logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Franco Pablo" Hatuna muda wa kupumzika"

Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake hawatakua na muda wa kupumzika baada ya kuwasili Dar es salaam, wakitokea nchini Morocco. Sim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mshindo Msolla awasihi Wachezaji, Kocha Young Africans

Mwenyekiti wa Klabu ya Young Africans Mshindo Mbette Msolla ameibuka kwa mara ya kwanza msimu huu na kutoa nasaha kwa Benchi la Ufundi na Wachezaji wa klabu hiyo, kuf . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mayele kumbe 60% tu Yanga

Mshambulia wa Yanga na kinara wa mabao, Fiston Mayele aliyetupia tisa katika Ligi Kuu katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar, akiwa ameiteka asilimia kubwa ya nchi kwa s . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Lwanga" Nipo tayari kuitetea Simba SC"

Kiungo kutoka nchini Uganda na klabu ya Simba SC Thadeo Lwanga amesema yupo tayari kuipigania klabu yake katika Mzunguuko wa Pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambao ulia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Goncalo Inacio Amekubali Kusaini Mkataba Mpya

Mlinzi wa Sporting Lisbon mreno Goncalo Inacio amekubali kusaini mkataba mpya kusalia klabuni hapo. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 20 alikuwa akiwaniwa na Newcastl . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Usajili umewadia Wa Franck Kessie

Barcelona wanakaribia kumsajili kiungo wa Ivory Coast Franck Kessie kwa uhamisho huru wakati mkataba wa nyota huyo wa AC Milan mwenye umri wa miaka 25 utakapom . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Robert Lewandowski hajakubali kujiunga na Real Madrid

mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski pale Bayern Munich unamalizika mwaka 2023, wakati mkongwe huyo mwenye miaka 33 akitaka mkataba mpya kusalia katika klabu . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Roman Abramovich akabidhi usimamizi wa Chelsea kwa bodi ya wadhamini

Mmiliki wa Chelsea Mrusi Roman Abramovich anasema "anawapa wadhamini wa wakfu wa hisani wa Chelsea usimamizi na utunzaji" wa klabu hiyo. Abramovich, ambaye atasalia k . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Urusi yazuiwa kuimba wimbo Taifa

Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine likisema Urusi itacheza mechi zak . . .

news
Magari
  • Na JZ The Brand
  • February 18, 2022

Michael Masi aondolewa kama mkurugenzi wa mbio za F1

Michael Masi ameondolewa kama mkurugenzi wa mbio za magari ya langalanga kama sehemu ya urekebishaji katika bodi ya FIA kufuatia mashindano ya Abu Dhabi Grand Prix ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 18, 2022

Chama apewa kazi maalumu

Ushindi  wa mabao 3-1  umewafurahisha sana viongozi wa Simba na sasa katika kujipanga kuhakikisha wanaendeleza kasi hiyo ugenini dhidi ya USGN ya Niger na i . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Mwanasoka wa zamani wa Zimbabwe auawa Afrika Kusini

Mwanasoka wa zamani wa Zimbabwe Charles Yohane amefariki dunia nchini Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 48 katika tukio linaloonekana kuwa la wizi wa gari. Beki . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Simba Wampa Masharti Mawili Morrison

UONGOZI wa Simba licha ya kumsamehe winga wao, Bernard Morrison, lakini wamepatia masharti ambayo anatakiwa kuyafuata baada ya kupewa msamaha huo ndani ya kikosi chao.Mor . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 17, 2022

Kipigo cha 7-0, Masau Bwire atoa visingizio

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya klabu ya Ruvu Shooting Masau Bwire amekiri kuwa mnyonge, kufuatia timu yao kukubali kichapo cha mabao 7-0, katika mchezo wa K . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Morocco Yakubali Kushiriana Na Tanzania Kwenye Michezo

Waziri wa utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa  Februari 15, 2022 amekutana na Balozi wa Morocco nchini Mhe. Zakaria Elgoumiri na kufanya mazungum . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Yacouba Apewa Siku 45 Tu Yanga

DAKTARI wa viungo wa Yanga, Mtunisia, Youssef Ammar, amesema kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Yacouba Songne, amepata nafuu na atarejea uwanjani baada ya takribani siku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 16, 2022

Baada ya Ukame wa Muda, Ronaldo Aweka Kambani

Baada ya kukosa ushindi katika mechi tatu za mwisho kwenye Ligi mechi mbili na moja Kombe la FA, Manchester United imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 2-0 dhidi ya . . .

news
Masumbwi
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Top 10 ya Mabondia Bora Tanzania

UKIACHANA na mchezo wa soka ambao umekuwa na wafuatiliaji wengi zaidi duniani, mchezo ambao pia unafuatiliwa na mashabiki ni ule wa ngumi za kulipwa ambao pia una fed . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 15, 2022

Michezo Mtoto wa Kolo Toure, Yassine asajiliwa Leicester

Klabu ya Leicester City imemsajili mtoto wa mlinzi wa zamani wa Arsenal na Liverpool Kolo Toure, Yassine kwa mkataba wa miaka miwili. Yassine ambaye tofauti na baba ya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

TFF na Semina ya siku tatu kwa Waamuzi

Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF, Jumanne ya Leo February 15, 2022 limeanza rasmi kuendesha semina ya siku tatu kwa waamuzi wote wanaochezesha Ligi Kuu NBC Tanz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Joao Cancelo asimulia namna wezi walivyovamia nyumbani kwake

Beki wa klabu ya Manchester City, Joao Cancelo amezungumzia tukio la “kutisha” la kuvamiwa na wezi alilolielezea “lilitishia familia yangu” na kumjeruhiCancel . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Bernard Morrison arudishwa kundini Simba SC

Hatimaye Uongozi wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC umekubali kumsamehe Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ghana Bernard Morrison na kumrudisha kambini. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 15, 2022

Ahmed Ally aidharau Ruvu Shooting

Furaha ya ushindi dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast bado imeendelea kushamiri kwa Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally, licha ya kikosi cha klabu . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 13, 2022

Simba Fanyeni Kweli Uwanja wa Mkapa Leo

SIMBA SC, leo Jumapili inatarajiwa kuvaana na ASEC Mimosas katika mchezo wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Saalam. H . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 11, 2022

Happy Birthday Young Africans Sports Club

 Yanga ilianzishwa mwaka 1935 na Simba mwaka 1936, lakini ukizama ndani utagundua kwamba , huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa utani na upinzani wa jadi baina ya miamba . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

Morrison aomba radhi, Simba wakausha

STAA wa Simba, Bernard Morrison ametuma ujumbe kwenye kundi la WhatsApp la wachezaji wa timu hiyo na kufowadi vilevile kwa viongozi akiomba radhi kwa kilichotokea.“ . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

Ni muujiza kurejea katika soka-Christian Eriksen

Christian Eriksen anasema ni muujiza kuweza kuanza tena soka akiwa na Brentford baada ya kuzimia alipokuwa akiichezea Denmark kwenye Euro 2020 msimu uliopita wa joto. M . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Marekani yashinda medali ya kwanza ya dhahabu katika Olimpiki 2022

Marekani Jumatano imejipatia medali yake ya kwanza ya dhahabu kwenye michecho ya Olimpiki ya majira ya baridi mjini Beijing, China, kupitia ushindi wa Lindsey Jacob . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 10, 2022

Simba Yawaita Yanga Kuwasapoti CAF

mchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast, unaotarajiwa kufanyika Februari 13, katika Uwanja wa Mkapa, Dar.Sim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 9, 2022

China yadai kudhibiti maambukizi ya Corona kwenye michezo ya Olimpiki

China imesema Jumanne kwamba itaalika watazamaji zaidi kwenye michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi inayoendelea mjini Beijing kutokana na fanaka kubwa ya kudhibi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Young Africans yalalamikia waamuzi Ligi Kuu

Uongozi wa klabu ya Young Africans umepaza sauti na kusema timu yao imekua ikipata wakati mgumu dhidi ya waamuzi wanaochezesha michezo yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2022

Haji Manar "Hatulalamikii Waamuzi Tunawakumbusha Tu"

Kupitia Mkutano na waandishi wa Habari leo Feburuari 8, 2022, Msemaji wa Klabu ya  Haji Manara amesema kuwa Klabu yake na viongozi hawatoi malalamiko kwa Waamuzi . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

Nyota wa Ligi ya Primia Kurt Zouma ajipata mashakani baada ya kurekodiwa akimpiga paka wake teke ‘kama mpira

Mchezaji nyota wa Ligi Kuu ya Uingereza Kurt Zouma anaweza kufunguliwa mashtaka baada ya kurekodiwa kwenye picha ya video akimpiga paka wake kama mpira kwenye sakafu y . . .

Kurasa 25 ya 27

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita
  • Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode