logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Suzuki
  • January 19, 2022

Comoro Yawaduwaza Ghana kwa kuwatupa nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)

Timu ya taifa ya Comoro imeitupa Ghana nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), baada ya kuichapa mabao 3-2 katika mchezo wa mwisho wa Kundi C usiku wa Juman . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • January 18, 2022

ROONEY ATAJWA KUINOA EVERTON

Nyota na mkongwe wa Manchester United, Wayne Rooney anatajwa kuwa huenda akarithi mikoba ya Rafael Benitezndani ya Goodison Park.Everton siku ya Jumapili ilimfuta kazi al . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • January 3, 2022

SIMBA WATAMBULISHA JEZI MPYA.

Saa chache Mara baada ya wekundu wa msimbazi Simba kumtambulisha Ahamed Ally Kama msemaji wao mpya vilevile  Klabu ya Simba imezindua jezi mpya zitakazotumika kwenye . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • January 2, 2022

LUKAKU AONDOLEWA KWENYE ORODHA YA KIKOSI EPL LEO DHIDI YA LIVERPOOL.

Chelsea wamemuondoa Mshambuliaji wao Romelu Lukaku katika list ya wachezaji watakaowatumia katika mchezo wa EPL leo dhidi ya Liverpool.Sababu hasa ya kufanya hivyo haijaw . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • January 1, 2022

KOCHA PABLO AONYWA VIKALI.

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Pablo Franco amepewa Onyo Kali kwa kosa la kushindwa kuzuia hisia ama mihemko yake hali iliyosababisha aoneshe vitendo visivyo vya kiuanamic . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Tetesi za soka Ulaya Alhamisi 30.12.2021

Borussia Dortmund wanatazamia kuweka pamoja mpango wa kujaribu kumshawishi mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland kusalia nao, huku mustakabali wa mchezaji huyo mwen . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Hili hapa picha zima Yanga kwa Mshery

ALIYEKUWA kipa wa Mtibwa Sugar, Aboutwalib Mshery sasa rasmi ni mali ya Yanga baada ya mabosi wa Jangwani kutumia jeuri ya pesa na umafia kumpata jana.Mshery alisaini mka . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Azam Yapata Mrithi wa Sure Boy, Wamtangaza Ibrahim Ajib

KIUNGO wa mpira Ibrahim Ajib baada ya kusitisha mkataba wake na mabosi wake wa zamani Simba ametambulishwa ndani ya kikosi cha Azam FC.Ajib alikuwa akicheza ndani ya kiko . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 29.12.2021

Mshambulizi wa Ufaransa Kylian Mbappe anasema hatahamia Real Madrid mwezi Januari na atasalia Paris St-Germain hadi angalau mwisho wa msimu. Mkataba wa mchezaji huyo mwen . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Hitimana ndio basi tena Simba

Thierry Hitimana amevunja mkataba wake na klabu ya Simba kama kocha msaidizi baada ya makubaliano ya pande zote mbili.Hitimana jana Disemba 28 amewaaga wachezaji wa timu . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Hatma ya Sakho, Wawa leo Simba SC

HATMA ya kiungo mshambuliaji, Ousmane Sakho na beki Pascal Wawa na wenzao watatu itajulikana leo, ya kuendelea au kubakia kukipiga Msimbazi.Wachezaji hao ndiyo wanaotajwa . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

YANGA wagawa Dozi kwa Biashara 2-1

Kutoka pale Uwanja wa Mkapa, Wenyewe wanajiita ni Wananchi, Yanga SC, hii leo imeshuka Dimbani kuivaa Biashara United, huku Biashara United wakitangulia kutikisa nyavu za . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Fraga anarudi Simba SC.

Baada ya kula sikukuu ya Krisimasi huku wakiwa na shangwe za mataji wa Bao 4 - 0 dhidi ya KMC katika mechi yao iliyopigwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Simba SC wameleta & . . .

news
SOKA
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Nabi afanya mikakati kabambe ya Dirisha Dogo la Usajili

MABOSI wa Yanga wako katika vikao vya siri wakipiga hesabu za usajili kupitia dirisha dogo lililofungwa Desemba 16, lakini ripoti ya kocha wao Nesreddine Nabi imewekwa ba . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Metacha, Kakolanya kupishana Msimbazi

Unaambiwa mabosi wa Simba na Polisi Tanzania wapo hatua nzuri ya kubadilishana makipa, Metacha Mnata akiingia Msimbazi, huku Beno Kakolanya akitoka kwa Wekundu hao kwenda . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Tetesi za soka Ulaya Jumapili 26.12.2021

Mchezaji anayelengwa na Arsenal, Chelsea na Manchester City Dusan Vlahovic huenda akaondoka katika klabu yake katika dirisha la uhamisho la mwezi Januari kwasababu mshamb . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • December 18, 2021

VINARA WA MAGOLI KWA MWAKA

Wachezaji waliofunga magoli mengi ndani ya mwaka mmoja.91 Messi 2012 (Barcelona)69 Ronaldo 2013 (Real Madrid)69 Lewandowski 2021 (Bayern)63 Ronaldo 2012 (Real Madrid)61 R . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • December 16, 2021

WANANCHI WAMREJESHA EDNA LEMA.

Uongozi wa Yanga umemrejesha aliyekuwa kocha mkuu wa timu ya Wanawake ya Yanga Princes, Edna Lema ili aendelee kukinoa kikosi hicho.Edna alijiuzuru nafasi hiyo mwishoni m . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • December 15, 2021

AGUERO ATUNDIKA DALUGA.

Mshambuliaji wa Barcelona na nyota wa zamani wa Manchester City, Sergio Agüero (33) ametangaza rasmi kustaafu Soka kutoka na maradhi ya moyo anayokabiliana nayo.Agüero . . .

news
Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • December 14, 2021

Mashindano ya watu wenye ulemavu wa Akili na Usonji kufanyika Mwanza Kitaifa

Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mh. Hassan Masalah amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mwanza katika ufunguzi wa 14 Michuano ya Watu wenye Ulemavu wa Akili na Usonji Kitaifa inayofa . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Jacobmlaytz
  • December 13, 2021

AGUERO KUTANGAZA KUSTAAFU RASMI

Sergio Aguero anatarajiwa kutangaza kustaafu soka Rasmi Jumatano hii ikiwa ni miezi chini ya 6 tangu ajiunge na Barcelona akitokea Manchester City.Mechi ya mwisho ya Ague . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

Sasa Manchester United uso kwa uso na Ateletico Madrid.

Droo ya ligi ya mabingwa hatua ya 16 Bora Baada ya Droo kurudiwa Baada ya matatizo ya Ufundi.Mechi za mkondo wa kwanza zitafanyika mwezi wa pili Mwakani. . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

DROO YA HATUA YA 16 KURUDIWA.

UEFA imesema droo hiyo itachezeshwa upya baada ya matatizo ya kiufundi kutokea katika droo iliyochezeshwa awaliMatatizo hayo yalipelekea Man. Utd kupangwa dhidi ya Villar . . .

news
SOKA
  • Na Suzuki
  • December 11, 2021

ETO'O RAIS MPYA WA SOKA CAMEROON

Mshambuliaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Real Madrid, Samuel Eto'o amechaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Soka la Cameroon (FECAFOOT).Nahodha huyo wa zamani w . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 11, 2021

TFF YASIKITISHWA NA VURUGU ZA BAADHI YA VIONGOZI WA SIMBA KABLA YA MCHEZO.

Shirikisho la Soka nchini TFF  limesikitishwa vitendo vya vurugu vilivyofanywa na baadhi ya viongozi wa Klabu ya Simba kabla ya mchezo wa Simba dhidi ya Yanga uliofa . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 11, 2021

SIMBA NA YANGA MZANI SAWA.

Klabu za Simba na Yanga zimeshindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya 0-0 katika mchezo wa Ligi ya NBCYanga inaendelea kukaa kileleni mwa Ligi ikifikisha alama 20 na Sim . . .

news
Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • December 11, 2021

WATANI NGOMA NZITO KWA MKAPA

Dakika 45 za kipindi Cha kwanza za mchezo wa watani wa Jadi Simba dhidi ya Yanga zimemalizika Uwanja wa Mkapa kwa timu hizo kutokufungana (0-0).Bado timu zote mbili zinac . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Jembefmtz
  • December 11, 2021

Mugalu Yanga freshi, Lwanga bado

KATIKA mechi ya dabi leo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba, watamkosa kiungo wao mkabaji, Taddeo Lwanga kutokana na majeraha ya goti ambayo bado yanamsumbua.Ofisa . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Suzuki
  • December 10, 2021

SIMBA WAGOMEA KIKAO NA WAANDISHI WA HABARI.

UONGOZI wa klabu ya Simba kupitia kwa kitengo cha habari kinachoongozwa na Ally Shantri ‘Chico’ wamegoma kufanya kikao cha kocha na waandishi wa habari kisa bango len . . .

news
NBC Tanzania Premier League 2021/2022
  • Na Jacobmlaytz
  • December 10, 2021

TAKWIMU ZA SIMBA YANGA HIZI HAPA

Kesho Jumamosi nchi itasimama kwa muda kupisha mechi ya watani wa Jadi Simba wakiwakaribisha Yanga Uwanja wa Taifa Kwa Mkapa jioni majira ya saa 11:00.Kuelekea kwenye mch . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 9, 2021

Tigo Yataka Washiriki Kili Marathon Wajisajili Kwa Wingi

Kampuni ya Tigo ambayo inadhamini mbio za km 21 za Kilimanjaro Marathon imetoa wito kwa washiriki wa mbio hizo waendelee kujisajili kwa wingi huku ikiwa imebaki takriban . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 9, 2021

BARCELONA YATUPWA NJE UEFA.

Barcelona wanamaliza nafasi ya tatu kwenye Kundi lake na watakwenda kucheza Europa league.Mara ya mwisho Barcelona kushindwa kucheza hatua ya 16 Bora ligi ya mabingwa na . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na Suzuki
  • December 9, 2021

TIMU ZILIZOFANIKIWA KUFUZU KWENDA HATUA YA 16 BORA MASHINDANO YA UEFA CHAMPIONS LEAGUE.

Nafasi moja itaamuliwa na mchezo kati ya Atalanta na Villareal ulioahirishwa kutokana na hali ya hewa.Timuzilizopo upande wa kushoto ndio VINARA wa makundi na watakutana . . .

Kurasa 25 ya 26

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 4 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 23 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode