logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • 2 siku zilizopita

BASATA Yapiga Marufuku MC na DJ Wasio na Vibali

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limetangaza kuwa kuanzia leo Februari 06 mwaka huu waongoza sherehe na matukio (MCs) pamoja na Manju Muziki (DJs) wote wasio na vibali h . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • 5 siku zilizopita

Davido Akosa Grammy Tatu Mfululizo

Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na tuzo yoyote kwenye toleo la 68 la Gramm . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • 6 siku zilizopita

Hii hapa orodha Kamili ya Washindi wa Grammy Awards 2026

 Usiku wa Februari mosi mwaka huu ulimalizika kwa mwangaza mkubwa katika Grammy Awards tukio kuu la muziki duniani lililoandaliwa katika Crypto Arena.Staa wa Rap Ken . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • January 29, 2026

Jackie Chan Ajiandalia Wimbo wa Mazishi

Imeelezwa kuwa muigizaji maarufu wa filamu duniani Jackie Chan, tayari ameandaa wimbo maalum wa kuchezwa siku atakayofariki pamoja na siku ya mazishi yake. Taarifa hizo z . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Spotify Yazizima! Drake Afikisha Rekodi Isiyowahi Kutokea

Rapper maarufu kutoka Canada Drake ameendelea kuandika historia katika muziki wa HipHop baada ya kuwa msanii wa kwanza wa HipHop duniani kufikisha wasikilizaji . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • January 19, 2026

Niffer Athibitisha Kuachana na OG, Aomba Kuheshimiwa

Mfanyabiashara maarufu anayefahamika kwa jina la Niffer amethibitisha rasmi kuvunjika kwa mahusiano yake na aliyekuwa mpenzi wake OG Phone and Accessories akieleza kuwa u . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 13, 2026

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

msanii maarufu wa RnB JUMA JUX kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia ushindi wa kipengele cha Msanii Bora wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 19, 2025

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa mkubwa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa amehukumiwa na Mahakama ya Romania kifungo cha miezi tisa jela kwa kosa la kuvuta bangi jukwaani akiwa anafa . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 19, 2025

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa, amehukumiwa kifungo cha miezi tisa jela na Mahakama ya Romania kwa kosa la kuvuta bangi hadharani wakati wa onyesh . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 18, 2025

Christian Bella amepewa uraia wa Tanzania

Msanii maarufu wa muziki wa Bongofleva wenye ladha ya R&B na Afro-pop Christian Bella amepewa uraia wa Tanzania.Hayo yamesemwa leo disembs 18 mwska huu jijini Dar es . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Caren Simba Akanusha Madai ya Kutoka Kimapenzi na Pacome Zouzoua

Mrembo wa mitandao ya kijamii Caren Simba (@caren_simba), amefunguka na kufafanua kuwa hajawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua (@pacom_z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Muigizaji Tagawa wa Mortal Kombat afariki dunia

Muigizaji Mkongwe na Producer Cary-Hiroyuki Tagawa amefariki dunia jana Disemba 4, akiwa na miaka 75 Santa Barbara, California Marekani.Tagawa amefariki mbele ya familia . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • December 1, 2025

Rayvanny aweka rekodi, apata × 8 za Gold India

Msanii wa Bongo Flava nchiniTanzania@rayvanny , ameendelea kuweka rekodi na kuthibitisha ukubwa wake kimataifa baada ya wimbo wake “Oh Mama Tetema” kupata tuzo ya 8 . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • November 28, 2025

“THE GUY WITH ENERGY” ALBAMU YENYE SAFARI YA MUZIKI WA DK BALAFU

Baada ya mashabiki kusubiri kwa muda mrefu, hatimaye msanii mwenye nguvu na uthubutu mkubwa kwenye game akiwakilisha nchini congo DK Balafu mwenye makazi yake nchini Finl . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Jembe Digital
  • November 25, 2025

Wasani wakubwa India waomboleza kifo cha Legandary Dharmendra

Tasnia ya filamu ya India imegubikwa na simanzi kufuatia kifo cha mmoja wa nguli wake wakubwa na kipenzi cha vizazi vingi Dharmendra Kewal Krishan Deol ambaye amefariki a . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2025

Kifo cha MC PiliPili kimeacha majonzi makubwa

Jumuiya ya burudani nchini Tanzania imepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha ghafla cha mchekeshaji na mshereheshaji maarufu, Emmanuel Mathias, anayefahamika zaidi . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

MSANII TEKNO AAMUA KUGAWA PESA ZAKE ZA USHINDI KWA MASHABIKI ZAKE

Msanii maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amevutia hisia nyingi baada ya kushinda ₦298,000,000 kupitia mchezo wa betting. Kiasi hiki kikubwa cha fedha. Tekno haku . . .

news
TAMASHA
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

SAUTI ZA BUSARA 2026: MUZIKI WA KIAFRIKA UKIKUSANYIKA ZANZIBAR

Tamasha la Sauti za Busara 2026 linarudi kwa shauku kubwa kutoka 5–8 Februari katika mji wa kihistoria wa Stone Town, Zanzibar. Tukio hili la mwaka la 23 litasherehekea . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • November 10, 2025

GRACE OF AFRICA YAZINDUA WIMBO MPYA “NGUVU YANGU (MY STRENGTH)

Grace of Africa yazindua rasmi  wa wimbo wao mpya wa injili, “Nguvu Yangu (My Strength)”, unaohamasisha imani, tumaini, na nguvu ya ndani.Wimbo huu, ul . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2025

Diddy kutoka jela ni mei 2028

Kutoka kwenye website ya Magereza nchini Marekani (Federal Bureau of prison) Msanii Diddy anatarajiwa kuachiliwa kutoka Gerezani Mei 202Diddy alihukumiwa kifungo cha miez . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • October 24, 2025

MSIGWA AWAKABIDHI UMSOTA MILIONI TANO ZAWADI YA “GOLI LA MAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amekabidhi kiasi cha shilingi milioni tano (5,000,000/=) kwa t . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2025

Chris Brown aguswa na Bryson Tiller

Mwanamuziki wa R&B, Bryson Tiller, ameonyesha upendo na shukrani za dhati kwa mwenzake Chris Brown kwa kumzawadia gari jipya aina ya Lamborghini baada ya kumalizika k . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 15, 2025

Msanii Mkongwe wa R&B, D’Angelo Afariki Dunia Akiwa na Miaka 51

Mwanamuziki maarufu wa Marekani, Michael Eugene Archer almaarufu D’Angelo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 51 baada ya kusumbuliwa na saratani ya kongosho kwa mud . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 13, 2025

Marioo Atoa Kauli Nzito Kuhusu Mke Wake

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Marioo, amezua gumzo mitandaoni baada ya kuandika ujumbe mrefu wenye hisia kali kupitia ukurasa wake wa Instagram akimzungumzia m . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 10, 2025

Aggy Baby Afichua Ukweli! Asema Poshy Hajaolewa, Ile Ilikuwa Kiki Tu!

MSANII wa Bongo Muvi, Agness Suleiman Kihamba maarufu kama Aggy Baby ameendelea kusisitiza kuwa mrembo wa mitandaoni Poshqueeen hajaolewa, akidai tukio lililozua gumzo mi . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • October 7, 2025

Diddy Ampiga Simu Trump – Aomba Msamaha Baada ya Kifungo cha Miezi 50!

Rais wa Marekani, Donald Trump, amethibitisha kwamba rapa maarufu Diddy (Puff Daddy) amempigia simu akiomba msamaha wa rais, kufuatia hukumu ya kifungo cha miezi 50 jela. . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Sherehe ya 40 Ya Mtoto wa Jux na Priscilla Yazua Gumzo Mitandaoni

Msanii na nyota wa mziki Juma Jux na mke wake mrembo Priscilla wameweka kumbukumbu nyingine ya kipekee baada ya kufanya sherehe ya 40 ya mtoto wao kwa bashasha na mvuto w . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • October 3, 2025

Surraiya Rimoy amewataka mashabiki wakea kutodanganyika na Maisha Yake ya Mitandaoni

 Msanii  maarufu wa mitindo, Surraiya Rimoy almaarufu kama Sanchi, ameweka wazi kuwa maisha anayoyaonesha kwenye mitandao ya kijamii yasichukuliwe kama taswira . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • October 2, 2025

Poshy Queen amefunguka kuolewa na mwanaume anayefanya kazi ya udalali.

Mrembo maarufu wa mitandao ya kijamii, Poshy Queen, ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kutokana na urembo na muonekano wake (shape), hatimaye amefunguka rasmi kuwa kwa sas . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • September 29, 2025

Zari The Bosslady Apata Ajali ya Gari

Mfanyabiashara na staa maarufu wa Afrika, Zari The Bosslady, amethibitisha kuwa amepata ajali ya gari akiwa ndani ya Range Rover yake. Kupitia ukurasa wake . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • September 27, 2025

Msanii chipukizi wa muziki D4vd akutwa na tuhuma nzito ya kimahusiano

Msanii chipukizi wa muziki duniani, D4vd, amejikuta katikati ya tuhuma nzito baada ya kuripotiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msichana mwenye umri wa miaka 15, Celes . . .

news
Muziki
  • Na Jembe Digital
  • September 22, 2025

Jasinta Makwabe Atoa Kauli Nzito Kuhusu Diamond Platnumz

Mwanamitindo maarufu wa Afrika Mashariki, Jasinta Makwabe ‘Candy Boo’, amewasha moto mitandao baada ya kudaiwa kutoa kauli nzito inayozua mjadala mkubwa. Amesema staa . . .

news
Mastaa
  • Na Jembe Digital
  • September 12, 2025

Lulu Diva Afunguka Kuhusu Tuhuma za Kutoka na Ex wa Mobetto

Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva @luludivatz amefungukia tuhuma za kutoka kimapenzi na aliyekuwa X wa Hamisa Mobetto, Kelvin Sowax kabla hajaolewa.Lulu . . .

Kurasa 1 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • jana
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • jana
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode