logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Dini
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Papa Francis awaenzi wanahabari waliouawa katika vita vya Ukraine.

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, Jumapili amewaenzi waandishi wa habari waliouawa katika vita vya Ukraine akisema anatu . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Kilimo Tanzania kuchangia Pato la taifa kwa 10%

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema Serikali ya Tanzania ina mopango wa kuwainua wakulima na kukiinua kilimo cha Tanzania ili kufikia . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Kocha Pablo" Wachezaji wapo tayari kimwili na akili"

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake wamekamilisha Program ya maandalizi kabla . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Pinda awataka wadau wa Kisheria kuimarisha ushirikiano na serikali

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geofrey Pinda amewataka wadau wa msaada wa kisheria nchini kujenga na kuimarisha ushirikiano wa kimkakat . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan aitisha uchaguzi mpya

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameitisha uchaguzi mpya baada ya bunge kutupilia mbali kura ya kutokuwa na imani naye. Rais wa Pakistan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Papa Francis ataka ulimwengu kuonyesha ukarimu zaidi kwa wakimbizi

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameombea ulimwengu kuonyesha wema na huruma zaidi kwa wakimbizi wakati alipokutana na w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Raia wa Hungary wanapiga kura kumchagua Waziri Mkuu

Wapiga kura nchini Hungary leo wanapiga kura huku wakikabiliwa na kibarua kizito cha kuchagua muungano wa vyama vya upinzani wenye sura ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Ukraine yachukua udhibiti wa eneo la Kyiv kutoka kwa Warusi

Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima la Kyiv baada ya wanajeshi wa Urusi kurudi nyuma kutoka katika baadhi ya miji muhimu kar . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Dirk Kuyt ampigia debe Erik Ten Hag Man Utd

Mshambuliaji wa zamani wa Majogoo wa Jiji ‘Liverpool’ Dirk Kuyt, anaamini Meneja Erik Ten Hag kutoka Uholanzi, atakua chaguo sahihi kw . . .

TAMASHA
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA LASITISHA SHUGHULI ZAKE.

Baada ya miaka 19 ya kusherehekea tamaduni tofauti na muziki wa Kiafrika, pazia la Sauti za Busara linafungwaZanzibar: Kwa huzuni na masikit . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watatu wafa kwenye ajali ya ndege za jeshi la anga Korea Kusini

Ndege mbili za Korea Kusini zimegongana angani wakati wa mazoezi na kuanguka karibu na kambi yake, na kuua watu wote wanne waliokuwemo nda . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Eu yaitaka China kutoisaidia Urusi katika vita vya Ukraine

Viongozi wa Umoja wa Ulaya na China wamekutana leo kwa mara ya kwanza katika miaka miwili, huku Brussels ikiishinikiza Beijing kutoa uha . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Kinana apita kwa asilimia 100 umakamu Mwenyekiti CCM

Wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM wamemchagua Abdulrahman Kinana kuwa makamu Mwenyekiti wa CCM Bara kwa kura za ndiyo 1875.Wajumbe wali . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

VIONGOZI WA KENYA WAFANYA UKAGUZI WA BBI

Viongozi wa Muungano wa Kenya Kwanza wametangaza kuwa watatoa hoja ya kumshinikiza Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nancy Gachungu kukagua . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Hapi" Kinana ni mtu mwenye uwezo mkubwa"

Mkuu wa Mkoa wa Mara,  Ally Hapi amesema kuwa Abdulrahman Kinana ambaye jina lake limependelezwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Warusi waondoka Chernobyl wakati mapigano yakiendelea kwingineko

Wanajeshi wa Urusi wamekabidhi udhibiti wa kiwanda cha nyuklia cha Chernobyl kwa Waukraine na kuondoka eneo hilo lililochafuliwa na mionzi . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Waziri Mkuu wa Pakistan aituhumu Marekani kuingilia siasa za nchi

Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameituhumu Marekani kwa kuingilia siasa za nchi yake -- madai ambayo yamekanushwa haraka na Washington. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

ICC yafungua ofisi Venezuela kuchunguza ukiukaji wa haki za binaadamu

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai - ICC imefungua ofisi nchini Venezuela kama sehemu ya uchunguzi kuhusu ukiukaji wa haki za binaadamu wakati . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Marekani Yatoa pipa milioni 1 za mafuta kwa siku kukabiliana na bei ghali ya bidhaa hiyo.

Rais wa Marekani Joe Biden Alhamisi ametangaza kwamba pipa milioni 1 za mafuta zitatolewa kutoka kwa hifadhi ya mafuta ya Marekani kila . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watu 45 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur nchini Sudan.

Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yameua watu 45, maafisa wamesema Alhamisi, huku viongozi wa kikabila w . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Mwendesha mashtaka wa Uturuki aomba kesi ya mauaji ya Jamal Khashoggi ihamishiwe Saudi Arabia.

Mwendesha mashtaka wa Uturuki katika kesi dhidi ya raia 26 wa Saudi Arabia walioshtakiwa kwa mauaji ya mwandishi wa gazeti la Washington . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Bunge la Pakistan kuanza kujadili hoja ya kumuondoa madarakani Waziri Mkuu Khan

Bunge la Pakistan leo litaanza mjadala wa kutokuwa na imani na uongozi wa Waziri Mkuu Imran Khan. Hatua hii huenda ikapelekea kuondolewa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Wapalestina 2 wauwawa Ukingo wa Magharibi

Mamlaka ya Palestina imesema Wapalestina wawili wameuwawa leo wakati majeshi ya Israel yalipofanya uvamizi katika Ukingo wa Magharibi. Hii . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Zaidi ya tiketi 800,000 za Kombe la Dunia zimeshauzwa mpaka sasa

Mashabiki wa mchezo wa mpira wa miguu duniani wamenunua tiketi 804,186 za mechi za Kombe la Dunia nchini Qatar baadae mwaka huu katika awa . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Wakazi awapa somo Nay na Diamond

Rapa Wakazi ameibuka na jipya kuhusu kujitoa kwenye tuzo za muziki kwa msanii Nay wa mitego ambaye hivi karibuni alitangaza kujiengua ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Urusi yatangaza kusitisha mapigano Mariupol

Urusi imesema imetangaza kusitisha kwa muda mapigano kwenye mji wa Mariupol ili kuruhusu raia kuondoka kwenye eneo hilo. Kamanda wa Urusi, . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Afrika Kusini yarekodi vifo 100,000 vya COVID-19

Afrika Kusini imerekodi zaidi ya vifo 100,000 vya virusi vya corona. Kwa mujibu wa takwimu za serikali zilizochapishwa jana, vifo 100,020 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Profesa Makubi awataka watumishi wa Wizara kufuata miongozo ya ununuzi

Wakurugenzi wa taasisi na wa Hospitali za rufaa za mikoa wametakiwa kufuata miongozo na sheria za manunuzi ili kuondoa hati chafu na zenye . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Wazazi wa wanafunzi ambao hawajaripoti shule kufikishwa Mahakamani

Mkuu wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida Suleiman Mwenda ametoa mwezi mmoja kwa Wazazi na Walezi wa wanafunzi 16 wa Tarafa ya Shelui ambao . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

DK SAMUEL MUTASA KUZIKWA KAGERA

Mwili wa kikongwe aliyefanikiwa kupata shahada ya uzamivu (PhD) katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akiwa na umri wa miaka 82, Dk Samuel . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Mme, Mke washikiliwa na polisi madai ya kuua mtoto wao

askari  Erinest(46) na mkewe Jeska Balitazali (39) wote wakazi wa Sengerema wanashikiliwa na  Jeshi la polisi Mkoa wa Mwanza kwa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Bunge la DRC lapiga kura ya kumtimua waziri wa uchumi.

Bunge la Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo Jumatano limepiga kura ya kumuondoa kwenye wadhifa wake waziri wa uchumi Jean Marie Kalumba, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Viongozi wenye nguvu duniani wakubaliana kutolegeza msimamo dhidi ya Russia

Viongozi wa Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na Italy, wametoa wito kwa mataifa ya magharibi kutolegeza msimamo wake dhidi ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Marekani Na Asia Mahusiano Yao Yaendelea Kuimarika

Rais wa Marekani Joe Biden amesema kwamba Marekani inaendelea vizuri na mkakati wake wa kuimarisha uhusiano na mataifa ya Asia-Pacific, . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Rais wa Tunisia alivunja bunge.

Rais wa Tunisia Kais Saied Jumatano amelivunja bunge la nchi hiyo na kusema kwamba wabunge watafunguliwa mashtaka, akijiongezea mamlaka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Ujerumani kuanza mgao wa mafuta

Ujerumani imetangaza rasmi kuanza kutoa gesi kwa watu wake kwa mgao, huku kukiwepo wasiwasi ya kuacha kuagiza mafuta kutoka Russia. . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Ukraine yasema Urusi inatega mabomu katika Bahari Nyeusi

Ukraine imeituhumu Urusi leo kwa kutega mabomu katika Bahari Nyeusi. Imesema baadhi ya mabomu hayo yameteguliwa katika pwani ya Uturuki na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Urusi Yapunguza shughuli za kijeshi Ukraine

Maafisa wa Ukraine wamesema leo kuwa wanajeshi wa Urusi wameuripua mji wa kaskazini wa Chernihiv licha ya ahadi za awali za Moscow kuwa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Mangungu kutoa tiketi 200 Simba SC

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC, Murtaza Mangungu ameahidi kutoa Tiketi 200 kwa Wanachama na Mashabiki wa klabu hiyo, kuelekea mchezo wa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Van Gaal amuonya Erikten Hag kwenda Man Utd

Aliyewahi kuwa Meneja wa kikosi cha Manchester United, Louis van Gaal, amemuonya Erikten Hag dhidi ya kuchukua mikoba ya kuliongoza Benc . . .

Kurasa 180 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category