Siku ya Afya ya Akili Duniani

Ufunguo wa maisha ya kila mmoja wetu yanapatikana kwa njia ya utulivu na uwiano uliopo katika kutunza afya ya akili kwa umakini na uangalizi mkubwa . Hebu tujadili sote kwa pamoja kwa kuanza  kujali nafsi zetu na kuwajali wengine wanaotuzunguka.

Hatua za Kuchukua Ili Kudhibiti na Kuimarisha Afya Yako ya Akili .

1️⃣ Tambua kinachoendelea - jifunze kutambua hisia na changamoto unazopitia.

2️⃣ Tunza mwili wako - kula vizuri, fanya mazoezi na pata usingizi wa kutosha.

3️⃣ Jenga ratiba zenye afya -panga muda wa kazi, mapumziko na burudani.

4️⃣ Zungumza na wengine -kushiriki mawazo na hisia husaidia kupunguza mzigo wa kihisia.

5️⃣ Fanya mazoezi ya akili yako -fanya tafakari, soma vitabu, au shiriki katika shughuli zinazochochea fikra chanya.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii