logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
AJALI
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Mvua kubwa nchini Kenya yauwa watu 81

Mvua kubwa iliyosababisha mafuriko nchini Kenya imewaua watu wasiopungua 81 mwezi huu. Hayo ni kwa mujibu wa mamlaka za nchini humo huku mvua ikiendelea kunyesha sehemu nyingi za nchi.Katika eneo la m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Iran yatoa onyo kali endapo itashambuliwa

Jeshi la Ulinzi la Mapinduzi la Iran (IRGC) limetoa onyo kali kwamba litachukua hatua za kulipiza kisasi iwapo sekta ya umeme ya nchi hiyo itashambuliwa.Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatatu, jeshi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

LORI LATEKETEA KWA MOTO MOROGORO, MTU MMOJA ASADIKIKA KUFARIKA

Lori la mizigo lenye namba za usajili T729 BBT pamoja na tela namba T677 BTY limeteketea kwa moto katika eneo la Lugono, karibu na Nyama Choma Barabara Kuu ya Iringa–Morogoro.Tukio hilo la Lori kuwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 7 siku zilizopita

Iran Yashambulia Tel Aviv kwa Makombora, Hali Yazidi Kuwa Tete

Mashambulizi ya makombora kutoka Iran yameripotiwa kulenga jiji la Tel Aviv kwa mara ya pili usiku wa kuamkia leo 18 Machi 2026, huku Tehran ikiahidi kulipiza kisasi kufuatia kuuawa kwa kiongozi wake . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 17, 2026

Israel Katz Atangaza Kifo cha Afisa wa Usalama wa Iran

Waziri wa Ulinzi wa Israel Israel Katz ameiambia dunia kwamba afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, ameuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel usiku kucha, akisema IDF . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 11, 2026

Israel yafanya mashambulizi mapya Beirut

Israel imefanya mashambulizi katika vitongoji vya kusini mwa mkuu wa Lebanon, Beiruteshi ambapo jeshi la Israel linasema limeilenga tena miundombinu ya Hezbollah.Vyombo vya habari vya serikali ya Leba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 9, 2026

Iran Yatishia Kulenga Mafuta ya Nchi Jirani

Iran imetishia kushambulia miundombinu ya mafuta katika nchi jirani kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na Israel dhidi ya maeneo ya nishati ndani na karibu na mji mkuu wa Tehran.Mashambulizi h . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Ukraine yaituhumu Hungary kwa utekaji

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Adrii Sybiha, ameituhumu Hungary kwa kuwateka nyara wafanyakazi wa benki wa Ukraine waliokuwa wakisafirisha dola milioni 40 na kilo tisa za dhahabu mapema leo.Sybiha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Wanamgambo wauwa wanajeshi 15 Benin

Kundi la wanamgambo wenye mahusiano na mtandao wa kigaidi wa Al-Qaida limedai kuhusika na mauaji ya wanajeshi 15 kwenye kambi ya kijeshi kaskazini mwa Benin.Wanamgambo hao wajiitao Kundi la Kuusaidia . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Waziri wa Iran Atoa Tamko Uvamizi wa Wanajeshi wa Marekani Ardhini

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema nchi yake iko tayari kukabiliana na uwezekano wa uvamizi wa ardhini kutoka kwa wanajeshi wa Marekani, huku akisisitiza kuwa Iran haitaogopa shin . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 4, 2026

Merz: Bado Hakuna Majibu ya Hatma ya Iran Baada ya Vita

Friedrich Merz amesema kuwa licha ya kukutana na Donald Trump mjini Washington, bado hajapata majibu ya wazi kuhusu hatma ya Iran baada ya kumalizika kwa vita.Akizungumza na kituo cha televisheni cha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 3, 2026

Watu 169 Wauawa Kaskazini mwa Sudan Kusini

Watu 169, wakiwemo maafisa wakuu wa Sudan Kusini, wameuawa kufuatia shambulio lililotekelezwa na watu wasiojulikana katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumapili.Kwa mujibu wa Waziri wa Haba . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

Idadi ya waliokufa maandamano ya Pakistan wafikia 25

Ripoti zinaeleza kuwa idadi ya vifo vilivyotokana na vurugu zilizozuka mwishoni mwa juma nchini Pakistan kufuatia mauaji ya kiongozi mkuu wa Iran, imefikia watu 25 kwa mujibu wa takwimu za shirika la . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

Meli Tatu Za Marekani Na Uingereza Zashambuliwa Katika Mlango Wa Hormuz

Mvutano katika Ghuba ya Uajemi umeongezeka kwa kiwango kikubwa baada ya meli tatu za mafuta zinazodaiwa kuhusishwa na Marekani na Uingereza kushambuliwa karibu na mlango wa bahari wa Strait of Hormuz, . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • March 2, 2026

UN Yalaani Mauaji ya Raia Kaskazini mwa Sudan Kusini

Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa raia kadhaa wamepoteza maisha kufuatia machafuko mapya yaliyozuka Kaskazini mwa Sudan Kusini ndani ya saa 48 zilizopita.Kupitia Ujumbe wake nchini humo (UNMISS), Umoja . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

UN: Zaidi ya wahamiaji 7,600 walikufa njiani mwaka 2025

Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote duniani wakiwa njiani mwaka uliopita.Ripoti iliyotolewa na . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

Wadau Waendelea Kutoa Maoni kwa Tume ya Uvunjifu wa Amani

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 imekutana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 26, 2026

Mahakama Yasikiliza Kesi ya Kupinga Uteuzi wa Tume ya Uchunguzi

Kesi ya kupinga uteuzi wa Tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ya Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata, imeendelea kusikilizwa leo Alhamisi Februari 26, 2026 katika Mahakama Kuu ya T . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Jamhuri Yafungua Shauri la Mapitio Kesi ya Uhaini ya Lissu

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa niaba ya Jamhuri amefungua shauri la mapitio juu ya uamuzi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.Akiwasilisha taarifa hiyo mahakamani leo, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Mahakama Yakubali Pingamizi la Lissu Dhidi ya Ushahidi wa Ziada

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa Tundu Lissu kupinga taarifa ya kuongezwa kwa ushahidi (Notice of Additional Evidence) iliyotolewa n . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • February 23, 2026

Basi la Dar Express Lagongwa na Daladala

Ajali mbaya imeripotiwa katika eneo la Kwa Idd, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya basi la kampuni ya Dar Express kugongana na daladala ya abiria.Taarifa za awali zinaonesha kuwa watu kadhaa wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Zaidi ya Wafungwa 200 wa Kisiasa Venezuela Waanza Mgomo wa Kula

Zaidi ya wafungwa 200 wa kisiasa katika gereza la Rodeo I nchini Venezuela wameanzisha mgomo wa kula kama ishara ya kutaka kuachiliwa huru chini ya sheria mpya ya msamaha wa kisiasa ambayo haijawajumu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Notisi ya Ushahidi Yazua Mjadala Mkali Mahakamani

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho kufuatia mjadala mzito wa kisheria kuhusu notisi ya upande wa Jamhuri ya kuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

CPJ: Waandishi wa Kipalestina wanateswa magerezani Israel

Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari - CPJ imesema waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa . . .

Kurasa 1 ya 58

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Aliyejiteka Kenya akamatwa

Habari
news
  • 20 masaa yaliopita

Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

Makala
news
  • 22 masaa yaliopita

Kinachosababisha magamba kichwani mwa watoto wachanga

Habari
news
  • 22 masaa yaliopita

Trump Atoa Matumaini Mapya Kuhusu Uhusiano wa Marekani na Iran

Habari
news
  • 23 masaa yaliopita

Ndege ya kijeshi yaanguka na kuuwa watu 33 Colombia

Habari
news
  • 23 masaa yaliopita

Miili ya Waafrika iliyopelekwa Ulaya kwa utafiti yazikwa

Habari
news
  • 23 masaa yaliopita

Kampuni ya mafuta ya Dangote yaanza kusafirisha mafuta kwa nchi za Afrika

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Aliyejiteka Kenya akamatwa

    • 18 masaa yaliopita
  • Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

    • 20 masaa yaliopita
  • Kinachosababisha magamba kichwani mwa watoto wachanga

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode