logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani yakataa pendekezo la Poland kutuma ndege Ukraine

Marekani imelikataa pendekezo la Poland la kutowa ndege za kijeshi za enzi za Kisovieti ili zikabidhiwe kwa Ukraine katika kuisaidia kweny . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Ndege za Urusi zauwa 17 Ukraine

Mamlaka nchini Ukraine zinasema kuwa ndege za kijeshi za Urusi zimefanya mashambulizi mapya kwenye makaazi ya raia katika sehemu za kati n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani yasisitiza mpango wa Morocco kujitawala Sahara magharibi

Marekani siku ya Jumanne ilisisitiza kuunga mkono mpango wa Morocco wa kujitawala kwa Sahara magharibi ili kusuluhisha mzozo wa miongo . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Vikosi vya usalama Sudan vimemkamata kiongozi mkuu wa upinzani

Vikosi vya usalama vya Sudan vilimkamata kiongozi mkuu wa upinzani hapo Jumanne huku maafisa wakifyatua gesi ya kutoa machozi kuwazuia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani inapiga marufuku uagizaji wa gesi na mafuta ya Russia

Marekani inapiga marufuku uagizaji wowote wa mafuta na gesi ya Russia, Rais Joe Biden alitangaza Jumanne hatua ambayo alisema italeta . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Samatta kuibeba Twiga Stars

Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Mbwana Samatta na mamia ya watu maarufu wamejitokeza kuchangia timu ya Taifa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Maandamano dhidi ya shambulizi dhidi ya dereva wa kike Kenya huku 200 wakikamatwa

Polisi nchini Kenya wamewakamata zaidi ya waendeshaji 200 wa boda boda katikati mwa jiji la Nairobi huku msako mkali dhidi ya sekta h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Mfalme wa zamani wa Uhispania Juan Carlos aamua kuishi UAE

Mfalme wa zamani wa Uhispania Juan Carlos amesema ataishi mjini Abu Dhabi licha ya kukamilika kwa uchunguzi kuhusu shughuli zake za kifedh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Wakimbizi wa Ukraine kufikia milioni 2 leo au kesho: UN

Idadi ya wakimbizi wanaokimbia vita nchini Ukraine inatarajiwa kufika milioni mbili katika siku mbili zijazo. Mkuu wa Shirika la Wakimbizi . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Ujumbe wa Marekani wafanya mazungumzo na ujumbe wa Maduro

Ujumbe wa maafisa waandamizi wa Marekani ulikwenda nchini Venezuela Jumamosi kwa mazungumzo na wajumbe wa serikali ya Rais Nicolas Madur . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Kanisa katoliki huko Malawi linaishutumu serikali yao kwa rushwa

Kanisa katoliki nchini Malawi limeishutumu serikali kwa kuwa dhaifu juu ya ufisadi katika barua nadra ya ukosoaji iliyotolewa Jumapili . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

HAPPY WOMEN DAY RAIS SAMIA

MWAKA mmoja! Mwaka mmoja wa Utumishi uliotukuka, uzalendo, upendo na utu. Mwaka mmoja wa ushujaa kwake na kwa watanzania. Mwaka mmoja wa . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Urusi yatoa masharti mazito kwa Ukraine ili imalize vita

Urusi imesema kuwa inaweza kusitisha operesheni na kuacha kuishambulia Ukraine wakati wowote endapo Ukraine itatimiza masharti ya Urusi . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Urusi yatangaza usitishaji mapigano Ukraine

Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Vassily Nebenzia, amesema nchi yake itasitisha mapigano kuanzia saa nne asubuhi ya leo kwa majira . . .

Afrika mashariki
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Moderna kujenga kituo cha kutengeneza chanjo Kenya

Kenya imetia saini mkataba na kampuni ya teknolojia ya kibayoteknolojia ya Marekani, Moderna Inc, kujenga kituo cha kutengeneza chanjo n . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Tazama JWTZ yaunda magari aina ya nyumbu, zimamoto, mitambo, Vifaru, kamanda afunguka

Ni 7, Machi, 2022 ambapo Brig Gen Hashim Yusuf Komba, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la TATC na Kamanda Kikosi cha Nyumbu Project amekutana na . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Wachezaji Geita Gold FC wapongezwa

Licha ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Young Africans katika mchezo wa Mzunguuko wa 17 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Wachezaji wa Geita Gold . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Wanawake 98 waapishwa kuwa Majaji Misri

Katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani, Taifa la Misri limeandika historia baada ya kuwaapisha wanawake 98 kuwa majaji. Majaji . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Azam FC yasalimu amri Ligi Kuu Tanzania Bara

Klabu ya Azam FC imejitoa Rasmi katika mbio za Ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2021/22, baada ya kuangusha alama 08 katika michezo mitat . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Pablo: Simba SC ina nafasi ya kutwaa ubingwa

Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin anaamini bado kikosi chake kina nafasi ya kutetea taji la Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya ta . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Maua yaacha hasara ya mabilioni, wafanyakazi maelfu wakosa ajira

Kufungwa kwa mashamba 11 ya maua mkoani Arusha katika miaka ya hivi karibuni, kumesababisha hasara ya mabilioni na zaidi ya wafanyakazi . . .

Wanawake
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Siku ya Wanawake Duniani

Kila mwaka Machi 08, Umoja wa Mataifa husheherekea haki zilizopatikana kwa bidii za wanawake- na kuangazia changamoto ambazo bado ziko . . .

Riadha
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Kwa nini herufi 'Z' imekuwa ishara ya kuunga mkono vita vya Urusi?

Mwanariadha wa Kirusi Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu na Shirikisho la Kimataifa la Gymnastics (FIG) kwa kuonyesha herufi " . . .

Matukio
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Wawili wafariki magari yakigongana na kuwaka moto Mbozi

Watu wawili wamefariki na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili likiwamo lililobeba mafuta na kuwaka moto k . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 7, 2022

Utaratibu tiketi za SGR huu hapa

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema tiketi zitakazotumika wakati wa safari za treni ya kisasa ya umeme SGR zitatumia mfumo wa kielek . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Kakolanya kuanza langoni mwa Simba SC.

Mlinda Lango chaguo la pili katika kikosi cha Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Beno Kakolanya, huenda akaanza langoni leo Ijumaa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Mwili wa mjamzito wafukuliwa, wakatwa kizazi.

Jeshi la polisi wilaya ya Nkasi limefika katika Kijiji Cha Mpasa kilichopo Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa na kufukua mwili wa Marehemu Amb . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

DERAVA AMUUA MWAJIRI WAKE

Makachero wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wameanzisha msako dhidi ya mwanamume mmoja aliyemshambulia kwa kisu mwajiri wake kabla ya kut . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Urusi na Ukraine zakubali kutenga njia salama ya kuhamisha raia.

 Wawakilishi katika mazungumzo ya Urusi na Ukraine wamekubaliana juu ya haja ya kutenga njia salama ya kupitisha misaada ya kiutu na . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Macron atangaza rasmi kuwania muhula wa pili wa urais.

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza rasmi kuwa atawania muhula wa pili katika uchaguzi wa rais wa mwezi Aprili. Kwa muda sasa rais . . .

Hali ya hewa
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Miji ya Australia yajiandaa kwa mvua zaidi mwishoni mwa juma.

Mamlaka nchini Australia zimeonya hii leo juu ya ongezeko la mvua zaidi mwishoni mwa juma katika mikoa kadhaa iliyokumbwa na mafuriko mash . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Mtoto azaliwa kwenye handaki Ukraine

Wakati maelfu ya watu wakiendelea kujificha katika mahandaki kukwepa vita na kutafuta usalama nchini Ukraine, mwanamke mmoja amepata uchun . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Saido Na Aucho Wanalo

YANGA inazidi kupasua anga ikionyesha inalitaka kombe na wakati mbio hizo zikiendelea kocha wao Nesreddine Nabi ameshusha mkwara mzito a . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Ris wa Ukraine Aomba kufanya Mazungumzo na Putin ili kumaliza Vita

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky anasema njia ya ya kumaliza vita mara moja nchini Ukraine ni kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Rai . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Hawa ndio Majenerali na maafisa wa karibu zaidi na Rais Putin wanaomsaidia katika vita ya Ukraine.

Vladimir Putin anapunguza idadi ya watu waliokaribu nae, na kusababisha jeshi la Urusi kuwa katika vita vya hatari ambavyo vinatishia ku . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Bidhaa ambazo zitaguswa na jinsi Afrika itakavyoathirika.

Huku uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine ukiendelea, athari za kiuchumi kutokana na vita vinavyoendelea tayari zimeanza kujitokeza kote . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

HALMASHAURI YA JIJI LA ILALA 'DAR ES SALAAM' YATOA TUZO KWA SHULE ZA MSINGI ZA SERIKALI NA BINAFSI

HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema  imejipanga kuhakikisha inaongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwa . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

SUA NA MKEMIA MKUU WA SERIKALI WAWAJENGEA UWEZO WAGANGA WA TIBA ASILI NCHINI.

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kupitia mradi wa VaSPHARD kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wamefanya mafunzo kwa . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Viongozi wa ECOWAS wafuta ziara yao nchini Burkina Faso

Viongozi wa Jumuiya ya kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS wamefuta ziara yao nchini Burkina Faso iliyokuwa na lengo la kukutana na kiongo . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

Mkakati wa jeshi la Urusi na kile ilijifunza baada ya kuanguka kwa USSR.

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameelezea uvamizi wa nchi yake dhidi ya Ukraine kama "operesheni maalum ya kijeshi". Lakini, tangu mwanzo, . . .

Kurasa 187 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category