logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

CHADEMA " Uchaguzi ufutwe, INEC ivunjwe"

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetaka kufutwa kwa uchaguzi uliofanyika Oktoba 29 na kuvunjwa kwa Tumehuru ya Uchaguzi nchini (INEC) kwa madai kuwa haukuwa huru wala wa haki.Akitoa msima . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

Msemaji wa Serikali azungumzia jaribio la mapinduzi

Nchini Benin, msemaji wa serikali Wilfried Houngbédji amezungumzia jaribio la mapinduzi la Desemba 7 huko Cotonou siku ya Jumatano, Desemba 10. Amesimulia mfuatano wa matukio na kukiri uungwaji mkono . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Waangalizi wasema chaguzi ndogo hazikuwa na uwazi

KUNDI la Waangalizi wa Uchaguzi (ELOG) limetoa ripoti ambayo inasema chaguzi ndogo za Novemba 27 zilizingirwa na ghasia, wizi wa kura, kuingiliwa kisiasa na pia mwongozo wa uchaguzi kukosa kuzing . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • December 4, 2025

Wawakilishi wa wagombea wakutana na Tume Uganda

Mkutano huo ulilenga kutoa hakikisho, na kugusia tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi Uganda inavyoshughulikia upinzani wa kisiasa.Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imefanya mkutano muhimu na wawakilis . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

IEBC yaonya wapiga kura dhidi ya kupiga picha za karatasi zenye alama za kupigia kura

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imewatahadharisha wapiga kura katika maeneo ambayo uchaguzi mdogo unafanyika dhidi ya upigaji picha wa karatasi za kupigia kura zilizowekwa alama. Tume hiyo ilionya kuw . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

Rigathi Gachagua Ataja Sababu ya Kuvaa Helmeti na Vest Ya kuzuia Risasi huko Narok

Kinara wa Democracy for Citizens Party Rigathi Gachagua aliingia kwa kishindo katika Mji wa Narok mnamo Jumatatu, Novemba 24.Kuwasili kwake kulipitia vizuizi vizito vya polisi na wingu la vitoa machoz . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

IEBC"Wala msiwe na hofu, tumejipanga kisawasawa kwa hizi chaguzi ndogo "

TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetangaza kuwa ipo tayari kwa uchaguzi mdogo utakaofanyika Alhamisi katika maeneo 24 ya uchaguzi — viti sita vya bunge, kiti kimoja cha Seneti, na viti 17 vya . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

IEBC Yajibu Madai ya Gachagua Kuhusu Mipango ya Kuvurugwa kwa Uchaguzi Mdogo wa Magarini

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imetoa jibu kuhusu madai ya mipango ya kuvuruga chaguzi ndogo zinazokuja.Makamu wa Rais wa zamani, Rigathi Gachagua, alidai kwamba Muungano wa Kenya Kwanza unata . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 25, 2025

Mgombea huru adai kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais

Nchini Guinea Bissau mgombea huru Fernando Dias da Costa, anayeungwa mkono na chama cha Social Renewal Party (PRS) na Muungano wa kisiasa wa Terra Ranka amedai kushinda  duru ya kwanza  kati . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2025

Kiongozi wa upinzani nchini Cameroon akimbilia Gambia

Mwanasiasa wa upinzani nchini Cameroon, Issa Tchiroma Bakary amekimbilia nchini Gambia hii ikiwa ni kulingana na serikali ya Gambia siku ya Jumapili.Tchiroma aliyegombea urais kwenye uchaguzi wa mwezi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Alassane Ouattara ashinda kwa kishindo, kulingana na matokeo ya awali

Alassane Ouattara, ambaye ameiongoza Côte d'Ivoire tangu mwaka 2011, ametangazwa kushinda uchaguzi wa urais wa Oktoba 25, 2025, kwa kishindo, kwa asilimia 89.77 ya kura, kulingana na matokeo ya jumla . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 27, 2025

Ouattara atazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani

Rais wa Ivory Coast Alassane Ouattara anatazamiwa kushinda muhula wa nne madarakani, wakati matokeo ya awali yakiashiria ushindi wa kishindo katika uchaguzi ambao wapinzani wake wakuu walipigwa marufu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Jamhuri kuja na majibu pingamizi la Lissu leo

Jamhuri itajibu hoja nne za mapingamizi ya Lissu aliyotoa Ijumaa ya tarehe 17, Oktoba 2025 juu ya kukataa vielelezo vielelezo vilivyowasilishwa na shahidi namba tatu wa Jamhuri kuwa visipokelewe na ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2025

Ezekia Wenje Ahama CHADEMA, Ajiunga CCM Chato

“Nimeamua kujiunga na CCM kwa sababu nimeona dhamira ya kweli ya serikali ya Dk. Samia katika kulinda amani na kuwaletea Watanzania maendeleo ya kweli. Amani ndiyo msingi wa maendeleo, na siwezi kuu . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Maamuzi magumu ya Kalonzo akiwaniwa kama mpira wa kona kwa ajili ya 2027

KIONGOZI wa chama cha Wiper, Kalonzo Musyoka, amejipata tena katika hali tata ya kisiasa anapojiandaa ama kuwania urais au kuamua ni nani ataingia mamlakani mnamo 2027.Leo chama chake kinatarajiwa kua . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Uchaguzi wa urais Côte d'Ivoire Kampeni zaanza

Kampeni za uchaguzi nchini Côte d'Ivoire zinaanza leo Ijumaa, Oktoba 10. Uchaguzi wa urais utafanyika Jumamosi, Oktoba 25. Kabla ya hapo, kwa muda wa wiki mbili, wagombea watano walioidhinishwa na Ba . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

Bobi kwa Museveni "Nitakulinda ikiwa utaachilia mamlaka kwa amani"

KIONGOZI wa National Unity Platform (NUP) Robert Kyagulanyi, almaarufu Bobi Wine, amesema Rais Museveni atalindwa iwapo atakabidhi madaraka kwa amani.Akiwahutubia wafuasi wake katika uwanja wa michezo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 6, 2025

Uchaguzi umefanyika kwa usalama bila kuingiliwa

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Syria, Noureddine al-Baba, amesema uchaguzi wa bunge nchini humo umekamilika katika vituo vyote vya kupigia kura bila tukio lolote la kuhatarisha usalama.Nouredd . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 1, 2025

Mgombea urais AAFP kumaliza kero Soko la Songea ndani ya siku 90

Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Wakulima (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, ameahidi kumaliza kero za soko kuu la mkoa wa Ruvuma ndani ya siku 90 endapo atachaguliwa kuongoza nchi.Akihitimisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 30, 2025

Guinea kufanya uchaguzi wake wa kwanza wa urais baada ya mapinduzi Disemba 28

Guinea imetangaza kuwa itafanya uchaguzi wa urais Desemba 28, uchaguzi wa kwanza tangu Jenerali Mamadi Doumbouya achukue mamlaka katika mapinduzi ya mwaka 2021.Raia wa Guinea watapiga kura k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoong . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 26, 2025

Babu Owino asema "Nina siri ya kushinda ugavana Nairobi bila Raila"

MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amemlaumu Kiongozi wa upinzani Raila Odinga kwa masaibu yake ya kisiasa huku akisema kuwa sasa anajipanga kivyake kuhusiana na azma yake ya ugavana wa Nairobi m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 25, 2025

Bobi Wine kukabiliana na Museveni Uchaguzi Mkuu 2026

Tume ya Uchaguzi nchini Uganda imewaidhinisha Rais Yoweri Museveni na kiongozi wa upinzani Bobi Wine kugombea katika uchaguzi wa 2026 nchini humo.Tangazo hilo linaweka mazingira ya mpambano mkali wa k . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 25, 2025

Wagombea 8 waidhinishwa, akiwemo Museveni na kiongozi wa Upinzani Bobi Wine

Nchini Uganda, sasa inajulikana Yoweri Museveni atapambana na nani katika uchaguzi wa urais wa mwezi Januari 2026. Katika taarifa iliyotolewa siku ya Jumatano, Septemba 24, Tume ya Uchaguzi imetangaza . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

MCP yadai kuibiwa kura uchaguzi Malawi

 CHAMA Tawala cha Malawi, Malawi Congress Party (MCP), kinachounga mkono Rais Lazarus Chakwera, kimesema kina ushahidi wa wizi wa kura, huku matokeo ya awali yakionyesha kuwa kinashindwa katika u . . .

Kurasa 1 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 3 siku zilizopita

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Matukio
news
  • 4 siku zilizopita

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Roger Lumbala ahukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa uhalifu dhidi ya binadamu

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Mpigania demokrasia Lai atiwa hatiani Hong Kong

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • saa moja lililopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 19 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode