logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • April 29, 2024

JUSTIN BIEBER AZUA GUMZO BAADA YA KUWEKA PICHA MTANDAONI AKIWA ANALIA NA MKEWE KUMSIFIA ANALIA VIZURI.

Haijulikani ni nini Justin Bieber alikuwa anakipitia lakini siku ya jumapili amezua gumzo katika mtandao wa Instagram baada Justin Bieber kuweka picha yake akitokwa na ma . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • April 29, 2024

MASHABIKI WA QUAVO WAMSHUSHIA LAWAMA CHRISBROWN

Akosa watu kwenye show yake bila matumaini viti vitupu.klipu mpya inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ya umati wa watu kwenye tamasha la Quavo. Umati wa watu unaonekana . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • April 29, 2024

DEBLINKZ WAREJEA KWA KISHINDO NA WIMBO WAO BABY NA FIRE

DEBLINKZ ni wasanii wawili walioamua kuungana Pamoja na kutengeneza kundi la muziki kutoka nchini Nigeria Wakiwa wanafahamika kwa majina halisi kama Onyeka . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 16, 2024

Wasanii wa Kike Wanaoongoza AFRIKA Kwa Followers Instagram

Wasanii wa kike wenye wafuasi wengi zaidi barani Afrika kwenye mtandao wa YouTube.1. Sherine - milioni 5.232. Zina Daoudia - milioni 3.633. Zuchu - milioni 3.234. Tyla - . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 29, 2024

BASATA yasitisha shughuli za Kumbi 504

Baraza la Sanaa la Taifa – BASATA, limesitisha rasmi shughuli za Sanaa, sherehe na burudani katika kumbi 504 za Tanzania Bara ambazo hazikutimiza agizo la uhuishaji wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2024

Wakenya Kulipa Sh15,000 Kupata Kibali Kupiga Shoo Tanzania

MSANII yeyote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayetaka kuenda kupiga shoo au kufanya kazi ya sanaa nchini Tanzania sasa atatakiwa kulipa Tsh300,000 (Sh15,000) kupat . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2024

Davido amjibu Wizkid kuikataa Afrobeats

Baada ya Superstar wa muziki Africa Wizkid kukataa kutambulika kama msanii wa Afrobeat Davido ameibuka kusema Afrobeats hutumika kuelezea muziki uliotengenezwa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2024

P Diddy Ashtakiwa na Producer wake Kisa Kumladhimisha Kufanya Ngono na Makahaba

Msanii wa Marekani Sean Combs, maarufu kama P Diddy ameshtakiwa na mtayarishaji wa muziki ambaye anamtuhumu kwa kumshambulia kijinsia na kumlazimisha kufanya ngono na mak . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Ni maarufu ila hawapo ''Instagram'' wala ''X''

Hawa ni baadhi ya watu maarufu duniani ambao hawapo katika mitandao ya kijamii ikiwemo Instgram na X zamani (Twitter) licha ya umaarufu na nguvu kubwa ya ushawishi waliyo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

VANILLA MUSIC NA TAMANI SANA KUFANYA KAZI NA DIZASITA VINA

Msanii wa kizazi kipya Vanilla Music,Amepiga stori na BfortyFive kwenye #BLACKbox Ameelezea kiu yake yakutamani kufanya kazi na Dizasita Vina kutokana na Aina yake ya Utu . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Nadia Mukami Adai MCSK Inamkausha Pesa Za Mrabaha Kwa Muziki Wake

MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini (MCSK) kwa kukosa kumpa pesa z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2024

Rais Samia Awapongeza Ramadhani Brothers Kwa Kushinda American Got Talent

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wasanii wa sarakasi kutoka Tanzania Ibrahim na Fadhili Ramadhan wanaounda kundi la The Ramadhan Brothers ambao wame . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 15, 2024

Usher Raymond Alilipwa TSH. Milioni 1.7 Kutumbuiza Super Bowl

Kwa mujibu wa taarifa ni kuwa, Usher Raymond alilipwa ($671) sawa na TSh. Milioni 1.7 kutumbuiza kwenye Halftime ya Super Bowl, Jumapili tarehe 11. Kikawaida NFL huwa haw . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 12, 2024

Wasanii Wakoshwa Na Tamasha la Sauti Za Busara Wafunguka Haya

. . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 31, 2024

MEEK MILL AOMBA MASHABIKI WAMCHAGULIE MSANII WA KUFANYA NAE KAZI KUTOKA AFRIKA.

Meek Mill amewauliza swali lingine mashabiki wake kuhusu Afrika, lakini safari hii ni kuhusu wasanii gani kutoka bara hilo anatakiwa kufanya nao kolabo. Akitumia Twitter/ . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • January 31, 2024

DUA LIPA KATIKA PENZI JIPYA NA MWIGIZAJI CALLUM TURNER

Mwimbaji wa muziki kutoka nchini marekani dua lipa inawezekana rasmi amezama katika mahaba na mwigizaji kutoka nchini uingereza ambaye anafahamika kwa jina la callum turn . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 15, 2024

Miss Ardhi University Yafanya Kufuru, Mshindi Azawadiwa Kiwanja

Dar es Salaam 14 Januari 2024: Shindano la kumsaka Miss University mwaka huu lililofanyika Ukumbi wa Mirado uliopo Sinza Dar usiku wa kuamkia jana (Jumapili) limetajwa ku . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 11, 2024

Akothee Afichua Hali ya Afya ya Omosh Iliyosababisha Amteme Baada ya Harusi: "Alikuwa Mrongo"

Takriban Wahamiaji wasiopunguwa 6,618 walikufa au kutoweka wakijaribu kuingia Uhispania kupitia njia ya bahari mwaka 2023.Shirika la kutetea haki za Wahamiaji Nchini Hipa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 10, 2024

SELENA GOMEZ ATANGAZA KUTOWEKA MTANDAONI KWA MUDA USIOJULIKANA

Mwanadada selena Gomez ambaye ni mwimbaji kutoka nchini marekani amekuwa akiandika vichwa vingi vya Habari katika matukio mbali mbali lakini karibuni alifunga midomo ya w . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 10, 2024

TIWA SAVAGE ATANGAZA UJIO WA FILAMU YAKE YA KWANZA WATER AND GARRI

IKiwa ni siku chache tangu mwimbaji kutoka nchini Nigeria atangaze kumchukulia rb msanii mwenzake ambaye ni davido kufatia vitisho ambavyo amekuwa akikutana navyo na kuwe . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 10, 2024

Polisi wa Lagos wanaangalia ombi la Tiwa Savage dhidi ya Davido

Jeshi la Polisi la Jimbo la Lagos limethibitisha kupokea ombi la mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Nigeria, Tiwa Savage, kuhusu kudhulumiwa na kutishiwa maisha na mteul . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 9, 2024

DUA LIPA SIPENDI MTU ANAYEKULA MDOMO WAZI.

Mwanadada ambaye alitamba na wimbo wa new rules dua lipa ambaye amefanikiwa kufanya vizuri na kufikia chati mbali mbali za muziki duniani kwa kazi zake ikiwemo levitate&n . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 9, 2024

ZARI THE BOSSLADY NIMEWAHI KULIA MWEZI MZIMA NDANI

Zarinah hassan maarufu kwa jina la zari the bosslady ambaye amekuwa akiingia katika vichwa vya Habari mbali mbali ,zari inafahamika hapa nchini Tanzania amewahi kuwa na m . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 9, 2024

Jay Z "Ni Ubinafsi niki-performe Super Bowl"

Producer na mshirika wa biashara wa Super Bowl halftime shows Shawn Carter Jay Z ‘HOV’ amesema anahisi atakuwa mbinafsi kama akijichagua mwenyewe kuperforme show hiyo . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 3, 2024

AYRA STARR NIMEPATA UMAARUFU KWA KUWA MIMI BILA KUIGA

Msanii wa muziki kutoka nchini nigieria ambaye kwa nafasi yake amefanikiwa kufanya vizuri katika majukwaa mbali mbali ya muziki ambayo kwa namna moja ama nyingine yamefan . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 3, 2024

MSANII MASAUTI AELEZA SABABU YA KUKATA NYWELE ZAKE SIO MWANAMKE

Msanii wa muziki kutoka nchini kenya masauti ambaye asili yake ni kutoka Mombasa ni moja kati ya msanii ambaye alifahamika Zaidi katika muonekano wa dread ambazo alikuwa . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • January 2, 2024

RAPA SNOOP DOGG KUTANGAZA MICHEZO YA OLIMPIKI MWAKA HUU

Mkongwe wa muziki wa hiphop kutoka nchini marekani rapa Snoop Dogg  anaendelea kuongeza nguvu kwenye wasifu wake unaoendelea kukua, akijiunga na utang . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • January 2, 2024

BLAC CHYNA AKIRI KUPITIA SHIDA KIAFYA BAADA YA KUFANYA PASUAJI

Angela White, ambaye zamani alikuwa Blac Chyna, anaenda kupata sura mpya ... na anasema kupunguza ukubwa wa vipandikizi vya matiti yake imekuwa mchakato changamoto&n . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 2, 2024

Baba Mzazi wa Mwanamuziki Farid Kubanda Afariki Dunia

Mwanamuziki wa Hiphop nchini Fareed Kubanda ‘Fid Q’ amefiwa na baba yake mzazi, Mzee Kubanda.Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram, @therelfidq ameandika “Ni . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • December 7, 2023

P Diddy Atuhumiwa Tena, Yadaiwa Alimbaka Binti wa Miaka 17 Akisaidiana na Mwenzake

Rapa na Mfanyabiashara Sean Combs maarufu kama Puff au Diddy akawa katika nyakati ngumu kutokana na tuhuma za Unyanyasaji wa Kingono zinazozidi kuibuliwa dhidi yake, lich . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2023

Mrembo wa Kenya aliyechora tattoo ya Harmonize amfuata Tanzania

Mwanadada mmoja mzaliwa wa Kenya aliyejitabulisha kwa jina Catherine almaarufu 'Kutu' Mkenya, amefunguka wazi na kusimulia upendo wake kwa msanii kutokea Tanzania Harmoni . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

"Siwezi kuhama nyumbani kwa sababu ya Mama" - Abdu

Member wa Kings Music Records Abdukiba amefunguka hawezi kuhama nyumbani kwao kwa sababu ya Mama yao ambaye hayupo tayari kuwaona wakiwa wanaishi tofauti tofauti pia anap . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Mwimbaji Cassie amshutumu Puff Daddy kwa ubakaji na unyanyasaji

Msanii wa muziki wa rap Sean "Diddy" Combs ametuhumiwa kwa ubakaji na biashara ya ngono na mwimbaji wa kike.Katika kesi iliyoonekana  mpenzi wa zamani Casandra Ventu . . .

Kurasa 6 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode