MIAKA 100 BILA BABA WA TAIFA - WAZIRI MSTAAFU MSUYA AFUNGUKA HAYA

Waziri mkuu mstaafu Mhe David Cleopa Msuya katika miaka 100 ya hayati baba wa taifa Mwl Julius Kambarage Nyerere ameelezea falsafa muhimu watanzania wanatakiwa kufuata na namna ya kuzienzi  Ameyasema hayo wakati akizungumza na kipindi cha Mchakamchaka asubuhi hii

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii