logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 15, 2025

MSANII JD YOUNG AACHIA WIMBO MPYA “DARLING” AKIIWAKILISHA RWANDA KWA KISHINDO!

Msanii chipukizi mwenye kipaji cha kipekee, JD Young, ambaye kwa sasa anaishi ughaibuni, ameendelea kupeperusha bendera ya Rwanda kimataifa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • June 15, 2025

TFF Yatangaza Uchaguzi Mkuu Agosti 16, 2025

Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tan . . .

Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 14, 2025

Diamond Platnumz Aandika Historia Mpya Royal Albert Hall, London – Usiku wa Bongo Fleva Uliotikisa Dunia!

Juni 13, 2025 – Historia iliandikwa jijini London! Msanii maarufu wa Tanzania, Diamond Platnumz, ameweka rekodi mpya kwa kuwa msanii wa kw . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 14, 2025

Watoa huduma vituo vya malezi ya wazee wakiri vitendo vya kuwanyanyasa na kuwaonea wazee kwa mwaka 2024

Leo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu unyanyasaji dhidi ya wazee ambapo maudhui yam waka huu wa 2025 ni kusaka suluhu ya vitend . . .

Michezo
  • Na Jacobmlaytz
  • June 13, 2025

MNGUTO ajiuzulu, rais Karia amsimamisha kazi CEO Bodi ya ligi

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi kuu Tanzania (TPLB) Steven Mnguto amewasilisha barua ya kujiuzulu wadhifa huo.Katika hatua nyingine, Rais wa Shir . . .

Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

ZIFF 2025 YAJA KWA KISHINDO: TAMASHA LA FILAMU LENYE LADHA YA DUNIA NZIMA!

Kutoka kushoto; Mkurugenzi wa Goethe-Institute Tanzania Bw. Mpangi Otte, Mtendaji Mkuu   ZIFF Joseph Mwale, Mkurugenzi wa ZIF . . .

Michezo
  • Na Jacobmlaytz
  • June 13, 2025

Yanga na Simba sasa ni June 25, 2025

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza mbele mchezo wa watani wa jadi namba 184 kati ya Yanga na Simba, ambao awali ulipangwa kuchezwa J . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Uwasilishwaji wa bajeti kuu waibua nchi 10 zenye bajeti kubwa zaidi Afrika

 Kufuatia na usomwaji wa bajeti kuu serikali katika nchi tofauti tofauti ikiwemo Tanzania, Rwanda, Kenya, na Uganda kuwasilisha  b . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Vijue vipaumbele muhimu vya bajeti kuu ya serikali ya nchi za Afrika Mashariki

Juni 12, mjadala mkubwa wa kisiasa na kiuchumi uliibuka katika nchi za Afrika Mashariki ambao ulitawaliwa na matukio muhimu ya bajeti kuu ya . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Maaskofu 500 wa kanisa la Gwajima wamefika mahakamani kusikiliza kesi

Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima, limefungua kesi Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma, likiomba . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

LADY JAY DEE AZINDUA RASMI KITABU CHAKE “DIARY YA LADY JAY DEE” BAADA YA MIAKA 25 YA SAFARI YA MUZIKI

Mwanamuziki mkongwe na msanii wa kike wa kwanza kung’ara kwenye Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo, maarufu kama Lady Jay Dee, jana alizind . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Polisi Kenya waomba radhi kwa Wananchi baada ya mwanamke kupoteza ujauzito ndani ya selo za polisi

Idara ya polisi nchini Kenya imeomba radhi Wakenya kufuatia tukio ambalo mahabusu aliyekuwa na ujauzito Milka Wangari alipoteza ujauzito kwe . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

BAADA YA MBOSSO KUACHIA EP YAKE “ROOM NUMBER 3”, AOMBA SAPOTI – MARA YA KWANZA TANGU KUTENGANA NA WCB

Msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Mbosso, ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake mpya iitwayo “Room Number 3”, ambayo imezua ms . . .

Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

MSANII BILNASS AFUNGUKA KUHUSU KUDHULUMIWA NA WADAU WA MUZIKI

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Bilnass, amefungua ukurasa mpya wa majadiliano kwenye tasnia ya muziki kwa kutoa waraka mzito kupit . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 13, 2025

Masaju Ateuliwa Jaji Mkuu Kumrithi Profesa Ibrahim

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani, George Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania.Jaji Masaju anachukua naf . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 13, 2025

Walinzi wa Mapinduzi waapa kulipiza kisasi kifo cha kiongozi wao

Walinzi wa Mapinduzi ya Iran wameapa kulipiza kisasi baada ya kifo cha kiongozi wao, Hossein Salami. Mashambulio haya "hayatabaki bila kujib . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Timu ya Tottenham Hotspur yamtangaza Thomas Frank kuwa kocha mkuu wa timu hiyo

Tottenham Hotspur imemtangaza kocha Thomas Frank kuwa meneja wake mkuu kuchukua mikoba ya Age Postecoglou aliyetimuliwa hivi karibuni baada . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Wananchi mkoani Simiyu wajiandaa kumpokea Dkt Samia Suluhu Hassan kuelekea ziara yake juni 15

Katika tukio la kipekee linalodhihirisha mapenzi ya wananchi kwa viongozi wao wakazi wa Mkoa wa Simiyu wamejitokeza kwa wingi kuonyesha fura . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

George Mcheche ateuliwa na Rais kuwa jaji mkuu wa Mahakama ya Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Masaju ambaye am . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

MAADHIMISHO YA SIKU YA WATU WENYE UALBINO DUNIANI

Kila mwaka 13 Juni, dunia huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu Wenye Ualbino (International Albinism Awareness Day pia ni siku ya kutambua . . .

Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

RAPA SILENTÓ AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA

Rapa maarufu kutoka Atlanta, Silentó, anayejulikana sana kwa kibao chake kilichotamba mwaka 2015 “Watch Me (Whip/Nae Nae),” amehuk . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

BAADA YA UKIMYA WA MIEZI SABA, MSANII KUTOKA KANDA YA ZIWA AWASHANGAZA MASHABIKI KWA KAZI MPYA NA MR. BLUE – “SAWA

Baada ya ukimya wa takribani miezi saba, msanii maarufu kutoka Kanda ya Ziwa anayewakilisha mkoa wa Shinyanga, Nyasani, amerejea kwa kishind . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

WAISLAM WA MKOA WA MWANZA WAANDAA DUA MAALUMU

Baraza Kuu la Waislamu Mkoa wa Mwanza limeendesha dua maalum kwa ajili ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Abiria 133 wameripotiwa kufariki ajali ya Ndege ya Air India

Mamlaka nchini India zimethibitisha kuwa Watu 133 wamefariki hadi sasa  kufuatia ndege ya abiria ya Air India iliyokuwa inatokea nchini . . .

Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

RAPA CDQ KUTOKA NIGERIA AMEACHIA RASMI EP YAKE SADIKU

Hatimaye CDQ ametoa  EP Yake ya “SADIKU “ Ep ambayo amefanikiwa kuifanyia maandalizi ya muda mrefu sana iliyowashirikisha Mast . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Maandamano yashika kasi jijini Nairobi kumtaka Lagat ajiuzulu

MAMIA ya vijana wanaandamana katika barabara za jiji kuu la Nairobiwakimtaka Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi Eliud Lagat ajiuzulu.Maandama . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Prof Kitila "Serikali imewapunguzia gharama za maisha wananchi"

Serikali imesema kuwa imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kuweka mazingira rafiki ya kujipatia kipat . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Mazishi ya Lungu yazua kutoelewana na serikalli ya Zambia

Edgar Lungu, ambaye aliongoza Zambia kutoka mwaka 2015 hadi 2021, alifariki Alhamisi iliyopita akiwa na umri wa miaka 68, lakini kumezuka mv . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2025

Ndege Ya Air India Yaanguka Dakika Chache Baada ya Kuruka Ikiwa na Watu 242

Ndege ya Air India Boeing 787 Dreamliner iliyokuwa safarini kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sardar Vallabhbhai Patel, Ahmedabad, kuel . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Bajeti kuu ya serikali kusomwa leo bungeni

Wakati mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine leo Juni 12, 2025 kuanzia . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Serikali kuweka mpango wa utekelezaji sekta ya maendeleo ya jamii mwaka 2025/2026

KATIKA mwaka 2025/26 Serikali kupitia sekta ya maendeleo ya jamii inatarajia kutekeleza jumla ya miradi tisa (9) ukiwemo mradi wa TASAF amba . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Abiria 242 wapata ajali ndani ya Ndege ya Air India June 12

Ndege ya abiria ya Air India iliyokuwa inatokea nchini India kwenda London nchini Uingereza imeanguka na kuwaka moto leo June 12,2025 katika . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Timu ya Msaada wa Kisheria yakutana na uongozi wa Dar es salaam kuanza maandalizi

TIMU ya wataalamu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria Juni 11, 2025 ilikutana na Kamati ya Usalama ya Mkoa wa Dar es Salaam  ikiongozwa n . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Heche amtaka RPC mkoa wa Tabora kuacha kutoa taarifa za upotoshaji

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA-Bara John Heche amesema Mtu aliyemuomba radhi katika clip inayosambaa ni raia ambaye alifanya hivyo kwa niaba y . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Kenya wahalifu wote kuchukuliwa hatu kali za kisheria bila upendeleo wa cheo serikalini

Rais WilliamRuto amesema Usalama wa Kenya ni Haki ya Wananchi hivyo Wahalifu wote wawe Raia au Maafisa wa Usalama wa Taifa lazima wawajibish . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Watu tisa wamepoteza maisha kwenye ajali mbaya iliyotokea mkoani Morogoro

Watu tisa wamefariki dunia papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hai kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa limeb . . .

Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Afisa habari Klabu ya KenGold akutwa na hatia ya kosa la kuomba na kupokea rushwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya KenGold Joseph Mkoko(34) kulipa faini ya Sh1 milioni au k . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 11, 2025

MUHIMBILI YAONGEZA KITENGO KIPYA

 Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila umepongeza Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano cha hospitali hiyo kwa kut . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 11, 2025

Viongozi wa Dini Wamjia juu Spika kwa Kumtangaza Museveni ‘Mungu’

Watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii wametoa ujumbe wa kumlaani Spika wa Bunge la Uganda, Anita Among baada ya kusema kuwa Rais Yoweri . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Martha Karua na mwenzake wafungua kesi mahakamani dhidi ya serikali ya Tanzania

Aliyekuwa Jaji Mkuu wa Kenya, Dkt. Willy Mutunga Wakili Mwandamizi Martha Karua pamoja na watu wengine wanne wamefungua kesi katika Mahakama . . .

Kurasa 47 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category