Tume huru ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeagiza vyombo vya habari nchini Tanzania kutoto . . .
Kwa mujibu wa ripoti ya Cadena SER gwiji wa soka wa Hispania, Sergio Ramos, amefikia makubaliano ya kimsingi na wanahisa wa klabu ya Se . . .
Wakati ikiendelea kuongoza msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, timu ya JKT Tanzania imeibuka pia kuwa kinara wa kupata kadi nyingi za njano m . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema amechagua kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti kama . . .
Rapper maarufu kutoka Canada Drake ameendelea kuandika historia katika muziki wa HipHop baada ya kuwa msanii wa kwanza wa HipHop d . . .
Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani kote huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za . . .
Utata umeibuka kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Nyamugali Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Majaliwa Abbas Hamis baada ya c . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kifo cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34) kilichotokea leo Januari 27 mwa . . .
Shirika kubwa zaidi la kutetea haki za wafungwa nchini Venezuela limesema kuwa makumi ya wafungwa wameachiwa huru mwishoni wa juma lililopit . . .
Rais Donald Trump wa Marekani amesema amemtuma Afisa Mkuu wa Uhamiaji na Ulinzi wa Mipaka ya nchi hiyo kwenda kusimamia oparesheni za kuwasa . . .
Nchini Kenya kumekuwa na mabadiliko katika kesi ya kundi la kiimani la Shakahola. Paul Mackenzie, mchungaji aliyejitangaza, atashtakiwa kwa . . .
Mkuu wa Majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kutolewa kwa amri mpya kwa wanajeshi wa nchi hiyo kumkamata mwanasiasa wa . . .
Tume Huru ya Uchunguzi wa vurugu za Oktoba 29 nchini Tanzania imezuia wanahabari kushiriki katika mahojiano yanayoendelea kati ya tume hiyo . . .
Bodi ya Nyama Kanda ya Kaskazini imeyafunga machinjio ya Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, kwa muda usiojulikana kufuatia ukiuk . . .
Magavana wanne wa eneo la Pwani wamejikuta katika shinikizo kali baada ya Seneti kuanzisha uchunguzi kuhusu madai ya uozo wa kifedha, ufisad . . .
Uchunguzi wa kina wa ripoti za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali umebaini mtandao mpana wa ukiukaji wa sheria za ajira katika serikali za kaunti . . .
Wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa kuongezeka kwa vurugu nchini Sudan Kusini kunaongeza hatari ya ukatili mkubwa dhidi ya raia . . .
Watu 25 wameuawa mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo jana Jumapili baada ya wanamgambo wa kundi lenye mafungamano na lile linalojii . . .
Viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya wako nchini India kwa ziara itakayoshuhudia kutiwa saini mkataba wa biashara huria baina ya pande hizo mbil . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 26 mwaka huu ameondoka jijini Dar es Salaam kuelekea mkoani . . .
Aliyekuwa kipa wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Klabu ya Yanga SC, Peter Manyika amefariki dunia alfajiri ya leo katika Hospita . . .
Gari la Papa (Popemobile) ni usafiri maalum uliotengenezwa kwa ajili ya kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani anapokuwa kwenye ziara za h . . .
Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amewarai washirika wake kumpatia mifumo zaidi ya ulinzi wa anga kujikinga na mashambulizi ya Urusi ambayo . . .
Jarida la Time la nchini Marekani limesema idadi ya watu waliouawa katika siku mbili pekee wakati wa maandamano ya wiki kadhaa nchini Iran i . . .
Mwanachama maarufu wa upinzani nchini Kenya Rigathi Gachagua amedai kulikuwa na jaribio la kumuua wakati wa ibada ya siku ya Jumapili kanisa . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) mapema leo Januari 23 mwaka huu ametembelea na kukagua m . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23 mwaka huu ameweka jiwe la msingi katika mradi wa u . . .
KLABU ya Young Africans (Yanga) imeendelea kung’ara katika Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutwaa tuzo mbili za mwezi Desemba 2025, ambazo . . .
Wiki moja baada ya uchaguzi wa urais nchini Uganda ambao Rais Yoweri Museveni alitangazwa kuwa mshindi ambapo kiongozi wa upinzani Bob . . .
Klabu ya Yanga inajiandaa kuingia uwanjani siku ya leo Januari 23 ili kuikabili Al Ahly SC ya Misri katika mchezo wa hatua ya mak . . .
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa namba ya simu ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama hicho Brenda . . .
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele ametoa wito wa kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea mwaka 2026.Akimwakilisha . . .
Umoja wa Afrika umetangaza kuiondolea Guinea vikwazo ilivyoiwekea kufuatia mapinduzi ya mwaka 2021, baada ya nchi hiyo kuandaa uchaguzi wa r . . .
Umoja wa Ulaya haujaekeza vya kutosha kwa usalama wa eneo la Arctic na sasa ndio wakati wa kubadilisha hilo na kuekeza zaidi.Haya yamesemwa . . .
Klabu ya Ligi Kuu ya Ujerumani Freiburg usiku wa kuamkia leo imeendeleza msururu wake wa kutofungwa katika mechi za Ligi ya Ulaya kwa kuilaz . . .
From THE CASK to THE BRIDGE; built on vision, connection, and ambition. This is premium nightlife, redefined. #TheBridgeTz#10YrsJembefm&n . . .
UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Ophthalmology, Uingereza, unaonyesha kuwa kufikia mwaka wa 2060, zaidi ya watu milioni 1.6 wenye umri wa mi . . .
MAHAKAMA Kuu imebatilisha kuvunjwa kwa chama cha kisiasa cha Amani National Congress (ANC), kinachohusishwa na Mkuu wa Mawaziri Musalia Muda . . .
Klabu za Simba na Yanga zinaendelea na maandalizi ya michezo ya raundi ya tatu ya Ligi ya Mabingwa Afrika, huku Simba ikitangaza kuzaliwa up . . .
Uhaba wa makipa bora unaoonekana katika soka la Tanzania kwa sasa umetajwa kuchangiwa na kukosekana kwa mafunzo sahihi ya kitaalamu, k . . .