logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 20 masaa yaliopita

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,George Simbachawene ameviomba vyombo vilivyopo chini ya wizara hiyo kufanya utafiti na kuja na suluhisho la kuondoa na kupunguza malalamiko kutoka kwa wananchi ikiwemo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Umoja wa Mataifa umeomba ufadhili wa dharura kusaidia zaidi ya raia 80,000 waliokimbilia Burundi kufuatia mmapigano ya hivi karibuni yaliyotokea Kivu Kusini, hususani katika mji wa Uvira ambako kumesh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Umoja wa Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na taasisi zinazoongoza mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, ikiwa ni pamoja na C-Sema na Elimika, wameandaa mwongozo wa uandishi wa ha . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • jana

Mwanaume Afariki Baada ya Kufuata “tiba” ya Mtandaoni

Hii ni habari ya kusikitisha  kuhusu kifo cha mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 47 kutoka Vietnam, ambaye alikufa baada ya kuacha kutumia dawa zake za shinikizo la damu na kufuata ushauri kutok . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Ng’ombe 22 wamekufa katika mazingira ya kutatanisha Shinyanga

Ng’ombe 22 wa mfugaji Alex Idege, mkazi wa Kijiji cha Kasingili, Kata ya Ilola, Wilaya ya Shinyanga, wamekutwa wamekufa zizini muda mfupi baada ya kurejea kutoka malishoni, katika tukio linaloibua m . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

TikTok yaepuka marufuku ya Marekani kupitia ubia mpya

Mtandao wa kijamii wa TikTok umechukua hatua muhimu ya kibiashara kwa kufikia makubaliano ya kuanzisha ubia na kampuni za Marekani, hatua inayolenga kutatua changamoto za kisheria na kiusalama zilizok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kura yapigwa kufupisha kifungo cha miaka 27 gerezani alichozabwa Rais

WABUNGE nchini Brazil mnamo Jumatano walipiga kura kufupisha kifungo ambacho Rais Jair Bolsonaro aliangushiwa kutoka miaka 27 hadi miaka miwili.Mswada walioupitisha kufupisha adhabu hiyo, hata hivyo h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Papa Leo akemea wanaotumia dini kuhalalisha vurugu

Papa Leo, kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, siku ya Alhamisi Desemba 18, 2025 amewakemea vikali viongozi wa kisiasa na viongozi wa dini wanaotumia imani za kidini kuhalalisha migogoro, vita au sera . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Pwani wajipanga kuwafikia wasio na uwezo kupitia Bima ya Afya kwa Wote

Katika tathmini ya utekelezaji wa ahadi za siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, Mkoa wa Pwani umejipanga kufanya uhakiki wa wananchi wasio na uwezo ili waweze kufikiwa na mpango wa Bima ya Afya kwa W . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Papa Leo Asema Matumizi ya Dini Kuanzisha Vita ni Kufuru na Dhambi Kubwa

Papa Leo ambaye ni  kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani leo Vatican City, Desemba 18 mwaka huu amekemea vikali matumizi ya dini kama chombo cha kuhalalisha migogoro ya kisiasa, vurugu, . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Kifo cha 'Hadi' chazua vurugu kubwa Bangladesh

Maandamano yaliyoambatana na vurugu yamezuka kote mjini Dhaka na sehemu nyingine za Bangladesh kufuatia kifo cha mwanaharakati maarufu Sharif Osman Hadi kutangazwa Alhamisi jioni.Waandamanaji hao wana . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Rais wa zamani wa Iraq awa mkuu mpya wa UNHCR

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jana Alhamisi lilimuidhinisha Rais wa zamani wa Iraq Barham Salih kuwa mkuu ajaye wa shirika la wakimbizi, UNHCR, akiwa ni kwanza kutoka Mashariki ya Kati tangu mwishoni . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Marekani yawawekea vikwazo majaji wawili zaidi wa ICC

Serikali ya Marekani imewawekea vikwazo majaji wawili zaidi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wake dhidi ya raia wa Israel.Majaji hao walioongezwa kwenye orodha ya vikwazo . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Watu 7 wakamatwa wakihusishwa na washambuliaji wa Bondi

Wanaume saba wanaoaminika kuwa na uhusiano wa kiitikadi na washambuliaji wawili waliohusika na shambulizi la kigaidi kwenye ufuo wa Bondi siku ya Jumapili wamekamatwa kusini-magharibi mwa Sydney.Taari . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Umoja wa Ulaya kuipatia Ukraine mkopo wa yuro bilioni 90

Viongozi wa Umoja wa Ulaya hatimaye wamefikia makubaliano ya kuipatia Ukraine mkopo wa kiasi cha yuro bilioni 90 katika kipindi cha miaka miwili ijayo, hii ikiwa ni kulingana na Rais wa Baraza la Ulay . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Magari 11 yaondolewa namba za usajili Rukwa

Jeshi la Polisi Kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Rukwa limefanya operesheni maalum ya usalama barabarani kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, ikilenga kulinda usalama wa wasafiri na watumiaji wa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Nigeria yaomba radhi Burkina Faso baada ya ukiukaji wa anga

Nigeria imeomba radhi Burkina Faso kufuatia ukiukaji wa anga yake wiki iliyopita. Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Shirikisho la Nigeria amepokelewa Jumatano, Desemba 17, na Kapteni Ibrahim TraorĂ . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

UN na mashirika waonya juu ya kusitishwa misaada Gaza

Umoja wa Mataifa na mashirika mengine ya misaada 200 wametahadharisha kwamba operesheni za kiutu kwenye maeneo ya Kipalestina na hasa Ukanda wa Gaza ziko hatarini kufungwa hayo yamesemwa kwenye t . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Bunge la Ujerumani lapitisha mabilioni ya matumizi ya jeshi

Kamati ya Bajeti ya Bunge la Ujerumani imeidhinisha kitita cha yuro bilioni 52 za matumizi ya kijeshi wakati taifa hilo likijaribu kujiimarisha katikati ya kitisho cha kiusalama kinachosababishwa na u . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Trump atangaza mikakati ya mwaka 2026

Rais wa Marekani  Donald Trump amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi ya Disemba 18 mwaka huu na kuweka wazi mipango yake ya kuifanya Marekani kuwa imara zaidi kuliko hapo awali.Rais Trump alianza . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Polisi Morogoro wachunguza kifo cha dada wa kazi na magari kuchomwa moto Mvomero

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Alex Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuchomwa moto kwa magari mawili katika Kij . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Wakuu wa Shule Msiwe Kikwazo Cha Utendaji Kazi wa Walimu

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI] Mhe. Prof Riziki Shemdoe amewataka Wakuu wa Shule za Sekondari nchini kutokuwa kikwazo cha utendaji kazi wa wa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Msako wa Kuwakamata Kamchape waanza rasmi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewataka wananchi kuachana na imani potofu ikiwemo kuamini katika ushirikina ambao unaweza kuchochea mauaji, ukatili na matukio mengine ya jinai katika baadhi ya maene . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mwanza yazindua utoaji elimu ya bima ya afya kwa wote

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda, leo Desemba 17 mwaka huu amezindua utoaji wa elimu ya Bima ya Afya kwa Wote mkoani Mwanza, akihimiza wananchi kushiriki ili kuhakikisha kila mmoja anakuwa na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Uamuzi kesi ya kufutwa sherehe za uhuru ni leo

Uamuzi katika kesi iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhusu kufutwa kwa Sherehe za Uhuru 2025, unatarajiwa kutolewa na Mahakama Kuu ya Tanzania, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Donald Trump apiga marufuku raia wa nchi saba zingine kuingia Marekani

Rais wa Marekani Donald Trump, siku ya Jumanne Desemba 16 amepanua orodha ya raia wa kigeni waliopigwa marufuku kuingia nchini Marekani ambayo sasa inajumuisha Raia wa Syria, Burkina Faso, Mali, na Pa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Mawakili wa Roger Lumbala kukata rufaa dhidi ya kifungo mteja wao cha miaka 30 jela

Timu ya mawakili inayomwakilisha kiongozi wa zamani wa upinzani nchini Kongo Roger Lumbala imetangaza siku ya Jumanne Desemba 16 kwamba watakata rufaa siku ya Jumatano baada ya mteja wao kuhukumiwa ki . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Sudan yaongoza kwenye orodha ya nchi zenye migogoro ya kibinadamu duniani

Sudan inaongoza kweye orodha ya chi zenye migogoro ya kibinadamu duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, kulingana na ripoti iliyochapishwa siku ya Jumanne na kundi la kimataifa la misaada, huku vita vik . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Madumu ya mafuta ya magendo yakamatwa Ubungo

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekamata madumu 23,755 ya mafuta ya kupikia yaliyoingizwa nchini Tanzania kinyume na taratibu kupitia Bandari ya Kunduchi jijini Dar es Salaam.Akizungumza Kamishna Mk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Mataifa ya Ulaya yaanzisha Kamisheni ya Madai ya Ukraine

Baraza la Ulaya ni shirika linaloongoza kwa masuala ya haki za binaadamu barani humuna na pia limepiga hatua muhimu kuelekea ulipaji wa fidia za kivita kwa watu wa Ukraine.Hatua hiyo imepelekea Baraza . . .

Kurasa 1 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • saa moja lililopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 20 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode