logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mwigulu Nchemba, amewataka mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya nchini kutenga muda wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi, hususan migogoro ya ard . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • jana

Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Zungu, amesema mipango ya maendeleo katika sekta ya utalii haipaswi kuchanganywa na hoja za kidini, akisisitiza kuwa miradi ya kimkakati i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa wa vita na raia baada ya siku mbili za mazungumzo ya amani yanayosimamiwa na Marekani huko Abu Dhabi.Jumla ya Waukraine 157 – saba kati yao waki . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Wanaume waonywa saratani ya matiti

Asilimia moja ya wanaume hupata saratani ya matiti kwa mwaka, hivyo wametakiwa kuwahi hospitali pindi wanapotambua mabadiliko yoyote katika matiti yao, ikiwemo uvimbe, maumivu au kutokwa na majimaji, . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

TANESCO Kutekeleza Maboresho ya Umeme Mwanza

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawaarifu wateja wake pamoja na wakazi wa Mkoa wa Mwanza kuwa kutakuwa na zoezi la maboresho ya miundombinu ya umeme katika baadhi ya maeneo ya mkoa huo kuanzia k . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Rais Museveni Kuwasili Tanzania kwa Ziara ya Kikazi

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, anatarajiwa kuwasili nchini Tanzania kesho  Februari 7 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa kidiplom . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

TIMD Mwanza Yawakumbusha Madereva Kuheshimu Wanafunzi

TAASISI ya Madereva wa Magari ya Abiria na Mizigo (TIMD) mkoani Mwanza imesema imepokea na kuanza kutekeleza agizo la Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, la kusimamia kanuni na taratibu za uto . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

SERIKALI YAHIMIZA UWEKEZAJI VIWANDA VYA UCHAKATAJI MADINI GEITA

SERIKALI imewahimiza wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika viwanda vya uchenjuaji na uchakataji wa madini ya dhahabu mkoani Geita ili kuongeza thamani ya madini, kuimarisha ajira, kulinda . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 2 siku zilizopita

Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa UM akosoa kuvunjwa kwa vyama vya siasa

Ofisi ya Kamishna Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imejibu kuhusu kufutwa kwa vyama vya siasa nchini Burkina Faso, uamuzi uliofanywa na utawala wa kijeshi unaotawala. Katika taarifa iliyot . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

WANANCHI NYAHINGI WAIOMBA SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA SHULE YA MSINGI

Wananchi wa mtaa wa Nyahingi, kata ya Mkolani, wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza, wameiomba Serikali kukamilisha ujenzi wa Shule ya Msingi Nyahingi ili kuwaondolea watoto wao adha ya kutembea umbali m . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

Baraza la Ushindani Lawaonya Wadau Kuhusu Sheria

Serikali kupitia Baraza la Ushindani (FCT) imeendesha semina kwa wadau wa Mkoa wa Mwanza hatua inayolenga kuimarisha ufanisi wa utekelezaji wa sheria za ushindani katika soko.Semina hiyo imefanyika le . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

KIJANA ANASWA AKIBA SADAKA KANISANI KWA KUTUMIA GUNDI KWENYE KIJITI JIJINI NAIROBI

Mtaa wa Githurai 45 ulijaa kicheko na mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Kevo’ kunaswa akitekeleza wizi wa aina yake ndani ya kanisa la mtaa huo. Kevo ambaye mara nyingi huo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • 3 siku zilizopita

Nyumba 3,000 kando ya Mto Msimbazi kubomolewa

Nyumba zaidi ya 3,000 zilizopo kandokando ya Mto Msimbazi zinatarajia kubomolewa ili kupunguza athari za mafuriko katika eneo la Jangwani na kuboresha mipango miji.Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (T . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Ryan Routh Afungwa Maisha kwa Jaribio la Kumuua Rais Trump

MAHAKAMA nchini Marekani imemhukumu Ryan Routh kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais wa Marekani, Donald Trump, miezi miwili kabla ya uchaguzi wa urais wa mwaka . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Serikali Kishapu Yalipa Kipaumbele Zao la Pamba

Serikali ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga imeendelea kulitambua zao la pamba kama zao la kimkakati kutokana na mchango wake mkubwa katika uchumi wa mkulima na maendeleo ya Taifa kwa ujumla.Kauli . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

Kairuki Aonya Matumizi Mabaya ya Mitandao ya Kijamii

Serikali imewaonya wananchi wanaotumia mitandao ya kijamii vibaya kwa kudhalilisha viongozi au kusambaza taarifa za uchochezi na ikisisitiza kuwa haitawafumbia macho wanaokiuka sheria za matumizi sahi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 3 siku zilizopita

GGML YAKABIDHI NYUMBA KWA JESHI LA POLISI GEITA

Kampuni ya Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGML) imekamilisha ujenzi wa nyumba mbili pacha za askari Polisi katika Mtaa wa Mgusu, Kata ya Mgusu, Wilaya ya Geita mkoani Geita, hatua inayolenga kuboresha mak . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Barabara ya Kenyata Mkuyuni Yafunguliwa Baada ya Marekebisho

Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) Mkoa wa Mwanza, Eng. Ambrose Paschal, amethibitisha kufunguliwa kwa kipande cha barabara ya Kenyata kilichopo Mkuyni, hatua inayopunguza adha kwa watum . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

IGP Wambura Awataka Watanzania Kushiriki Kudhibiti Silaha

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Camillus Wambura, amewataka Watanzania wote kushiriki kikamilifu katika udhibiti na usimamizi wa silaha, hatua inayolenga kuilinda nchi na kutekeleza Katiba ya Jamh . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Wafungwa 410 Wahitimu Masomo ya ujasiriamali Nchini

Serikali imesisitiza kuwa magereza nchini si sehemu ya mateso, bali ni vituo vya marekebisho na maendeleo ya wafungwa kupitia elimu na mafunzo mbalimbali wanapokuwa ndani ya vifungo vyao.Kauli hiyo im . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Ajali ya Mashua Ugiriki Yaua Wahamiaji 15 Chios

Watu 15 wamefariki dunia kufuatia ajali ya kugongana kati ya mashua ya walinzi wa pwani ya Ugiriki na mashua iliyokuwa imewabeba wahamiaji, karibu na ufukwe wa Kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki.Kwa muj . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Rais Kiir Amteua Marehemu Kwenye Kamati ya Uchaguzi

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir Mayardit amejikuta katika sintofahamu baada ya kumteua kimakosa mtu aliyeshafariki dunia kuwa mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Uchaguzi wa taifa hilo.Kwa mujibu wa mse . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Marekani Yafunga Ubalozi Nchini Burundi, Rwanda na Uganda

Kupitia taarifa iliyotolewa kwenye tovuti yao rasmi, Ubalozi wa Marekani umekufunzi kufunga ofisi zao katika nchi mbalimbali ikiwemo Burundi, Rwanda, na Uganda.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, hatua hiyo i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Marekani yasema imerejesha $500m kwa Venezuela

Marekani imerejesha fedha za mauzo ya mwanzo ya mafuta ya Venezuela, ikiwa ni sehemu ya makubaliano baina ya Caracas na Washington yaliyofikiwa mwezi uliopita, baada ya kupinduliwa na kutekwa Rais Nic . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • 4 siku zilizopita

Kifo cha Saif al-Islam Gaddafi

Saif al-Islam Gaddafi, mtotoa mdogo wa Muammar al-Gaddafi na mgombea katika uchaguzi wa rais wa 2021, ambao hatimaye haukufanyika, ameuawa nyumbani kwake Zintan, jiji lililoko kaskazini magharibi mwa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

SERIKALI YAIPONGEZA GGML KWA MCHANGO WAKE WA MIAKA 25 KATIKA SEKTA YA MADINI NCHINI TANZANIA

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa (kulia) akioneshwa picha zilizopo ukutani ( Wall Museum) zilizokuwa zikimuonesha historia ya Mgodi wa Geita Gold Mining Limited (GGML) kutoka kwa Makamu wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • 4 siku zilizopita

Rais Samia Aanza Mazungumzo ya Kimataifa Dubai Kuvutia Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameanza rasmi mazungumzo na viongozi pamoja na wadau wa kimataifa kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimataifa na kuvutia uw . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Polisi Mwanza Wakamata Watuhumiwa 19 wa Wizi Daladala

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata watu 19, wakiwemo madereva na makondakta wa daladala, kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya wizi dhidi ya abiria wanaotumia usafiri wa umma katika maeneo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

RC Mtanda Aagiza Uchunguzi wa Kuvuliwa Cheo kwa Mwalimu Mkuu Magu

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe Said Mtanda, ameagiza kufanyika kwa uchunguzi wa kina baada ya Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nenge Jonathan Paul kuvuliwa cheo na kushushwa kuwa mwalimu wa kawaida kwa m . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • 5 siku zilizopita

Waziri Mkuu Ahamasisha Zana Endelevu za Kilimo Afrika

waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza umuhimu wa kuharakisha utekelezaji wa mifumo ya zana endelevu za kilimo barani afrika kwa kuunganisha kikamilifu na ser . . .

Kurasa 1 ya 138

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • jana
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • jana
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode