Ida Odinga Aomba Msamaha kwa Matamshi yake Kuhusu Kanisa

Mkewe kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga, Ida Odinga, ameomba radhi kwa matamshi aliyotoa kuhusu kudhibitiwa kwa makanisa nchini. Read more: https://kiswahili.tuko.co.ke/siasa/441807-ida-odinga-aomba-msamaha-kwa-matamshi-yake-kuhusu-kanisa/mke wa
mke wa kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga , Ida odinga  ameomba radhi kwa matamshi aliyotoa kuhusu kudhibitia wa makanisa nchini kenya. Ida ameondoa semi alizotoa mjini KISUMU katika hafla ya baraza la kitaifa la makanisa (NCCK) ambapo ilitafsiriwa kuwa kutaka wahubiri kupewa mafunzo na baadhi ya makanisa kufungwa .

"Tunataka waumini wapate injili ya viwango vya juu na hilo linaweza kuafikiwa endapo mapadri  na maaskofu watapa mafunzo ya hali ya juu" alisema Ida.

Ida sasa anadai kuwa matamshi yake yalitafsiriwa vibaya ameondoa kauli hiyo na kuomba msamaha "Ningependa asubuhi ya leo kuondoa matamshi yangu kwa NCCR kudhibiti makanisa chini yake ili kuboresha viwango vya injili nchini KENYA alisema kupitia tarifa .

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii