logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2024

P Diddy Ashtakiwa na Producer wake Kisa Kumladhimisha Kufanya Ngono na Makahaba

Msanii wa Marekani Sean Combs, maarufu kama P Diddy ameshtakiwa na mtayarishaji wa muziki ambaye anamtuhumu kwa kumshambulia kijinsia na kumlazimisha kufanya ngono na mak . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Ni maarufu ila hawapo ''Instagram'' wala ''X''

Hawa ni baadhi ya watu maarufu duniani ambao hawapo katika mitandao ya kijamii ikiwemo Instgram na X zamani (Twitter) licha ya umaarufu na nguvu kubwa ya ushawishi waliyo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

VANILLA MUSIC NA TAMANI SANA KUFANYA KAZI NA DIZASITA VINA

Msanii wa kizazi kipya Vanilla Music,Amepiga stori na BfortyFive kwenye #BLACKbox Ameelezea kiu yake yakutamani kufanya kazi na Dizasita Vina kutokana na Aina yake ya Utu . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Nadia Mukami Adai MCSK Inamkausha Pesa Za Mrabaha Kwa Muziki Wake

MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini (MCSK) kwa kukosa kumpa pesa z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2024

Rais Samia Awapongeza Ramadhani Brothers Kwa Kushinda American Got Talent

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Wasanii wa sarakasi kutoka Tanzania Ibrahim na Fadhili Ramadhan wanaounda kundi la The Ramadhan Brothers ambao wame . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 15, 2024

Usher Raymond Alilipwa TSH. Milioni 1.7 Kutumbuiza Super Bowl

Kwa mujibu wa taarifa ni kuwa, Usher Raymond alilipwa ($671) sawa na TSh. Milioni 1.7 kutumbuiza kwenye Halftime ya Super Bowl, Jumapili tarehe 11. Kikawaida NFL huwa haw . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 12, 2024

Wasanii Wakoshwa Na Tamasha la Sauti Za Busara Wafunguka Haya

. . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 31, 2024

MEEK MILL AOMBA MASHABIKI WAMCHAGULIE MSANII WA KUFANYA NAE KAZI KUTOKA AFRIKA.

Meek Mill amewauliza swali lingine mashabiki wake kuhusu Afrika, lakini safari hii ni kuhusu wasanii gani kutoka bara hilo anatakiwa kufanya nao kolabo. Akitumia Twitter/ . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • January 31, 2024

DUA LIPA KATIKA PENZI JIPYA NA MWIGIZAJI CALLUM TURNER

Mwimbaji wa muziki kutoka nchini marekani dua lipa inawezekana rasmi amezama katika mahaba na mwigizaji kutoka nchini uingereza ambaye anafahamika kwa jina la callum turn . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 15, 2024

Miss Ardhi University Yafanya Kufuru, Mshindi Azawadiwa Kiwanja

Dar es Salaam 14 Januari 2024: Shindano la kumsaka Miss University mwaka huu lililofanyika Ukumbi wa Mirado uliopo Sinza Dar usiku wa kuamkia jana (Jumapili) limetajwa ku . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 11, 2024

Akothee Afichua Hali ya Afya ya Omosh Iliyosababisha Amteme Baada ya Harusi: "Alikuwa Mrongo"

Takriban Wahamiaji wasiopunguwa 6,618 walikufa au kutoweka wakijaribu kuingia Uhispania kupitia njia ya bahari mwaka 2023.Shirika la kutetea haki za Wahamiaji Nchini Hipa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 10, 2024

SELENA GOMEZ ATANGAZA KUTOWEKA MTANDAONI KWA MUDA USIOJULIKANA

Mwanadada selena Gomez ambaye ni mwimbaji kutoka nchini marekani amekuwa akiandika vichwa vingi vya Habari katika matukio mbali mbali lakini karibuni alifunga midomo ya w . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 10, 2024

TIWA SAVAGE ATANGAZA UJIO WA FILAMU YAKE YA KWANZA WATER AND GARRI

IKiwa ni siku chache tangu mwimbaji kutoka nchini Nigeria atangaze kumchukulia rb msanii mwenzake ambaye ni davido kufatia vitisho ambavyo amekuwa akikutana navyo na kuwe . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 10, 2024

Polisi wa Lagos wanaangalia ombi la Tiwa Savage dhidi ya Davido

Jeshi la Polisi la Jimbo la Lagos limethibitisha kupokea ombi la mwimbaji na mtunzi wa nyimbo kutoka Nigeria, Tiwa Savage, kuhusu kudhulumiwa na kutishiwa maisha na mteul . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 9, 2024

DUA LIPA SIPENDI MTU ANAYEKULA MDOMO WAZI.

Mwanadada ambaye alitamba na wimbo wa new rules dua lipa ambaye amefanikiwa kufanya vizuri na kufikia chati mbali mbali za muziki duniani kwa kazi zake ikiwemo levitate&n . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • January 9, 2024

ZARI THE BOSSLADY NIMEWAHI KULIA MWEZI MZIMA NDANI

Zarinah hassan maarufu kwa jina la zari the bosslady ambaye amekuwa akiingia katika vichwa vya Habari mbali mbali ,zari inafahamika hapa nchini Tanzania amewahi kuwa na m . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 9, 2024

Jay Z "Ni Ubinafsi niki-performe Super Bowl"

Producer na mshirika wa biashara wa Super Bowl halftime shows Shawn Carter Jay Z ‘HOV’ amesema anahisi atakuwa mbinafsi kama akijichagua mwenyewe kuperforme show hiyo . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 3, 2024

AYRA STARR NIMEPATA UMAARUFU KWA KUWA MIMI BILA KUIGA

Msanii wa muziki kutoka nchini nigieria ambaye kwa nafasi yake amefanikiwa kufanya vizuri katika majukwaa mbali mbali ya muziki ambayo kwa namna moja ama nyingine yamefan . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • January 3, 2024

MSANII MASAUTI AELEZA SABABU YA KUKATA NYWELE ZAKE SIO MWANAMKE

Msanii wa muziki kutoka nchini kenya masauti ambaye asili yake ni kutoka Mombasa ni moja kati ya msanii ambaye alifahamika Zaidi katika muonekano wa dread ambazo alikuwa . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • January 2, 2024

RAPA SNOOP DOGG KUTANGAZA MICHEZO YA OLIMPIKI MWAKA HUU

Mkongwe wa muziki wa hiphop kutoka nchini marekani rapa Snoop Dogg  anaendelea kuongeza nguvu kwenye wasifu wake unaoendelea kukua, akijiunga na utang . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • January 2, 2024

BLAC CHYNA AKIRI KUPITIA SHIDA KIAFYA BAADA YA KUFANYA PASUAJI

Angela White, ambaye zamani alikuwa Blac Chyna, anaenda kupata sura mpya ... na anasema kupunguza ukubwa wa vipandikizi vya matiti yake imekuwa mchakato changamoto&n . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 2, 2024

Baba Mzazi wa Mwanamuziki Farid Kubanda Afariki Dunia

Mwanamuziki wa Hiphop nchini Fareed Kubanda ‘Fid Q’ amefiwa na baba yake mzazi, Mzee Kubanda.Kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram, @therelfidq ameandika “Ni . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • December 7, 2023

P Diddy Atuhumiwa Tena, Yadaiwa Alimbaka Binti wa Miaka 17 Akisaidiana na Mwenzake

Rapa na Mfanyabiashara Sean Combs maarufu kama Puff au Diddy akawa katika nyakati ngumu kutokana na tuhuma za Unyanyasaji wa Kingono zinazozidi kuibuliwa dhidi yake, lich . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 24, 2023

Mrembo wa Kenya aliyechora tattoo ya Harmonize amfuata Tanzania

Mwanadada mmoja mzaliwa wa Kenya aliyejitabulisha kwa jina Catherine almaarufu 'Kutu' Mkenya, amefunguka wazi na kusimulia upendo wake kwa msanii kutokea Tanzania Harmoni . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 21, 2023

"Siwezi kuhama nyumbani kwa sababu ya Mama" - Abdu

Member wa Kings Music Records Abdukiba amefunguka hawezi kuhama nyumbani kwao kwa sababu ya Mama yao ambaye hayupo tayari kuwaona wakiwa wanaishi tofauti tofauti pia anap . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 17, 2023

Mwimbaji Cassie amshutumu Puff Daddy kwa ubakaji na unyanyasaji

Msanii wa muziki wa rap Sean "Diddy" Combs ametuhumiwa kwa ubakaji na biashara ya ngono na mwimbaji wa kike.Katika kesi iliyoonekana  mpenzi wa zamani Casandra Ventu . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 16, 2023

Aliyekuwa Mke wa Mwanamuziki Chameleone, Ajiweka Sokoni Upya Kupata Mume Mwingine

Mke wa zamani ambaye pia ni Mama watoto wa mwimbaji Jose Chameleone kutoka Uganda, Daniella Atim bado ana matumaini kwamba anaweza kupata mapenzi tena.Daniella Atim kwa m . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 16, 2023

Mr Eazi Aachia Albamu Yake Ya Kwanza, ‘The Evil Genius’ Akiwashirikisha Mastaa Kibao

Mr Eazi ameachia albamu yake ya kwanza inayokwenda kwa jina la ‘The Evil Genius’ iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu.Video za albamu hiyo imechukuliwa katika maeneo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 15, 2023

'Ulikuja hata siku ya kazi', Rema anawashukuru mashabiki wa London baada ya kuuzwa kwa tamasha la 02 Arena

Staa wa Afrobeats wa Nigeria Rema amewashukuru mashabiki wake kwa kuja kumtazama akitumbuiza kwenye onyesho lake la “Ravage Uprising” 02 Arena jijini London siku ya J . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 15, 2023

Diamond Platnumz Kutambulisha Msanii Mpya wa WCB

Staa wa Bongo Fleva na CEO wa Lebo ya WCB Wasafi, Diamond Platnumz ametangaza rasmi kuwa alhamis November 16, 2023 atamtambulisha Mkali mwingine mpya ambaye amemwaga wino . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 13, 2023

Kanye West Ahamisha Makazi yake Jangwani Huko Saudi Arabia

Licha ya kucheleweshwa mara kadhaa, Ty Dolla $ign ameahidi mashabiki kwamba albamu yao inakuja hivi karibuni, "Coming Real Soon". Alitoa habari hizi wakati wa show yake, . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 12, 2023

Dereva Aliekua Amembeba Msanii Msanii Chino Kidd afariki Dunia Kwa Ajali

Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Nabeer ambaye alikuwa ni Dereva wa gari lililombeba mwanamuziki @chino_kidd7 na wenzake amefariki duniaNabeel amefariki dunia Alfajir . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 6, 2023

Kauli ya Zuchu Baada ya Walimu Kushushwa Vyeo Kisa Wimbo Wake wa Honey

Msanii Zuchu hatimaye amevunja kimya chake ikiwa ni siku chache tu baada ya walimu wakuu wawili kushushwa vyeo vyao kufuatia klipu ya wanafunzi katika shule zao wakicheza . . .

Kurasa 6 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 6 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode