logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 13, 2025

MSANII BILNASS AFUNGUKA KUHUSU KUDHULUMIWA NA WADAU WA MUZIKI

Msanii maarufu wa muziki wa Bongo Fleva, Bilnass, amefungua ukurasa mpya wa majadiliano kwenye tasnia ya muziki kwa kutoa waraka mzito kupitia ukurasa wake wa Instagram, . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

RAPA SILENTÓ AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA

Rapa maarufu kutoka Atlanta, Silentó, anayejulikana sana kwa kibao chake kilichotamba mwaka 2015 “Watch Me (Whip/Nae Nae),” amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jel . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

BAADA YA UKIMYA WA MIEZI SABA, MSANII KUTOKA KANDA YA ZIWA AWASHANGAZA MASHABIKI KWA KAZI MPYA NA MR. BLUE – “SAWA

Baada ya ukimya wa takribani miezi saba, msanii maarufu kutoka Kanda ya Ziwa anayewakilisha mkoa wa Shinyanga, Nyasani, amerejea kwa kishindo katika game ya muziki kwa ku . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • June 12, 2025

RAPA CDQ KUTOKA NIGERIA AMEACHIA RASMI EP YAKE SADIKU

Hatimaye CDQ ametoa  EP Yake ya “SADIKU “ Ep ambayo amefanikiwa kuifanyia maandalizi ya muda mrefu sana iliyowashirikisha Masterkraft, Ayanfe, Jzyno, SirAHE . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Afisa habari Klabu ya KenGold akutwa na hatia ya kosa la kuomba na kupokea rushwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Ofisa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya KenGold Joseph Mkoko(34) kulipa faini ya Sh1 milioni au kwenda jela miaka miwili baada . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 10, 2025

Baada ya tamko kutoka Bodi ya ligi Simba yazidi kuhamasisha Mashabiki kujitokeza kwa wingi juni 15

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema mchezo namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Yanga uliopangwa kufanyika Juni 15, 2025 upo kama ulivyopangwa. Taarifa iliyotolewa kwa um . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Bodi ya Ligi yatoa tamko kuwa mechi ya Simba na Yanga iko palepale juni 15

Afisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, Almas Kasongo, amesema kikao cha leo kimepokea matakwa kutoka Yanga SC ikiwemo kujiuzulu kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, . . .

news
Michezo
  • Na Jembe Digital
  • June 9, 2025

Time ya Taifa ya Ureno imetwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa mara ya pili

Timu ya Taifa ya Ureno imeweka historia mpya katika soka la Ulaya baada ya kutwaa ubingwa wa UEFA Nations League kwa mara ya pili ikiwa ndiyo timu pekee kufanikisha hivyo . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 6, 2025

Mama Wa Msanii Carina Afariki Dunia

Habari mbaya za kusikitisha zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa mama wa msanii Hawa Hussen almaarufu Carina, Fatma Maruzuku amefariki dunia.Mama Carina amefariki yapa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 30, 2025

Wanamuziki watano wauawa na wafanyabiasha wa dawa za kulevya

Wanamuziki watano wa bendi ya muziki ya Fugitivo nchini Mexico, waliotoweka tangu Jumapili, Mei 18, kaskazini mwa Mexico, waliuawa na washukiwa wa mauaji kutoka kundi la . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2025

Kusah hana mpango wakumuacha Aunty Ezekiel

Msanii wa kizazi kipya Kusah amefunguka kuwa hana kabisa mipango ya kuachana na mke wake AAunty Ezekiel kwasababu ana kila kitu ambacho yeye anakitaka,mbali na hiyo pia a . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2025

Jux tuhuma za kuiba wimbo wa Meja Kunta

Msanii wa muziki wa singeli Tanzania ametupa lawama za kuibiwa wimbo na msanii D voice ambapo kwa mujibu wake ni kuwa D voice ameuvujisha wimbo huo kwa Jux baada ya Meja . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2025

Chino Kidd kuwa mkubwa chini ya Marioo

Msanii Chino Kidd amefunguka kuwa bado yupo chini ya mwamvuli wa Bad Nation yake msanii Marioo na kusema kuwa kuwa chini yake haimaanishi kunamfanya kuwa msanii mdogo au . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2025

Diddy Akabiliwa Na Mashtaka Mazito Ya Unyanyasaji Wa Kijinsia Na Usafirishaji Wa Watu

Mwanamuziki maarufu nchini Marekani Sean “Diddy” CombsMwanamuziki maarufu nchini Marekani Sean “Diddy” Combs, mwenye umri wa miaka 55, anakabiliwa na mashtaka maz . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2025

Foby "Kwenye Lebo unaingia msafi ukitoka mchafu"

Mwanamuziki Foby Official juu ya wasanii kusainiwa na kusimamiwa kazi zao kwenye Records Label.Label nyingi za Bongo unaingia ukiwa Msafi unatoka Mchafu. Mifano ipo ndio . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2025

Huu hapa ubabe wa Wizkid mbele ya Davido

Licha ya 5ive ya Davido kupokelewa kwa kishindo na mashabiki duniani kote, bado hajafanikiwa kufuta rekodi iliyowekwa na Wizkid kupitia albamu yake ya Morayo kwenye Spoti . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 11, 2025

HII HAPA ASANTE KUTOKA KWA CHETTA FLYEE

Msanii wa kizazi kipya Steven Gaudence Kinyoto maarufu kama Chetta Flyee ameachia wimbo mpya unaokwenda kwa jina la "Asante" ukiwa kama wimbo rasmi wa kwanza kwa mwaka hu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 28, 2025

Jessenation Adondosha ngoma mpya Goodbumps

Jessenation, anayejulikana pia kama Jesse Emeghara, ameendelea kuthibitisha ubora wake katika muziki na wimbo wake mpya *Goodbumps*, ambao unatikisa Kenya na Afrika Masha . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 2, 2025

JAMIN BEATS KUTOKA NCHINI GHANA AMEKUJA KIVINGINE

Msanii wa Ghana, **Jamin Beats**, ameachia wimbo wake mpya *Nothing Too Hard*, ambao unapatikana kwenye majukwaa mbalimbali ya muziki kama [Audiomack](https://audiomack.c . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Vita ya Martha Mwaipaja na Biatrice Mwaipaja

Mvutano kati ya MarthaMwaipaja na mdogo wake BeatriceMwaipaja umechukua sura mpya baada ya sauti zao wakishambuliana kwa maneno makali kusambaa mitand . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

NASBOI AUNGANA NA D’BANJ KWENYE COMPOSE

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria ambaye amefanikiwa kuwa kwenye muziki na kiwanda cha Sanaa kwa miaka kadhaa Nasboi ambaye amefanikiwa kufanya kazi nyingi na wasanii mba . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2025

Rais Dkt. Samia Ashiriki Hafla Ya Utoaji Tuzo Za Wasanii Wa Komedi, Washindi

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumamosi Februari 22, 2025 amesema Serikali itaendelea kuwashika mkono wasanii wa ucheshi ili wafike ngazi z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Mume Wa Rihanna Ashinda Kesi Mahakamani

Jopo la majaji jijini Los Angeles, Jumanne, Februari 18, limemuachia huru rapa maarufu kwa jina la A$AP Rocky baada ya kumkuta hana hatia katika mashitaka mawili ya uhali . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Shakira Ashindwa Kufanya Shoo, Akimbizwa Hospitali

Staa wa Pop duniani, Shakira, amelazimika kukatisha shoo yake nchini Peru na kukimbizwa hospitali baada ya kupatwa na maradhi ya tumbo.Kupitia akaunti zake za mitandao ya . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

ACHENI WASANII WAISHI MAISHA YAO - OMAR HARDWICK

Nyota wa filamu ambae amejipatia umaarufu zaidi kupitia Tamthilia ya Power , Omari Hardwick ameungana na baadhi ya watu kuwatetea wasanii ambao walipata nafasi ya kutumbu . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

LIL YACHTY - NAMUOGOPA NICK MINAJ, HIP-HOP HAIJAFA.

Rapa Lil Yachty amekiri kwamba mpaka sasa bado anajutia maamuzi yake kwa kuchagua upande kwenye vita kati ya Card B na Nick Minaj mwaka 2018 .Kupitia mahojiano ambayo ame . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2025

XZIBIT ATOA SABABU ZA DRAKE KUSHINDWA NA KENDRICK LAMAR

Rapa kutoka Marekani Alvin Nathaniel Joiner maarufu kama Xzibit ama Exhibit A . X to the Z. Wow Alvin.... Amesema kwamba ni kweli Drake alishindwa kwenye vita yake na Ken . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 22, 2025

KEVIN POWELL AMSHUTUMU SNOOP DOGG KUWA MSALITI

Kufuatia kuapishwa rasmi kwa Donald Trump kuwa raisi wa Marekani kwa mara nyingine tena baada ya ushindi wake katika uchaguzi uliopita dhidi ya mpinzani wake Kamala Harri . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 21, 2025

CARDI B AFUNGUKA KUHUSIANA NA MUZIKI

Hivi karibuni rapa Cardi B amefunguka kuhusu ushawishi wake kwenye Muziki tangu mwaka 2015 alipoanza kufanya Muziki .Cardi B amesema hayo wakati akijibia kuhusu watu wana . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 16, 2025

HIKI HAPA KICHUPA KIPYA KUTOKA KWA RHYME ASSASSIN - RUN EM UP ( TOLD YA )

Rapa na Emcee kutoka Uingereza mwenye asili ya Zimbabwe Rhyme Assassin ameachia rasmi video ya wimbo mpya unaokwenda kwa jina la Run Em Up ( Told Ya ) Wimbo huu unat . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • December 3, 2024

Takriban Mashabiki 56 Wamepoteza Maisha Uwanjani Nchini Guinea

Takriban watu 56 wamepoteza maisha katika msongamano uliotokea kwenye mechi ya soka katika Uwanja wa Stade du 3 Avril, Nzérékoré, nchini Guinea.Tukio hilo lilianza baa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 26, 2024

MAAJABU ALICHOKIFANYA KHALIGRAPH JONES

Msanii wa Kufoka Khaligraph Jones Aonesha Maajabu Yake Kwenye Tasinia na Muziki Kwenye Nyimbo Yake Mpya  . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • November 20, 2024

USIYOYAFAHAMU KUHUSU MORIOX KIDS

USIYOYAFAHAMU KUHUSU MORIOX KIDS WATOTO WENYE VIPAJI KUTOKA RWANDA/ WAFUNGUKA HAYA . . .

Kurasa 3 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 4 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 23 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode