logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 9, 2025

Polisi watatu wasimamishwa kazi Kenya

Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS) nchini Kenya imewasimamisha kazi maafisa watano walioko katika kituo kikuu cha polisi mjini Nairobi kuhusiana na kifo cha Albert Omondi Ojwang ambaye aliaga dunia aki . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Chaumma waendelea na oparesheni ya Chaumma for Change mkoani Kigoma

Wakati viongozi wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) wakitua mkoani Kigoma kwa ajili ya mikutano mitatu kunadi operesheni ya Chauma For Change (C4C), Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Wapalestina 10 wauawa wakati wakitafuta msaada kusini mwa Gaza

Shirika la ulinzi wa raia wa Gaza limesema mashambulizi ya Israel  siku ya jana Jumapili yamewaua takriban watu 10 wakiwemo wasichana wawili katika Ukanda huo. Msemaji wa shirika hilo Mahmud Bas . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Polisi nchini Kenya wasimamishwa kazi kutokana na kifo cha Albert Omondi

Huduma ya Kitaifa ya Polisi (NPS) nchini Kenya imewasimamisha kazi Maafisa watano walioko katika Kituo Kikuu cha Polisi mjini Nairobi kuhusiana na kifo cha Albert Omondi Ojwang ambaye alifariki dunia . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Waandamanaji wanaopinga sera za Uhamiaji wazidi kuandamana kwa siku tatu

Maandamano yamezidi kupamba moto kwa siku ya tatu huko Los Angeles, ambako waandamanaji wanaopinga sera za uhamiaji za Rais wa Marekani Donald Trump wamekabiliana na maafisa wa usalama. Wanajeshi wa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 8, 2025

Watu Kadhaa Wahofiwa Kupoteza Maisha Katika Ajali Mbaya Mlima Iwambi, Mbeya

Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali mbaya iliyotokea usiku wa kuamkia usiku wa kuamkia leo Juni 8, 2025 katika eneo la Mlima Iwambi mkoani Mbeya.Kwa mujibu wa mashuhuda, ajali hiyo ime . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 6, 2025

MAKANISA SITA YA UFUFUO NA UZIMA MBEYA YAFUNGWA

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya Limeyafungia makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yaliyopo eneo la ZZK Mbalizi, Mtaa wa Mnadani Rujewa Wilaya ya Mbarali, Wilaya ya Chunya, Rungwe na Kyela.Hii ni kufuatia tam . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 6, 2025

Watu zaidi ya 98 bado hawajulikani walipo baada ya kutokea kwa mafuriko

Zaidi ya watu 98 bado hawajulikani walipo juma moja baada ya mafuriko kuwaua watu 160 katika jiji cha Mokwa nchini Nigeria, idara ya majanga nchini humo imesema.Idara ya majanga nchini Nigeria&nb . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Mwanaume mmoja akutwa amefariki kando ya makaburi Morogoro.

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Odilo Anania Sumi (80), fundi ujenzi mkongwe, amekutwa amefariki dunia katika eneo la makaburi ya Kola, Manispaa ya Morogoro, huku mwili wake ukiwa umeharibika . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Mbeya Makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yamefungwa

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya Limeyafungia makanisa sita ya Ufufuo na Uzima yaliyopo eneo la ZZK Mbalizi, Mtaa wa Mnadani Rujewa Wilaya ya Mbarali, Wilaya ya Chunya, Rungwe na Kyela. Hii ni kufuatia t . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Tamisemi yatoa Idadi ya waliochaguliwa kidato cha tano na vyuo yatangwa

Wanafunzi 149,818 sawa na asilimia 69.96 wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano, huku 64,323 wakichaguliwa kujiunga na vyuo vya elimu ya ufundi na ualimu. Jumla ya wanafunzi 214,141 waki . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Rais wa Chad alipiza kisasa kwa Donald Trump

Kutokana na tangazo la Donald Trump kufuta nchini 12 kuingia nchini Marekani ikiwemo  nchi ya Chad  rais wa Chad Mahamat Idriss Deby maarufu Jenerali Kaka amesema Chad haina mabilioni ya fed . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 6, 2025

Ukosoaji wa bajeti nchini Marekani umetengeneza chuki baina ya Donld Trump na Elon Musk

Urafiki wa Rais wa Marekani Donald Trump na mfanyabiashara tajiri zaidi duniani Elon Musk, sasa unaonekana kumalizika baada ya wawili hao kutupiana cheche za maneno makali kwenye mitandao ya kijamii. . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2025

Rais wa zamani wa Zambia afariki dunia

Rais wa zamani wa Zambia Edgar Lungu amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 68, kutokana na chama chake cha kisiasa kuripoti taarifa ya kifo chake. Huku ikisema kuwa alikuwa akipokea matibabu maalum . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 5, 2025

Landilodi Adaiwa Kufungulia Maji Taka Katika Nyumba ya Mpangaji Kumfukuza

Mmiliki wa nyumba huko Githurai 44, kaunti ya Nairobi, anashutumiwa baada ya kudaiwa kuziba mfumo wa mifereji ya vyoo, na kusababisha mtiririko wa maji machafu kwenye nyumba ya mpangaji wake.Mpangaji . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2025

Mtanzania mmoja afariki nchini Saudi Arabia akiwa kwenye ibada ya Hijjah

Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Iqbal Baghdad amefariki akiwa nchini Saudi Arabia kutekeleza ibada ya Hijja. Hujaji huyo amefariki jana katika mji wa Madina  kabla ya kuanza kwa Manasiq yaan . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2025

Waumini 84 waliokamatwa kanisani kwa Gwajima waachiliwa kwa thamana

Waumini 84 kati ya 86 waliokamatwa katika Kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima, wameachiwa kwa dhamana baada ya kuzuiliwa kwa muda ambapo wakituhumiwa kukiuka maagizo ya . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 5, 2025

Trump ametia saini mataifa 12 kutoingia nchini Marekani.

Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini tangazo la kupiga marufuku Raia wa Mataifa 12 kuingia nchini humo akitaja sababu kuwa ni kulinda usalama wa Taifa, Vyombo vya habari vva nchini Marekani vime . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 3, 2025

Kijana Afariki Dunia: Ajinyonga Kwa Kutumia Manda Wa Suruali

Kijana mmoja mkazi wa Kijiji cha Halla, wilayani Babati, mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali, tukio ambalo limezua masikitiko makubwa miongoni mwa familia . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 3, 2025

Magari ya Chaumma yako tayari kuzipeperusha bendera za chama C4C Mwanza viwanja vya Furahisha

Magari yanayotarajiwa kutumiwa na Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kwenye uzinduzi wa operesheni yake ya C4C katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza leo Jumatatu Juni 3, 2025 zikiwa kwenye maan . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 3, 2025

Kesi ya rufaa ya Nyundo na wenzake inaendelea leo Mahakamani Dodoma

Mawakili wa serikali na wale wa upande wa utetezi wamejiandaa kwa kusikilizwa kwa kesi ya rufaa inayowakabili Nyundo na wenzake, waliokata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha maisha gerezani waliyopew . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 2, 2025

Ukraine inasema iliharibu ndege za kivita za Urusi kwenye Mji wa Siberia

Ukraine inasema ndege zake zisizo na rubani ziliharibu ndege za kivita za Urusi zenye thamani ya mabilioni ya dola za Marekani kwenye mji wa Siberia, hii ikiwa ni mara ya kwanza kwa Kiev kutekeleza ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2025

Marekani yatoa siku 60 Gaza kusitisha vita, kuachiliwa kwa wafungwa pamoja na mateka wote.

Israel imeeleza wazi kuwa Hamas lazima ivunje jeshi lake na mamlaka yake ya kisiasa na kurejesha mateka wote 58 waliobaki kabla ya kukubali kumaliza vita Mpango mpya wa Marekani kwa ajili ya Gaza ulio . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 29, 2025

Israeli yatangaza kifo cha Mohammed Sinwar, anayechukuliwa kuwa Kiongozi wa Hamas

Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu amesema siku ya Jumatano, Mei 28, kwamba Israeli imemuua Mohammed Sinwar, anayechukuliwa kuwa kiongozi wa Hamas katika eneo la Palestina lililoharibiwa na mie . . .

Kurasa 7 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 7 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • jana

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • jana

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • jana

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • jana

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • jana

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 7 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode