Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema amechagua kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti kama sehemu ya kutimiza wajibu wake wa kulinda na kuhifadhi sayar . . .
Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani kote huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za ukanda wa Tropiki zikitarajiwa kuathirika zaidi.Kwa mujibu w . . .
Utata umeibuka kufuatia kifo cha Diwani wa Kata ya Nyamugali Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe Majaliwa Abbas Hamis baada ya chama chake cha ACT-Wazalendo kutilia shaka chanzo cha kifo h . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kifo cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34) kilichotokea leo Januari 27 mwaka huu katika nyumba ya kulala wageni maarufu kwa jina la Ki . . .
Shirika kubwa zaidi la kutetea haki za wafungwa nchini Venezuela limesema kuwa makumi ya wafungwa wameachiwa huru mwishoni wa juma lililopita.Tangazo hilo limetolewa katika wakati Marekani inaendelea . . .
Rais Donald Trump wa Marekani amesema amemtuma Afisa Mkuu wa Uhamiaji na Ulinzi wa Mipaka ya nchi hiyo kwenda kusimamia oparesheni za kuwasaka wahamiaji wasio na vibali kwenye mji wa Minneapolis.Uamuz . . .
Nchini Kenya kumekuwa na mabadiliko katika kesi ya kundi la kiimani la Shakahola. Paul Mackenzie, mchungaji aliyejitangaza, atashtakiwa kwa vifo vipya 52. Mchungaji huyo aliyejitangaza yuko kizuizini . . .
Mkuu wa Majeshi ya Uganda Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kutolewa kwa amri mpya kwa wanajeshi wa nchi hiyo kumkamata mwanasiasa wa upinzani, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine akiwa hai au a . . .
Tume Huru ya Uchunguzi wa vurugu za Oktoba 29 nchini Tanzania imezuia wanahabari kushiriki katika mahojiano yanayoendelea kati ya tume hiyo na waathirika wa matukio hayo ikieleza kuwa uchapishaji wa t . . .
Bodi ya Nyama Kanda ya Kaskazini imeyafunga machinjio ya Halmashauri ya Wilaya ya Muheza, mkoani Tanga, kwa muda usiojulikana kufuatia ukiukaji wa kanuni za afya na usalama wa walaji.Machinjio hayo ya . . .
Magavana wanne wa eneo la Pwani wamejikuta katika shinikizo kali baada ya Seneti kuanzisha uchunguzi kuhusu madai ya uozo wa kifedha, ufisadi na ukiukaji wa sheria hasa katika sekta nyeti za maji . . .
Uchunguzi wa kina wa ripoti za Mkaguzi wa Hesabu za Serikali umebaini mtandao mpana wa ukiukaji wa sheria za ajira katika serikali za kaunti ambapo wafanyakazi 27,284 waliajiriwa kinyume cha sheria ka . . .
Wataalamu huru wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa kuongezeka kwa vurugu nchini Sudan Kusini kunaongeza hatari ya ukatili mkubwa dhidi ya raia kufuatia mapigano mapya na matamko ya uchochezi kutoka kwa . . .
Watu 25 wameuawa mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo jana Jumapili baada ya wanamgambo wa kundi lenye mafungamano na lile linalojiita Dola la Kiislamu kufanya shambulizi kwenye jimbo la Ituri . . .
Viongozi wakuu wa Umoja wa Ulaya wako nchini India kwa ziara itakayoshuhudia kutiwa saini mkataba wa biashara huria baina ya pande hizo mbili ambao mashauriano yake yamefanyika kwa karibu miaka 20.Rai . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 26 mwaka huu ameondoka jijini Dar es Salaam kuelekea mkoani Morogoro kwa kutumia Treni ya Reli ya Kiwango cha Kimataifa . . .
Gari la Papa (Popemobile) ni usafiri maalum uliotengenezwa kwa ajili ya kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki duniani anapokuwa kwenye ziara za hadhara. Lengo kuu la gari hili ni kumfanya Papa aonekane kwa . . .
Jarida la Time la nchini Marekani limesema idadi ya watu waliouawa katika siku mbili pekee wakati wa maandamano ya wiki kadhaa nchini Iran inaweza kufikia watu 30,000.Jarida hilo limeandika kuwa vikos . . .
Mwanachama maarufu wa upinzani nchini Kenya Rigathi Gachagua amedai kulikuwa na jaribio la kumuua wakati wa ibada ya siku ya Jumapili kanisani.Gachagua, alitimuliwa kwenye wadhifa wake kama makamu wa . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba (MB) mapema leo Januari 23 mwaka huu ametembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Kuratibu Ufuatiliaji na Uokozi k . . .
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Januari 23 mwaka huu ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa kituo cha kusukuma maji na matenki ya kuhifadhia ma . . .
Wiki moja baada ya uchaguzi wa urais nchini Uganda ambao Rais Yoweri Museveni alitangazwa kuwa mshindi ambapo kiongozi wa upinzani Bobi Wine amesema hatambui matokeo hayo huku akidai yaligubikwa . . .
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa namba ya simu ya Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi wa Chama hicho Brenda Rupia iliyokuwa ikitumika kupokea michango kwa ajili ya maad . . .
Mkuu wa JKT Meja Jenerali Rajabu Mabele ametoa wito wa kujiunga na mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa kwa kujitolea mwaka 2026.Akimwakilisha Mkuu wa JKT Mkuu wa Tawi la Utawala JKT Brigedia Jenerali Ha . . .
From THE CASK to THE BRIDGE; built on vision, connection, and ambition. This is premium nightlife, redefined. #TheBridgeTz#10YrsJembefm #Familiamoja #AhsantekwaTime . . .
UTAFITI uliofanywa na Taasisi ya Ophthalmology, Uingereza, unaonyesha kuwa kufikia mwaka wa 2060, zaidi ya watu milioni 1.6 wenye umri wa miaka 40 na kuendelea wanaweza kuathiriwa na ugonjwa wa glakom . . .
Ikiwa ni Wiki moja baada ya uchaguzi nchini Uganda ambapo kesi ya mwanasheria na mwanaharakati wa haki za binadamu Sarah Bireete bado inaendelea huku mahakama ikiahirisha uamuzi wake kuhusu dham . . .
Watu nchini Italia walilazimika kukimbia kuokoa maisha yao baada ya mawimbi makubwa ya bahari yanayofanana na tsunami kuvamia mitaa ya kisiwa cha Sicily ndani ya sekunde chache tu.Katika picha za kush . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa serikali yake inachunguza uwezekano wa kufikia makubaliano kuhusu Greenland kufuatia mazungumzo aliyofanya na viongozi wa Jumuiya ya Kujihami ya Atlantiki ya . . .
Jeshi la Marekani limesema kuwa limewahamisha wafungwa 150 wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu, . . .