logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kilimo
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Kilimo Tanzania kuchangia Pato la taifa kwa 10%

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema Serikali ya Tanzania ina mopango wa kuwainua wakulima na kukiinua kilimo cha Tanzania ili kufikia lengo la kukuza sekta ya Kilimo kwa 10% ambayo imepewa ji . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Pinda awataka wadau wa Kisheria kuimarisha ushirikiano na serikali

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geofrey Pinda amewataka wadau wa msaada wa kisheria nchini kujenga na kuimarisha ushirikiano wa kimkakati na serikali ikiwa ni fursa ya kuweza kuwasilisha mapende . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan aitisha uchaguzi mpya

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameitisha uchaguzi mpya baada ya bunge kutupilia mbali kura ya kutokuwa na imani naye. Rais wa Pakistan Dr. Arif Alvi ameukubali ushauri wa Waziri mkuu Imran Kha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Papa Francis ataka ulimwengu kuonyesha ukarimu zaidi kwa wakimbizi

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameombea ulimwengu kuonyesha wema na huruma zaidi kwa wakimbizi wakati alipokutana na wahamiaji nchini Malta. Francis ameyasema hayo katika siku ya . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Kinana apita kwa asilimia 100 umakamu Mwenyekiti CCM

Wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM wamemchagua Abdulrahman Kinana kuwa makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa kura za ndiyo 1875.Wajumbe waliopiga kura 1875, jura halali 1875, hakuna za hapana wala zil . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

VIONGOZI WA KENYA WAFANYA UKAGUZI WA BBI

Viongozi wa Muungano wa Kenya Kwanza wametangaza kuwa watatoa hoja ya kumshinikiza Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nancy Gachungu kukagua fedha za umma zilizotumika kufadhili Mpango wa Kurekebisha . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Hapi" Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa"

Mkuu wa Mkoa wa Mara,  Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni mtu mwenye uwezo mkubwa na kuwataka wan . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Waziri Mkuu wa Pakistan aituhumu Marekani kuingilia siasa za nchi

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameituhumu Marekani kwa kuingilia siasa za nchi yake -- madai ambayo yamekanushwa haraka na Washington. Khan alilihutubia taifa jana usiku, akisema nchi ya kigen . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

ICC yafungua ofisi Venezuela kuchunguza ukiukaji wa haki za binaadamu

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai - ICC imefungua ofisi nchini Venezuela kama sehemu ya uchunguzi kuhusu ukiukaji wa haki za binaadamu wakati wa maandamano ya kuipinga serikali katika mwaka wa 2017. . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Bunge la Pakistan kuanza kujadili hoja ya kumuondoa madarakani Waziri Mkuu Khan

Bunge la Pakistan leo litaanza mjadala wa kutokuwa na imani na uongozi wa Waziri Mkuu Imran Khan. Hatua hii huenda ikapelekea kuondolewa madarakani kwa mchezaji huyo wa zamani wa kriketi na nchi h . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Afrika Kusini yarekodi vifo 100,000 vya COVID-19

Afrika Kusini imerekodi zaidi ya vifo 100,000 vya virusi vya corona. Kwa mujibu wa takwimu za serikali zilizochapishwa jana, vifo 100,020 vimetokea tangu janga hilo lilipoanza miaka miwili iliyopi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Profesa Makubi awataka watumishi wa Wizara kufuata miongozo ya ununuzi

Wakurugenzi wa taasisi na wa Hospitali za rufaa za mikoa wametakiwa kufuata miongozo na sheria za manunuzi ili kuondoa hati chafu na zenye mashaka kwenye taasisi zao. Hayo yamesemwa na Kati . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Wazazi wa wanafunzi ambao hawajaripoti shule kufikishwa Mahakamani

Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Suleiman Mwenda ametoa mwezi mmoja kwa Wazazi na Walezi wa wanafunzi 16 wa Tarafa ya Shelui ambao hadi sasa hawajaripoti shuleni baada ya kufaulu darasa la . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

DK SAMUEL MUTASA KUZIKWA KAGERA

Mwili wa kikongwe aliyefanikiwa kupata shahada ya uzamivu (PhD) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akiwa na umri wa miaka 82, Dk Samuel Mutasa unatarajiwa kuwasili nchini Jumatano ya wiki ijayo k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Bunge la DRC lapiga kura ya kumtimua waziri wa uchumi.

Bunge la Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatano limepiga kura ya kumuondoa kwenye wadhifa wake waziri wa uchumi Jean Marie Kalumba, likimshtumu kwa mfumuko wa bei ya bidhaa muhimu na uratibu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Viongozi wenye nguvu duniani wakubaliana kutolegeza msimamo dhidi ya Russia

Viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italy, wametoa wito kwa mataifa ya magharibi kutolegeza msimamo wake dhidi ya Russia. Hii ni baada ya Moscow kuonyesha dalili za ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Marekani Na Asia Mahusiano Yao Yaendelea Kuimarika

Rais wa Marekani Joe Biden amesema kwamba Marekani inaendelea vizuri na mkakati wake wa kuimarisha uhusiano na mataifa ya Asia-Pacific, licha ya kuwepo mgogoro ambao umesababishwa na uvamizi wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Ujerumani imetangaza rasmi kuanza kutoa gesi kwa watu wake kwa mgao, huku kukiwepo wasiwasi ya kuacha kuagiza mafuta kutoka Russia. Hatua hiyo imechukuliwa wakati kuna hali ya kutoelewana k . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Ukraine yasema Urusi inatega mabomu katika Bahari Nyeusi

Ukraine imeituhumu Urusi leo kwa kutega mabomu katika Bahari Nyeusi. Imesema baadhi ya mabomu hayo yameteguliwa katika pwani ya Uturuki na Romania wakati kitisho kikiendelea kuongezeka kwa meli za . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Uhuru Kenyatta Aongoza EAC Kuikaribisha Rasmi Jamhuri ya Congo katika Jumuiya ya Kikanda

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Rais Uhuru Kenyatta amekaribisha rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye umoja huo.Uhuru Kenyatta Aongoza EAC Kuikaribisha Rasmi Jamhuri ya Congo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Rais Samia awa mkali

ais Samia leo wakati akipokea ripoti ya CAG Ikulu, Chamwino, Dodoma amesema Serikali za Mitaa bado kuna upotevu mkubwa wa mapato ambapo amemtaka Waziri wa TAMISEMI, Innocent Bashungwa kuwa mkali n . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Serikali yasema kuna ongezeko la wenye dalili za kifua kubana, kukohoa

Serikali imesema imebaini uwepo wa ongezeko la watu wenye dalili za homa, kukohoa, mafua, kubanwa kifua na maumivu ya mwili kwa kipindi cha Desemba 2021 hadi Machi 25, 2022.Ongezeko hilo limekuwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Deni la Serikali laongezeka kwa asilimia 13.7

Deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.76 trilioni mwaka uliopita hadi kufikia Sh64.52 trilioni kufikia Juni 30, 2021.Hayo yamesemwa leo Jumatano Machi 30, 2021 na Mdhibiti na Mkaguzi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa wafariki katika ajali ya ndege mashariki mwa DRC.

Msemaji wa Umoja wa mataifa amesema Jumanne kwamba hakuna aliyenusurika wakati helikopta ya tume ya Umoja wa mataifa nchini DRC (MONUSCO) ilipofanya ajali mashariki mwa nchi hiyo ikiwa na walind . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

WFP: Vita ya Ukraine yavuruga mipango ya chakula

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP David Beasley ameonya kuwa vita vya Ukraine vinatishia kuvuruga juhudi za shirika hilo kuwalisha takribani watu milioni 125 duniani kot . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

COSOTA yateta na wahariri

Katibu Mkuu wizara ya utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt Hassan Abbas ametoa ametoa wito kwa Taasisi ya Hakimili Tanzania COSOTA kuendelea kutoa Elimu zaidi kuhusian na hakimiliki, huku akiwasisitiza . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Dkt. Mabula ataka elimu itolewe ugawaji wa ardhi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametaka elimu ya kuwatahadharisha wananchi kuhusu kujiepusha na vishawishi visivyo na tija vinavyosababisha ugawaji maeneo ya ardh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Blinken yuko Morocco kwa mazungumzo ya usalama

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken jana ameizuru Morocco ambako alizungumzia Sahara Magharibi, maendeleo na usalama wa kikanda. Ziara hiyo imefanyika baada ya Blinken kuhudhuria mk . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

MPIGA DEBE ACHOMWA KISU KIFUANI KISA ABIRIA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Abdilah Yassin mkazi wa Kihonda Manispaa ya Morogoro mpigadebe katika kituo kikuu cha mabasi cha Msamvu mkoani Morogoro kwa kusababisha mauaji kwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Makamu wa Rais kuhutubia jukwaa la 8 la wakuu wa nchi duniani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo Machi 29, 2022 ameshiriki ufunguzi wa  Jukwaa la 8 la Wakuu wa Nchi na Serikali Duniani linalofanyika Dubai, Umoja wa Falm . . .

Kurasa 114 ya 129

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

    • 2 masaa yaliopita
  • Familia za waathiriwa wa maandamano kuandamana hadi ikulu ya rais kudai haki

    • 2 masaa yaliopita
  • Rwanda Yafunga Zaidi ya Makanisa 10,000 ya Kiinjili kwa Ukiukwaji wa Sheria

    • 3 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode