logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Mkurugenzi wa Human Rights Watch atangaza kujiuzulu

Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch, Kenneth Roth, amesema leo kuwa atauach . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

China yakanusha kutaka kuitumia Twitter kupenyeza ajenda zake

Wizara ya mambo ya nje ya China imekanusha shutuma kwamba itatumia ushawishi wake kwa kampuni ya kutengeneza gari zinazoendeshwa kwa umeme . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Rais Samia asamehe wafungwa 3,826

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 826 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania.Kwa mujibu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Msekwa "Asiyeupenda Muungano akajinyonge"

Spika wa Bunge mstaafu, Pius Msekwa amesema mtu asiyependa Muungano wa Tanzania akajinyonge.Msekwa ametoa kauli hiyo leo Jumanne Aprili 26 . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Ibenge apata ajali Morocco

Kocha Mkuu wa RS Berkane, Florent Ibenge amepata ajali ya gari wakati akitoka mazoezini jana.Taarifa ya klabu yake imesema ajali hiyo imempa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Kichuya azungumzia ishu yake na Yanga

Rekodi zinaonyesha namna winga wa Namungo FC, Shiza Kichuya anavyokuwa tishio kwa Yanga, wakikutana mechi za Ligi Kuu Bara.Kichuya amekuwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

NYUMBA 42 ZAHARIBIWA NA MVUA

Kufuatia Mvua ilionyesha April 23 mjini Geita iliyoambatana na upepo mkali na kusababisha kuezua paa za Kaya 42, mapema April 25 Mkuu wa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Mfalme Abdullah wa Jordan na Biden wajadili haja ya kutuliza mvutano wa Jerusalem

Mfalme wa Abdullah wa Jordan amekubaliana na Rais wa Marekani Joe Biden kuhusu haja ya kuzuia marudio ya makabiliano ya karibuni katika ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Lavrov aonya kuhusu kitisho cha kuzuka vita vya nyuklia

Waziri wa Mambo ya Kigeni wa Urusi Sergei Lavrov amezionya nchi za Magharibi kutopuuza hatari inayoongezeka ya kuzuka mzozo wa nyuklia k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Guterres kukutana na Putin kumuomba asitishe uvamizi dhidi ya Ukraine

Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guteress anaelekea mjini Moscow ambapo anatarajiwa kukatana leo Jumanne na Rais wa Russia Vlad . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Watu 16 wamefikishwa mahakamani kwa kuwauzia silaha wanamgambo huko DRC

Watu 16 wakiwemo wanajeshi tisa walifikishwa mahakamani siku ya Jumatatu nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) wakituhumiwa kuuza . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Majeshi ya Niger na Burkina Faso yasema yameua magaidi 100 katika operesheni ya pamoja

Wakuu wa jeshi la Niger na jeshi la Burkina Faso Jumatatu wamesema operesheni ya pamoja ya wiki tatu katika eneo la mpakani linalosham . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Mwanaharakati ahukumiwa kifungo cha miaka minne jela kwa kumtusi mfalme Mohammed

Mahakama moja ya Morocco Jumatatu imemuhukumu kifungo cha miaka minne jela mwanaharati aliyemtusi Mfalme Mohammed wa sita kwenye mitanda . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Waislamu kusherehekea Eid Mei 2 au 3

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limesema waumini wa dini na wananchi watashehekea sikukuu ya Eid el-Fitri Mei 2 au Mei 3 kuli . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

KERO ZITOKANAZO NA MUUNGANO ZATATULIWA.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Muungano na Mazingira, Dk Selemani Jafo amesema wamefanikiwa kutatua kero 18 za muungano kati ya 25 zilizopo.Jaf . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Familia ya mlinzi anayedaiwa kuuawa na mfanyabiashara yataka uchunguzi

Familia ya mlinzi anayedaiwa kuuawa na mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite, Pendael Molllel imeliomba Jeshi la Polisi kufanya uchunguzi . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Wizara ya Kilimo, Taha Zasaini Makubalino Kuendeleza Sekta Ndogo ya Kilimo cha Matunda na Mbogamboga

IBU MKUU wa Wizara ya Kilimo, Bw. Andrew Massawe na Mtendaji Mkuu wa Tanzania Horticulture Association (TAHA), Dkt. Jacqueline Mkindi, jan . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Watu 8 Wafariki na Wengine 19 Kujeruhiwa kwa Ajali Mkoani Njombe

Kamanda wa Polisi mkoa wa Njombe Hamis Issah amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu 8 na 19 kujeruhiwa katika ajali ya gari aina ya Coa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Rais Kenyatta na Mkewe Aongoza Waombolezaji Kuaga Mwili wa Mwai Kibaki

RAIS Uhuru Kenyatta na Mkewe Margaret Kenyatta wawaongoza wakenya kutoa heshima zao za mwisho kwa Rais wa zamani Emilio Stanley Mwai Kibak . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

MFUNGWA MWANAMKE AMPACHIKA MIMBA MWANAMKE MWENZAKE.

Wafungwa wawili katika gereza la wanawake pekee wamepata ujauzito baada ya kulala na mfungwa aliyebadili jinsia. Kwa mujibu wa Mirror, wanaw . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Watu 168 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan

Mapigano kati ya makundi hasimu katika jimbo la Sudan la Darfur yamesababisha vifo vya watu 168 Jumapili, kundi moja la misaada limese . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Mji wa China wa Shangai waripoti vifo 39 kutokana na Covid 19

Mji wa China wa Shangai Jumapili umeripoti vifo 39 kutokana na Covid 19, ikiwa idadi kubwa ya vifo licha ya kuweka masharti makali ya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

WHO inapendekeza ongezeko la matumizi ya chanjo ya kwanza ya Malaria Afrika

umatatu April 25 ni siku ya Malaria Duniani, shirika la afya Duniani (WHO) linapendekeza upanuzi wa matumizi ya chanjo ya kwanza ya malari . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Zaidi ya watu 100 wamekufa katika mlipuko wa kiwanda cha mafuta Nigeria

Zaidi ya watu 110 wameuawa kufuatia mlipuko uliotokea katika kiwanda haramu cha kuchakata mafuta kusini mashariki mwa Nigeria. Shughuli ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Macron ashinda uchaguzi wa rais Ufaransa

Wapiga kura nchini Ufaransa jana wamempa ushindi Emmanuel Macron wa muhula wa pili madarakani katika uchaguzi wa rais baada ya mpinzani wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Waziri Mkuu Atembelea Ujenzi wa Nyumba Kijiji cha Msomera Wilayani Handeni

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amefanya ziara na kukagua nyumba 103 miongoni mwa nyumba zinazojen . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

WATANZANIA WALIOKO MAREKANI WADAI KATIBA MPYA

Madai ya Katiba mpya yameibukia nje ya viunga vya Ubalozi wa Tanzania Jijini New York, Marekani, ndivyo unavyoweza kusema.Hiyo ni baada ya . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Bunge laahirishwa kupisha maombolezo ya Mbunge

Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson ameahirisha kikao cha Bunge leo Jumatatu Aprili 25, 2022 kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Mjumbe wa Ukrain asema Urusi inaishambulia Mariupol

Mpatanishi mwandamizi kwa upande wa Ukraine na mshauri wa rais, Mykhailo Podolyak leo hii amesema majeshi ya Urusi bado yanaendelea kuusha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Korea Kaskazini inajivunia nguvu kubwa ya kijeshi

Vyombo vya habari nchini Korea Kaskani vimetangaza taifa hilo kupata kile ilichokiita nguvu isiyoweza kushindwa, ambayo ulimwengu hauwezi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Watu 80 wamekufa kwa mripuko Nigeria

Watu 80 wameteketea kwa moto kufuatia mripuko uliotokea usiku katika kiwanda kinachochakata mafuta kinyume cha sheria Kusini mwa Nigeria. . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

MAJI YA UPAKO YAZUA KIZAA ZAA

Ummy Msika (45), mkazi wa kata ya Bomambuzi manispaa ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro amepata madhara mwilini baada ya rafiki yake kudaiwa k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

FEDHA ZA UVIKO_19 ZIKIENDELEA KUFANYA MIRADI MBALIMBALI

WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA)Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi umesema kupatikana kwa miradi ya maji inayotekele . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

ZAIDI YA WATOTO LAKI TATU WAPATA CHANJO

Mkoa wa manyara unalenga kuwachanja watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 kuwakinga dhidi ya ugonjwa wa Polio unaosababisha kupooza.Kamp . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Iran yaanzisha mazungumzo na Saudia kurejesha mahusiano ya kidiplomasia

Iran imeanzisha tena mazungumzo na hasimu wake wa kikanda Saudi Arabia, baada ya kusitishwa kwa mazungumzo ya siri mjini Baghdad miezi kad . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Watu kadhaa wateketea kwa moto kutokana na mripuko wa kiwanda cha mafuta Nigeria

Watu kadhaa wanahofiwa kuteketea kwa moto kufuatia mripuko uliotokea usiku katika kiwanda kinachochakata mafuta kinyume cha sheria Kusini . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Mapigano yauwa watu wanane huko Darful

Mapigano kati ya kabila la waarabu na wakulima wa kabila la wachache katika eneo lililokumbwa na vita la Darfur nchini Sudan yamesababisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Ufaransa kumchagua rais wake mpya katika duru ya pili

Mamilioni ya wapiga kura nchini Ufaransa, wanapiga kura Jumapili hii Aprili 24, kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi, unaowaku . . .

Utalii
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Gari la Rais Samia la Royal Tour lavutia utalii

Baada ya filamu ya Royal Tour kuzinduliwa katika miji ya New York na Los Angeles Marekani, gari lililoonekana likiendeshwa na Rais Samia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Uturuki yafunga anga lake kwa ndege za Urusi kuelekea Syria

Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za kiraia na kijeshi za Urusi zinazosafiri kuelekea Syria.Tangazo hilo linaashiria moja ya majibu m . . .

Kurasa 173 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category