logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
AFYA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Moderna inatafuta uidhinishwaji kwa watoto chini ya miaka 6

Chanjo ya Moderna ya COVID-19 inafanya kazi kwa watoto wachanga, wanaokua, na watoto wa chekechea, kampuni hiyo ilitangaza Jumatano ma . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Wakongwe wa vuguvugu la MauMau lililopigania uhuru wa Kenya, wamshtaki mahakamani Makamu rais William Ruto.

Wakongwe wa vuguvugu la MauMau lililopigania uhuru nchini Kenya, wamemshtaki Naibu Rais wa Kenya William Ruto katika mahakama kuu jijini . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Chama kikuu cha upinzani nchini Sudan Kusini chajiondoa kwenye mchakato wa kufuatilia utekelezaji wa makubaliano ya amani.

Chama kikuu cha upinzani nchini Sudan Kusini Jumanne kimesema kinajiondoa kwenye tume inayofualitia mchakato wa amani nchini humo, iki . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Ummy Mwalimu asema kirusi kipya cha Uviko-19 hakijafika Tanzania

Wakati kirusi kipya cha Uviko 19 kikibisha hodi katika mataifa kadhaa yakiwemo ya Afrika, kirusi hicho bado hakijafika Tanzania.Hayo yameele . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

RAISI SAMIA ATOA NENO KWA WALIOKUA WAKISEMA MIRADI YA HAYATI MAGUFULI HAITIENDELEZWA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu waliokuwa wakisema miradi iliyaochwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli haitaendelezwa, hawa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

DPP aachana na kesi ya Abdul Nondo

Mahakama ya Rufani Tanzania, Masjala ya Iringa imeondoa kesi iliyokuwa inamkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Hersi Said afichua usajili Young Africans 2022/23

Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Young Africans Hersi Ally Said amesema klabu hiyo haitafanya usajili ama kuwaacha baadhi ya wachezaji wan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Rais Mwinyi atuma salamu za pole upepo mkali Nungwi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametuma salamu za pole kwa wananchi waliopatwa na maafa kufua . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

JELA MIAKA 19 KWA WIZI WA MTANDAONI

Mahakama ya wilaya ya Babati mkoani manyara imemuhukumu mtu mmoja aliefahamika kwa jina Gisgusta Ginanai mwenya umri wa miaka 35 mkazi wa Se . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Saudi Arabia yakaribisha kauli chanya ya Waziri Mkuu wa Lebanon

Wizara ya mambo ya nje ya Saudi Arabia imesema inakaribisha "kauli chanya" iliyotolewa na Waziri Mkuu wa Lebanon, katika ishara ya kurud . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Wanaharakati Jamaica wadai fidia za ukoloni wa Uingereza

Mwanamfalme wa Uingereza William na mkewe Kate wamewasili Jamaica kama sehemu ya ziara yao eneo la Carribean, saa chache baada ya wanahara . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Jaji Ketanji ajitetea kuhusu kesi za uhalifu

Ketanji Brown Jackson, aliyeteuliwa na Rais wa Marekani Joe Biden kuhudumu katika mahakama ya juu zaidi nchini Marekani, amejitetea juu ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Guterres aitolea mwito Urusi kumaliza vita Ukraine

Maelfu ya raia wa Ukraine wanajaribu kuukimbia mji wa Mariupol wakati Urusi ikiendeleza mashambulizi ya mabomu kwenye mji huo wa bandari. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Ramaphosa akataa upatanishi wa Russia na Ukraine

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa mapendekezo kuwa hatua za NATO ndizo za kulaumiwa kwa uvamizi wa Russia dhidi ya jirani yake . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

BASATA wana jukumu la kusimamia Shirikisho la Wasanii

Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa, amesema kuwa sio jukumu la serikali kuingilia mambo ambayo yanaendelea kwenye baa . . .

Muziki
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

TAMASHA LA TAARABU LA KIMATAIFA LATINGA

Ndugu Yakubu amesema hayo Machi 2022 jijini Dodoma wakati akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi la wizara hiyo kilichofanyika Machi 21 n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Zelensky yuko tayari kujadili Donbass na Crimea na Putin

 Wanajeshi wa Urusi bado wanajaribu kuizingira kyiv ambapo shambulio la bomu liliua takriban watu wanane usiku wa Jumapili hadi kuamk . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Mawaziri wa nchi za Kiislamu wakutana Islamabad

Mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi za Kiislamu wameanza mkutano wao leo mjini Islamabad nchini Pakistan.Viongozi wa nchi hizo chini ya mu . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

AFUNGWA KWA KUWALAWITI WATOTO WA DARASA LA SABA

Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Kitelewasi, Godi Waya (30) kifungo cha maisha baada ya kumti . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Mbwana Makata Kocha mpya Mbeya Kwanza FC

Uongozi wa Klabu ya Mbeya Kwanza FC imemtangaza kocha wa zamani wa Dodoma Jiji, Mbwana Makata kuwa Kocha Mkuu wa kikosi cha klabu hiyo i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Spika Dkt Tulia ahutubia bunge la Umoja wa Mabunge Duniani

Wajumbe wa Umoja wa Mabunge Duniani IPU wakiwa katika mkutano wa 144 wa Umoja huo wakisikiliza hotuba mbalimbali za Maspika zikiwasilishwa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Wanajeshi wa Kenya wauawa Somalia: Usiri Unaohusiana Na Vifo Hivyo

Johnson ole Kiyaipi alizikwa kwa heshima kamili ya kijeshi nyumbani kwake Kenya baada ya kuuawa na bomu lililotegwa kando ya barabara nc . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Ukraine imekataa mapendekezo ya Russia kuusalimisha mji wa Mariupol

Ukraine ilikataa mapendekezo ya Russia kuusalimisha mji uliozingirwa wa Mariupol siku ya Jumatatu huku vikosi vya Russia vikiendeleza . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

EU yaamuru kusitishwa kwa mafunzo ya kijeshi nchini Mali

Mwanadiplomasia wa juu wa Umoja wa Ulaya ameamuru kusitishwa kwa mafunzo ya kijeshi kwa wanajeshi nchini Mali. Mkuu wa sera za mambo ya . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Kenya inatarajia uchumi wake kuimarika kwa asilimia 6 mwaka wa 2022.

Serikali ya Kenya imesema kuwa inatarajia uchumi wake kuimarika kwa asilimia 6% mwaka huu , baada ya kunawiri kwa asilimia asilimia 9.9% . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Kesi ya maofisa saba wa polisi yatumia dakika mbili

Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara, imeahirishwa kutokana na kile . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Zelensky awataka raia wa Ukraine kuendelea na mapambano

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewatolea mwito raia wa nchi hiyo kuendelea na mapambano dhidi ya wanajeshi wa Urusi katikati ya ongez . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Bernard Morrison awatuliza mashabiki Simba SC

Kiungo Mshambuliaji Wa Klabu ya Simba SC Bernard Morrison amewataka Mashabiki wa klabu hiyo kuamini timu yao bado ina nafasi kubwa ya ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Urusi yatekeleza shambulio baya la bomu kwenye kituo cha biashara Kyiv

Wanajeshi wa Urusi bado wanajaribu kuzingira mji mkuu wa Ukraine, kyiv, ambapo shambulio la bomu liliua takriban watu wanane usiku wa J . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Zaidi ya wanajeshi 10 wauawa katika shambulizi la Burkina Faso

Zaidi ya wanajeshi 10 wameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi katika eneo la mashariki mwa Burkina Faso, duru za kijeshi zimesema.Il . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Uganda yazipiku Tanzania na Kenya kama nchi yenye furaha Zaidi kanda hii

Uganda imezipiku Kenya na Tanzanzia katika tathmini ya mataifa yenye furaha Zaidi dunini .Kenya imeshikilia nafasi ya 119 baada ya kushuka . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Mtoto wafaru maarufu wa Tanzania amefariki

Faru Rajabu mtoto wa aliyekuwa Faru maarufu Tanzania Faru John, amefariki dunia jumapili usiku katika hifadhi ya taifa ya serengeti akiw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Ndege ya China Eastern Airlines iliyobeba watu 132 yaanguka huko Guangx

Ndege ya shirika la ndege la China Eastern Airlines aina ya Boeing 737 iliyokuwa imebeba watu 132 imeanguka katika mkoa wa Guangxi, vyombo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Makubi "Kamilisheni miradi ya IMF kabla ya June 2022"

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ameagiza miradi yote ya Wizara ya Afya chini ya Mfuko wa fedha wa kimataifa (IMF) iwe im . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Mashine 24 za kubet zimevunjwa

Jumla ya mashine 24 za michezo za bahati nasibu zenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 36 zimevunjwa na Bodi ya Michezo ya Bahati Nasibu . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Mbowe Atoa Neno kwa Sabaya

Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe amekumbusha machungu ya utawala wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya huku akidai kuwa, . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Marekani yasema jeshi la Myanmar limefanya mauaji ya halaiki

Utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden umeafiki kwamba unyanyasaji uliofanywa dhidi ya jamii ya walio wachache ya Rohingya na jeshi la My . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Ndege Fastjet haitalipa deni

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA, Hamza Johari amesema ndege aina ya Embraer 190 5H-FJH iliyozuiwa nchini Tanzania na . . .

Matukio
  • Na Asha Business
  • March 20, 2022

Spika wa Bunge la Uganda Jacob Oulanyah amefariki dunia

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza kifo cha spika huyo kwenye akaunti yake ya Twitter, Jumapili mchana.Katika ujumbe wake, rais Mseve . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 20, 2022

Ujerumani yalegeza masharti ya kukabiliana na Covid-19

Ujerumani imeondosha mkururo wa mwanzo wa vizuizi vya kukabiliana na vurusi vya corona kitaifa, hatua ambayo imezusha wasiwasi wa kwa taif . . .

Kurasa 183 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category