logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mauaji
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Mtoto Auawa Kwa Kumwagiwa Maji ya Moto na Bibi Yake Lyabukande Wilaya ya Shinyanga

Mtoto aitwaye Joseph Juma mwenye umri wa miaka minne mkazi wa kijiji cha Lyabukande kata ya Lyabukande wilaya ya Shinyanga ameuawa kwa k . . .

SOKA
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

MO Dewji aibipu Yanga

MABOSI wa Yanga, wanabadilisha anga wakisaka vifaa vipya vya kigeni kwa malengo ya msimu ujao, lakini ndani ya timu yao kumeibuka mshtuko . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Waarabu watia mkono dili la Yanga

MASHABIKI wa Yanga waliokuwa na hamu ya kuona kifaa kipya kutoka Rwanda kikitua Jangwani, wakae kwa kutulia baada ya Waarabu kutia mkono . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Waasi wa Houthi wakubali kuacha kuwatumia watoto kama wanajeshi

Umoja wa Mataifa umesema waasi wa Houthi wameamua kutowatumia tena watoto kama wanajeshi. Waasi hao wamewatumia maelfu ya watoto kupigana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Jaji asema uvaaji barakoa kwenye vyombo vya usafiri Marekani ni kinyume cha sheria

Marekani imeondoa sheria ya kuvaa barakoa katika vyombo vyote vya usafiri. Mahakama moja katika jimbo la Florida imesema kwamba sheria h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Kamisheni ya haki za binadamu Ujerumani yataka wakimbizi wote wapewe haki sawa

Kamishina wa haki za binadamu katika serikali ya Ujerumani Luise Amtsberg ametaka wakimbizi wanaoingia Ujerumani kutoka mataifa kama Afg . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Israel yaidungua roketi iliyotokea Gaza

Jeshi la Israel linasema limedungua roketi iliyorushwa kutoka Ukanda wa Gaza jana. Hili ndilo shambulizi la kwanza la aina hiyo kufanyika . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

SHINDA YA MAJI YALETA KIKWAZO KWA WANAOTARAJIA KUOA

Baadhi ya vijana katika Kijiji cha Muungano wilayani Chemba mkoani Dodoma, wamedai kuwa wanakabiliwa na changamoto ya kukataliwa kuoa ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Mtendaji kata Handeni asimamishwa kazi kwa makosa 20

Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Handeni mkoani Tanga, imemsimamisha kazi mtendaji kata ya Kwenjugo, Athumani Mgaza akidaiwa kutenda . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Ubovu wa barabara wamuibua Spika Tulia

Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson ameitaka Serikali kutenga fedha kwa ajili ya matengenezo ya barabara zinazojengwa ili ziweze kuwa imara . . .

Flamu/Movie
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Rais Samia aanza kuwafungulia njia bongo movie duniani

Kutoka kuwa mshiriki na kuzindua filamu ya Tanzania: The Royal Tour, kufanya mazungumzo na ikulu ya White House hadi kuanza kujenga daraja . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Wanajeshi wawili huko DRC wameuwa raia 15 na kanali wa jeshi

Wanajeshi wawili waliokuwa wamelewa wamewaua kwa risasi watu 15 katika mashambulizi tofauti kwenye eneo tete la mashariki mwa Jamhuri ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

MAFURIKO YA AFRIKA KUSINI YAWA JANGA LA KITAIFA

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Jumatatu ametangaza kuwa mafuriko mabaya yanayolikumba taifa hilo ni janga la kitaifa, na kuonya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Kampeni za uchaguzi zaendelea kuelekea duru ya pili ya uchaguzi wa urais

Nchini Ufaransa, wagombea wawili kwenye kiti cha urais, rais anayemaliza muda wake Emmanuel Macron na Marine Le . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Anayetawala anga atashinda vita vya Ukraine

Kapteni Vasyl Kravchuk anatabasamu kwa urahisi licha ya kuvumilia siku 50 za vita.Anaunganishwa kwenye a Video ili kufanya mahojiano haya . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Je binzari ya manjano inaweza kutibu magonjwa kama vile Saratani?

Utakuta maelfu ya makala zikielezea jinsi binzari ya manjano zinavyoweza kutibu magonjwa kama kiungulia, kukosekana kwa uwezo wa tumbo wa . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Tunayojua kuhusu kilichofanyika kwa mtalii kutoka Nigeria akiwa Zanzibar anayedai alinusurika kubakwa

Bi Zainab alituma katika mtandao wake wa Twitter siku ya Jumamosi masaibu aliyoyapata katika moja ya hoteli karibu na ufukwe eneo la Nungw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Ukraine yaapa kutosalimu amri kwenye mji wa Mariupol

Ukraine imeapa kupambana hadi dakika ya mwisho katika mji uliozingirwa wa Mariupol baada ya kumalizika kwa muda uliowekwa na Urusi kwa kuw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Mjumbe wa Marekani yuko Korea Kusini kujadili kitisho cha Pyongyang

Mjumbe Maalum wa Marekani kwa Korea Kaskazini Sung Kim amewasili mjini Seoul leo kwa mazungumzo na maafisa wa Korea Kusini juu ya kushughu . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Watu 47 Wafariki Nchini Afghanistan Baada ya Shambulio la Anga Kutoka Pakistan

JUMLA ya watu 47 wameripotiwa kufariki nchini Afghanistan katika majimbo ya Khost na Kunar yanayopatikana mashariki mwa nchi hiyo na hiyo ni . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

FARDC yapoteza wanajeshi watatu waliouawa na mwenzao Bambu

Watu wanane wakiwemo wanajeshi watatu wameuawa katika mji wa Bambu, Kilomita 40 kutoka mji wa Bunia, mkoani Ituri ba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Mwaka mmoja baada ya kifo cha Idriss Déby, changamoto ya amani na uhuru

Mwaka mmoja baada ya kifo cha Idriss Déby Itno, baraza la kijeshi la mpito lililoundwa katika hali ya dharura bado . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Marekani Ya fyatua risasi wikiendi ya Pasaka

Maafisa wa jimbo la South Carolina nchini Marekani wanasema wanachunguza tukio la ufyatuaji risasi katika klabu moja katika kaunti ya . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Majeshi ya Ukraine Yaapa Kupambana Hadi Mwisho, Yagoma Kujisalimisha kwa Urusi

MAJESHI ya Ukraine ambayo yapo jijini Mariupol yamegoma kujisalimisha kama ilivyotolewa amri na Urusi na badala yake yameapa kupambana hadi . . .

Dini
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Vurugu zazuka kanisani Mbeya, Polisi wakamata viongozi

Wakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, leo baadhi ya waumini wa usharika . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Kikosi cha pamoja cha kijeshi kimeua zaidi ya waasi 100 eneo la ziwa Chad

Kikosi cha pamoja cha kijeshi kutoka Nigeria, Niger na Cameroon kilisema Jumapili kwamba kimewaua zaidi ya waasi 100 wa kiislam wakiwemo . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko Afrika kusini imefikia 440

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyotokea Afrika kusini, iliongezeka hadi 440 siku ya Jumapili huku mvua ikipungua na . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Vipigo kwenye ndoa tishio jingine kwa familia

Wiki iliyopita simanzi iliwakumba watu wengi barani Afrika, hasa wafuatiliaji wa muziki wa injili baada ya kifo cha muimbaji wa nyimbo za in . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

MWANAMKE ANYWA MKOJO BADALA YA BIA

Huku wengine wakisumbuliwa na uraibu wa pombe na dawa za kulevya, basi kuna wengine ambao wana uraibu wa kunywa mkojo wao. Daah! ama kweli k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

MACHINGA APORWA MALI ZAKE MWANZA

Kufuatia Video iliyosambaa mitandaoni ikionyesha Mjasiriamali mdogo wa ndizi akichukuliwa bidhaa zake na mgambo wa Halmashauri, Waziri wa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Nigeria yasema shambulizi la anga limeuwa wanamgambo 70

Jeshi la anga la Nigeria limesema limewauwa zaidi ya wapiganaji 70 wenye mafungamano na kundi linalojiita Dola la Kiislamu katika eneo la . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Morrison Aonywa Kuhusu VAR Uwanja wa Mkapa, Dar Leo Dhidi ya Orlando Pirates

KUFUATIA kutumika kwa mara ya kwanza mfumo wa video wa kumsaidia mwamuzi (VAR) hapa Tanzania katika mchezo wao wa leo Jumapili dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Urusi yawataka wanajeshi wa Ukraine walioko Mariupol kujisalimisha

Jeshi la Urusi limevitolea mwito vikosi vya Ukraine katika mji wa bandari uliozingirwa wa Mariupol kuweka chini silaha na kujisalimisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Korea Kaskazini yafanya jaribio la makombora chini ya usimamizi wa Kim

Korea Kaskazini imefanya jaribio jingine la aina mpya ya makombora katika tukio ambalo limeshuhudiwa na kiongozi wa taifa hilo, Kim Jong . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Meli ya mafuta yazama pwani ya Tunisia

Meli iliyobeba tani 750 za mafuta ya dizeli ikitokea Misri kwenda kisiwa cha Malta imezama nje kidogo ya pwani ya kusini mashariki mwa Tun . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Petro de Luanda ya Angola yaishinda FAP ya Cameroon

Baada ya kushindwa Ijumaa usiku na Zamalek ya Misri, Petro de Luanda ya Angola ilirejea uwanjani Jumamosi na kushinda dhidi ya Forces Ar . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

RC awatumbua mgambo saba, mratibu machinga Mwanza

Muda mfupi baada ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, Innocent Bashungwa kutoa maagizo kwa uongozi wa Jiji la Mwanza kutokana na vide . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Mbowe atoa msimamo mkali akitaka hatua

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuwashughulikia watu wote waliolisababishia Taifa hasara ya mabilioni ya fedha ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Waziri Mkuu wa Uingereza kuitembelea India

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ataitembelea India katikati ya wiki inayokuja kwa mazungumzo juu ya biashara na usalama pamoja mw . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Wakristo duniani washerehea sikukuu ya Pasaka

Mamilioni ya waumini wa dini ya Kikristo duniani leo wanasherehekea sikukuu ya Pasaka kukumbuka kufufuka kwa Yesu Kristo baada ya kusulubi . . .

Kurasa 175 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category