logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 6, 2022

Zaidi ya watu 10,000 wakimbia mapigano kaskazini mwa Iraq

Zaidi ya watu 10,000 wamekimbia mapigano kati ya jeshi la Iraq na wapiganaji wa Yazidi wenye mafungamano na chama cha wafanyikazi cha Ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 6, 2022

Jean-Pierre ateuliwa katibu wa habari wa Ikulu ya White House

Rais wa Marekani Joe Biden amemteua Karine Jean-Pierre kuwa msemaji wa Ikulu ya White House, mtu wa kwanza mweusi kushikilia wadhifa huo w . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 6, 2022

Sabaya, wenzake wasubiri hukumu

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili wamefikishwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha k . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Makabiliano mapya yazuka kwenye msikiti wa al-Aqsa

Yamezuka makabiliano mapya baina ya Waisraeli na Wapalestina kwenye katika uwanja wa msikiti wa al-Aqsa mjini Yerusalemu, siku kumi baada . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Afisa mwandamizi wa Kremlin azuru Mariupol

Naibu mkuu wa watumishi katika Ikulu ya Urusi, Kremlin, Sergey Kiriyenko amezuru mjini Mariupul, huko Ukraine, ambao kwa kiwango kikubwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mwanaanga wa Kijerumani anarudi duniani

Mwanaanga wa Kijerumani Matthias Maurer yuko njiani kurejea duniani baada ya karibu miezi sita kuwepo angani kwenye kituo cha anga ya ki . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mvua kubwa imesababisha vifo vya watu 22 Afghanistan

Mamlaka yenye kushughulika na majanga nchini Afghanistan imesema mvua kubwa na mafuriko yamesababisha vifo vya watu watu 22, kuharibu mami . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Spika atoa maagizo kwa Serikali kupanda bei mafuta

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameiagiza Serikali kupeleka bungeni hatua za muda mfupi itakazochukua kukabiliana na changamoto ya kupanda . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Uchunguzi dhidi ya rais wa zamani wa Guinea waanza

Idara ya mahakama ya Guinea imeanza uchunguzi dhidi ya rais wa zamani wa nchi Alpha Conde na maafisa wengine 26 waliokuwa katika serikali . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Marekani yazihakikishia Sweden na Finland usalama wao kabla kujiunga na NATO

Sweden imepokea hakikisho la kuungwa mkono na Marekani katika kipindi ambapo ombi lake la kutaka kujiunga na Muungano wa Kujihami wa NATO . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Korea Kaskazini yafyatua kombora la masafa marefu

Korea Kaskazini imefyatua kombora la masafa marefu kuelekea bahari yake ya mashariki, ikiwa ni siku chache tu baada ya kiongozi wake Kim J . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Waziri atoa siku saba kwa ‘Panya Road’

Jeshi la Polisi limepewa siku saba kuhakikisha linawakamata vijana maarufu kwa jina la ‘Panya Road’ waliohusika kujeruhi na kuiba ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mawaziri wakutana kutathmini bei ya mafuta, gharama za maisha

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala ambazo zitapunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mwanachama wa Oath keepers amekiri njama za uchochezi kulishambulia bunge la Marekani

Mwanachama wa wanamgambo wa mrengo mkali wa kulia wa Oath Keepers siku ya Jumatano alikiri kushiriki katika njama za uchochezi wakati wa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Waziri Blinken amekutwa na maambukizi ya COVID-19 siku ya Jumatano

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken alipimwa Jumatano na alikutwa na maambukizi ya COVID-19 na atafanya kazi kwa njia ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Mkulima Ukraine Aibiwa Trekta na Majeshi ya Urusi Linaloendeshwa kwa Rimoti

Majeshi ya Urusi katika mji unaoshikiliwa na majeshi hayo wa Melitopol yamegundulika kuiba Trekta la mkulima mmoja nchini Ukraine lenye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Waziri Mkuu wa India ziarani barani Ulaya

Waziri Mkuu wa India Narendra Modi leo anaanzia ziara yake barani Ulaya kwa kuzitembelea Ujerumani, Denmark na Ufaransa huku uamuzi wa ser . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Watu watano wamekufa baada ya ghorofa kuporomoka Nigeria

Watu watano wamekufa usiku wa kuamkia leo baada ya jengo moja la ghorofa tatu kuporomoka kwenye mji wa kibiashara wa Nigeria wa Lagos na k . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Mwizi wa Viatu Msikitini Apewa Adhabu ya Kula Pilipili Mwaka.

Baadhi ya wakaaji wa Mombasa sasa wameanza kuitumia pilipili kama kifaa cha kuadhibu watu wanaokutwa na makosa kwa mfano wizi. Waliomkamata . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Msanii wa Bongo Fleva Gigy Money Aliamsha Tena

MOURAD Alpha almaarufu Mo J; ni mtangazaji wa Radio Clouds FM ambaye dunia inajua ni baba mzazi na halisi wa mtoto Mayra aliyezaa na msani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Upinzani uliogawika Sri Lanka waungana kumtaka rais aondoke madarakani

Upinzani uliogawika nchini Sri Lanka hapo jana umeonyesha mshikamano wa nadra ulipoungana na kumtaka Rais Gotabaya Sajapaksa kujiuzulu kuf . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Rais wa Tunisia aahidi katiba mpya katika siku chache zijazo

Rais wa Tunisia Kais Saied amesema serikali yake itaunda kamati ya kuandika katiba mpya ya kile alichokiita "taifa jipya" nchini Tunisia. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Morocco inaimarisha program yake dhidi ya ugaidi kwa wapiganaji wa zamani wa IS

Mamlaka ya magereza nchini Morocco imekuwa ikitoa mafunzo ya kutokomeza ugaidi tangu mwaka 2017 kwa wapiganaji wa zamani wa kundi la I . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2022

Polisi Uturuki wawashikilia darzeni ya walioandamana Sikukuu ya Mei Mosi 2 Mei, 2022

Polisi wa kutuliza ghasia nchini Uturuki wamewakamata darzeni ya waandamanaji waliokuwa wakijaribu kufika katika Uwanja mkuu wa Taksimu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Mbunge ajiuzulu baada ya kuangalia video za ngono bungeni

Neil Parish ameiambia Jembe FM kuwa anajiuzulu kama mbunge baada ya kukiri kuwa alitazama ponografia mara mbili Bungeni.Bw. Parish, ambay . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Wanaume Nchini Uingereza Hawafui Mashuka

UTAFITI uliofanywa na Shirika la Utafiti la Bedding Company la nchini uinereza umegundua kuwa zaidi ya nusu ya wanaume nchini humo hawafui . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Baadhi ya Waukraine waondolewa kutoka kwenye eneo la kiwanda cha chuma cha Mariupol

Afisa wa Ukraine na mashirika ya habari ya serikali ya Urusi wamesema kuwa wanawake na watoto kadhaa wamehamishwa kutoka kiwanda cha chuma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Kiongozi wa Afghanistan anaye onekana kwa nadra apongeza 'usalama' katika kuadhimisha Eid

Kiongozi mkuu wa Afghanistan Hibatullah Akhundzada, ambaye alionekana hadharani leo Jumapili ikiwa ni mara ya pili tu katika kipindi cha m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Mexico yamkamata kiongozi wa kundi lenye nguvu la wauza madawa ya kulevya

Mamlaka ya Mexico imemkamata kiongozi anayeshukiwa kuwa wa kundi lenye nguvu la wauza madawa ya kulevya la Jalisco New Generation. Francis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Spika wa Bunge la Marekani, Nancy Pelosi akutana na Zelenskiy mjini Kyiv

Spika wa Bunge la Marekani Nancy Pelosi akiambatana na wabunge kadhaa, amefanya ziara mjini Kyiv katika kuonyesha mshikamano kwa nchi hiyo . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Dar yajipanga kupambana na ‘Panya Road’

Kufuatia matukio ya uporaji yanayofanywa na vijana wanaojulikana kwa jina la Panya Road jijini hapa, baadhi ya wakazi wameweka mikakati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2022

Tucta yapendekeza kima cha chini sekta zote kiwe Shilingi milioni moja

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (Tucta) limemkumbusha Rais Samia Suluhu Hassan ahadi yake ya kuboresha mishahara kwa wafanyakaz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Machafuko yazuka upya Al Aqsa Jerusalem

Machafuko yamezuka upya hii leo kati ya Wapalestina na polisi wa Israel katika eneo la msikiti wa Al-Aqsa mjini Jerusalem na watu 40 wam . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Wairan waandamana kwa maelfu kuwaunga mkono Wapalestina

Maelfu ya Wairan wameshiriki kwenye mikutano mikubwa ya maandamano ya umma katika mji mkuu Tehran kuadhimisha siku ya Jerusalem ambayo w . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Kenya yamuaga Mwai Kibaki.

Kenya leo inamuaga rasmi rais wa zamani wa nchi hiyo Mwai Kibaki aliyefariki wiki iliyopita akiwa na umri wa miaka 90. Viongozi mbalimba . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

TANESCO wanafanya tathmini Bwawa la Nyerere

Shirika la umeme nchini Tanesco, limesema linafanya Tathmini ya utekelezaji wa Mradi wa ujenzi wa Bwawa la umeme la Mwalimu Nyerere amba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

IEBC Kenya imetangaza sheria ya usawa wa jinsia kwa wagombea wa kisiasa

Vyama vya kisiasa nchini Kenya viko kwenye hatari kwa wagombea wake katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9 kuondolewa katika orodha ya wagombe . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Niger yaruhusu chanjo ya malaria kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano

Niger imeruhusu chanjo dhidi ya malaria iliyotengenezewa Uingereza itolewe kwa watoto walio na umri wa chini ya miaka mitano, ili kupamb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Raia mzungu wa Afrika Kusini ampiga risasi mwanamke mweusi akidai alidhani ni kiboko

Raia mzungu wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 77, ambaye ni mmiliki wa shamba, amefikishwa mahakamani Alhamisi kwa kumpiga risasi na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

Urusi yaushambulia mji wa Kyiv wakati Katibu Mkuu wa Umioja wa Mataifa akiwa ziarani kwenye mji huo

Urusi imeyashambulia kwa makombora maeneo kadhaa ya maakazi kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kyiv wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antoni . . .

Kurasa 171 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category