanaoshukiwa kuchoma moto bweni la shule la wasichana ikiwa ni siku chache zilizopita na kuwaua wanafunzi wenzao 16 huku majeruhi w akiwa 79.W . . .
Wanafunzi16 wamefariki dunia huku wengine 74 wakijeruhiwa baada ya moto mkubwa kuteketeza bweni la wanafunzi katika Chuo cha Wasichana cha Utumishi kilichopo Gilgil Kaunti ya Nakuru nchini Kenya usiku . . .
Israel imetangaza kwamba imemuua Mohammed Odeh mkuu mpya wa tawi la kijeshi la Hamas katika ukanda wa Gaza katika shambulio lililofanyika Jumanne. Odeh alikuwa ameteuliwa hivi karibuni kuchukua . . .
Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana vikali usiku kucha kwa kutumia droni na makombora. Mapigano hayo yanaonesha kuendelea kwa mvutano mkali kati ya pande hizo licha ya juhudi za kimataifa za ku . . .
Israel imetangaza leo kuwa imemuua kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Odeh mauaji hayo yamefanyika baada ya Israel kumuua mtangulizi wa kamanda huyo mapema mwezi huu.Israel i . . .
Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya makombora na droni dhidi ya mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, na kusababisha vifo vya watu wanne na wengine kujeruhiwa.Maafisa wa Ukraine wanasema mashambulizi hayo yam . . .
FAMILIA ya mwimbaji wa nyimbo za injili Rachel Wandeto aliyefariki baada ya kuchomwa imetoa wito kwa polisi kuharakisha uchunguzi kuhusu shambulio la kikatili lililosababisha kifo chake, na kuhakikish . . .
Mapigano yanaendelea kati ya Israel na kundi la wanamgambo wa Hezbollah la nchini Lebanon licha kuwepo makubaliano ya kusitisha vita na jitihada za mazungumzo yanayosimamiwa na Marekani.Jeshi la Israe . . .
Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema leo Ijumaa kuwa shambulizi la Urusi dhidi ya jengo moja la makaazi kwenye mji mkuu Kyiv limewaua watu 24 ikiwemo watoto wa watatu.Ingawa taarifa hizo amezit . . .
Mlipuko wa virusi vya hanta kwenye meli ya kitalii wazua taharuki huko nchini Argentina huku ikichunguzwa kama chanzo huku abiria wakipelekwa Ulaya kwa matibabu ya dharura.Maafisa wa afya na wataalamu . . .
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania TASAC limethibitisha kifo cha baharia raia wa Tanzania, Macha Maregesi Mongu, baada ya meli aliyokuwa akifanyia kazi kushambuliwa kwa bomu katika Mfereji wa Hormuz. . . .
Watu waliokuwa na silaha wamewaua takriban watu 29 katika eneo la kaskazini-mashariki mwa Nigeria, huku mashuhuda wakisema washambuliaji waliwalenga vijana waliokuwa wamekusanyika katika uwanja wa mpi . . .
Milio ya risasi imesikika pia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Modibo Keita kwenye mji mkuu Bamako huku mashuhuda wakisema kuwa wameshuhudia pia mapigano kwenye mji wa kaskazini wa Gao na Sev . . .
Donald Trump ametangaza kile alichokiita habari njema, akidai kuwa Iran imesitisha mpango wa kuwanyonga wanawake wanaharakati wanane waliokuwa wakikabiliwa na adhabu ya kifo.Kupitia uju . . .
Serikali ya Zambia imethibitisha kuuchukua mwili wa Rais wa zamani Edgar Lungu aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini miezi 10 iliyopita, hatua iliyozua mjadala mkubwa na mvutano m . . .
Ripoti ya Umoja wa Mataifa imebainisha kuwa kiwango kikubwa cha joto kinachoshuhudiwa duniani, kinaiweka mashakani mifumo ya upatikanaji wa chakula hali hiyo inahatarisha maisha ya zaidi ya watu bilio . . .
Mwanamume mmoja amewauwa watoto wanane, saba ambao wakiwa wake mwenyewe na kuwapiga risasi wanawake wawili katika shambulizi moja mjini Shreveport, jimboni Louisiana nchini Marekani.Kulingana na taari . . .
Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha Waziri wa Mawasiliano na Vyombo vya Habari, Gabby Bugaga, kilichotokea Alhamisi asubuhi katika kile kilichoelezwa kuwa ajali, huku utata ukigubika mazingira . . .
Watu wawili wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha gari dogo aina ya Subaru lenye namba za usajili T 743 EKD kugongana na lori lililokuwa limebeba shehen . . .
HOTELI zilizo karibu na maeneo ya ibada jijini Mombasa zimepata pigo baada ya Mahakama ya Mazingira na Ardhi kubatilisha uamuzi uliokuwa umewalinda dhidi ya kelele na kutoka makanisa jirani.Awali, B . . .
Watu wanane wa familia moja wameuawa usiku wa kuamkia leo katika tetemeko la ardhi lililokumba eneo la Gosfand Dara mkoani Kabul, nchini Afghanistan. Hayo yamesemwa leo na wizara ya afya nchini humo n . . .
Ndege mbili za kijeshi za Marekani, F-15E Strike Eagle na A-10 Thunderbolt II, zimeripotiwa kuangushwa na mashambulizi ya Iran, huku juhudi za uokoaji zikiendelea kwa baadhi ya wahudumu . . .