Ayanna Williams, mwanamke anayeishi Texas ambaye alishikilia rekodi ya 'Guinness World Record ya kuwa na kucha ndefu zaidi duniani, hatimaye amezikata baada ya miaka 30.Lakini kulingana na Guinness Wo . . .
Rais Joe Biden wa Marekani Alahimis ya juma lijalo anatarajiwa kwenda mjini Brussels kwa lengo la kuhudhuria mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya ambapo ajenda kuu inatarajiwa kuwa mzozo wa Ukraine . . .
Bunge la Iraq limeitaja Machi 26 kuwa siku ya uchaguzi wa rais wa taifa hilo, baada ya kucheleweshwa. Aidha limetoa orodha ya mwisho ya wagombea 40.Miongoni mwa wagombea wenye kutajwa kuwa na nafa . . .
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amealikwa mjini Kiev wakati jiji hilo likiwa katika hatua ya kukaribiwa na hali nyingine ya mashambulizi ya Urusi.Ofisi ya Papa ya mjini Vatican i . . .
Viongozi watatu wa eneo la Ulaya Mashariki wamekutana na Rais wa Ukraine,Volodymyr Zelensky katika mji uliozingirwa wa Kyiv, katika kuonesha mshikamano wao huku mapigano yakiendelea.Viongozi . . .
Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji wa masuala ya kilimo kuwekeza nchini ili kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo na kuimarisha lishe kwa wananchi na kuinua pato la Taifa.& . . .
Ujerumani imesema itaziondoa baadhi ya ndege zake za kivita za zamani aina ya Tornado kwa kununua aina mpya kutoka Marekani ya F-35A, zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia.Akitangaza uamuzi huo . . .
Mkuu wa kamisheni ya haki za binaadamu ya Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet amelaana vikali hukumo ya kifo kwa watu 81 kwa siku moja huko Saudi Arabia. Mkuu huyo amelitaka taifa hilo la kifalme . . .
toto wa bilionea Juan Carlos Escotet Rodriguez mwenye umri wa miaka 31 amepoteza maisha wakati akijaribu kumuokoa mchumba wake wakati wa mashindano ya uvuvi mwishoni mwa wiki katika jimbo la Flori . . .
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapa maagizo viongozi wawili aliowaapisha leo Jumanne Machi 15, 2022.Viongozi hao ni Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole na Mkuu wa Mkoa wa Njo . . .
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amesema atatumia mbinu za Naibu Rais William Ruto iwapo kinara wa ODM Raila Odinga atashinda kiti cha urais kwenye uchaguzi wa Agosti 9.Kama vile Ruto alivyomfanyia Rai . . .
Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza Dominic jana Jumatatu amesema Uingereza inaunga mkono jitihada ya Mahaka ya Kimatiafa ya ICC katika kuchunguza uhalifu wa kivita nchini Ukraine.Naibu huyo aliwaambia . . .
Uturuki na Ujerumani zimekubaliana kuendelea kufanya jitihada za kidiplomasia katika kuhakikisha mapigano yanasitishwa nchini Ukraine, huku wakisistiza pia umuhimu wa uhusiano wa pamoja na ushirik . . .
Serikali ya Tanzania leo imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Serikali ya Ufaransa, kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. Akipokea msaada huo kwa niaba ya Serikali, Waziri wa Mambo y . . .
Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli itakayofan . . .
Kundi la wananchi katika eneo la Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza unapojengwa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), kati ya Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga, limesimamisha msafara wa Kamati ya Kudu . . .
Naibu mwenyekiti wa Jubilee David Murathe amedai kwamba mgombea urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga atakuwa rais wa tano, hata kama hatapigiwa kura eneo la Mlima Kenya.Murathe Adai Raila Atakuwa Rai . . .
Polisi katika Kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mwanamke wa umri wa kati kupatikana umetupwa nje ya kituo cha polisi mnamo Jumapili, Machi 13.Kulingana na ripoti za polisi, mareh . . .
Jinsi gani ya kufanya mamilioni ya vijana kuelewa vigingi vya vita vya Ukraine wakati hawasomi taarifa zinazotolewa kwenye magazeti au kutazama taarifa za habari katika televisheni au kuzikiliza t . . .
Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi kadhaa ya upinzani walianza mazungumzo ya amani jana nchini Qatar kama hatua ya kwanza kuelekea kuumaliza uasi na kuandaa uchaguzi. Lakini baada ya hotuba za . . .
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan atajadili vita nchini Ukraine na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz katika mazungumzo yatakayofanyika mjini Ankara leo. Uturuki na Ujerumani zinaendeleza juhud . . .
Wanajeshi wa Urusi wameendeleza harakati zao za kijeshi kuelekea mji mkuu wa Ukraine, Kyiv wakati pande zote zikitarajiwa kukutana leo katika mazungumzo ya ana kwa ana. Siku moja baada ya kutanua . . .
liyewahi kuwa rais wa Marekani Barack Obama amekutwa na maambukizi ya corona baada ya kufanyiwa vipimo.Obama ametangaza kuwa na maambukizi hayo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii."Nimekutwa . . .
Watumiaji wa mtandao wa Instagram nchini Urusi wamepewa taarifa kuwa huduma hiyo imesitishwa kuanzia saa sita usiku Jumapili ya March 14 2022 baada ya Mmiliki wake Meta Platforms kutangaza wiki il . . .
MWANDISHI wa habari wa Shirika la Habari la New York Times la Marekani, Brent Renaud amepigwa risasi na kuuawa akiwa katika majukumu yake ya kuripoti vita vinavyoendelea nchini Ukraine katika Mji . . .
Iran imeamua kusitisha kwa muda mazungumzo yake ya siri yaliyofanywa na Baghdad yenye lengo la kupunguza mivutano ya miaka mingi na hasimu wake wa kikanda Saudi Arabia, chombo cha habari cha Ira . . .
Polisi wa Zimbabwe mwishoni mwa wiki walikizuia chama kikuu cha upinzani nchini humo kufanya mikutano kabla ya uchaguzi wa machi 26, kujaza viti ambavyo vimeachwa wazi tangu uachaguzi mkuu wa mw . . .
Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijajulikana leo Jumapili Machi 13, 2022 umeteketeza kiwanda cha kutengeneza magodoro kinachomilikiwa na Kampuni ya GSM kilichopo eneo la Mikocheni jijini Dar . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima amekemea vikali matukio ya mauaji ya wazee kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya Ushirikina ambapo Takwimu zi . . .
Idara ya Usimamizi wa Majanga nchini Msumbiji imesema jana kuwa watu wasiopungua 10 wameuawa na kimbunga Gombe kilichotua kaskazini-mashariki mwa nchi hiyo. Idara hiyo imesema pia kuwa zaidi ya ny . . .