logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Barnaba kuandika historia mwaka 2022

Mwanamuziki mahiri wa bongo fleva Elias Barnabas maarufu Barnaba boy, ametoa taarifa rasmi kuwa yuko katika maandalizi ya album yake mpya . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Kenya yaruhusu Utoaji mimba

Mahakam Kuu ya nchini Kenya imetambua utoaji mimba kuwa ni Haki ya Msingi inayotambuliwa na Katiba ya Kenya Mahakama hiyo imesema ku . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Uhuru Kenyatta Aongoza EAC Kuikaribisha Rasmi Jamhuri ya Congo katika Jumuiya ya Kikanda

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Rais Uhuru Kenyatta amekaribisha rasmi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwenye umoja huo.Uhu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Rais Samia awa mkali

ais Samia leo wakati akipokea ripoti ya CAG Ikulu, Chamwino, Dodoma amesema Serikali za Mitaa bado kuna upotevu mkubwa wa mapato ambapo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Serikali yasema kuna ongezeko la wenye dalili za kifua kubana, kukohoa

Serikali imesema imebaini uwepo wa ongezeko la watu wenye dalili za homa, kukohoa, mafua, kubanwa kifua na maumivu ya mwili kwa kipindi ch . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Deni la Serikali laongezeka kwa asilimia 13.7

Deni la Serikali Tanzania limeongezeka kutoka Sh56.76 trilioni mwaka uliopita hadi kufikia Sh64.52 trilioni kufikia Juni 30, 2021.Hayo y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Walinda amani wanane wa Umoja wa mataifa wafariki katika ajali ya ndege mashariki mwa DRC.

Msemaji wa Umoja wa mataifa amesema Jumanne kwamba hakuna aliyenusurika wakati helikopta ya tume ya Umoja wa mataifa nchini DRC (MONUS . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Saudi Arabia na washirika wake watangaza sitisho la mapigano Yemen

Muungano wa ushirika unaoongozwa na Saudi Arabia ambao unaunga mkono serikali ya Yemen katika vita dhidi ya Wahuthi umetangaza Jumanne . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Zelensky ana mashaka na ahadi ya Urusi kupunguza mashambulizi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amesema mazungumzo ya amani kati ya wapatanishi wa nchi yake na Urusi yameonesha mwelekeo mzuri, ingaw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

WFP: Vita ya Ukraine yavuruga mipango ya chakula

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP David Beasley ameonya kuwa vita vya Ukraine vinatishia kuvuruga juhudi za s . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

COSOTA yateta na wahariri

Katibu Mkuu wizara ya utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt Hassan Abbas ametoa ametoa wito kwa Taasisi ya Hakimili Tanzania COSOTA kuendelea k . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Senegal yamuondoa Carlos Queiroz

Kocha kutoka nchini Ureno Carlos Queiroz ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Misri, saa chache baada ya kik . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Dkt. Mabula ataka elimu itolewe ugawaji wa ardhi

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula ametaka elimu ya kuwatahadharisha wananchi kuhusu kujiepusha na vishaw . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Pasta wa Kike Azua Gumzo Akisema Warembo Wanaoomba "Fare" ni Maskini

Mchungaji mmoja amewashauri wanaume kutooa wasichana wavivu. Mahubiri yake yalikuwa yanawalenga warembo ambao huomba nauli wakienda deti.Pas . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Blinken yuko Morocco kwa mazungumzo ya usalama

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken jana ameizuru Morocco ambako alizungumzia Sahara Magharibi, maendeleo na usalama wa kik . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 30, 2022

Senegal, Ghana, Tunisia, Cameroon, Morocco zafuzu Kombe la Dunia Qatar

Timu ya taifa ya Senegal, imefuzu kushiriki katika michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika baadae mwaka huu huko Qatar. Senegal mabingwa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

MPIGA DEBE ACHOMWA KISU KIFUANI KISA ABIRIA

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Abdilah Yassin mkazi wa Kihonda Manispaa ya Morogoro mpigadebe katika kituo kikuu cha mab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Makamu wa Rais kuhutubia jukwaa la 8 la wakuu wa nchi duniani

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango leo Machi 29, 2022 ameshiriki ufunguzi wa  Jukwaa la 8 la Wakuu wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Jeshi la DRC ladai kuwakamata wanajeshi wawili wa Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo inathibitisha na kushikilia kuwa Rwanda inaunga mkono waasi wa M23, vuguvugu ambalo lilishindwa miaka k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Joto la kisiasa lapanda kuelekea uchaguzi wa urais Ufaransa

Nchini Ufaransa, kampeni za kisiasa zimeshika kasi, kuelekea Uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Aprili 10, wakati huu kura za maoni . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

AJALI YAUA SITA TANGA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Safia Jongo amesema watu sita wamefariki dunia na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya gari aina ya fus . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Kisa cha mke wa Raila kuzomewa

Ida Odinga, mke wa Kiongozi wa Upinzani Kenya, Raila Odinga amekutana na fadhaa ya haja, baada ya kuzomewa alipokuwa anatoa hotuba kwenye . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

RPC aliyetamani kuwa IGP achunguzwa

Jeshi la Polisi Tanzania, limemrudisha makao makuu ya jeshi hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Wankyo Nyigesa kupisha uchunguzi kuto . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Kenya Kupokea KSh450M Zilizoibwa na Wakenya 2 na Kufichwa Ughaibuni

Kenya na Jersey zimetia saini mkataba utakaowezesha zaidi ya KSh 450 milioni zilizoibwa na kufichwa kwenye akaunti za nje ya nchi kurejeshwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Will Smith amuomba radhi mchekeshaji Chris Rock

Usiku wa kuamkia Jumatatu zilifanyika utoaji wa tuzo za Oscar katika ukumbi wa Dolby Theatre huko nchini Marekani. Miongoni mwa stori ziliz . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Elimu ni bahari, Mzee wa miaka 101 ahitimu stashahada

Mzee mwenye umri wa miaka 101, hatimaye ana amani baada ya kuhitimu kutoka shule ya upili, ambayo ni ndoto kwake kutimia. Merrill Pittman Co . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Watahiniwa Mapacha Wavunja Rekodi.

Familia moja jijini Nairobi inasherehekea baada ya watoto wao mapacha ambao hawajawahi kufungamana darasani kuvunja rekodi katika Mtihani wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Juhudi Zinafanywa kuandikisha mamluki wa Wagner kwenda Ukraine, Africom inasema

Taasisi ya Russia ya mamluki ya Wagner Group imejaribu kuandikisha baadhi ya vitengo vyake vilivyopo barani Afrika kwenda kupigana pamoj . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Umoja wa Mataifa wachunguza ripoti za makaburi ya watu wengi Libya

Wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wamesema wanajaribu kuthibitisha taarifa za kuwepo makaburi ya watu wengi katika vituo vya kuwasafirisha . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Rais wa Tunisia aonya bunge kufanya vikao

Rais wa Tunisia, Kais Saied ameonya kuhusu majaribio ya kufanya vikao vya bunge ambalo limesimamishwa. Akizungumza jana usiku Saied amesem . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Zelensky ayaomba mataifa ya magharibi kuiwekea Russia marufuku ya kuuza mafuta yake.

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Jumatatu ameyataka mataifa ya magharibi kuiwekea haraka vikwazo vikali Russia, ikiwemo marufuku ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Waendesha boda boda 16 washukiwa wa unyanyasaji wa kingono waachiliwa huru.

Mahakama nchini Kenya Jumatatu imewaachilia huru waendesha boda boda 16 waliokamatwa kutokana na shambulio baya dhidi ya mwanadiplomasia . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Mapigano yazuka baina ya jeshi la Kongo na waasi wa M23

Kumeshuhudiwa mapambano makali asubuhi ya leo jumatatu katika vijiji kadhaa vya mkoa wa Rutshuru jimboni Kivu ya Kaskazini baina ya jeshi . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Mrembo Mkenya Hataki kuwa Mama Akidai Watoto ni Mzigo.

Mwanamke mmoja Mkenya amejitokeza na kusema kwamba hataki kupata mtoto wakati wowote maishani mwake. Ebbie Weyime, 34, alisema yeye ni mwana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Wanawake marufuku kusafiri bila kuandamana na mwanaume

Serikali ya Taliban imeamuru mashirika ya ndege nchini Afghanistan kuwazuia wanawake kupanda ndege bila kuongozana na jamaa yeyote wa ki . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Di Maria awaaga mashabiki Argentina

Kiungo Mshambuliaji wa Timu ya taifa ya Argentina Angel Di Maria amewaaga rasmi Mashabiki wa taifa hilo baada ya kucheza mchezo wa mwisho . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Will Smith Amzaba Kofi Mc Tuzo Za Oscar

MWIGIZAJI maarufu wa Holywood, Will Smith (53), usiku wa jana alifanya tukio lisilo la kawaida, baada ya kumzaba MC wa Tuzo za Oscar, Ch . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Mazungumzo ya amani Jamuhuri ya Afrika ya kati yamalizika bila kupiga hatua madhubuti

Mazungumzo ya amani nchini Jamuhuri ya Afrika ya kati ambapo vita vya wenyewe kwa wenyewe vilipamba moto tangu mwaka wa 2013, yamemalizi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Iraq yajenga ukuta kwenye mpaka wake na Syria.

Iraq imejenga ukuta kwenye mpaka wake na Syria ili kuzuia wanajihadi wa kundi la Islamic state kujipenyeza, chanzo cha jeshi la Iraq kim . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 28, 2022

Ajali yaua saba Simiyu

Watu saba wamefariki dunia na wengine nane  wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha Lori ya saa moja na nusu jioni kugonga pikipiki ya . . .

Kurasa 181 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category