logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Burudani

  • Pata Habari Zote Za Burudani Hapa
news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • August 21, 2024

KIRI RECORDS YAIRUDISHA DAKIKA MOJA KWA MASHABIKI

Kiri records ni moja kati ya lebo ya muziki nchini Tanzania ambayo imekuwa na mchango mkubwa sana katika kukuza Sanaa ya muziki Tanzania katika kutoa vipaji vingi tofauti . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • August 2, 2024

Burna Boy, akabidhi taji lake la African Giant kwa mwenzake

Mwimbaji wa Nigeria, Damini Ogulu, almaarufu Burna Boy, amemkabidhi taji lake la African Giant kwa mwenzake, Folarin Falana, almaarufu Falz the Bahd Guy.Burna Boy alifich . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Mama aliyetekwa nyara wa Mwanamuziki maarufu wa Kihausa, Rarara, aachiliwa

Baada ya siku 20 kifungoni Hajiya Hauwa'u Adamu, mamake mwanamuziki mashuhuri wa Kihausa, Dauda Adamu, almaarufu Rarara, hatimaye amepata uhuru wake.Habari za uhuru wake . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 19, 2024

Vanessa Kashera Afunguka Mobetto Kuvunja Penzi Lake na Aziz Ki

Msanii wa Filamu za kibongo, Vanessa Kashera maarufu 'Vee Kashera' ameibuka na kudai kwamba mwanamitindo Hamisa Mobetto hawezi kuvunja mahusiano yake na kiungo mshambulia . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • June 16, 2024

Producer S2Kizzy Amjibu Baddest 47 Kuhusu Rayvanny Kumuibia Wimbo wa Sensema

Mtaarishaji wa muziki kutoka Bongo @s2kizzy amemjibu Msanii @badest_47 kuhusu madai ya kuwa ameibiwa Idea ya wimbo wa #Sensema ulioachiwa usiku wa kuamkia leo na Mastaa @ . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 13, 2024

Celine Dion Japo Bado Mgonjwa Adai Atarudi Jukwaani Hata Kwa Kutambaa

Mwanamuziki mkongwe na maarufu duniani kutokea nchini Canada, Celine Dion amesema hataruhusu vita vyake na ugonjwa unaomsumbua wa (Stiff Person Syndrome) kumzuia kufanya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 10, 2024

Nick Cannon akatia Korodani zake Bima ya Bilioni 26

Muigizaji na mtangazaji wa TV maarufu nchini Marekani, Nick Cannon ameweka bima ya Korodani zake $10 Milion sawa na Bilioni 26 za kitanzania.Cannon ameamua kufanya hivyo . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 3, 2024

Babake Mohbad analia kwa kunyimwa maabara ya Marekani, adai majibu

Joseph Aloba, baba wa marehemu mwimbaji, Ilerioluwa Oladimeji Aloba, anayejulikana pia kama Mohbad, anasema alisikitishwa sana kujua kwamba uongozi wa Maabara ya Huduma z . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 28, 2024

Alikiba amchukua mfanyakazi wa Wasafi Media

Alikiba ameandika kuwa “HANS! @hansrafael14 Mimi ni miongoni mwa Mashabiki wa kazi yako, namna unavyochambua Football na kuufanya uonekane mchezo wa kimahesab . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 24, 2024

Diamond Platnumz Ataja na Kufunguka Wazi Kinachofanya Ampende Zuchu Kupindukia: "Ni Matunzo Tu"

 Diamond Platnumz na Zuchu wamethibitisha kuwa mapenzi yao bado yana nguvu baada ya kushiriki vipande vya wimbo wao mpya unaotarajiwa. Zuchu, wiki moja iliyopit . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2024

Drake Aliwa Bilioni 1.4 Kisa Kumbetia Tyson Fury

Rapa Drake amepata hasara ya Dollar laki 565 sawa na tsh bilioni 1.4 mara baada ya kuliwa kwenye kamari aliyocheza usiku wa kuamkia jumapili.Kamari hiyo Drake alicheza ka . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2024

Diddy Aiomba Msamaha Dunia Baada ya VIDEO Kutoka Akimpiga Cassie Hotelini

Sean "Diddy" Combs ameomba msamaha kwa tabia yake "isiyo na udhuru" baada ya CCTV kuonekana kumuonyesha akimshambulia mwimbaji Casandra "Cassie" Ventura.Akiongea kwenye v . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 17, 2024

VANILLAH :MBOSSO ,IBRAAH NA D VOICE LOLOTE LINAWEZA KUTOKEA

Msanii wa kizazi kipya kutoka Mwanza Tanzania Vanillah music ambaye kwa sasa ni msanii ambaye anasimamiwa chini uya lebo ya muziki maarufu kings music amefanikiwa kwa asi . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • May 16, 2024

BIEN :WAKENYA MIMI SITAKI PRESHA MSINITEGEMEE KWENYE MUZIKI

Mwanamuziki mahiri kutoka nchini kenya ambaye pia amefanikiwa kufanya mambo mbali mbali na kundi la muziki la sauti sol bien aime ambye pia amepata mafanikio ndani nan je . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • May 16, 2024

SITAKI KUWA NA WATOTO SASA KWA SABABU SIWEZI KUTOA UPENDO NILIOPATA KUTOKA KWA WAZAZI WANGU SASA - BURNA BOY

Mwimbaji nyota wa Nigeria, Burna Boy amesema hataki kuwa na watoto kwa sasa kwa sababu wakati huuhawezi kutoa mapenzi aliyoyapata kutoka kwa wazazi wake. Akizungumza . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • May 16, 2024

NGUO YATAKA KUMUAIBISHA MWIMBAJI OLIVIA RODRIGO

Mwimbaji Olivia Rodrigo alikumbwa na hitilafu kubwa  wakati wa tamasha lake la hivi majuzi nchini U.K. alipokuwa akitumbuiza mbele ya maelfu ya mashabiki jijini . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2024

50 Cent"Jay Z hawezi kuonekana sasa ana majanga mengi"

Rapa 50 Cent anaendelea kumkandia Jay Z ambaye ni rafiki wa karibu wa P Diddy ambaye kwa sasa anaekabiliwa na mashtaka ya kingono kuhusu unyanyasaji wa kijinsia.Kupitia u . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • May 15, 2024

UTATA WAIBUKA BAADA YA JENNIFER LOPEZ KUONEKANA AKITAFUTA NYUMBA HUKO L.A. AKIWA NA RAFIKI NA SIO MUME WAKE BEN

Huko Beverly Hills Jumanne  hii Jeniffer lopez alionekana akiandamana na mwanamke ambaye anaonekana kuwa Rafiki wa muda mrefu, Elaine Goldsmith-Thomas, ambaye w . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • May 15, 2024

BANNY KUJA NA ALBUM MPYA MWEZI WA 10 ALIYOIPA JINA LA MALKIA

 Kutoka kushinda tuzo Kadhaa, Kutajwa katika Tuzo za Tanzania Music Awards TMA 2022, Tuzo za Kimaraifa Zikomo Awards 2023 Toka Nchini Zambia.Hadi kutajwa kwenye orod . . .

news
Top Story
  • Na Nattyebrandy
  • May 15, 2024

HAILEY BIEBER KWA MARA YA KWANZA AONEKANA HADHARANI BAADA YA KUTANGAZA KUWA NA UJAUZITO

Ikiwa ni siku chache zimepita tangu mlimbwende wa mitindo kutoka nchini marekani hailey Bieber kutangaza kuwa na ujauzito ambao wanatarajia kupata mtoto wao wa kwanza na . . .

news
Muziki
  • Na Asha Business
  • May 15, 2024

RECAP: Hakuna Matata yazua Taharuki Uingereza

Kupitia kwenye kipindi chake cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumza namna Komasava ya Diamond na Hakuna Matata ya Marioo zinaisumbua Afrika.Amesema kuwa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2024

DJ Bella "ningewashirikisha Burna Boy, Kizz Daniel, Wizkid, Davido kwenye wimbo mmoja "

Mask Queen DJ Bella, mvunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mbio ndefu zaidi za tamasha la moja kwa moja, ametangaza mipango ya kutengeneza wimbo mkali utakaowashirikisha . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • April 30, 2024

SABABU YA ERIC OMONDI KUJENGA SAFINA

Mchekeshaji aliyegeuka kuwa mwanaharakati Eric Omondi ana shughuli nyingi kusaidia Wakenya walioathiriwa na mafuriko kupitia mpango wake wa 'Sisi Kwa Sisi'. Omondi a . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • April 30, 2024

DAKTARI BINGWA WA MAGONJWA YA AKILI ADAI BRITNEY SPEARS ANAHITAJI UHIFADHI MPYA, DAWA HARAKA!!

Britney Spears anahitaji usaidizi mkubwa  kwa sasa -- na jibu linaweza kuwa katika uhifadhi mpya na dawa ... ndivyo asemavyo Dk. Charles Sophy.Kwa mujibu wa cha . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • April 30, 2024

Rema ajiweka mbele ya Burna Boy, Davido na Wizkid

Headlines za Hitmaker wa ‘’Calm Down” Rema akisema sasa hivi Muziki wa Africa hauna tena ile ‘Big Three’ (Burna Boy, Davido na Wizkid) bali kuna ‘Big Four’ . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 30, 2024

Davido na Wizkid kama Diamond Platnumz na Konde Boy, Hapatoshi

Wanamuziki kutoka nchini Nigeria, Davido pamoja na Wizkid wapo katika bifu zito, baada ya shabiki wa Wizkid katika mtandao wa X (zamani Twitter) kumuomba msanii huyo atoe . . .

news
Mastaa
  • Na Nattyebrandy
  • April 29, 2024

JUSTIN BIEBER AZUA GUMZO BAADA YA KUWEKA PICHA MTANDAONI AKIWA ANALIA NA MKEWE KUMSIFIA ANALIA VIZURI.

Haijulikani ni nini Justin Bieber alikuwa anakipitia lakini siku ya jumapili amezua gumzo katika mtandao wa Instagram baada Justin Bieber kuweka picha yake akitokwa na ma . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • April 29, 2024

MASHABIKI WA QUAVO WAMSHUSHIA LAWAMA CHRISBROWN

Akosa watu kwenye show yake bila matumaini viti vitupu.klipu mpya inazunguka kwenye mitandao ya kijamii ya umati wa watu kwenye tamasha la Quavo. Umati wa watu unaonekana . . .

news
Muziki
  • Na Nattyebrandy
  • April 29, 2024

DEBLINKZ WAREJEA KWA KISHINDO NA WIMBO WAO BABY NA FIRE

DEBLINKZ ni wasanii wawili walioamua kuungana Pamoja na kutengeneza kundi la muziki kutoka nchini Nigeria Wakiwa wanafahamika kwa majina halisi kama Onyeka . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • April 16, 2024

Wasanii wa Kike Wanaoongoza AFRIKA Kwa Followers Instagram

Wasanii wa kike wenye wafuasi wengi zaidi barani Afrika kwenye mtandao wa YouTube.1. Sherine - milioni 5.232. Zina Daoudia - milioni 3.633. Zuchu - milioni 3.234. Tyla - . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • March 29, 2024

BASATA yasitisha shughuli za Kumbi 504

Baraza la Sanaa la Taifa – BASATA, limesitisha rasmi shughuli za Sanaa, sherehe na burudani katika kumbi 504 za Tanzania Bara ambazo hazikutimiza agizo la uhuishaji wa . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 27, 2024

Wakenya Kulipa Sh15,000 Kupata Kibali Kupiga Shoo Tanzania

MSANII yeyote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayetaka kuenda kupiga shoo au kufanya kazi ya sanaa nchini Tanzania sasa atatakiwa kulipa Tsh300,000 (Sh15,000) kupat . . .

news
Mastaa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2024

Davido amjibu Wizkid kuikataa Afrobeats

Baada ya Superstar wa muziki Africa Wizkid kukataa kutambulika kama msanii wa Afrobeat Davido ameibuka kusema Afrobeats hutumika kuelezea muziki uliotengenezwa . . .

Kurasa 5 ya 14

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 4 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 23 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode