logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Tume ya Vurugu za Oktoba Yapiga Marufuku Vyombo vya Habari Kutangaza Ushahidi wa Waathirika

Tume huru ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeagiza vyombo vya habari nchini Tanzania kutoto . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Tetemeko La Liga: Sergio Ramos Ajiandaa Kuinunua Sevilla

Kwa mujibu wa ripoti ya Cadena SER gwiji wa soka wa Hispania, Sergio Ramos, amefikia makubaliano ya kimsingi na wanahisa wa klabu ya Se . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

JKT Tanzania Yaongoza Ligi kuu kwa Kadi Nyingi za Njano

Wakati ikiendelea kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, timu ya JKT Tanzania imeibuka pia kuwa kinara wa kupata kadi nyingi za njano m . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Rais Samia Aadhimisha Siku ya Kuzaliwa kwa Kupanda Miti Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema amechagua kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti kama . . .

Muziki
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Spotify Yazizima! Drake Afikisha Rekodi Isiyowahi Kutokea

Rapper maarufu kutoka Canada Drake ameendelea kuandika historia katika muziki wa HipHop baada ya kuwa msanii wa kwanza wa HipHop d . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Watu bilioni 3.8 kukumbana na joto kali ifikapo 2050

Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani kote huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Utata Wazuka Juu ya Kifo cha Diwani Nyamugali, ACT-Wazalendo na Polisi Watofautiana

Utata umeibuka kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Nyamugali Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Majaliwa Abbas Hamis baada ya c . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 27, 2026

Jeshi la Polisi Lachunguza Kifo cha Mwanaume Ndani ya Nyumba ya Kulala Wageni Morogoro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kifo cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34) kilichotokea leo Januari 27 mwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2026

Venezuela yawaachia huru "wafungwa wa kisiasa"

Shirika kubwa zaidi la kutetea haki za wafungwa nchini Venezuela limesema kuwa makumi ya wafungwa wameachiwa huru mwishoni wa juma lililopit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2026

Trump ajaribu ´kutuliza joto´ Minneapolis

Rais Donald Trump wa Marekani amesema amemtuma Afisa Mkuu wa Uhamiaji na Ulinzi wa Mipaka ya nchi hiyo kwenda kusimamia oparesheni za kuwasa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 27, 2026

Paul Mackenzie ameshtakiwa kwa kuhusishwa na vifo vipya 52

Nchini Kenya kumekuwa na mabadiliko katika kesi ya kundi la kiimani la Shakahola. Paul Mackenzie, mchungaji aliyejitangaza, atashtakiwa kwa . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Jeshi Uganda Laamri Bobi Wine Akamatwe Hai au Amefariki

Mkuu wa Majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kutolewa kwa amri mpya kwa wanajeshi wa nchi hiyo kumkamata mwanasiasa wa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Wanahabari Wazuiwa Kwenye Kikao cha Tume ya Uchunguzi

Tume Huru ya Uchunguzi wa vurugu za Oktoba 29 nchini Tanzania imezuia wanahabari kushiriki katika mahojiano yanayoendelea kati ya tume hiyo . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Bodi ya Nyama Yafunga Machinjio ya Muheza kwa Kuhatarisha Afya

Bodi ya Nyama Kanda ya Kaskazini imeyafunga machinjio ya Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, kwa muda usiojulikana kufuatia ukiuk . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Maseneta Wachunguza Ufisadi Kaunti za Pwani

Magavana wanne wa eneo la Pwani wamejikuta katika shinikizo kali baada ya Seneti kuanzisha uchunguzi kuhusu madai ya uozo wa kifedha, ufisad . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Ajira Haramu: Jinsi Kaunti 41 Zilivyopuuza Sheria na Kujaza Mfumo kwa Wafanyakazi

Uchunguzi wa kina wa ripoti za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali umebaini mtandao mpana wa ukiukaji wa sheria za ajira katika serikali za kaunti . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

UN Yaonya Hatari ya Ukatili Mkubwa Dhidi ya Raia Sudan Kusini

Wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa kuongezeka kwa vurugu nchini Sudan Kusini kunaongeza hatari ya ukatili mkubwa dhidi ya raia . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

ADF imewaua watu 25 jimbo la Ituri

Watu 25 wameuawa mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo jana Jumapili baada ya wanamgambo wa kundi lenye mafungamano na lile linalojii . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Ulaya na India kutia saini mkataba mkubwa wa biashara

Viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya wako nchini India kwa ziara itakayoshuhudia kutiwa saini mkataba wa biashara huria baina ya pande hizo mbil . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Waziri Mkuu Asafiri kwa SGR Kuhudhuria Mkutano wa TAKUKURU Morogoro

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 26 mwaka huu ameondoka jijini Dar es Salaam kuelekea mkoani . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 26, 2026

Aliyekuwa Kipa wa Taifa Stars na Yanga, Peter Manyika Amefariki

Aliyekuwa kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Yanga SC, Peter Manyika amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2026

Siri ya Gari la Maajabu Linalomfanya Papa Aonekane Kwa Karibu na Kulindwa

Gari la Papa (Popemobile) ni usafiri maalum uliotengenezwa kwa ajili ya kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani anapokuwa kwenye ziara za h . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • January 26, 2026

Zelensky asaka mifumo zaidi ya ulinzi wa anga

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amewarai washirika wake kumpatia mifumo zaidi ya ulinzi wa anga kujikinga na mashambulizi ya Urusi ambayo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2026

Watu 30,000 waliuawa ndani ya siku mbili za maandamano Iran

Jarida la Time la nchini Marekani limesema idadi ya watu waliouawa katika siku mbili pekee wakati wa maandamano ya wiki kadhaa nchini Iran i . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 26, 2026

Makamu rais wa zamani wa Kenya adai jaribio la kumuua katika shambulio la Kanisa

Mwanachama maarufu wa upinzani nchini Kenya Rigathi Gachagua amedai kulikuwa na jaribio la kumuua wakati wa ibada ya siku ya Jumapili kanisa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Waziri Mkuu Akagua Kituo cha Uokozi Ukanda wa Ziwa Victoria

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) mapema leo  Januari 23 mwaka huu ametembelea na kukagua m . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Waziri Mkuu Aagiza Mradi wa Maji Mwanza Ukamilike Haraka

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23 mwaka huu ameweka jiwe la msingi katika mradi wa u . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Yanga Yatwaa Tuzo Mbili za Desemba

KLABU ya Young Africans (Yanga) imeendelea kung’ara katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutwaa tuzo mbili za mwezi Desemba 2025, ambazo . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Bobi Wine Akataa Matokeo ya Uchaguzi Uganda

Wiki moja baada ya uchaguzi wa urais nchini Uganda ambao Rais Yoweri Museveni alitangazwa kuwa mshindi ambapo  kiongozi wa upinzani Bob . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Yanga Kutafuta Ushindi wa Kihistoria Ugenini kwa Al Ahly leo Last updated Jan 22, 2026

Klabu ya Yanga inajiandaa kuingia uwanjani siku ya leo Januari 23 ili  kuikabili Al Ahly SC ya Misri katika mchezo wa hatua ya mak . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

CHADEMA Yalalamikia Kufungiwa Namba ya Michango

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa namba ya simu ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama hicho Brenda . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

JKT Watangaza Mafunzo ya Kujitolea 2026, Usaili Kuanza Januari 26

Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele ametoa wito wa kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea mwaka 2026.Akimwakilisha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Umoja wa Afrika waiondolea Guinea vikwazo

Umoja wa Afrika umetangaza kuiondolea Guinea vikwazo ilivyoiwekea kufuatia mapinduzi ya mwaka 2021, baada ya nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa r . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Umoja wa Ulaya kuekeza zaidi eneo la Arctic

Umoja wa Ulaya haujaekeza vya kutosha kwa usalama wa eneo la Arctic na sasa ndio wakati wa kubadilisha hilo na kuekeza zaidi.Haya yamesemwa . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 23, 2026

Freiburg yafuzu 16 bora Stuttgart yayumba Ligi ya Ulaya

Klabu ya Ligi Kuu ya Ujerumani Freiburg usiku wa kuamkia leo imeendeleza msururu wake wa kutofungwa katika mechi za Ligi ya Ulaya kwa kuilaz . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • January 22, 2026

A new identity,A new landmark

From THE CASK to THE BRIDGE; built on vision, connection, and ambition. This is premium nightlife, redefined. #TheBridgeTz#10YrsJembefm&n . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Utafiti wahofia glakoma itachangia upofu wa mamilioni kufikia 2060

UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Ophthalmology, Uingereza, unaonyesha kuwa kufikia mwaka wa 2060, zaidi ya watu milioni 1.6 wenye umri wa mi . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • January 22, 2026

Pigo kwa Mudavadi mahakama ikifufua chama chake ANC

MAHAKAMA Kuu imebatilisha kuvunjwa kwa chama cha kisiasa cha Amani National Congress (ANC), kinachohusishwa na Mkuu wa Mawaziri Musalia Muda . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 22, 2026

Simba Yatua Tunisia, Yajinasibu Kuzaliwa Upya

Klabu za Simba na Yanga zinaendelea na maandalizi ya michezo ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku Simba ikitangaza kuzaliwa up . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • January 22, 2026

Uhaba wa Makipa bora Tanzania walaumiwa mafunzo duni na kudharau ushauri wa Wakongwe

 Uhaba wa makipa bora unaoonekana katika soka la Tanzania kwa sasa umetajwa kuchangiwa na kukosekana kwa mafunzo sahihi ya kitaalamu, k . . .

Kurasa 3 ya 221

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category