Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya nchini kutenga muda wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi, hususan migogoro ya ard . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Zungu, amesema mipango ya maendeleo katika sekta ya utalii haipaswi kuchanganywa na hoja za kidini, akisisitiza kuwa miradi ya kimkakati i . . .
Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa wa vita na raia baada ya siku mbili za mazungumzo ya amani yanayosimamiwa na Marekani huko Abu Dhabi.Jumla ya Waukraine 157 – saba kati yao waki . . .
Asilimia moja ya wanaume hupata saratani ya matiti kwa mwaka, hivyo wametakiwa kuwahi hospitali pindi wanapotambua mabadiliko yoyote katika matiti yao, ikiwemo uvimbe, maumivu au kutokwa na majimaji, . . .
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaarifu wateja wake pamoja na wakazi wa Mkoa wa Mwanza kuwa kutakuwa na zoezi la maboresho ya miundombinu ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mkoa huo kuanzia k . . .
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho Februari 7 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa kidiplom . . .
TAASISI ya Madereva wa Magari ya Abiria na Mizigo (TIMD) mkoani Mwanza imesema imepokea na kuanza kutekeleza agizo la Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, la kusimamia kanuni na taratibu za uto . . .
SERIKALI imewahimiza wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika viwanda vya uchenjuaji na uchakataji wa madini ya dhahabu mkoani Geita ili kuongeza thamani ya madini, kuimarisha ajira, kulinda . . .
Ofisi ya Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imejibu kuhusu kufutwa kwa vyama vya siasa nchini Burkina Faso, uamuzi uliofanywa na utawala wa kijeshi unaotawala. Katika taarifa iliyot . . .
Wananchi wa mtaa wa Nyahingi, kata ya Mkolani, wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Shule ya Msingi Nyahingi ili kuwaondolea watoto wao adha ya kutembea umbali m . . .
Serikali kupitia Baraza la Ushindani (FCT) imeendesha semina kwa wadau wa Mkoa wa Mwanza hatua inayolenga kuimarisha ufanisi wa utekelezaji wa sheria za ushindani katika soko.Semina hiyo imefanyika le . . .
Mtaa wa Githurai 45 ulijaa kicheko na mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Kevo’ kunaswa akitekeleza wizi wa aina yake ndani ya kanisa la mtaa huo. Kevo ambaye mara nyingi huo . . .
Nyumba zaidi ya 3,000 zilizopo kandokando ya Mto Msimbazi zinatarajia kubomolewa ili kupunguza athari za mafuriko katika eneo la Jangwani na kuboresha mipango miji.Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (T . . .
MAHAKAMA nchini Marekani imemhukumu Ryan Routh kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais wa Marekani, Donald Trump, miezi miwili kabla ya uchaguzi wa urais wa mwaka . . .
Serikali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeendelea kulitambua zao la pamba kama zao la kimkakati kutokana na mchango wake mkubwa katika uchumi wa mkulima na maendeleo ya Taifa kwa ujumla.Kauli . . .
Serikali imewaonya wananchi wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kudhalilisha viongozi au kusambaza taarifa za uchochezi na ikisisitiza kuwa haitawafumbia macho wanaokiuka sheria za matumizi sahi . . .
Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imekamilisha ujenzi wa nyumba mbili pacha za askari Polisi katika Mtaa wa Mgusu, Kata ya Mgusu, Wilaya ya Geita mkoani Geita, hatua inayolenga kuboresha mak . . .
Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Mwanza, Eng. Ambrose Paschal, amethibitisha kufunguliwa kwa kipande cha barabara ya Kenyata kilichopo Mkuyni, hatua inayopunguza adha kwa watum . . .
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amewataka Watanzania wote kushiriki kikamilifu katika udhibiti na usimamizi wa silaha, hatua inayolenga kuilinda nchi na kutekeleza Katiba ya Jamh . . .
Serikali imesisitiza kuwa magereza nchini si sehemu ya mateso, bali ni vituo vya marekebisho na maendeleo ya wafungwa kupitia elimu na mafunzo mbalimbali wanapokuwa ndani ya vifungo vyao.Kauli hiyo im . . .
Watu 15 wamefariki dunia kufuatia ajali ya kugongana kati ya mashua ya walinzi wa pwani ya Ugiriki na mashua iliyokuwa imewabeba wahamiaji, karibu na ufukwe wa Kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki.Kwa muj . . .
Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit amejikuta katika sintofahamu baada ya kumteua kimakosa mtu aliyeshafariki dunia kuwa mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Uchaguzi wa taifa hilo.Kwa mujibu wa mse . . .
Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi, Rwanda, na Uganda.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hatua hiyo i . . .
Marekani imerejesha fedha za mauzo ya mwanzo ya mafuta ya Venezuela, ikiwa ni sehemu ya makubaliano baina ya Caracas na Washington yaliyofikiwa mwezi uliopita, baada ya kupinduliwa na kutekwa Rais Nic . . .
Saif al-Islam Gaddafi, mtotoa mdogo wa Muammar al-Gaddafi na mgombea katika uchaguzi wa rais wa 2021, ambao hatimaye haukufanyika, ameuawa nyumbani kwake Zintan, jiji lililoko kaskazini magharibi mwa . . .
Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa (kulia) akioneshwa picha zilizopo ukutani ( Wall Museum) zilizokuwa zikimuonesha historia ya Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) kutoka kwa Makamu wa . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi mazungumzo na viongozi pamoja na wadau wa kimataifa kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na kuvutia uw . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata watu 19, wakiwemo madereva na makondakta wa daladala, kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya wizi dhidi ya abiria wanaotumia usafiri wa umma katika maeneo . . .
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Said Mtanda, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina baada ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nenge Jonathan Paul kuvuliwa cheo na kushushwa kuwa mwalimu wa kawaida kwa m . . .
waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza umuhimu wa kuharakisha utekelezaji wa mifumo ya zana endelevu za kilimo barani afrika kwa kuunganisha kikamilifu na ser . . .