logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Alassane Ouattara ashinda kwa kishindo, kulingana na matokeo ya awali

Alassane Ouattara, ambaye ameiongoza Côte d'Ivoire tangu mwaka 2011, ametangazwa kushinda uchaguzi wa urais wa Oktoba 25, 2025, kwa kishindo, kwa asilimia 89.77 ya kura, kulingana na matokeo ya jumla . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Ouattara atazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara anatazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani, wakati matokeo ya awali yakiashiria ushindi wa kishindo katika uchaguzi ambao wapinzani wake wakuu walipigwa marufu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Jamhuri kuja na majibu pingamizi la Lissu leo

Jamhuri itajibu hoja nne za mapingamizi ya Lissu aliyotoa Ijumaa ya tarehe 17, Oktoba 2025 juu ya kukataa vielelezo vielelezo vilivyowasilishwa na shahidi namba tatu wa Jamhuri kuwa visipokelewe na ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Ezekia Wenje Ahama CHADEMA, Ajiunga CCM Chato

“Nimeamua kujiunga na CCM kwa sababu nimeona dhamira ya kweli ya serikali ya Dk. Samia katika kulinda amani na kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli. Amani ndiyo msingi wa maendeleo, na siwezi kuu . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Maamuzi magumu ya Kalonzo akiwaniwa kama mpira wa kona kwa ajili ya 2027

KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, amejipata tena katika hali tata ya kisiasa anapojiandaa ama kuwania urais au kuamua ni nani ataingia mamlakani mnamo 2027.Leo chama chake kinatarajiwa kua . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Uchaguzi wa urais Côte d'Ivoire Kampeni zaanza

Kampeni za uchaguzi nchini Côte d'Ivoire zinaanza leo Ijumaa, Oktoba 10. Uchaguzi wa urais utafanyika Jumamosi, Oktoba 25. Kabla ya hapo, kwa muda wa wiki mbili, wagombea watano walioidhinishwa na Ba . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Bobi kwa Museveni "Nitakulinda ikiwa utaachilia mamlaka kwa amani"

KIONGOZI wa National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi, almaarufu Bobi Wine, amesema Rais Museveni atalindwa iwapo atakabidhi madaraka kwa amani.Akiwahutubia wafuasi wake katika uwanja wa michezo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2025

Uchaguzi umefanyika kwa usalama bila kuingiliwa

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Syria, Noureddine al-Baba, amesema uchaguzi wa bunge nchini humo umekamilika katika vituo vyote vya kupigia kura bila tukio lolote la kuhatarisha usalama.Nouredd . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Mgombea urais AAFP kumaliza kero Soko la Songea ndani ya siku 90

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, ameahidi kumaliza kero za soko kuu la mkoa wa Ruvuma ndani ya siku 90 endapo atachaguliwa kuongoza nchi.Akihitimisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 30, 2025

Guinea kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa urais baada ya mapinduzi Disemba 28

Guinea imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa urais Desemba 28, uchaguzi wa kwanza tangu Jenerali Mamadi Doumbouya achukue mamlaka katika mapinduzi ya mwaka 2021.Raia wa Guinea watapiga kura k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoong . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Babu Owino asema "Nina siri ya kushinda ugavana Nairobi bila Raila"

MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemlaumu Kiongozi wa upinzani Raila Odinga kwa masaibu yake ya kisiasa huku akisema kuwa sasa anajipanga kivyake kuhusiana na azma yake ya ugavana wa Nairobi m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Bobi Wine kukabiliana na Museveni Uchaguzi Mkuu 2026

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imewaidhinisha Rais Yoweri Museveni na kiongozi wa upinzani Bobi Wine kugombea katika uchaguzi wa 2026 nchini humo.Tangazo hilo linaweka mazingira ya mpambano mkali wa k . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

Wagombea 8 waidhinishwa, akiwemo Museveni na kiongozi wa Upinzani Bobi Wine

Nchini Uganda, sasa inajulikana Yoweri Museveni atapambana na nani katika uchaguzi wa urais wa mwezi Januari 2026. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumatano, Septemba 24, Tume ya Uchaguzi imetangaza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

MCP yadai kuibiwa kura uchaguzi Malawi

 CHAMA Tawala cha Malawi, Malawi Congress Party (MCP), kinachounga mkono Rais Lazarus Chakwera, kimesema kina ushahidi wa wizi wa kura, huku matokeo ya awali yakionyesha kuwa kinashindwa katika u . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 22, 2025

Chama tawala chadai kulikuwepo na wizi wa kura

Nchini Malawi, Chama tawala cha Rais Lazarus Chakwera kinadai kuwa kulikuwa na wizi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita huku chama hicho kikidai kuwa na ushaihidi wa kutosha wa kudhibitisha hilo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Wagombea watakiwa kuzingatiai ilani, kutoa ahadi zinazotekelezeka

OKTOBA 29, mwaka huu Watanzania watatekeleza jambo kubwa la kidemokrasia na kihistoria la kuwachagua viongozi wa kuwaongoza kwa miaka mitano ijayo kwa kupiga kura.Utekelezaji huo wa kidemokrasia unafa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Malawi vyama viwili vyajitangazia ushindi urais

 VYAMA vya siasa vinavyowaunga mkono wagombea wakuu wa urais nchini Malawi vimejitangazia ushindi kabla ya Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo rasmi.Vyama hivyo ni Malawi Congress Party (MCP) kina . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 19, 2025

Mgombea urais Salum Mwalimu aahidi uwekezaji mkubwa kupitia Kituo cha PPP

Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amemtumia salam Mkurugenzi wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), David Kafulila, kujiandaa na "mapinduzi makub . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 19, 2025

Mwenyekiti wa CHADEMA Iringa Mjini, Frank Nyalusi Afariki

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Iringa Mjini, Frank Nyalusi, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Ijumaa Septemba 19, 2025, katika Hospitali ya Rufaa ya Iringa ali . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Kesi ya Lissu moto; Akataa kuendelea na shauri kisa wafuasi

KESI ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeendelea kuwa moto mahakamani, safari hii akigoma kuendelea na usikilizwaji wa shauri hilo katika . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 17, 2025

Ziara ya Donald Trump Nchini Uingereza kupingwa na waandamanaji

Maelfu ya raia wa Uingereza wamejitokeza mitaani jijini London na miji mingine kupinga ziara ya Rais wa Marekani, Donald Trump, ambaye amewasili nchini humo kwa ziara rasmi.Waandamanaji walibeba maban . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 16, 2025

Raia wa Malawi wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa urais

Raia wa Malawi, hivi leo wanapiga kura katika uchaguzi mkuu wa rais, Wabunge na madiwani, uchaguzi ambao unatarajiwa kuamua mustakabali wa taifa hilo kuhusu uchumi na vita dhidi ya rushwa.Upinzani una . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • September 10, 2025

Baba Levo Azindua Rasmi Kampeni Kigoma Mjini

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clayton Revocatus Chipando maarufu kama Baba Levo, Septemba 9mwaka hu  amezindua rasmi kampeni zake katika mji . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • September 8, 2025

Kindiki Mt aweka ngumu kuhakikisha UDA inatwaa kiti cha Mbele

NAIBU wa Rais, Prof Kithure Kindiki sasa ana kibarua kigumu cha kuhakikisha kuwa UDA inatwaa kiti cha Mbele Kaskazini baada ya chama hicho kumtaja mwaniaji wake wikendi.Mnamo Jumamosi, UDA ilimta . . .

Kurasa 1 ya 16

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • October 29, 2025

Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

Top Stories
news
  • October 29, 2025

Jera miaka 30 kwa kusafirisha dawa za kulevya

Top Stories
news
  • October 29, 2025

Mhe,Chumi awahakikishia waangalizi uchaguzi huru

Top Stories
news
  • October 29, 2025

Taasisi za madini zaeleza mafanikio robo ya kwanza 2025,26

Top Stories
news
  • October 29, 2025

Kura ya Mapema yafanyika kwa amani

Top Stories
news
  • October 28, 2025

Dkt,Abbas aongoza zoezi la kumuaga CP Wakulyamba

Top Stories
news
  • October 28, 2025

Prof Mkumbo awataka Watanzania kutumia fursa ya kupiga kura kuilinda amani

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

    • October 29, 2025
  • Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

    • October 29, 2025
  • Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

    • October 29, 2025

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode