logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuchomwa moto kwa magari mawili katika Kijiji cha Lusanga, Wilaya ya Mvomero, lililotokea kufuatia kifo cha mfanyakazi wa ndani, M . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Mvua iliyoambatana na upepo imeezua paa la nyumba katika mtaa wa Ligula TES Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.Mashuhuda wameeleza kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Maafisa watatu wa Uhamiaji, Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu ya Tanzania baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Enos Elias, mkazi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limesema uchunguzi wa awali umebaini kwamba ajali ya barabarani iliyotokea Disemba 16, 2025 majira ya saa 12:15 Jioni katika eneo la Karasa, Wilaya ya Mbozi Mkoani Songw . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amefanya ziara ya dharura katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Wilaya ya Kahama kukagua na kujionea athari za mvua kubwa zilizoonyesha usiku wa kuamkia Desemba . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Kiongozi wa zamani wa waasi nchini DRC Roger Lumbala amepatikana na hatia ya kushiriki katika uhalifu dhidi ya binadamu siku ya Jumatatu, Desemba 15.Mwanasiasa huyo wa Kongo, aliyeshtakiwa kwa uhalifu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Jimmy Lai bilionea aliyekuwa akimiliki yombo vya habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa China ametiwa hatiani kwenye kesi ya aina yake kuhusiana na usalama wa taifa hukumu ambayo inampeleka jela mais . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Kesi ya Mwambe kusikilizwa Leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo Jumatatu Desemba 15, 2025, inatarajiwa kusikiliza maombi Na. 289778/2025 yaliyofunguliwa na Waziri wa zamani Geoffrey Mwambe dhidi ya Mkuu wa Jeshi l . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Watu 12 wauawa kwenye sherehe ya Wayahudi Australia

Mtuhumiwa mmoja ameuawa na mwingine ameripotiwa kuwa yuko mahututi . Uchunguzi wa polisi kuhusu mkasa huo unaendelea huku polisi wakisema wameikuta silaha inayoweza kusababisha mlipuko kwenye gari lin . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Mafuriko ya ghafla yauwa watu 21 Moroko

Mafuriko ya makubwa yaliyotokana na mvua kubwa na ya ghafla yameuawa watu 21 katika mji wa pwani ya Moroko wa Safi.Picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha maji yaliyochanganyika na ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 12, 2025

Watu 400 wameuawa Kivu Kusini kufuatia mashambulizi ya M23

Zaidi ya watu 400 wameuawa tangu kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda lilipozidisha mashambulizi katika jimbo la Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Idadi hiyo ime . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Familia Yapata Pigo Baada ya Binti yao Aliyetoweka Kupatikana Amekufa Kikatili

Familia moja huko Embakasi, kaunti ya Nairobi, imeomboleza kufuatia kifo cha kutisha cha binti yao wa miaka 12, Patience Mumbe. Inasemekana mwanafunzi huyo wa darasa la saba alitoweka alipokuwa a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Mapigano kati ya Thailand na Cambodia yaanza tena

Thailand imedai leo Jumatatu kutumia ndege "kushambulia malengo ya kijeshi" na "kuzuia mashambulizi ya Cambodia," baada ya mmoja wa wanajeshi wake kuuawa mpakani. Hii imeongeza mvutano, kwani makubali . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Madereva watano wa ‘Ambulance’ matatani kwa kupakia abiria

Madereva watano wa magari ya kubebeba wagonjwa (Ambulance) wamekamatwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kubeba abiria kutoka Dar es salaam kuelekea Mtukula mkoani Kagera.Akizungumza na waandish . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Niffer, Chavala wafutiwa kesi ya uhani iliyokuwa ikiwakabili

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini.Uamuzi huo umetolewa l . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mwandishi ameripotiwa kuuawa Ukanda wa Gaza

Vyombo vya habari vimeripoti tukio la kuuwawa kwa mwandishi wa habari kulikotokana na shambulizi la Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza,Wakati huohuo shirika la habari la Palestina WAFA likitoa taari . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 30, 2025

Mafuriko yaua Mamia ya Watu Asia

Mamia ya watu wamekufa na wengine kutojulikana walipo Kusini Mashariki mwa Asia, kutokana na mvua kubwa zaidi kunyesha katika nchi za bara hilo.Mvua ya masika iliyosababishwa na dhoruba za kitropiki i . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 28, 2025

Baba na Mama Waua Mtato Wao

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua na kutupa maiti ya mtoto mchanga katika mto Morogoro, eneo la Mchuma, kata ya Kichangani.Watuhumiwa hao, Pendo John Mato . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 21, 2025

Ajiua baada ya kumumuua mtoto wake wa miaka 2

Kabla ya tukio hilo baba mzazi wa mtoto huyo ambao wote ni marehemu, alikwenda nyumbani kwa mzazi kwenzie Violeth Edward (19) na kumchukua kwa nguvu mtoto huyo huku akiwa na jazba.Derick Mwangama (23) . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Wahanga wa maporomoko Chesongoch kuzikwa kaburi la pamoja

KWA familia za wahanga wa maporomoko ya ardhi ya Chesongoch, Kaunti ya Elgeyo Marakwet, majonzi yao ni zaidi ya kuwapoteza wapendwa wao, sasa wanakabiliwa na swali gumu: watawazika wapi wakati mashamb . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • November 17, 2025

32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalt Congo i kuporomoka

Watu 32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalti kuporomoka katika eneo la uchimbaji madini la Kalando, katika machimbo ya Mulondo ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Ajali hiyo ilitokea ba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Netanyahu aapa kupinga kuanzisha taifa la Palestina

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kupinga jaribio la kuanzisha taifa la Palestina, siku moja kabla ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupiga kura kuhusu azimio lililoandaliwa na Ma . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Watu 12 wafariki katika ajali ya ndege Kwale

WATU 12, wakiwemo watalii, wanahofiwa kufariki baada ya ajali ya ndege kutokea katika eneo la Vyungwani, Matuga, Kaunti ya Kwale, asubuhi ya Jumanne.Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Nchin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Mashambulizi ya Israel yamewaua watu watatu

Lebanon kupitia wizara yake ya afya imesema mashambulizi ya Israel kusini na mashariki mwa nchi hiyo, yamewaua watu watatu, licha ya makubaliano yanayoendelea ya usitishaji mapigano.Lebanon kupitia wi . . .

Kurasa 1 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 16 masaa yaliopita

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • 24 masaa yaliopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • 24 masaa yaliopita

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • 24 masaa yaliopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

Mwanaume Afariki Baada ya Kufuata “tiba” ya Mtandaoni

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 16 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 24 masaa yaliopita
  • UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode