logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Senzo atuma salamu Simba

YANGA ipo jijini Mwanza kwa ajili ya mechi mbili ngumu, lakini hapohapo wakapeleka salamu nzito kwa watani zao Simba watakaokutana nao M . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Saido atembea na mkataba wa Yanga

Saido Ntibazonkiza yupo kwenye majadiliano na Yanga kuhusiana na muda wa mkataba wake mpya huku Mwanaspoti likitaarifiwa kwamba amegomea w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Volodymyr Zelensky kuhutubia viongozi wa dunia Davos

 Rais wa Ukraine anaendelea na ziara yake kupitia mkutano kwa njia ya video na viongozi wa dunia. Volodymyr Zelensky atahutubia Jumatat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

New Zealand kutoa mafunzo kwa wapiganaji wa Ukraine

Serikali ya New Zealand imetangaza kwamba itatuma nchini Uingereza takriban wakufunzi thelathini wa kijeshi kuwafunz . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Tozo Daraja la Nyerere zashuka, kulipwa kwa vifurushi

Hatimaye Serikali imesikia kilio cha wananchi juu ya malipo ya kuvuka daraja la Nyerere lililopo Kigamboni jijini Dar es Saalam na kubad . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Mageuzi watoa maazimio manne

Siku moja baada ya mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi kutangaza kuwasimamisha Mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Kundi la waasi la M23 lashtumiwa kushambulia walinda amani wa Umoja wa mataifa

Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa mataifai amelishtumu kundi la M23 linaloendesha harakati zake nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Con . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall kufanya ziara Russia na Ukraine kwa niaba ya AU

Rais wa Senegal Macky Sall Jumapili amesema atafanya ziara siku za hivi karibuni nchini Russia na huko Ukraine kwa niaba ya Umoja wa A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan ametangaza kufanya maandamano ya amani dhidi ya serikali

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan alitangaza Jumapili kwamba ataongoza maandamano ya amani dhidi ya serikali kwenye mji mkuu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

IMF yataka serikali zitoe ruzuku kugharamia 'makali ya maisha' kwa wananchi wake

Serikali za mataifa duniani zinatakiwa kutoa ruzuku kwa ajili ya gharama ya chakula na nishati kwa watu maskini zaidi katika jamii, mkuu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Ukraine yakataa kusalimisha ardhi yake kwa Warusi kwenye mpango wa makubaliano ya amani

Serikali ya Ukraine inasema haitakubali makubaliano ya kusitisha mapigano na Urusi ambayo yanahusisha kuachia eneo - katika hali inayoon . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

NCCR-Mageuzi Yamsimamisha Mbatia

Halmashauri kuu  ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti wake B . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Muungano wa Indo-Pacific: baada ya Korea Kusini, Joe Biden atarajiwa Japani

Rais wa Marekani Joe Biden anawasili Tokyo Jumapili hii baada ya kukaa zaidi ya siku mbili nchini Korea Kusini ili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Urusi Yatangaza Kuudhibiti Mji wa Mariupol Wanajeshi Zaidi ya 2,000 wa Ukraine Wajisalimisha

BAADA ya wanajeshi wa Ukraine 531 waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha Azovstal wakipambana na wanajeshi wa Urusi kujisalimisha, Uru . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Biden amsalimu Kim na kusema Marekani 'imejiandaa' kwa majaribio ya silaha za Korea Kaskazini.

Rais wa Marekani Joe Biden ameondoka Korea Kusini na kuelekea Japan leo Jumapili. Biden ametoa salamu na ujumbe mfupi kwa rais wa Korea . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Israel yaripoti kisa cha kwanza cha homa ya nyani

Kisa cha kwanza cha homa ya nyani kimegunduliwa nchini Israel kwa mtu aliyerejea kutoka nje ya nchi. Mamlaka nchini humo zinachunguza visa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Mahakama ya Pakistan yaamuru uchunguzi kuhusu kukamatwa kwa waziri wa zamani

Mahakama Kuu ya mji mkuu wa Pakistan, Islamabad imeamuru uchunguzi ufanyike juu ya kitendo chenye utata cha kukamatwa kwa aliyekuwa waziri . . .

Michezo
  • Na Gsengo
  • May 21, 2022

HALIMA KOPWE MISS TANZANIA , RAIS SAMIA KUJENGA UKUMBI WA KIMATAIFA JIJINI DAR

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Mhe. Rais Samia imedhamiria kuinua kuinua kiwango cha mas . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Jeshi la Mali limezuia vikosi vya UN kufanya doria kwenye kiini cha ghasia za wanajihadi

Jeshi la Mali lilizuia vikosi vya Umoja wa Mataifa kufanya doria katika mji wa kati wa Djenne kiini cha ghasia na harakati za wanajihadi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Serikali ya Somalia inarudisha fedha ilizozikamata kutoka ndege ya UAE

Serikali ya Somalia imetoa dola milioni 9.6 ilizozikamata kutoka kwenye ndege ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Mogadishu miaka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Rais wa Ukraine azishukuru Marekani na Umoja wa Ulaya kwa msaada

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy leo ameishukuru Marekani kwa msaada ziada wa dola bilioni 40 ulioidhinishwa na Bunge mjini Washington . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Ugonjwa wa Homa ya Nyani wasambaa duniani

Mataifa kadhaa duniani yamethibitisha maambukizo ya homa ya nyani siku kadhaa tangu Uingereza ilipotangaza mripuko wa maradhi hayo yanay . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Biden aanza ziara ya Korea Kusini, Japan

Rais wa Marekani Joe Biden amewasili nchini Korea Kusini leo kwa ziara itakayomfikisha pia nchini Japan inayofanyika chini ya kiwingu cha . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Ndovu 70 wafariki kutokana na ukame

Waziri wa Utali nchini Kenya, Najib Balala alisema kwamba Zaidi ya ndovu 70 wamefariki nchini humo, kutokana ukame a . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Marekani yakosoa kufungwa kwa Rusesabagina

Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imesema uchunguzi wake umebaini kuwa, muigizaji wa filamu ya Hotel Rwanda, Paul . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Bajeti ya Uongo Katika daraja la Kigongo-Busisi

Miaka miwili kabla ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi haujakamilika, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amegundua udan . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

KUMBE' BUGANDO INATIBU FISTULA BURE

MAADHIMISHO ya Siku ya Kutokomeza Fistula Duniani, Kitaifa nchini Tanzania yatafanyika jijini Mwanza katika viwanja vya Hospitali ya Rufaa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Jenerali Tefera Mamo akamatwa

Aliyekuwa kamanda vikosi vya Amhara nchini Ethiopia, jenerali Tefera Mamo, anazuiliwa katika jijini la Bahir Dar, baada yake kutoweka kwa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka Uingereza kuwasili hivi karibuni

Waziri mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente, amesema awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka nchini Uingereza, watawasili nchini Rwanda hivi kar . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

PANYA ROAD WAPEMA ONYO.

Mawaziri Dkt. Dorothy Gwajima wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Hamadi Masauni wa Mambo ya Ndani ya Nchi, wam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Vyama vya upinzani nchini Guinea, vyakaidi marufuku ya kufanya maandamano

Vyama vikuu vya upinzani nchini Guinea Jumatatu vimeapa kukaidi marufuku ya kutofanya maandamano iliyowekwa na utawala wa kijeshi, hatua . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Rais Mteule wa Somalia ametaja vipaumbele vyake anapoanza siku 100 madarakani

Rais mteule wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, anasema serikali yake italenga masuala ya haraka ikiwa ni pamoja na usalama, kufufua uchu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

WATALIBANI WATANGAZA KUSITISHA MAPIGANO.

Wataliban wa Pakistan wamesema wataendeleza muda wa kusimamisha mapigano na serikali ya Pakistan hadi mwishoni mwa mwezi huu. Wajumbe wa p . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Utafiti mpya wagundua uchafuzi wa mazingira waongoza kusababisha vifo milioni 9 kwa mwaka

Utafiti mpya umegundua kuwa uchafuzi wa mazingira wa aina zote ndio chanzo cha vifo vipatavyo milioni 9 kwa mwaka duniani kote. Idadi hiyo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Mawaziri wa fedha wa nchi tajiri wanatayarisha mpango wa kuisadia Ukraine

Mawaziri wa fedha wa nchi wa saba tajiri duniani, wanakutana kwenye mji wa Königswinter, magharibi mwa Ujerumani kujadili mpango wa kuisa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Dkt. Philip Mpango azindua Mpango wa Maendeleo wa UN na Tanzania.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizindua Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2 . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Mbunge akamatwa kwa kubaka

Mbunge wa Chama cha Conservative ambaye jina lake halijatajwa amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia. Polisi wa Metrop . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Serikali yawatoa hofu wakazi wa Mindu

Serikali imesema kuwa inaendelea kulishughulikia sauala la migogoro ya watu wa Mindu mkoani Morogoro hivyo wananchi wake wasiwe na wasiwas . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Mapacha Wenye Miaka 9 Mkoani Arusha Wanaishi kwa Kula Magodoro

Mapacha wenye umri wa miaka 9 mkoani Arusha wanaoishi huku wanakula magodoro, wanaomba msaada ili wakatibiwe. Mama mzazi wa watoto hao, J . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Korea Kaskazini kujaribu kombora wakati Biden akiizuru Korea Kusini

Maafisa wa serikali ya Korea Kusini na Marekani wanasema Korea Kaskazini inaonekana kujiandaa kufanya jaribio la kombora la masafa marefu . . .

Kurasa 167 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category