logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 24 masaa yaliopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi muundo wa zawadi za fedha kwa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, itakayofanyika nchini Morocco . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 24 masaa yaliopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja Dimitar Pantev ambaye ameo . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Khalid Aucho Afungiwa Michezo 5 na Kutozwa Faini Sh. 1,000,000

wachezaji wa klabu ya Singida Big Stars Khalid Aucho amefungiwa michezo mitano (5) na kutozwa faini ya Sh. 1,000,000 kwa kosa la kufanya kitendo kisicho cha kiuanamichezo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Mahakama yaamua PSG imlipe Mbappé zaidi ya dola milioni 70

Mahakama ya Paris inayohusika na masuala ya ajira imeamua kwamba Paris Saint-Germain lazima imlipe Kylian Mbappé zaidi ya euro milioni 60 (dola milioni 70).Ni kuhusu mzo . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Aliyetemwa taifa Stars aongoza mabao ya vichwa Ligi Tanzania Bara

STRAIKA wa JKT Tanzania, Peter Paul, ambaye alienguliwa katika kikosi cha Timu ya Taifa (Taifa Stars), kilichoelekea Misri kuweka kambi ili kujiandaa na Fainali za Kombe . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

JKT Queens yaifuata Ceasiaa Iringa

KIKOSI cha mabingwa watetezi JKT Queens kimeondoka jijini Dar es Salaam jana kuelekea Iringa ili kuwafuata wenyeji Ceasiaa Queens kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu ya Wanawa . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Rushine aivuruga Simba

KLABU ya Simba imepiga hodi Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini ikisema inahitaji kumsajili moja kwa moja beki wa kati anayeichezea timu hiyo kwa mkopo Rushine De Reuc . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Liverpool Yazidi Kumvizia Semenyo Kufuatia Tetesi za Kuondoka kwa Salah

Klabu ya Liverpool inaonekana tayari kuanza kupanga maisha bila nyota wao Mohamed Salah, kufuatia taarifa zinazoenea kuhusu uwezekano wa mshambuliaji huyo kuondoka mwezi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Makundi ya Kombe la Dunia 2026 Yatangazwa

Droo ya hatua ya makundi ya kombe la Dunia 2026 imekamilika huko Kennedy Center Jijini Washington, D.C Marekani ljumaa, Desemba 5, 2025 ambapo wababe wa soka Duniani waki . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Droo ya Kombe la Dunia kufanyika Ijumaa huko Marekani

Droo ya Kombe la Dunia la Shirikisho la Kandanda Duniani, FIFA, litakalofanyika mwakani huko Marekani, Canada na Mexico itafanyika leo katika Kituo cha Sanaa cha Kennedy . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Droo kombe la dunia 2026 kufanyika leo Desemba 05

Droo ya Kombe la Dunia la Shirikisho la Kandanda Duniani FIFA litakalochezwa mwakani huko Marekani Canada na Mexico itafanyika leo katika Kituo cha Sanaa cha Kennedy huko . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • December 2, 2025

Yanga na Pyramid ndio zina safu bora ya ulinzi kwenye mizunguko miwili ya CAF Champions league

Vigogo wa Afrika, Young Africans SC ya Tanzania na Pyramids FC ya Misri, ndiyo timu pekee ambazo hadi sasa hazijaruhusu goli katika mizunguko miwili ya hatua ya makundi y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 30, 2025

Wajumbe wa Simba wamgomea Mangungu kwenye mkutano wa Simba

Baada ya Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu kuwajibu wajumbe wasubiri uchaguzi kutokana na suala la fedha lililoulizwa hivi ndivyo ambavyo wajumbe hawa wamepokea jibu h . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 27, 2025

TFF yahairisha hafla ya tuzo za msimu 2024/2025

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuahirishwa kwa hafla ya utoaji wa tuzo za msimu wa 2024/2025, ambayo awali ilipangwa kufanyika tarehe 5 Desemba&n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2025

Vikosi Vikubwa Barani Ulaya Vitakutana London Leo Usiku

Vikosi viwili vyenye kiwango bora zaidi barani Ulaya vitachuana usiku wa kesho jumatano tarehe 26 kwenye Ligi ya Mabingwa Ndani ya uwanja wa Emirates, London.The Gunners, . . .

news
NGUMI
  • Na Jembe Digital
  • November 22, 2025

Bondia wa Kitanzania Lupakisyo Shoti atwaa ubingwa IBO International

Bondia wa Kitanzania, Lupakisyo Mohamedi Shoti, ameandika historia mpya katika ngumi za kulipwa baada ya kumshinda Mromania Daniel “Magic Dan” Buciuc na kutwaa mkanda . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Pasi Milioni" Kwa ubora huu wa Simba kuiangalia bure ni dhambi"

Shabiki wa klabu ya Simba maarufu kwa jina la Pasi Milioni leo katika hamasa za klabu ya Simba amefunguka juu ya suala la mashabiki wa simba kumgomea Ahmed Ally kuingiza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Washindi wa Tuzo za CAF 2025 Zilizofanyika Morocco

Sherehe za utoaji wa Tuzo za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zimefanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu mbalimbali zikit . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 20, 2025

Arsenal kumaliza mkataba wake wa udhamini na Rwanda msimu ujao

Klabu ya soka ya Uingereza, Arsenal imetangaza kuwa itamaliza mkataba wake wa udhamini wa miaka nane na Visit Rwanda mwishoni mwa msimu wa 2025-26, ushirikiano uliokuwa k . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

Dkt. Samia na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wametunukiwa tuzo za heshima na Shirikisho la Soka Afrika (CAF)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Uganda Yoweri Museveni wametunukiwa tuzo za heshima na Shi . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 20, 2025

CAF Awards 2025 Clement Mzize aibuka na Tuzo Maalum ya Bao Bora la Mwaka

Wakati sherehe za utoaji wa Tuzo za  shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF Awards 2025) zilizofanyika kwa kishindo na kushuhudia wachezaji, makocha, marefa na timu m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Ahmed Ally acheza kigoma Buguruni

Meneja wa habari na mawasiliano wa klabu ya Simba leo kwenye uzinduzi wa kispika (hamasa za Simba) kuelekea mchezo wao wa klabu Bingwa Afrika dhidi ya Petro Atletico Ahme . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 19, 2025

Mbappé Awadai PSG Bilioni 700 Kwa ‘Kumtenga

Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappé anadai fidia ya Euro Milioni 263 (takriban TSh 743 Bilioni) kutoka kwa Paris Saint-Germain katika mzozo unaohusu mkataba wake.Awali PSG . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Klabu ya ALAHLI Tripoli ya Libya Imetuma ofa ya Tsh 4.8 Bilion Kumsajili Fei Toto

Klabu ya ALAHLI Tripoli,ya Libya imetuma ofa ya $2,000,000 (tsh 4.8 bilion) ili kumsajili Fei Toto kutoka Azam Fc.Klabu hiyo ya Libya imetuma ofa hiyo baada ya ile ya kwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 18, 2025

Simba Yathibitisha Moussa Camara Kuendelea Kukosekana kwa Wiki 10

Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuwa golikipa Moussa Pinpin Camara ambaye kwa sasa yupo Nchini Morocco kwa matibabu ataendelea kuwa nje ya uwanja kwa muda wa Wiki 10 huku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Liverpool inamfukuzia Semenyo Bournemouth

Mohamed Salah anatarajiwa kuichezea timu ya taifa Misri katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwezi Desemba na Januari, huku Liverpool ikiendelea kuhusishwa na mpa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Leopards ya Congo yazima matumaini ya Nigeria kufuzu kombe la dunia

Timu ya taifa ya DRC hapo jana iliweka hai matumaini yake ya kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia hapo mwakani baada ya kuwafunga Nigeria kwa magoli 4 kwa 3 kwa njia . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • November 6, 2025

JKT Queens kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Timu ya JKT Queens pamoja na Viongozi na Benchi la Ufundi wameondoka Novemba 5 mwaka huu kwenda nchini Misri kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa upande wa w . . .

news
Top Story
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Mtanzania aweka rekodi mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship

LOLITA Borega aweka rekodi nyingine tena nchini Tanzania baada ya kung’ara katika mashindano ya AA Junior and Senior Open Water Swimming Championship yaliyofanyika Nyal . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • October 27, 2025

Klabu ya Juventus yamfuta kazi kocha Mkuu Igor Tudor

Klabu ya Juventus imemfuta kazi kocha wao Mkuu Igor Tudor baada ya kupoteza wa Serie A dhidi ya Lazio kwa goli 1-0. Igor alijiunga na Klabu hiyo mwezi Machi 2025 akichuk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse?Modest amefariki dunia

Mshambuliaji na kiungo wa zamani wa Tanzania Alphonse Modest amefariki dunia.Modest alicheza kwa timu za kikanda ikiwa ni pamoja na Simba SC na Young African . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 22, 2025

Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo

Liverpool inafikiria kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana Antoine Semenyo, 25, msimu wa uhamisho wa wachezaji Januari mwakani. (i Paper - usaji . . .

news
SOKA
  • Na Jembe Digital
  • October 21, 2025

Simba yatoa viingilio Kuelekea mchezo wa Jumapili dhidi ya Nsingizini Hotspurs

Kikosi kilirejea jana Dar es Salaam, leo vijana wamepumzika na kesho watarudi Mo Simba Arena kuanza maandalizi ya mchezo wa Jumapili. Tunayo furaha ya kocha wetu Seleman . . .

Kurasa 1 ya 26

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 16 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 24 masaa yaliopita
  • UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode