Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetaka kufutwa kwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 29 na kuvunjwa kwa Tumehuru ya Uchaguzi nchini (INEC) kwa madai kuwa haukuwa huru wala wa haki.Akitoa msima . . .
Nchini Benin, msemaji wa serikali Wilfried Houngbédji amezungumzia jaribio la mapinduzi la Desemba 7 huko Cotonou siku ya Jumatano, Desemba 10. Amesimulia mfuatano wa matukio na kukiri uungwaji mkono . . .
KUNDI la Waangalizi wa Uchaguzi (ELOG) limetoa ripoti ambayo inasema chaguzi ndogo za Novemba 27 zilizingirwa na ghasia, wizi wa kura, kuingiliwa kisiasa na pia mwongozo wa uchaguzi kukosa kuzing . . .
Mkutano huo ulilenga kutoa hakikisho, na kugusia tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi Uganda inavyoshughulikia upinzani wa kisiasa.Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imefanya mkutano muhimu na wawakilis . . .
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imewatahadharisha wapiga kura katika maeneo ambayo uchaguzi mdogo unafanyika dhidi ya upigaji picha wa karatasi za kupigia kura zilizowekwa alama. Tume hiyo ilionya kuw . . .
Kinara wa Democracy for Citizens Party Rigathi Gachagua aliingia kwa kishindo katika Mji wa Narok mnamo Jumatatu, Novemba 24.Kuwasili kwake kulipitia vizuizi vizito vya polisi na wingu la vitoa machoz . . .
TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza kuwa ipo tayari kwa uchaguzi mdogo utakaofanyika Alhamisi katika maeneo 24 ya uchaguzi — viti sita vya bunge, kiti kimoja cha Seneti, na viti 17 vya . . .
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa jibu kuhusu madai ya mipango ya kuvuruga chaguzi ndogo zinazokuja.Makamu wa Rais wa zamani, Rigathi Gachagua, alidai kwamba Muungano wa Kenya Kwanza unata . . .
Nchini Guinea Bissau mgombea huru Fernando Dias da Costa, anayeungwa mkono na chama cha Social Renewal Party (PRS) na Muungano wa kisiasa wa Terra Ranka amedai kushinda duru ya kwanza kati . . .
Mwanasiasa wa upinzani nchini Cameroon, Issa Tchiroma Bakary amekimbilia nchini Gambia hii ikiwa ni kulingana na serikali ya Gambia siku ya Jumapili.Tchiroma aliyegombea urais kwenye uchaguzi wa mwezi . . .
Alassane Ouattara, ambaye ameiongoza Côte d'Ivoire tangu mwaka 2011, ametangazwa kushinda uchaguzi wa urais wa Oktoba 25, 2025, kwa kishindo, kwa asilimia 89.77 ya kura, kulingana na matokeo ya jumla . . .
Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara anatazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani, wakati matokeo ya awali yakiashiria ushindi wa kishindo katika uchaguzi ambao wapinzani wake wakuu walipigwa marufu . . .
Jamhuri itajibu hoja nne za mapingamizi ya Lissu aliyotoa Ijumaa ya tarehe 17, Oktoba 2025 juu ya kukataa vielelezo vielelezo vilivyowasilishwa na shahidi namba tatu wa Jamhuri kuwa visipokelewe na ma . . .
“Nimeamua kujiunga na CCM kwa sababu nimeona dhamira ya kweli ya serikali ya Dk. Samia katika kulinda amani na kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli. Amani ndiyo msingi wa maendeleo, na siwezi kuu . . .
KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, amejipata tena katika hali tata ya kisiasa anapojiandaa ama kuwania urais au kuamua ni nani ataingia mamlakani mnamo 2027.Leo chama chake kinatarajiwa kua . . .
Kampeni za uchaguzi nchini Côte d'Ivoire zinaanza leo Ijumaa, Oktoba 10. Uchaguzi wa urais utafanyika Jumamosi, Oktoba 25. Kabla ya hapo, kwa muda wa wiki mbili, wagombea watano walioidhinishwa na Ba . . .
KIONGOZI wa National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi, almaarufu Bobi Wine, amesema Rais Museveni atalindwa iwapo atakabidhi madaraka kwa amani.Akiwahutubia wafuasi wake katika uwanja wa michezo . . .
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Syria, Noureddine al-Baba, amesema uchaguzi wa bunge nchini humo umekamilika katika vituo vyote vya kupigia kura bila tukio lolote la kuhatarisha usalama.Nouredd . . .
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, ameahidi kumaliza kero za soko kuu la mkoa wa Ruvuma ndani ya siku 90 endapo atachaguliwa kuongoza nchi.Akihitimisha . . .
Guinea imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa urais Desemba 28, uchaguzi wa kwanza tangu Jenerali Mamadi Doumbouya achukue mamlaka katika mapinduzi ya mwaka 2021.Raia wa Guinea watapiga kura k . . .
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoong . . .
MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemlaumu Kiongozi wa upinzani Raila Odinga kwa masaibu yake ya kisiasa huku akisema kuwa sasa anajipanga kivyake kuhusiana na azma yake ya ugavana wa Nairobi m . . .
Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imewaidhinisha Rais Yoweri Museveni na kiongozi wa upinzani Bobi Wine kugombea katika uchaguzi wa 2026 nchini humo.Tangazo hilo linaweka mazingira ya mpambano mkali wa k . . .
Nchini Uganda, sasa inajulikana Yoweri Museveni atapambana na nani katika uchaguzi wa urais wa mwezi Januari 2026. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumatano, Septemba 24, Tume ya Uchaguzi imetangaza . . .
CHAMA Tawala cha Malawi, Malawi Congress Party (MCP), kinachounga mkono Rais Lazarus Chakwera, kimesema kina ushahidi wa wizi wa kura, huku matokeo ya awali yakionyesha kuwa kinashindwa katika u . . .