Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ally amewatoa hofu mashabiki wa klabu ya Simba kuwa kiungo wao Ellie Mpanzu yupo bado msimbazi kwa msimu mmoja na nu . . .
Sekretarieti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia Katibu Mkuu wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Ramadhan Missiru kujihusisha . . .
Kocha Carlo Ancelotti amethibitishwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil kwa mujibu wa shirikisho la soka la Brazil (CBF).Kocha huyo muitaliano ataachana na Real Madrid . . .
Klabu ya Real Madrid inataka kocha Xabi Alonso kuanza majukumu ya kuwa meneja wao mpya mapema ili kukiandaa kikosi hicho kujiandaa na michezo ya kombe la Dunia kwa vilab . . .
Paris Saint-Germain (PSG) wamefuzu kwa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UCL) baada ya kuwatoa Arsenal kwa jumla ya mabao 3-1 katika hatua ya nusu fainali. PSG walishind . . .
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imepanga mechi ya mzunguko wa pili ya Ligi Kuu baina ya Yanga na Simba ‘Kariakoo Derby’ kuchezwa Jumapili Juni 15, 2025.Bodi ya Ligi . . .
Yanga SC imerudishwa kamati ya rufaa ya TFF, CAS wamesema Yanga walitakiwa kuanzia Kamati ya rufaa ya TFF kwa mujibu wa kanuni za TFF, Bodi ya ligi (TPLB) na CAS.CAS wame . . .
Kuelekea mchezo wa marudiano wa CAFCC dhidi ya Simba SC, klabu ya Stellenbosch FC kutoka Afrika Kusini imeonyesha uhakika wa kushunda mchezo na hamasa kubwa mashabiki na . . .
Baada ya ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 wa Singida Black Stars dhidi ya Tabora United, mabadiliko makubwa yameshuhudiwa kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Mchezo . . .
Yanga wanamtaka Fei Toto kuziba pengo la Aziz ki kwenye kikosi Chao. Yanga ambayo ilimuuza kwa nguvu Fei Toto kwenda Azam Fc, nayo imefanikiwa japo kuumaliza mgogoro kati . . .
RAIS wa Klabu ya Yanga Sc na Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika [ACA), Eng. Hersi Said (@caamil_88) amepata tuzo kutoka World Football Summit [WFS], ya kuthamini mchang . . .
Viwango vya Ubora Barani Africa CAF Club Ranking 2025 | Mfumo wa viwango vya CAF wa miaka 5 hutumiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuamua idadi ya vilabu ambavyo kil . . .
Simba itamenyana na Al Masry Port Said katika mchujo wa kuwania kufuzu kwa Kombe la Shirikisho Aprili 9. Mchezo utaanza saa 16:00 kwa saa za kwenu.Huku Simba na Al Masry . . .
Kupitia kwenye Jarida la Africa Facts Zone limetoa orodha ya Wachezaji wanaolipwa mkunjwa mrefu zaidi kwa mwaka kwa wachezaji wanaochezea soka la ndani ya Afrika.Katika O . . .
Kylian Mbappe ameifikia rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kufunga magoli 33 katika msimu wake wa kwanza akiwa Real Madrid baada ya kufunga magoli mawili katika ushindi wa 3- . . .
Baada ya golikipa wa timu aya Taifa ya Kenya Harambee Stars Patrick Matasi kusimamishwa kwa tuhuma za upangaji wa matokeo, @hoseamchopa ameongea na nyota wa zamani . . .
Klabu ya AmaZulu FC ya Afrika Kusini imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa kutoka DRC, Jean Baleke!Mchezaji huyo amesaini mkataba rasmi baada ya kusafiri hadi . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amepanga kukutana viongozi wa Shirikisho la Soka la nchini (TFF), Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania ( . . .
Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Steven Mnguto, amesema tayari wamejibu barua ya Yanga na hawana mamlaka ya kuwazuia kwenda CAS lakini kama wameenda CAS kwa kipindi hiki ambap . . .
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dk. Patrice Motsepe, amechaguliwa tena kuliongoza Shirikisho hilo kama Rais kwa kipindi cha miaka minne ijayo.Motsepe am . . .
hirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Tanzania Ba . . .
Makamu wa Rais wa Yanga SC, Arafat Haji, ameweka wazi kuwa mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga SC na Simba SC, iliyokuwa imepangwa kufanyika Machi 8, 2025, haitapangiwa . . .
Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki ka . . .
Mshambulizi wa Al Nassr Cristiano Ronaldo amefanya mahojiano na Canal 11, ambapo alisisitiza hamu yake ya kucheza kwenye uwanja sawa na mwanawe, Cristiano Jr. Hata hivyo, . . .
Inaelezwa kuwa timu nne Barani Afrika Orlando Pirates, MC Alger, Wydad Casablanca na Al Ahly Benghazi zinawinda saini ya kiungo wa Yanga SC, Stephan Aziz K raia wa Burkin . . .
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza ongezeko la asilimia 75 kwa atakayebeba Kombe la CHAN ambapo mshindi sasa atapata Dola za Kimarekani Milioni 3.5.CA . . .
Ushindi wa mabao 3-0 walioupata Manchester City dhidi ya Leicester City umerejesha matumaini ya kikosi cha Pep Guardiola kilichoanzafa vibaya kwa msimu huu. Ushindi huo n . . .
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano kujihusisha na mpira wa miguu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira . . .
Mtoto King John Mseke (9) ambaye ni Mtoto wa Msanii Staa wa Hiphop Tanzania Joh Makini ( @JohMakiniTZ ), amewasili katika Academy ya Club ya Manchester City iliyopo Jijin . . .
Shirikisho la soka Duniani (FIFA) limethibitisha kuipatia Saudi Arabia haki za kuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA la 2034 huku Uhispania, Ureno na Morocco wakit . . .
SERIKALI imesema inaangalia uwezakano wa kuwapa Simba na Yanga ndege moja kwa ajili ya kwenda nchini Algeria katika michezo yao ya Kimataifa ya hatua ya makundi ya Ligi y . . .
BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu ya Kandanda Uingereza (Epl) Manchester City wamejikuta katika hali ambayo hawajazoea miaka ya hivi karibuni.Mechi ya Jumanne ya Kipute cha Klab . . .
SHIRIKISHO la Kandanda Duniani (FIFA), lilizindua rasmi muundo mpya wa ‘FIFA Club World Cup’ mnamo Novemba 14, 2024.Shirikisho hili linachukulia hii kuwa hatua kubwa . . .