logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
ukraine
  • Na Asha Business
  • 21 masaa yaliopita

Ukraine yanyaka Wakenya wakipigana kwa niaba ya Urusi vitani

WANAJESHI wa Ukraine wanaendelea kuwazuilia zaidi ya Wakenya wanne ambao imebainika walinyakwa wakipigania jeshi la Urusi.Ukraine na Urusi zimekuwa na mzozo wa zaidi ya miaka mitatu kuhusu mipaka yao . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mahakama Kuu Afrika Kusini Yatupilia Mbali Rufaa ya Familia ya Edgar Lungu

Mahakama Kuu nchini Afrika Kusini ilitupilia mbali rufaa siku ya Jumanne iliyowasilishwa na familia ya aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu, iliyokuwa ikitaka kusitisha urejeshaji wa mwili wake nchin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Baraza la usalama la UN kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linatarajiwa kupiga kura kuidhinisha usitishwaji wa vita na kuruhusu misaada kuingia Gaza, licha ya kura turufu ya Marekani ambayo haiungi mkono hatua hiyo.Wanach . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Zaidi ya hamsini wauawa katika shambulio la magenge

Zaidi ya watu 50 waliuawa wiki iliyopita katika mfululizo wa mashambulizi ya magenge nchini Haiti, kulingana na ripoti iliyotolewa siku ya Jumatatu na Mtandao wa Kitaifa wa Kutetea Haki za Kibinadamu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 1, 2025

Zaidi ya watu 800 wamefariki kutokana na tetemeko la ardhi

Watu zaidi ya 800 wamefariki na wengine zaidi ya 2,700 wamejeruhiwa mashariki mwa Afghanistan, ambayo imekumbwa usiku na tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 6 lenye ukubwa wa 6 katika kipimo cha Richter . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 1, 2025

Wawili wafa kwa mlipuko, mmoja ajeruhiwa nyumba zaharibiwa

Watu wawili wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa huku nyumba kadhaa zikiharibiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika banda la kuchomelea vyuma lililopo Kichemuchemu, Kata ya Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 21, 2025

Afghanistan 79 wafariki kwa ajali wakitokea Iran

Watu 79 wakiwemo watoto 19, wamefariki dunia baada kutokea ajali ya basi  katika Jimbo la Herat kaskazini magharibi mwa Afghanistan ikihusisha  lori pamoja na pikipiki.Taarifa iliyotolewa na . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Harusi yakumbwa na taharuki baada ya nywele kupatikana kwa sufuria

Watu walikimbia ovyo huku wakipiga mayowe na wengine wakipoteza fahamu baada ya harusi iliyokuwa imepangwa kwa miezi kadhaa kuvurugika ghafla wakati wa kupika chakula cha wageni, ambapo nywele ya ajab . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Watu 300 wapoteza maisha Pakistan

 IDADI ya vifo imefikia karibu watu 300 kufuatia mafuriko makubwa yaliyosababisha kuporomoka kwa majengo katika Wilaya ya Buner, Kaskazini Magharibi mwa Pakistan.Waokoaji wameendelea ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Askari wanne mbaroni kwa kuua raia

Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita linawashikilia askari wanne wa Hifadhi ya Kigosi iliyoko Wilaya ya Bukombe kwa tuhuma za mauaji ya kijana Hezron Fikiri (20), mkazi wa Kijiji cha Msonga.Kamanda wa Polisi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 18, 2025

Zaidi ya watu 40 wafariki katika ajali ya boti

Idara ya huduma za uokoaji zinajaribu kutafuta zaidi ya watu 40 ambao hawajulikani waliko baada ya ajali ya boti kaskazini magharibi mwa Nigeria siku ya Jumapili jioni, Agosti 17, Mamlaka ya kitaifa y . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • August 16, 2025

Urusi ilirusha makombora na ndege zisizo na rubani 85 kuelekea Ukraine

Urusi ilirusha makombora na ndege 85 zisizo na rubani nchini Ukraine usiku wa kuamkia leo kulingana na taarifa ya Kyiv.Taarifa ya Kyiv  imejiri saa chache kupita tangu kukamilika kwa kikao kati y . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

SERIKALI imetuma kikosi maalum cha wapelelezi mjini Siakago, Kaunti ya Embu, kufuatia wingu la visa vya ghasia ambavyo vimesababisha mali yenye thamani ya mamilioni kuharibiwa na wakazi kadhaa kujeruh . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 14, 2025

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

DARFUR, SUDAN : SHIRIKA la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa takriban watu 40 wamefariki dunia katika eneo la Darfur, Sudan, kufuatia mlipuko mkubwa wa ugonjwa wa kipindupindu.Kwa mujibu . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • August 11, 2025

Wahalifu wafanya mauaji ya watu kaskazini Magharibi mwa Nigeria

Magenge ya wahalifu yamewaua maafisa 13 wa usalama, wakiwemo polisi wawili na walinzi 11, katika jimbo la Zamfara kaskazini Magharibi mwa Nigeria katika ghasia za hivi punde katika eneo hilo, vyanzo v . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • August 8, 2025

Ahukumiwa miaka 30 jera kwa kosa kulawiti mtoto

Mahakama ya Wilaya ya Kibiti Mkoa wa Pwani, imemhukumu Kulwa Said Omary (26) mkazi wa Bungu "A" kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka (3) (jina limehifadhiwa).Hukumu hiyo imet . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 8, 2025

Aliyeua babake wakizozania mboga ya sukumawiki auawa na umati

WAKAZI wa kijiji cha Emulwala, Khwisero, Kaunti ya Kakamega wanaomboleza baada ya tukio la kusikitisha ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 39 alimuua babake kwa kisu baada ya kugombana kuhusu mboga . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 7, 2025

Mawaziri wawili nchini Ghana wafariki wa helikopta

Watu  wanne wafariki dunia kwa ajali ya helikopta iliyotokea August 6 mwaka huu katika eneo la Ashanti nchini Ghana na kusababisha vifo vya watu wanane huku miongoni mwao kuna mawaziri wawili.Kwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 6, 2025

Ugonjwa wa Chikungunya waja na staili mpya China

Wakati ugonjwa wa Chikungunya ukisambaa kwa kasi nchini China na kuambukiza zaidi ya watu 7,000 mamlaka zimeibuka na mbinu ya kuachia mbu wakubwa wasio na uwezo wa kung’ata binadamu ili kula mabuu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • August 4, 2025

Martyn afia Uturuki akijiandaa kufanyiwa upandikizaji nywele

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Magazeti ya Uingereza ya The Independent na The Guardian, Marehemu Martyn Latchman alikuwa akijiandaa kufanyiwa upasuaji wake wa pili katika kliniki hiyo baada ya . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 28, 2025

kundi la Al-Shabaab wafanya jaribio jingine la kuvamia kambi ya polisi GSU.

VIKOSI vya kulinda usalama msituni Boni, Kaunti ya Lamu, vimezidisha msako dhidi ya magaidi wanaohusishwa na kundi la Al-Shabaab, baada ya jaribio jingine la kuvamia kambi ya polisi wa GSU.Katika kipi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Stephen Munyakho apata nafasi ya kuishi tena

Stephen Bertrand Munyakho, Mkenya ambaye alikuwa akikabiliwa na hukumu ya kifo nchini Saudi Arabia, sasa ameachiliwa rasmi kutoka kizuizini.Munyakho, kwa jina maarufu la Stevo, mwana wa kwanza wa mwan . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Jair Bolsonaro akabiliwa na kifungo kwa 'kutotii

Jaji wa Mahakama ya Juu ya Brazili amewapa mawakili wa Jair Bolsonaro saa 24 kueleza "kutofuata" kwao marufuku ya rais huyo wa zamani kutumia mitandao ya kijamii, "chini ya adhabu ya kifungo cha mara . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 22, 2025

Bangladesh :Zaidi ya watu ishirini wamefariki kwa ajali ya ndege

Idadi ya vifo kutokana na ajali ya ajali ya ndege ya kivita ya Jeshi la Wanahewa la Bangladesh katika shule huko Dhaka Jumatatu, Julai 21, imeongezeka na kufikia angalau 27, wengi wao wakiwa wanafunzi . . .

Kurasa 1 ya 54

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Siasa
news
  • 15 masaa yaliopita

Wagombea watakiwa kuzingatiai ilani, kutoa ahadi zinazotekelezeka

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Tanzania kuendeleza mapinduzi ya elimu kidigitali

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Mshikamano wahitajika mageuzi kiuchumi nchini

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Tanzania kuandaa wataalamu wa nyuklia

Siasa
news
  • 15 masaa yaliopita

Malawi vyama viwili vyajitangazia ushindi urais

Top Stories
news
  • 15 masaa yaliopita

Mawakili wa Serikali watakiwa kuzingatia sheria za Hifadhi ya Jamii

Siasa
news
  • 15 masaa yaliopita

Mgombea urais Salum Mwalimu aahidi uwekezaji mkubwa kupitia Kituo cha PPP

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Wagombea watakiwa kuzingatiai ilani, kutoa ahadi zinazotekelezeka

    • 15 masaa yaliopita
  • Tanzania kuendeleza mapinduzi ya elimu kidigitali

    • 15 masaa yaliopita
  • Mshikamano wahitajika mageuzi kiuchumi nchini

    • 15 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode