logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Elimu
  • Na Asha Business
  • April 16, 2025

Wanawake Wawili Wakamatwa Kwa Kutumia Bunduki Kuwatisha Wanaume

Kilichoanza kama kisa cha tahadhari kilizidi haraka kuwa kimbunga cha matatizo, kwani Sharon Auma na rafiki yake Nancy Atieno Obura walijikuta kwenye kina kirefu kuliko walivyowahi kufikiria.Hii ni ba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2025

Hamas yakabidhiwa mapendekezo mapya ya Israel kuhusu usitishaji mapigano

Wapatanishi toka nchi ya Qatar na Misri, wamekabidhi mapendekezo mapya ya Israel ya usitishaji wa mapigano huko Gaza kwa kundi la Hamas, mapendekezo ambayo hata hivyo afisa mmoja wa Hamas amesema kuna . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2025

Serikali ya Ethiopia yatuhumiwa kwa kuwafukuza raia wake kwa nguvu

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limetuhumu serikali ya Ethiopia kwa kuwafurusha kwa nguvu raia wake katika makaazi yao ili kupisha mradi wa serikali wa kupanua . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 9, 2025

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Kiziwi Wilaya ya Kwimba, Mwanza

Mahakama ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, imemhukumu Malimo Mathias Nguno maarufu kama Gohe (41), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 13 amb . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Daktari wa makalio aliyesababisha kifo cha mteja arushwa ndani

DAKTARI wa masuala ya urembo anayeshtakiwa kumuua mwanamke aliyemfanyia upasuaji kumjengea makalio manene amenyimwa dhamana na Mahakama ya Kibra.Hakimu mwandamizi Bw Samson Temu aliamuru Dkt Robert Ma . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Watu 30 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha

Watu 30 wameuawa katika eneo la Ruweng, Kaskazini mwa Sudan Kusini, baada ya kushambuliwa na vijana waliokuwa wamejihami kwa silaha.Mauaji haya yameripotiwa kutokea baada ya mzozo kati ya wafugaj . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Waliodai Kubadilishiwa Mtoto Waangua Kilio Baada ya Majibu ya DNA Kufichua Ukweli

Waliodai kubadilishiwa mtoto waangua kilio baada ya majibu ya DNAHatimaye majibu ya vinasaba (DNA) ya watoto watatu waliozaliwa Machi 24, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 3, 2025

Ajali ya Basi yauwa saba Same, majeruhi 31

Watu nane wamefariki Dunia na wengine thelathini na moja kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa J . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2025

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2025

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 28, 2025

Jeshi latakiwa kuwaachia huru wanahabari wanaozuiliwa

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) hapo jana Alhamisi lilitoa wito kwa watawala wa kijeshi wa Burkina Faso kuwaachilia huru waandishi watatu waliokamatwa wiki hii ambao wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 26, 2025

Mwanamume Aliyehumukiwa Kifo Saudia Atarajia Kurejea Nyumbani

Stephen Munyakho, Mkenya aliyepatikana na hatia ya mauaji nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kurejea Kenya kufuatia kuingilia kati kwa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni. Machi 25, wakati wa futari ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 26, 2025

Chatu wazua taharuki Katavi, Wananchi waomba msaada

Taharuki imetanda kwa wakazi wa Mtaa wa Kasimba Kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, baada ya kuonekana mara kwa mara Nyoka aina ya Chatu katika makazi yao huku wakihofia usalama wao.Wakiz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 25, 2025

Polisi Wamsaka Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Apotea,

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa Daniel Chonchorio, Mkazi wa Nyakato jijini Mwanza anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha majira ya asubuhi siku alipotoka kuelekea . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 24, 2025

Al-Shabaab Waua Askari Polisi Sita Wa Kenya

Askari sita wa jeshi la Polisi la Kenya wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la Somalia katika kambi ya polisi iliyoko kweny . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 20, 2025

Mwanaume Mganda Akamatwa baada ya Kukiri Kumuua Mkewe kwa Kupika Omena badala ya Nyama

Polisi mjini Naivasha wamemkamata mwanamume mmoja raia wa Uganda kwa madai ya kumuua mkewe katika eneo la Lwakhakha linalopakana na Kenya na Uganda.mshukiwa alimdunga kisu mkewe wa miaka 28 hadi akafa . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 19, 2025

Mwamba Jela Maisha Kwa Kumlawiti Mtoto wa Miaka Minne

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida imemhukumu kifungo cha maisha jela Barnaba Yohana Isaya (20), mkazi wa kiji cha Nselembwe, kata ya Sherui, Wilayani humo kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kium . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 17, 2025

Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza Auawa Kikatili Mkoa wa Kilimanjaro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja (26), mkazi wa kijiji cha Kirwa, Wilaya ya Rombo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Rosemary Mathias (06), mwanafunzi wa darasa la kwanza k . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 14, 2025

Akamatwa Kwa Kumfungia Mtoto wa Kambo kwa Miaka 20

Mwanamke mmoja kutoka Connecticut, Kimberly Sullivan (56), amekamatwa baada ya kijana anayesemekana kuwa mtoto wake wa kambo kudai kuwa alimfungia ndani ya nyumba kwa zaidi ya miaka 20 na kumtesa. Kij . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 12, 2025

Mganga Aliyekutwa Akifuga fisi Jela Miaka 20 Wilayani Bariadi

Mahakama ya Wilaya Bariadi mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela pamoja na kuchapwa viboko 12 Emmanuel John (31), maarufu kama Chief wa Kilulu, kwa kosa la kukutwa na nyara za serikali ai . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Gilbert Kinyua" Uchunguzi wa Mauaji ya Mgonjwa KNH Wagonga Mwamba, Mshukiwa Mkuu Hana Hatia".

Uchunguzi kuhusu kifo cha Gilbert Kinyua, mgonjwa anayedaiwa kuuawa akiwa amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, umekwama baada ya mshukiwa kuruhusiwa. Hali hiyo ni kikwazo kwa familia ya K . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Kundi la M23 Yawateka Wagonjwa 130 Hospitali

Umoja wa Mataifa umesema Wapiganaji wa M23 wamewateka karibu Watu 130 kutoka Hospitali za Mji wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Goma unaodhibitiwa na Waasi.Umoja wa Mataifa umesema wik . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Dereva Wa Teksi Akamatwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mteja Aliyetoweka Tangu 2016

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Omary Seleman Mwanamtwa (61), mkazi wa Morogoro ambaye ni dereva wa teksi, anashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya mteja wake, Ulumbi St . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Miili yawaliouawa katika shambulio kwenye mkutano wa M23 yazikwa

Familia mashariki mwa DRC, Jumanne ya wiki hii zilizika wahanga wa shambulio lililoua takriban watu 13 huko Bukavu, huku jamaa waliokuwa na huzuni wakiisihi serikali kuhakikisha amani na usalama.Majen . . .

Kurasa 9 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 11 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • 2 siku zilizopita

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • 2 siku zilizopita

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 11 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode