logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Zelensky ataka mkutano wa mazungumzo ya kukomesha vita na Putin

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, jana Jumamosi ametoa tena wito wa kufanya mkutano na kiongozi wa Urusi Vladimir Putin, katika juhudi z . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Lusinde awacharukia Zitto na wanaomnanga Magufuli

Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amemshukia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na watu wanaomsema vibaya Rais wa Awamu ya . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Aweso Awasimamisha Kazi Wanne Bwawa la Milioni 600 Handeni

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amefanya kikao na wadau wa Sekta ya Maji wa Handeni na kuelekeza hatua za haraka kuchukuliwa, ikiwamo . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Neymar Afunguka Anavyofurahia Penzi la Mpenzi Wake

MCHEZAJI wa soka, Mbrazili, Neymar Jr, amefunguka jinsi anavyompenda mpenzi wake mpya, Bruna Biancardi, walipokuwa wakisherehekea bethdei . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Kaizer Chiefs Yatangaza Rasmi Kuachana na Kocha wake Mkuu Stuart Baxter

KLABU ya Kaizer Chiefs na Kocha Stuart Baxter wamefikia makubaliano ya pamoja ya kuvunja mkataba wa kocha huyo aiyerudi kuifundisha klabu . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

WAZIRI MKUU AKEMEA VITENDO VYA KUWAFICHA WOTOTO WENYE UHITAJI MAALUM

 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania wenye tabia ya kuwaficha watoto  Wenye Ulemavu kuacha mtindo huo badal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

RAISI SAMIA AKUTANA NA BABA MZAZI WA RIHANNA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

WHO yasema watoto milioni moja wamechomwa chanjo ya Malaria Afrika

Shirika la Afya Ulimwenguni WHO limesema mpango wa majaribio wa chanjo ya malaria katika nchi za Kenya, Ghana na Malawi unaendelea vyema. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Rais Mstaafu Mwai Kibaki Amefariki Dunia

Rais mstaafu Mwai Kibaki amefariki dunia.Kifo chake kilitangazwa na Rais Uhuru Kenyatta mnamo Ijumaa, Aprili 22 adhuhuri wakati wa kikao na . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Ndege Yaanguka Barabarani na Kuuwa Watu Sita Mji Mkuu wa Haiti, Port-au-Prince

Ndege ndogo imeanguka kwenye barabara kuu katika mji mkuu wa Haiti, Port-au-Prince na kusababisha vifo vya takriban watu sita. Ndege hiyo i . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Mjane wa Dk Mengi Ashinda Rufaa ya Mirathi

Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekew . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Mbunge ahoji wateule wa Rais kuwaondoa watumishi waliowakuta

Mbunge wa Kilindi (CCM), Omary Kigua ameitaka Serikali kutoa vibali vya ajira kwa wateule wa Rais wanaowaondoa watumishi waliowakuta katik . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

TRA watoa ufafanuzi kuhusu kikao chao na wamiliki wa mtandao wa Facebook na Instagram

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia kwa Mkurugenzi wake wa huduma na elimu kwa mlipa kodi, Richard Kayombo imetoa ufafanuzi baada . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Marekani imetoa msaada mwingine wa kijeshi dola milioni 800 kwa Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden siku ya Alhamis aliidhinisha msaada mwingine wa kijeshi wa Marekani wa dola milioni 800 kwa Ukraine akitang . . .

Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine tayari umesababisha hasara ya dola bilioni 60

Uharibifu wa majengo na miundombinu ya Ukraine kutokana na uvamizi wa Russia umefikia hasara ya takriban dola bilioni 60 na utaongezeka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Makundi yenye silaha huko Chad yashutumu kuyumba kwa mazungumzo ya amani ya Qatar

Makundi ya waasi wenye silaha nchini Chad siku ya Alhamis yaliushutumu mji wa Njamena kuzorotesha kwa makusudi mazungumzo huko Qatar a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Rais wa zamani wa Honduras kushtakiwa kwa ulanguzi wa mihadarati Marekani

Rais wa zamani wa Honduras amepelekwa Marekani ili kukabiliwa na madai ya ulanguzi wa madawa ya kulevya, chini ya miezi mitatu tu baada ya . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Taarifa ya katibu mkuu wa chama cha Walimu Tanzania kuhusu Walimu kupandishwa madaraja

Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif amesema Walimu walionufaika kwa kupandishwa madaraja (vyeo) katika Serikali ya awa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

MANCHESTER UNITED YATOA TARIFA MPYA KUHUSU KOCHA

Club ya Manchester United imethibitisha kuwa Erik ten Hag (52) ndio atakuwa Kocha wao mpya baada ya msimu huu kumalizika.Erik ten Hag Raia w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Hamas yasema bado mapambano yanaendelea Gaza

Kiongozi wa kundi la Hamas katika ukanda wa Gaza, Ismail Haniya ametishia kuzidisha makali ya mapigano kati ya kundi hilo na Israel baad . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Serikali yafunguka ukweli kuhusu jiwe la rubi la kilo 2.8

"Tuliwasiliana na Ubalozi wetu Dubai na katika kufuatilia, imebainika kuwa mmiliki wake anatoka Marekani, sasa tunafuatilia mmiliki wa a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Google Wazindua Kituo cha Ukuzaji wa Bidhaa Nairobi Kenya Ambacho ni cha Kwanza Afrika

Mtandao wa Google umezindua kituo cha ukuzaji wa bidhaa jijini Nairobi Kenya ambacho ni cha kwanza katika bara la Afrika ambacho kitakua . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

JELA MIAKA 20 KWA KUWAPIGA WAFANYAKAZI WAKE.

Mahakama nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka 20 Mchina aliyetambuliwa kwa jina la Shujun Sun baada ya kupatikana na hatia ya kuwatesa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Abiria 60 Wanusurika Kifo Baada ya Ndege Kupoteza Mwelekeo.

Ndege iliyokuwa imebeba abiria 60 ikitokea Nairobi kuelekea Uganda, iliteleza na kutoka kwenye njia yake ilipokuwa ikitua katika uwanja wa n . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Takriban watoto elfu 2 walifariki Tigray kutokana na utapiamlo

Karibu watoto 1,900 chini ya umri wa miaka 5 wamefariki kutokana na utapiamlo katika eneo la Tigray katika kipindi cha mwaka mmoja uliopit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Ukraine yatoa wito wa mazungumzo kuinusuru Mariupol

Ukraine imetoa wito wa mazungumzo ya haraka na Urusi mjini Mariupol, mji unaokaribia kutekwa baada ya wiki kadhaa za uvamizi wa Urusi huku . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Wakili Madeleka adaiwa kukamatwa na Polisi

Wakili wa kujitegemea, Peter Madeleka amedaiwa kukamatwa na watu wanaodaiwa kuwa Polisi na kumpeleka katika ofisi za Wizara ya Mambo ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Spika atoa maagizo zuio la bajaji, bodaboda kuingia mjini Dar

Sakata la usafiri wa bodaboda na bajaji kuingia Katikati ya Jiji la Dar es Salaam limetua bungeni baada ya Mbunge wa Ukonga (CCM), Jelly . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Jeshi la Afrika kusini linaendelea na juhudi za kufukua vifusi na kupata maiti

Jeshi la Afrika kusini hadi sasa limetuma wanajeshi 400 kati ya elfu kumi waliotengwa kwa ajili ya operesheni za dharura, misaada, na uj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Italy na Angola wametia saini mkataba wa usambazaji gesi

Italy siku ya Jumatano iliingia mkataba na Angola ili kuongeza usambazaji wa gesi kutoka nchi hiyo ya kusini mwa Afrika huku ikihangai . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Wazazi wanaolea watoto wa rangi tofauti

Kila mwaka, familia nchini Marekani zinawaleta majumbani maelfu ya watoto wanaotoka ndani na nje ya nchi kuwalea. Kumleta nyumbani mtoto . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Waasi wa Houthi kutowatumia tena watoto kama wanajeshi

Umoja wa Mataifa umesema waasi wa Houthi Yemen, wameamua kutowatumia tena watoto kama wanajeshi. Waasi hao wamewatumia maelfu ya watoto . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Libya yafunga kisima cha mafuta wakati mzozo ukitokota

Viongozi wa kikabila kusini mwa Libya wamekifunga kisima kikubwa zaidi cha mafuta nchini humo. Ni hatua ya karibuni kabisa ya kufungwa kis . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Watu 443 wafa katika mafuriko ya Afrika Kusini

Mvua kubwa inayonyesha Afrika Kusini imewaua karibu watu 443 na wengine kadhaa bado hawajulikani waliko. Mamlaka ilisema kuwa wanajeshi 10 . . .

SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez wametangaza kifo cha mtoto wao wa kiume

Georgina Rodriguez wametangaza kifo cha mtoto wao wa kiume , wakisema kwamba ni uchungu mkubwa mbao mzazi yeyote anaweza kuhisi.Raia huyo wa . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Kinachofanyika katika mwili wako unapofunga hadi saa 20 katika siku 30

Kila mwaka, mamilioni ya Waislamu hufunga wakati wa kutoka kwa jua hadi machweo kwa siku 30 kama sehemu ya likizo ya Ramadhani.Katika miak . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Waziri Mkuu Uingereza katika kiti moto

Waziri Mkuu Boris Johnson kwa mara ya kwanza atakabiliana na wabunge wenye hasira tangu atozwe faini kwa kuvunja sheria, wakati kashfa ya . . .

Bungeni
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Mbunge awacharukia wanaodai CCM iliiba kura

Sakata la madai ya wizi wa kura limeibuka bungeni ambapo Mbunge wa Makambako (CCM), Deo Sanga amesema wananchi wamewapa ushindi wa kishind . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Mtuhumiwa aogeshwa maji ya tope,achezea kichapo hadharani

Kijana ambaye hajafahamika haraka jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 mpaka 30 mkazi wa Igoma halmashauri ya mji wa Nj . . .

Mastaa
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Wema Aibua Sababu Mastaa Kutoolewa, “Mastaa Waponzwa na Tabia zao za Kuiga”

Kuwa na mwenza maishani ni jambo zuri kwa kila mwanamke au mwanaume. Kupata mtu wa kukuoa au kuoa ni baraka. Inakuwa ngumu wakati watu wa . . .

Kurasa 174 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category