Hospitali ya Bugando Yafanikisha kujenga kliniki ya macho itakayohudumia zaidi ya wagonjwa wa 400 wa macho kwa siku, ambapo awali ilikuwa . . .
Aliyekuwa Meneja wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) wa mkoa wa Temeke, Rajabu Kinande na wenzake wanne wamesomewa mashtaka . . .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema katika mwaka 2021, mfumuko wa bei ulikua kwa wastani wa asilimia 3.7 ikilinganishwa na wastani wa a . . .
Wakiwa wamevalia mavazi yao ya kitamaduni, maelfu ya watu asili waliandamana na kukusanyika kwenye eneo moja kubwa kilomita nne kutoka i . . .
"Kampeni ya maangamizi ya kikabila" huko Tigray Magharibi nchini Ethiopia, hivi ndivyo mashirika mawili ya kimataifa ya Hki za Binadamu, . . .
Rais wa zamani wa Burkina Faso, Blaise Compaoré, amehukumiwa Jumatano kifungo cha maisha jela kwa kushiriki katika mauaji ya mtangulizi w . . .
Kupitia mitandao yake ya kijamii Wakazi ametangaza ujio wa album hiyo baada ya album ya Live at Sauti za Busara ambayo ndio ilikuwa album . . .
Tukio la kusikitisha limetokea katika Kanisa la Evangelical Winning All (ECWA) nchini Nigeria baada ya shemasi kuanguka ghafla na kufariki . . .
Wakati bei ya Mafuta yanayotumika kwenye vyombo vya moto ikitangazwa kupanda mara dufu, wananchi wa jiji la Dar es salaam wameonekana usik . . .
Mwanaharakati mashuhuri raia wa Nigeria asiyeamini uwepo wa Mungu, amehukumiwa kifungo cha miaka 24 gerezani na mahakama kuu katika jimbo la . . .
Mwanamume mchanga mwenye umri wa miaka 25, amewashangaza wengi baada ya kufichua mipango yake ya kufunga kufunga pingu za maisha na mpenzi w . . .
Mpigania uhuru Muthoni Wa Kirima, mwenye umri wa miaka 92, amefafanua sababu za kumruhusu aliyekuwa mama wa taifa, Mama Ngina Kenyatta, kuny . . .
Polisi wa Morocco wamewakamata watu wane wanaoshukiwa kuhusika na mtandao wa kimataifa wa ulanguzi wa dawa za kulevya na viungo vya bi . . .
ais wa Marekani Joe Biden alitangaza mipango ya kupanua fursa za huduma za afya kwa kupendekeza mabadiliko ya sheria ya huduma ya afya ya . . .
Wanajeshi wa Mali na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Russia waliwauwa takribani raia 300 mwishoni mwa mwezi Machi kati-kati mwa t . . .
SHIRIKA la Ujasusi la Marekani (FBI) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na mamlaka nyingine nchini Hispania, wameikamata na kuishikilia . . .
Ndege ya Airbus A380, imekamilisha safari ya majaribio ya kutumia mafuta ya kupikia kusafiri.Ndege hiyo ya majaribio ilikamilisha safari ya . . .
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Young Africans Hassan Bumbuli anaamini iwe isiwe, msimu huu Azam FC watawachangia alama . . .
Watu wasiopungua wanane waliuawa katika ajali ya treni ya mizigo iliyotokea kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wames . . .
Wanasayansi wa Umoja wa Mataifa wamesema malengo yaliyowekwa na jumuiya ya kimataifa ya kudhibiti ongezeko la joto duniani katika kiwango . . .
Polisi wa mji wa Sacramento katika jimbo la California nchini Marekani imesema imemkamata mtu anayeshukiwa kufanya shambulizi la bunduki . . .
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk Tulia Akson amemwapisha Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha kushika wadhifa huo leo Aprili . . .
Serikali imewaomba wabunge, wananchi na wadau kushirikiana katika ujenzi wa vituo vya polisi kwa kuwa ina uhitaji wa vituo vya polisi d . . .
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Tanzania haitajengwa na mtu mmoja au chama kimoja bali itajengwa na Watanzania wote.Rais Samia ameel . . .
Marekani inao mpango wa kuwasilisha muswada wa azimio jipya katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kuiwajibisha Korea Kaskazini . . .
Watu wasiojulikana waliojihami kwa bunduki wameishambulia treni kwa viripuzi kaskazini magharibi mwa Nigeria, na hadi sasa watu 150 wali . . .
Ujerumani imesema inawafukuza wanadiplomasia 40 wa Urusi kama jibu kwa mauaji ambayo wanajeshi wa Urusi wanatuhumiwa kuyafanya katika wa B . . .
Benki kuu ya Zimbabwe Jumatatu imetangaza kwamba imeongeza kiwango chake cha riba hadi asilimia 80 katika jitihada za kudhibiti mfumuko . . .
Rais wa Marekani Joe Biden alitamka Jumatatu kuwepo kwa kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Rais wa Russia Vladmir Putin na kulaani uka . . .
Viongozi wanaohasimiana Sudan Kusini wamesaini makubaliano kuhusu kifungu muhimu cha kijeshi cha mpango wa amani unaosuasua. Makubaliano . . .
Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ameonya kuwa hali mbaya zaidi inaweza kutokea wakati Urusi ikielekeza tena nadharia yake kusini na m . . .
Mshambuliaji kutoka nchini Niger na klabu ya USGN Victorien Adebayor amesema mchezo dhidi ya Simba SC hakuwa na changamoto kubwa sana kwa . . .
Mbunge wa zamani wa Kasipul Kabondo amefariki dunia wakati akipokea matibabu katika hospitali ya doha nchini Qatar.Kulingana na kaka y . . .
Baraza zima la mawaziri la Sri Lanka limejiuzulu kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali, yaliyofanyika licha ya sheria ya kutoto . . .
Urusi imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufanya kikao leo Jumatatu, kujadili ilichokiita ''uchokozi wa Waukraine wenye msima . . .
Michael Njogo Gitonga ambaye alijizolea umaarufu kwa kufanana kwa karibu sana na Rais Uhuru Kenyatta sasa amejitosa rasmi katika mawimbi ya . . .
Mkurugenzi Mkuu wa Unicef, alianza ziara yake ya kwanza nchini DRC siku ya Jumapili na kwa siku nne katika nchi ambayo watoto ni waathiriw . . .
Rais wa Senegal alilihutubia taifa katika mkesha wa kuadhimisha miaka 62 ya uhuru wa nchi hiyo. Wakati Waislamu waki . . .
Katika kile ambacho kimepongezwa ni mafanikio makubwa viongozi hasimu wa Sudan Kusini walikamilisha makubaliano Jumapili, kuhusu kipenge . . .
Mwanamfalme Hamza bin al-Hussein, mrithi wa zamani wa kiti cha ufalme cha Jordan ambaye alikua katika kifungo cha nyumbani hapo mwaka 20 . . .