logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
Top Story
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Mtanzania aweka rekodi mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship

LOLITA Borega aweka rekodi nyingine tena nchini Tanzania baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship yaliyofanyika Nyal . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Klabu ya Juventus yamfuta kazi kocha Mkuu Igor Tudor

Klabu ya Juventus imemfuta kazi kocha wao Mkuu Igor Tudor baada ya kupoteza wa Serie A dhidi ya Lazio kwa goli 1-0. Igor alijiunga na Klabu hiyo mwezi Machi 2025 akichuk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse?Modest amefariki dunia

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse Modest amefariki dunia.Modest alicheza kwa timu za kikanda ikiwa ni pamoja na Simba SC na Young Africanâ . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo

Liverpool inafikiria kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana Antoine Semenyo, 25, msimu wa uhamisho wa wachezaji Januari mwakani. (i Paper - usaji . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 21, 2025

Simba yatoa viingilio Kuelekea mchezo wa Jumapili dhidi ya Nsingizini Hotspurs

Kikosi kilirejea jana Dar es Salaam, leo vijana wamepumzika na kesho watarudi Mo Simba Arena kuanza maandalizi ya mchezo wa Jumapili. Tunayo furaha ya kocha wetu Seleman . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Jurgen Klopp atoa sababu za kukataa kuifundisha Manchester United

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amefichua sababu zilizomfanya kukataa ofa ya kujiunga na Manchester United kabla ya kuchukua mikoba ya Liverpool mwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2025

Mchezaji Atekwa na Kuuawa Senegal Baada ya Familia Kushindwa Kulipa Ransom

Kipa kinda wa soka wa Senegal Cheikh Toure (18) ametekwa na kuuwawa na watu wasiojulikana baada ya kumtengenezea mtego kuwa anaenda kufanya majaribio ya soka la kulipwa.C . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Inter Milan yavutiwa na beki wa Palace Marc Guehi

Klabu ya Italia Inter Milan imeingia kwenye kinyang'anyiro cha kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace Marc Guehi lakini Liverpool bado wanapewa nafasi kubwa ya kuinasa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Timu Zilizofuzu Kombe la Dunia 2026 Hadi Sasa, Senegal na Ivory Coast Ndani!

Sadio Mané ameendelea kuthibitisha ubora wake baada ya kuibuka shujaa kwa Senegal, akifunga magoli mawili muhimu katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Mauritania, uliowape . . .

news
NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • October 13, 2025

Knock Out ya Mama yaendelea kuitangaza ngumi ya Tanzania

Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amesema Michezo ni ajira uchumi na inatangaza Tanzania na sas . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

TFF Yaruhusu Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Kutumika Kwa Michezo ya Ligi

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeruhusu uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, uliopo mkoani Tabora, kutumika kwa michezo ya Ligi baada ya kufanyiwa marekebisho yali . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 9, 2025

TFF yatoa mwongozo wa Kupima Jinsia Kuanza Rasmi Msimu wa 2026/27

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa taarifa rasmi likibainisha kuwa mwongozo wa kupima na kuthibitisha jinsia za wachezaji wa kike utaanza kutumika rasmi kuanzia ms . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 9, 2025

Ronaldo Avunja Rekodi kuwa mchezaji bilionea duniani

Mshambuliaji nyota wa Ureno na klabu ya Al-Nassr, Cristiano Ronaldo, ametajwa kuwa mchezaji wa kwanza wa soka kufikia hadhi ya bilionea, kwa mujibu wa ripoti mpya ya chom . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

FIFA Yamteua Rais wa Yanga, Eng. Hersi Said, Kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu Duniani

Rais wa Klabu ya Yanga SC, Eng. Hersi Said, ameteuliwa na Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) kuwa Mjumbe wa Kamati ya Mashindano ya Vilabu vya Wanaume Duniani kwa kipindi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 8, 2025

FIFA Yamteua Wallace Karia Kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka la Ufukweni Duniani

Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limemteua Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, kuwa Makamu wa Rais wa Kamati ya Soka la Ufukweni ya FIFA kwa kipind . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

TFF Yamsimamisha Mchezaji wa Yanga Princess Kupisha Uchunguzi wa Jinsia

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesimamisha kwa muda mchezaji wa klabu ya Yanga Queens, Princess Jeanine Mukandiyisenga, raia wa Rwanda, kupisha uchunguzi wa kina kuh . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Diarra achaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba Ligi Kuu NBC

Mlinda mlango wa klabu ya Yanga SC, Djigui Diarra, amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara kwa msimu wa 2025/2026. Hii ni baada . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 6, 2025

Ahmad Ali amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba

Kocha mkuu wa klabu ya JKT Tanzania, Ahmad Ali amechaguliwa kuwa Kocha bora wa mwezi Septemba wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa mwaka 2025/2026 akiwashinda Romain . . .

news
Marathoni
  • Na Nattyebrandy
  • October 5, 2025

YAS WAIPAMBA LAKE VICTORIA MARATHON MSIMU WA 5

Kama wasemavyo kila hatua mixx  ndivyo mtandao unaoongoza Tanzania nzima kwa 4G na 5G iliyoenea kila kona wamefanikiwa kuigusa kila hatua ya mshiriki katika mbi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Timu ya Taifa Stars kuikabili Zambia

TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Zambia.Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya kuwania kufuzu Kom . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Simba Sc yatambulisha kocha Dimitri Pantev kuwa meneja wa timu

Klabu ya Simba Sc imemtambulisha kocha Dimitri Pantev kama meneja wa timu hiyo huku vyanzo vikieleza kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi atakuwa Selemani Matola kwenye . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Dodoma Jiji FC yapigwa faini ya milioni 15 kwa kukosa kocha mwenye sifa

Klabu ya Dodoma Jiji FC imepigwa faini ya jumla ya Shilingi milioni 15 za Kitanzania na Bodi ya Ligi Kuu baada ya kushiriki michezo mitatu bila kuwa na kocha mkuu mw . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 4, 2025

Kocha wa Manchester United atafutwa kazi endapo watakosa ushindi dhidi ya EPL

Kocha wa Manchester United, Rúben Amorim, yuko katika hatihati ya kufutwa kazi yuko katika hatihati ya kufutwa kazi endapo kikosi chake kitashindwa kupata ushindi d . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

Folz ataka muda kuijenge timu ya Yanga SC

WAKATI timu ya Yanga SC ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya katika maandalizi ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz, amewataka wanacham . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

Hemed Suleiman 'Morocco' aitakia Simba ushindi mkubwa

KOCHA wa muda wa Simba, Hemed Suleiman 'Morocco' amesema haikuwa rahisi kuvuka mechi ya raundi ya kwanza kwa timu hiyo, kwani ilikuwa inacheza kwenye mazingira magumu kut . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 30, 2025

FIFA imetoa adhabu kwa SAFA

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) imetoa adhabu kwa Chama cha Soka cha Afrika Kusini (SAFA) baada ya kubainika kumchezesha Teboho Mokoena, mchezaji a . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 29, 2025

Ahmed Arajiga kuchezesha mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026,

Shirikisho la soka duniani, FIFA, limemchagua mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, kuchezesha mchezo muhimu wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, kati ya Cape Verde na Eswatini!M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 28, 2025

Man Utd & Liverpool wamuwinda Branthwaite

Liverpool na Manchester United wanatazamiwa kushindania usajili wa pauni milioni 65 wa mlinzi wa Everton mwenye umri wa miaka 23 wa Uingereza Jarrad Branthwaite. (Mirror) . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 26, 2025

Simba SC kucheza bila mashabiki na kutozwa faini ya milioni 200

Klabu ya Simba SC haitaruhusiwa kuwa na mashabiki kwenye mchezo wake wa pili dhidi ya Gaborone United baada ya CAF kukataa rufaa yao ya kupinga adhabu ya kucheza bila mas . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

JUSTFIT yazindua rasmi mpira mpya wa Ligi Kuu Tanzania

Kampuni ya Kitanzania ya JUSTFIT ( @justfitsportsgear ) inayojihusisha na uuzaji na utengenezaji wa vifaa vya michezo Septemba 22 mwaka huu kwa kushirikiana na Bodi ya Li . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Dembélé Awashinda Lamine Yamal na Mohamed Salah

Staa wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ameshinda Tuzo ya Ballon d’Or ya 2025, akiwashinda wachezaji maarufu kama La . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Simba Yamtangaza Hemed Suleiman Kuwa Kocha Mkuu wa Muda

Klabu ya Simba SC imefanya uteuzi rasmi wa kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha mkuu wa muda wa timu hiyo. Hemed Morocco, ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • September 23, 2025

Kocha Fadlu Davids Aaga rasmi Simba kwa hisia na mapenzi nzito

Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, ameaga rasmi klabu hiyo akieleza hisia zake nzito baada ya muda wake kumalizika Msimbazi.Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema tang . . .

Kurasa 1 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

    • October 29, 2025
  • Juhudi zaidi zahitajika kushughulikia hali mbaya ya kibinadamu

    • October 29, 2025
  • Atakayevuruga amani Ruvuma kukions

    • October 29, 2025

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode