logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Samia" Polepole kabla hujaenda Malawi tutazungumza kwa kirefu"

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapa maagizo viongozi wawili aliowaapisha leo Jumanne Machi 15, 2022.Viongozi hao ni Balozi wa Tanz . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Kalonzo Musyoka "Nitaanza Kampeni Mara Tu Raila Odinga Atakapoapishwa"

Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amesema atatumia mbinu za Naibu Rais William Ruto iwapo kinara wa ODM Raila Odinga atashinda kiti cha urais . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Uingereza yaunga mkoni uchunguzi wa ICC kwa vita vya Ukraine

Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza Dominic jana Jumatatu amesema Uingereza inaunga mkono jitihada ya Mahaka ya Kimatiafa ya ICC katika kuchung . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Viongozi wa Ujerumani na Uturuki wakutana

Uturuki na Ujerumani zimekubaliana kuendelea kufanya jitihada za kidiplomasia katika kuhakikisha mapigano yanasitishwa nchini Ukraine, h . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

RS Berkane wathibitisha kutuma barua CAF

Makamu wa Rais wa RS Berkane Majid Medrane amethibitisha kuandikwa kwa barua ya malalamiko na kutumwa Shirikisho la Soka Barani Afrika â . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Serikali yapokea vifaa tiba kutoka Ufaransa

Serikali ya Tanzania leo imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Serikali ya Ufaransa, kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mayele akabidhiwa Ng’ombe Dar

Shabiki wa Kalbu ya Young Africans Peter Kanduru ametimiza ahadi yake kwa kumzawadia Ng’ombe Mshambuliaji hatari wa klabu hiyo kwa sasa, . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mama Diamond amepunguza tetesi za Diamond na Zuchu

Wawili hao wamezungumza mengi kuhusu mahusiano ya mapenzi ambayo yalikuwa yanadaiwa kuwepo huku mashabiki wengi wakiamini wimbo huo umet . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Madereva bajaji Mbeya wampongeza Rais Samia Suluhu

Vijana waendesha bajaji Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Rais Samia kuongoza kumbukizi mwaka mmoja kifo cha Maguful

Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Wananchi wazuia msafara wa kamati ya Bunge

Kundi la wananchi katika eneo la Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza unapojengwa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), kati ya Mwanza hadi Isaka . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Murathe Adai Raila Atakuwa Rais wa Tano Hata Bila Kupigiwa Kura Mlima Kenya

Naibu mwenyekiti wa Jubilee David Murathe amedai kwamba mgombea urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga atakuwa rais wa tano, hata kama hatapi . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mwili wa Mwanamke Uliokatwa Vipande Watupwa Nje ya Kituo cha Polisi.

Polisi katika Kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mwanamke wa umri wa kati kupatikana umetupwa nje ya kituo cha polisi m . . .

Matukio
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Bikra mwenye miaka 56 anatafuta mchumba

Mwanamke aliyejulikana kwa jina la Alvera Uwitonze mwenye umri wa miaka 56 anayeishi na ulemavu uliomfanya ashindwe kutembea kawaida ana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Washington yataka washawishi kwenye TikTok kupambana na taarifa potofu kuhusu Ukraine

Jinsi gani ya kufanya mamilioni ya vijana kuelewa vigingi vya vita vya Ukraine wakati hawasomi taarifa zinazotolewa kwenye magazeti au kut . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mazungumzo ya Chad yaanza kwa kugonga mwamba Doha

Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi kadhaa ya upinzani walianza mazungumzo ya amani jana nchini Qatar kama hatua ya kwanza kuelekea k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Erdogan na Scholz kuijadili Ukaine mjini Ankara

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan atajadili vita nchini Ukraine na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz katika mazungumzo yatakayofanyika . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mazungumzo kurejea wakati Urusi ikiukaribia mji wa Kyiv

Wanajeshi wa Urusi wameendeleza harakati zao za kijeshi kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv wakati pande zote zikitarajiwa kukutana leo kat . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

BARACK OBAMA AKUTWA NA CORONA

liyewahi kuwa rais wa Marekani Barack Obama amekutwa na maambukizi ya corona baada ya kufanyiwa vipimo.Obama ametangaza kuwa na maambukizi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Instagram yazimwa Urusi.

Watumiaji wa mtandao wa Instagram nchini Urusi wamepewa taarifa kuwa huduma hiyo imesitishwa kuanzia saa sita usiku Jumapili ya March 14 2 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mwandishi wa Marekani Auawa Ukraine

MWANDISHI wa habari wa Shirika la Habari la New York Times la Marekani, Brent Renaud amepigwa risasi na kuuawa akiwa katika majukumu yak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Iran imeamua kusitisha mazungumzo yake ya siri na Saudi Arabia

Iran imeamua kusitisha kwa muda mazungumzo yake ya siri yaliyofanywa na Baghdad yenye lengo la kupunguza mivutano ya miaka mingi na hasi . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Timu ya US Monastir yakata tiketi ya kwanza kuingia robo fainali ya BAL

Timu ya US Monastir ya Tunisia ilikuwa ya kwanza kukata tiketi ya kuingia robo fainali ya michuano ya BAL baada ya kuishinda timu ya Dak . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Polisi wa Zimbabwe wazuia maandamano ya upinzani

Polisi wa Zimbabwe mwishoni mwa wiki walikizuia chama kikuu cha upinzani nchini humo kufanya mikutano kabla ya uchaguzi wa machi 26, k . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Kocha RS Berkane aitabiria makubwa Simba SC

Kocha Mkuu wa RS Berkane ya Morocco Florent Ibenge amesema hatashangaa kuiona Simba SC ikicheza Fainali ya Kombe la Shirikisho msimu huu . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Young Africans: Tutamuuza yeyote utaratibu ukifuatwa

Uongozi wa Young Africans umesema upo tayari kumuuza mchezaji yoyote mwishoni mwa msimu huu, endapo itapata ofa nzuri inayoendana na thama . . .

Matukio
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Basi la kampuni ya kilimanjaro lapata ajali

Basi la kampuni ya Kilimanjaro linalofanya safari kutoka Tunduma kwenda Dar es Salaam limepata ajali maeneo ya Senjele mkoani Songwe. . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Watu wasiopungua 60 wafa katika ajali ya treni Congo

Watu wasiopungua 60 wamethibitishwa kufariki baada ya treni ya mizigo kutoka kwenye njia yake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Ajal . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Moto wateketeza kiwanda cha GSM

Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana leo Jumapili Machi 13, 2022 umeteketeza kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiw . . .

Matukio
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Mashambulizi ya Urusi karibu na mji mkuu Kyiv

Vikosi vya Urusi vimeushambulia mji wa bandari wa Ukraine, Mariupol, huku wakaazi wakijificha katika msikiti wa kihistoria na kwingineko . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Dkt Gwajima akemea mauaji ya wazee

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali matukio ya mauaji ya wazee kwa tuhuma . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Kimbunga Gombe chaua watu wasiopungua 10 Msumbiji

Idara ya Usimamizi wa Majanga nchini Msumbiji imesema jana kuwa watu wasiopungua 10 wameuawa na kimbunga Gombe kilichotua kaskazini-mashar . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

SLAC ya Guinea yapata ushindi dhidi ya CFV Beira ya Msumbiji

Washindi wa mechi ya ufunguzi ya BAL ya msimu wa pili timu ya  Seydou Legacy Athletique Club (SLAC) ya Guinea wamepata ushindi mwin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Balozi Mulamula akutana na Mwana Mfalme wa Saudi Arabia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mamb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Ramaphosa, Putin wateta

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amesema kuwa nchi hiyo imeombwa kuwa msuluhishi wa mgogoro unaoendelea kati ya Russia na Ukraine. . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Madini ya magari ya Umeme kuanza kuchimbwa Tanzania

Kampuni ya Peak Resources Ngualla (PRNG) itakayojihusisha na uchimbaji wa madini ya teknolojia ya Rare Earth Elements ambayo yanatumika . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Makombora ya Urusi yashambulia mji mwingine Ukraine

Mashambulizi ya Urusi leo hii yanaelezwa kuyalenga maeneo ya raia huko katika mji wa katikati wa Ukraine Dnipro, huku vikosi vya wanajeshi . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Amos Makalla awaita mashabiki Kwa Mkapa

Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam Amos Makalla amewahimiza Mashabiki wa soka mkoani humo na sehemu za karibu, kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Wanawake Afrika hatarini zaidi kuugua Ugojwa wa Figo

Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Aifello Sichwale amesema kuwa wanawake wanaonekana kuwa na hatari kubwa ya kupata matatizo Sugu ya Figo uk . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Bibi Mwenye Umri wa Miaka 339 Gumzo Mitandaoni

ukiambiwa kuna mzee nchini Uturuki amegonga miaka 339 duniani utaamini? Basi ishu iko hivyo; ila ukiamini utaungana na wenzako wasioamini . . .

Kurasa 185 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category