logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba , hatua inayoimar . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Kenya Hatarini Kupoteza Haki ya Kuandaa Afcon 2027 Kwa Kushindwa Kulipa Ada

Afisa Mkuu wa Serikali ameonya kuwa Kenya iko katika hatari kubwa ya kupokonywa haki ya kuandaa michuano ya Africa Cup of Nations (AFCON) 2027 kutokana na changamoto za k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 6 siku zilizopita

Harry Kane" Hatuiogopi Real Madrid"

Hii ni baada ya Bayern kujikatia tiketi ya robo fainali ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya kufuatia ushindi wao wa 4-1 dhidi ya Atalanta ya Italia usiku wa kuamkia Alhamis am . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • March 17, 2026

Iran Yataka Mechi za Kombe la Dunia Zichezwe Mexico

Iran imesema iko kwenye mazungumzo na FIFA kuhusu uwezekano wa kucheza mechi zake za FIFA World Cup nje ya United States kufuatia onyo lililotolewa na Donald Trump.Kwa mu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2026

Rais wa Shirikisho la Soka Kongo Afungwa Jela Maisha kwa Kashfa ya Fedha

Mahakama nchini Kongo Brazzaville imemkuta na hatia Rais wa Shirikisho la Soka la nchi hiyo, Jean-Guy Blaise Mayolas, kwa makosa makubwa ya kifedha yaliyohusisha utakatis . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2026

Firat aombolezwa kama kocha nguli aliyefungulia Harambee Stars milango kimataifa

KOCHA wa zamani wa Harambee Stars Engin Firat ambaye aliaga dunia jana Uturuki, ameombolezwa kama aliyemakinikia kazi yake na mwenye taaluma pevu ambaye mchango wake kwen . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • March 6, 2026

Ouahbi Aanza Kazi Kuijenga Upya Morocco

Royal Moroccan Football Federation limemtangaza Mohamed Ouahbi kuwa Kocha Mkuu mpya wa timu ya taifa ya wanaume ya Morocco national football team maarufu kama The Atlas L . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • March 4, 2026

Rodrygo Nje Miezi 7–10, Aikosa Kombe la Dunia 2026

Mshambuliaji wa Real Madrid na Brazil national football team, Rodrygo, atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi saba hadi kumi kufuatia jeraha kubwa, hali itakayomfanya ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 3, 2026

Ndege ya Cristiano Ronaldo Yaondoka Ghafla

Ndege binafsi ya kifahari ya thamani ya pauni milioni 61 inayomilikiwa na nyota wa soka Cristiano Ronaldo imeripotiwa kuondoka Saudi Arabia kuelekea Madrid usiku wa kuamk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 25, 2026

Achraf Hakimi kupanda kizimbani kwa tuhuma za ubakaji

Beki wa klabu ya Ufaransa, Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, ameshtakiwa rasmi kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mmoja, wakili wake na mwendesh . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Bayer Leverkusen yaisogelea 16 bora Ligi ya Vilabu Bingwa

Klabu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga, Bayer Leverkusen imepiga hatua muhimu katika kutinga raundi ya mtoano ya 16 bora ya Ligi ya Vilabu Bingwa Ulaya.Hii . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Isak anatarajiwa kurejea Uwanjani hivi karibuni

Kocha mkuu wa Liverpool, Arne Slot, ametoa habari njema kwa mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuthibitisha rasmi muda wa kurejea kwa mshambuliaji wao hatari, Alexander Isa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

Yanga vs Simba: TFF Yataka Kampuni Moja Pekee ya Kubashiri

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika mechi ya Y . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 18, 2026

Serikali Yaidhinisha Marekebisho ya Katiba ya Simba

Serikali kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imeidhinisha rasmi marekebisho ya Katiba ya Simba Sports Club baada ya kukamilika kwa mchakato wa kisheria uliokuwa chin . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 16, 2026

Makonda Amtaka Msajili Kukamilisha Mchakato wa Mabadiliko Simba

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kukamilisha mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 13, 2026

Kenya yaashiria kuunga mkono kuahirishwa kwa AFCON 2027

Kenya imeashiria uwezekano wa kuunga mkono hatua ya kuahirisha mashindano hayo kutokana na uwezekano wa kuzuka kwa vurugu zinazohusiana na uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 12, 2026

Real Madrid Yampoteza Bellingham kwa Jeraha la Hamstring

Real Madrid imepokea pigo baada ya kiungo wake nyota, Jude Bellingham, kupata jeraha la misuli litakalomuweka nje ya uwanja kwa muda.Nyota huyo wa England alipata maumivu . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 11, 2026

Rashford Aondoka Rasmi kwenye Mipango ya United, Carrick Aweka Msimamo Wazi

Manchester United wanaonekana kuendelea na mipango yao ya muda mrefu bila kumjumuisha Marcus Rashford, huku hatma ya mshambuliaji huyo ikizidi kuelekea kwenye u . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 11, 2026

Simba Yathibitisha Kuondoka kwa Kibu ‘Mkandaji’

Klabu ya Simba SC imethibitisha kwamba mshambuliaji wake, Kibu Dennis, hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo, akihitimisha utumishi wake wa misimu minne na nusu akiwa n . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 10, 2026

RC Shigela: Hakuna Mwekezaji Katika Uwanja wa CCM Katoro

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ametangaza rasmi kuwa hakuna mwekezaji halali katika eneo la uwanja wa mpira wa CCM Katoro eneo ambalo lilizua taharuki kati y . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 5, 2026

Simba Yakamilisha Mchakato wa Kumuacha Kibu Denis Ajiunge na Al Nasr Libya

KLABU ya Simba SC ipo hatua za mwisho kukamilisha makubaliano ya kumuuza mshambuliaji wake, Kibu Denis, kwenda klabu ya Al Nasr ya Libya.Chanzo cha kuaminika kutoka ndani . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 4, 2026

Ronaldo Agoma Kuichezea Al Nassr, Asema Inanyanyaswa

Nyota wa Ureno Cristiano Ronaldo ameripotiwa kuanza mgomo wa kuichezea Al Nassr akionya kuwa endapo malalamiko yake hayatashughulikiwa, yuko tayari kuondoka katika klabu . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • February 3, 2026

Refa Abongile kuchezesha FAR Rabat vs Yanga

Refa wa kimataifa mwenye historia ya “bahati” kwa klabu za Kaskazini mwa Afrika zinapocheza nyumbani, Tom Abongile kutoka Afrika Kusini, amepangwa kuchezesha mchezo w . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Senegal: Serikali inapanga kukata rufaa dhidi ya vikwazo vya CAF dhidi ya kocha Pape Thiaw

Kufuatia vikwazo vilivyotangazwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), siku kumi na moja baada ya mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika uliokuwa na ushindani m . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Jeshi la Polisi Latoa Taarifa Kuelekea Mchezo wa Yanga na Al Ahly Kesho

Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Young Africans SC  na Al Ahly ya Misri unaotarajiwa kuchezwa ka . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

CAF Yawaadhibu Senegal, Morocco kwa Vurugu

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limechukua hatua kali dhidi ya timu za Senegal na Morocco kufuatia vurugu zilizojitokeza katika mchezo wa fainali ya AFCON 2025 . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Arteta Awaomba Mashabiki Utulivu

Arteta aliongeza kuwa mazungumzo hayo yalikuwa ya kutia moyo na yamewapa wachezaji imani mpya, akibainisha kuwa Arsenal ipo katika nafasi nzuri ya kupigania mataji manne . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Simba Yawataka Mashabiki Kuungana Dhidi ya Esperance ya Tunisia

Msemaji wa Simba Sports Club, Ahmed Ally ametoa wito mzito kwa Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko huu akisisitiza kuwa huu ni wakati wa mshikamano na mapambano kwa aj . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Uwanja wa KMC Wafungiwa na TFF kwa Kukosa Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa KMC uliopo jijini Dar es Salaam kutotumika kwa michezo ya Ligi kuu baada ya kubaini kuwa haukidhi vigezo . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Senegal yasema uhusiano na Morocco "umepindukia hisia"

Waziri Mkuu wa Senegal Ousmane Sonko amesema uhusiano na Morocco ni "imara zaidi kuliko hisia" siku chache baada ya vurugu zilizozuka wakati mataifa hayo yalipokabiliana . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 28, 2026

Morocco Yapokonywa Fursa ya Kuandaa Fainali ya Kombe la Dunia 2030

Morocco haitakuwa tena mwenyeji wa mechi ya fainali ya Kombe la Dunia la FIFA kwa mwaka  2030 kufuatia matukio yaliyojitokeza wakati wa fainali ya Kom . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Tetemeko La Liga: Sergio Ramos Ajiandaa Kuinunua Sevilla

Kwa mujibu wa ripoti ya Cadena SER gwiji wa soka wa Hispania, Sergio Ramos, amefikia makubaliano ya kimsingi na wanahisa wa klabu ya Sevilla FC kuhusu ununuzi wa kla . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

JKT Tanzania Yaongoza Ligi kuu kwa Kadi Nyingi za Njano

Wakati ikiendelea kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, timu ya JKT Tanzania imeibuka pia kuwa kinara wa kupata kadi nyingi za njano mpaka sasa msimu huu.Maafande h . . .

Kurasa 1 ya 28

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Aliyejiteka Kenya akamatwa

    • 18 masaa yaliopita
  • Waziri Kombo abainisha mafanikio na vipaumbele vya Wizara kwa Kamati ya NUU

    • 20 masaa yaliopita
  • Kinachosababisha magamba kichwani mwa watoto wachanga

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode