logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2023

Otile Brown, Meneja Noriega ‘waachana’ rasmi

Otile Brown na meneja wake Joseph Noriega wameamua rasmi kusitisha makubaliano ya kufanya kazi pamoja, ikiwa ni baada ya ushirikiano mkubwa waliokuwa nao kwa takriban mia . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • May 30, 2023

DJ ZINHLE AKIRI HAYUKO TAYARI KUFIKA DURBAN BAADA YA KIFO CHA A.K.A

DJ Zinhle hayuko tayari kutembelea Durban hivi karibuni kufuatia kifo cha baba wa mtoto,wake  Kiernan Forbes maarufu A.K.A Ikumbukwe kw . . .

news
Michezo
  • Na Nattyebrandy
  • May 30, 2023

MWANAMUZIKI MEGAN STALLION AONEKANA AKIJIVINJARI NA MWANSOKA LUKAKU

Inafahamika kuwa megan Stallion amekuwa katika vichwa vingi vya Habari kufuatia lile Sakata dhidi yake na mwimbaji tory lanez.Fununu zilizosambaa katika mitandao mbali mb . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 26, 2023

NE-YO:SIPENDI KWENDA KUANGALIA MCHEZO WA NGUMI KWA WANAWAKE

Shaffer smith maarufu kwa jina la neyo ambaye ni msanii wa muziki wa rnb kutoka nchini marekani aliyefanikiwa kwa nafasi yake katika mziki kushinda na kuchaguliwa kuwania . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 26, 2023

ROMA:WANANDOA MNAKOSEA KUCHAGUA WASIMAMIZI

Msanii wa muziki wa hiphop kutoka nchini Tanzania ambaye kwa sasa yupo nchini marekani roma mkatoliki ambaye pia anafanya vizuri na wimbo wake uitwao nipeni maua yangu.Ro . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 25, 2023

RICK ROSS AWEKA WAZI ANATARAJIA WATU ELFU SABA KATIKA SHOW YAKE YA MAGARI

Msanii wa muziki wa hiphop kutoka nchini marekani rick ross ambaye pia ni boss wa maybach music group.Rick ross mwaka jana alifanikiwa kufanya show yake ya kwanza ya maga . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 25, 2023

NICK CANNON AKIRI KUWA HAIPENDI NDOA

Msanii na mwigizaji nick cannon kutoka nchini marekani ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika vichwa vya Habari kutokana na namna ambavyo amekuwa akipata Watoto na wa . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 24, 2023

CAMILA CABELLO NA SHAWN MENDES WAAMUA KUJARIBU NAFASI NYINGINE

Wapenzi wawili ambao waliwahi kutikisa katika safu ya burudani wakiwa Pamoja shawn mendes Pamoja na mwanadada camia Cabello wameamua kurudi Pamoja na kuangali pale walipo . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 24, 2023

SAUTI SOL KUFANYA ZIARA YA KIMUZIKI KWA MARA YA MWISHO WAKIWA KAMA KUNDI

Wasanii kutoka nchini kenya ambao wamekuwa wakifanya vizuri kwa kipindi kirefu na kwa mara kadhaa wamekuwa wakifanya muziki wao kama kundi n ahata walipofanikiwa kuanza k . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • May 23, 2023

MAMA WA MSANII COSTA TITCH AVUNJA UKIMYA ADAI MAJIBU YA VIPIMO VYA SUMU

Mama mzazi wa msanii wa muziki kutoka nchini Africa ya kusini costa tich ambaye pia alikuwa anawakilisha titch gang aliyefariki mwanzo mwa mwaka huu march 12 huko afrika . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 23, 2023

KAREN MUKUPA AACHIA ALBUM YAKE RASMI “BONOBO”

Karen mukupa ni msanii wa muziki wa hiphop ,rap na raggae kutoka nchini Denmark ambaye alizaliwa nchini Zambia na kukulia nchini Tanzania mpaka alipofika umri wa miaka 15 . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2023

Davido 'Kumpata Chioma na Kuwa Naye ni Auamuzi Sahihi

Msanii  David Adeleke (Davido) ameeleza kuwa moja kati ya uamuzi bora zaidi kuwahi kuufanya ni kumpata mke wake Chioma.Kupitia mahojiano na kituo cha Redio, Beat 105 . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 4, 2023

Ali Kamwe, Mobeto wadaiwa wapenzi

Inadaiwa kuwa Afisa Habari wa Klabu ya Yanga SC, Ali Kamwe na Mrembo Hamisa Mobeto wapo kwenye penzi la moto, hii imekuja baada ya wawili hao kupostiana kwa nyakati tofau . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 30, 2023

TMAAwards2022: Kontawa msanii bora chipukizi

Baraza la Sanaa Tanzania BASATA usiku wa kuamkia leo limetangaza washindi wa tuzo muziki Tanzania (TMA) za mwaka 2022 jijini DaresSalaam.Msanii @kontawaa amebeba tuzo ya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 28, 2023

Kendrick Lamar Aivunja Rekodi Hii ya Drake

Kendrick Lamar ameivunja rekodi ya Drake, kwa kuwa rapper mwenye ziara ya muziki iliyotengeneza mkwanja mrefu zaidi.Kwa mujibu wa Touring Data, Big Steppers ya K.Dot ndiy . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2023

Mama Wa AKA Azungumza

Miezi miwili tangu kifo cha ghafla cha msanii wa Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes maarufu kama AKA, familia yake imezungumzia nyakati zao za mwisho kabla ya tukio hil . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2023

Hamissa Mobetto "Nachukia Wanaume Wanaonifuata na Kuniambia Niwazalie Watoto"

Msanii Hamisa Mobetto, ambaye pia ni mama wa watoto wawili amesema anachukizwa na baadhi ya wanaume wanaomfata na kumuomba awazalie watoto.Hamisa amesema baadhi ya wanaum . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2023

Mwanamuziki Dimpoz uso Kwa uso na Tajiri wa Afrika Bwana Dangote

Staa wa Muziki wa Bongo Fleva Omary Nyembo 'Ommy Dimpoz' ameshare picha akiwa na tajiri namba moja Afrika, Aliko Dangote.Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Dimpoz ameweka . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 10, 2023

Kimenuka..Sheikh Majini Amtaka Diamond Platnumz Kuondoka Katika Dini ya Uislam Kisa Bibilia"

“Kama Uislamu Umekushinda Ondoka nenda kwenye Dini inayokufaa tuachie Waislam Dini yetu, Hii ni Dini ya Mwenyezi Mungu” – Sheikh Shareef Majini amefunguka kwenda kw . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 9, 2023

Msanii Grand P Apata Kidosho Mwingine Baada ya Kumtoka Euxodie

Msanii maarufu nchini Guinea Grand P amemtoka kidosho mwenye umbo kali Eudoxie.Grand P na Eudoxie walikuwa wamezua gumzo mitandaoni na penzi lao moto huku picha za mahaba . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2023

Abigail Chams "Wasanii Wananitongoza Sana"

Abigail chams amekiri kuwa wasanii wamekuwa wakimtongoza lakini yeye anachukulia ni kawaida na ni asili ya mwanadamu akimuona binti mzuri basi atajaribu bahati yake.Hata . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido Rasmi Ameachia Album yake

Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido Rasmi ameachia Album yake mpya ya #TIMELESS baada ya kukaa kimya kwa muda, ndani ya Album hiyo yenye ngoma 17 Mastaa kama #Asa . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • March 17, 2023

MSANII HOMA HOMA TOKA NCHINI CONGO AVUTIWA NA RAYVANNY

Msanii wa muziki na mzaliwa kutoka nchini Congo ambaye makazi yake ni nchini ubeligiji ,homa homa ambaye amekuwa akifanya muziki kwa miaka kadhaa ameakuja kivingine na ku . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Stamina "Wanaume tunaongoza kwa usaliti"

Msanii wa muziki wa Hip hop Stamina Shorwebwenzi ambaye ndoa yake ilidumu kwa miezi 7 amefunguka ya moyoni kueleza jinsi vijana wengi wanavyopitia magumu kwenye mais . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

Hawa ndio wasanii wanaohitaji kiasi kikubwa Cha fedha ili kufanya Nao kolabo

Katika orodha iliyotolewa kwa rapa wa Marekani wanaochaji kiasi kikubwa cha fedha ili uwashirikishe, Wakongwe wawili Jay Z pamoja na Kanye West imeelezwa kuwa wao wanacho . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 12, 2023

Mwanamuziki Costa Titch Afariki Akitumbuiza Jukwaani

Afrika Kusini inaomboleza kifo kingine cha mwanamuziki maarufu. Kwa mujibu wa taarifa za mitandao ya kijamii, rapa Costa Tsobanoglou maarufu kwa jina la kisanii Costa Tit . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2023

Shilole atumia zaidi ya Tsh Mil. 90 kuurudisha mgahawa

Msanii wa muziki na Mjasiliamali, Shilole amefanikisha kuurudisha mgahawa mpya wa Shishi Food Mabatini, Kijitonyama jijini Dar Es Salaam baada ya ule wa awali ambao uliku . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 3, 2023

Paula Kajala Ameolewa

Supastaa kajala frida ametangaza binti yake Paula ameolewa yaani paulah kajala kwa sasa ni mke wa mtu.Posti hiyo ya Kajala ambayo imewashangaza wengi mtandaoni, hata hivy . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Orodha ya wanamuziki 10 kutoka Tanzania Waliotazamwa zaidi katika mtandao wa YouTube January 2023

Orodha ya wanamuziki 10 kutoka Tanzania Waliotazamwa zaidi katika mtandao wa YouTube ndani ya mwezi January 2023.1. @DiamondPlatnumz 31.7M2. @Rayvanny 20.5M3. @harmonize_ . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • February 21, 2023

FLODA GRAE NA FIOKEE NDANI YA IYONA LE

Floda grae ni moja ya mwimbaji wa muziki wa afro beat kutoka nchini afrika ya kusini ambaye amejikita zaidi nchini nigeria ambapo amekuwa akifanya shughuli zake za kimuzi . . .

news
Flamu/Movie
  • Na Nattyebrandy
  • February 21, 2023

GABRIEL UNION:NILITAMANI KUSHEREHEKEA MIAKA HAMSINI NIKIWA AFRIKA.

Mwigizaji na mwanamitindo kutoka nchini marekani Gabriel union ambaye pia ni mke wa mcheza mpira wa kikapu mstaafu Dwayne wade ameweka wazi katika mahojiano aliyofanya hi . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2023

Rais Ramaphosa Akataa Rapa AKA Kufanyiwa Mazishi ya Kitaifa

Vyombo vya Habari vya AfrikaKusini vimeripoti kuwa Gavana wa Serikali ya Gauteng Panyaza Lesufi, alimwandikia Rais #Ramaphosa ombi la Msanii huyo kuzikwa kama Mtu mwenye . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 15, 2023

Mbosso Apata Ajali ya Gari Marekani

Mbosso Amenusurika Kifo baada ya Kupata Ajali huko Marekani, Kupitia ukurasa wake wa Instagram Staa huyo ameshare video zikionesha gari alilokuwa amepanda likiwa limehari . . .

Kurasa 8 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 10 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode