logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Donald Trump kuhusu Iran, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuizuia . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • January 26, 2026

Zelensky asaka mifumo zaidi ya ulinzi wa anga

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amewarai washirika wake kumpatia mifumo zaidi ya ulinzi wa anga kujikinga na mashambulizi ya Urusi ambayo amesema yameongeza madhila kwa umma wa Ukraine msimu huu wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

RSF walitumia makaburi ya pamoja kuficha uhalifu wa kivita

Imefahamika kwamba wanamgambo wa RSF nchini Sudan walifaya mauaji ya watu wengi katika jimbo la Darfur na kisha kujaribu kuficha ushahidi kwa kuwazika kwenye makaburi ya pamoja.Naibu Mwendesha Mashtak . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 17, 2026

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba takribani watu milioni 55 katika Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na uhaba mkali wa chakula mwaka huu.Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP, linasema machafuko . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atatangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati kote nchini humo.Zelensky amesema hatua hiyo itawezesha kushughulikia operesheni za usambazaji wa umeme zi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 22, 2025

Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

Mwili wa marehemu, Patric Francis, umekutwa unaning'inia ndani ya banda la mbuzi nyumbani kwao, alipokuwa akiishi na wazaazi wake.Patrick Francis (35) mkazi wa kijiji cha mapea, wilayani Babati mkoani . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 18, 2025

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuchomwa moto kwa magari mawili katika Kijiji cha Lusanga, Wilaya ya Mvomero, lililotokea kufuatia kifo cha mfanyakazi wa ndani, M . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Mvua iliyoambatana na upepo imeezua paa la nyumba katika mtaa wa Ligula TES Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.Mashuhuda wameeleza kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Maafisa watatu wa Uhamiaji, Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu ya Tanzania baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Enos Elias, mkazi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limesema uchunguzi wa awali umebaini kwamba ajali ya barabarani iliyotokea Disemba 16, 2025 majira ya saa 12:15 Jioni katika eneo la Karasa, Wilaya ya Mbozi Mkoani Songw . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amefanya ziara ya dharura katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Wilaya ya Kahama kukagua na kujionea athari za mvua kubwa zilizoonyesha usiku wa kuamkia Desemba . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Kiongozi wa zamani wa waasi nchini DRC Roger Lumbala amepatikana na hatia ya kushiriki katika uhalifu dhidi ya binadamu siku ya Jumatatu, Desemba 15.Mwanasiasa huyo wa Kongo, aliyeshtakiwa kwa uhalifu . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 16, 2025

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Jimmy Lai bilionea aliyekuwa akimiliki yombo vya habari na mkosoaji mkubwa wa utawala wa China ametiwa hatiani kwenye kesi ya aina yake kuhusiana na usalama wa taifa hukumu ambayo inampeleka jela mais . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 15, 2025

Kesi ya Mwambe kusikilizwa Leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo Jumatatu Desemba 15, 2025, inatarajiwa kusikiliza maombi Na. 289778/2025 yaliyofunguliwa na Waziri wa zamani Geoffrey Mwambe dhidi ya Mkuu wa Jeshi l . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 15, 2025

Watu 12 wauawa kwenye sherehe ya Wayahudi Australia

Mtuhumiwa mmoja ameuawa na mwingine ameripotiwa kuwa yuko mahututi . Uchunguzi wa polisi kuhusu mkasa huo unaendelea huku polisi wakisema wameikuta silaha inayoweza kusababisha mlipuko kwenye gari lin . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • December 15, 2025

Mafuriko ya ghafla yauwa watu 21 Moroko

Mafuriko ya makubwa yaliyotokana na mvua kubwa na ya ghafla yameuawa watu 21 katika mji wa pwani ya Moroko wa Safi.Picha zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaonesha maji yaliyochanganyika na ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 12, 2025

Watu 400 wameuawa Kivu Kusini kufuatia mashambulizi ya M23

Zaidi ya watu 400 wameuawa tangu kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda lilipozidisha mashambulizi katika jimbo la Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.Idadi hiyo ime . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Familia Yapata Pigo Baada ya Binti yao Aliyetoweka Kupatikana Amekufa Kikatili

Familia moja huko Embakasi, kaunti ya Nairobi, imeomboleza kufuatia kifo cha kutisha cha binti yao wa miaka 12, Patience Mumbe. Inasemekana mwanafunzi huyo wa darasa la saba alitoweka alipokuwa a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Mapigano kati ya Thailand na Cambodia yaanza tena

Thailand imedai leo Jumatatu kutumia ndege "kushambulia malengo ya kijeshi" na "kuzuia mashambulizi ya Cambodia," baada ya mmoja wa wanajeshi wake kuuawa mpakani. Hii imeongeza mvutano, kwani makubali . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Madereva watano wa ‘Ambulance’ matatani kwa kupakia abiria

Madereva watano wa magari ya kubebeba wagonjwa (Ambulance) wamekamatwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kubeba abiria kutoka Dar es salaam kuelekea Mtukula mkoani Kagera.Akizungumza na waandish . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Niffer, Chavala wafutiwa kesi ya uhani iliyokuwa ikiwakabili

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas Chavala, waliokuwa na kesi ya uhaini.Uamuzi huo umetolewa l . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 3, 2025

Mwandishi ameripotiwa kuuawa Ukanda wa Gaza

Vyombo vya habari vimeripoti tukio la kuuwawa kwa mwandishi wa habari kulikotokana na shambulizi la Israel katika eneo la Ukanda wa Gaza,Wakati huohuo shirika la habari la Palestina WAFA likitoa taari . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • November 30, 2025

Mafuriko yaua Mamia ya Watu Asia

Mamia ya watu wamekufa na wengine kutojulikana walipo Kusini Mashariki mwa Asia, kutokana na mvua kubwa zaidi kunyesha katika nchi za bara hilo.Mvua ya masika iliyosababishwa na dhoruba za kitropiki i . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • November 28, 2025

Baba na Mama Waua Mtato Wao

Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua na kutupa maiti ya mtoto mchanga katika mto Morogoro, eneo la Mchuma, kata ya Kichangani.Watuhumiwa hao, Pendo John Mato . . .

Kurasa 1 ya 57

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • jana

Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

Habari
news
  • jana

Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

Habari
news
  • jana

Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

Habari
news
  • jana

Wanaume waonywa saratani ya matiti

Burudani
news
  • jana

BASATA Yapiga Marufuku MC na DJ Wasio na Vibali

Habari
news
  • jana

TANESCO Kutekeleza Maboresho ya Umeme Mwanza

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Rais Museveni Kuwasili Tanzania kwa Ziara ya Kikazi

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • jana
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • jana
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode