Siku moja baada ya mfumo uliowekwa na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Felix Tchisekedi kwa ajili ya mazungumzo ya kitaifa yaliyoitishwa na sehemu ya upinzani na kuhimizwa na washirika . . .
Serikali imeendelea kusisitiza ushirikiano wake na mhimili wa Mahakama kama nguzo muhimu katika kulinda haki, kudumisha amani na kuchochea maendeleo ya Taifa.Kauli hiyo imetolewa wakati wa Maadhimisho . . .
Mbunge wa Jimbo la Ilemela, Mhe. Kafiti William Kafiti amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanzisha mradi wa kusambaza umeme wa mfumo wa jua majumbani (Stand Alone Solar Home S . . .
Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini (UNMISS) umeendelea kutambua na kuthamini mchango wa askari kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoshiriki katika operesheni za ulinzi wa amani nchini humo.Ka . . .
Waziri wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa amesema Wizara imekamilisha taratibu za kuanza upanuzi mkubwa wa Bandari ya Dar es Salaam wenye lengo la kujenga magati 10 pamoja na matenki 15 ya mafuta.Ujenzi . . .
Halmashauri ya Manispaa ya Geita tarehe 29 Januari, 2026 ilifanya kikao cha tathimini ya mkataba wa Lishe katika Ukumbi wa EPZ – Bombambili kwa lengo la kujadili utekelezaji wa Afua za Lishe ndani y . . .
Marekani lazima itathmini upya ushirikiano wake wa usalama na Uganda Jim Rish kutoka chama cha Republican, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Baraza la Seneti, ametangaza kwenye . . .
Licha ya ugunduzi mkubwa ulioibuliwa kwenye kile kiitwacho Nyaraka za Epstein Naibu Mwanasheria Mkuu wa Marekani, Todd Blanche ameondosha uwezekano wa kufunguwa mashitaka ya uhalifu kwa wale waliotajw . . .
Mwanasiasa mashuhuri wa Uingereza Peter Mandelson amejiuzulu kutoka chama tawala cha Labour kukwepa kile alichokiita "fedheha zaidi" kufuatia kuibuliwa tena taarifa za urafiki wake na Jeffery Epstein. . . .
Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), kama ishara ya kupinga na kujibu uam . . .
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani katika jamii, huku akitahadharisha dhidi ya wanaoingilia masual . . .
Akipokelewa katika Ikulu ya Élysée Januari 29 mwaka huu wakati wa ziara yake mjini Paris Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby ambapo aliambatana na Emmanuel Macron, amerasimisha mwanzo wa e . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa maudhui mbalimbali mitandaoni kuimarisha kazi zao na kuw . . .
Rais Donald Trump wa Marekani amesema siku ya Alhamisi kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin amekubali kusimamisha mashambulizi kwa wiki moja kwenye miji ya Kyiv.Trump amesema wakati wa kikao cha baraza . . .
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 150 vya Majimbo 10 Mkoani Mtwara kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha Mradi kwa wakati.M . . .
Utawala wa kijeshi nchini Burkina Faso umevivunja vyama vyote vya siasa nchini humo pamoja na kufuta sheria zinazosimamia vyama hivyo, hii ikiwa ni kulingana na amri iliyodhinishwa na serikali siku ya . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amesema anapanga kufanya mazungumzo zaidi na Iran kuhusu uwezekano wa kupata makubaliano ya nyuklia na kusema huenda asitumie nguvu ya kijeshi dhidi ya taifa hilo.Baada y . . .
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Kheri James, amewataka wananchi wa Mkoa huo kutoa ushirikiano kwa Wakandarasi wa miradi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA), ikiwemo kulinda miundombinu na vifaa vya ujenzi . . .
SERIKALI imesema Maendeleo ya Taifa lolote inategemea malezi na makuzi kwa watoto ili kujenga Taifa imara lenye uzalendo upendo kwa Nchi na uchapa kazi.Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu Wizara ya Maendele . . .
Ndege ya abiria imeanguka kaskazini mwa Colombia, na kuwaua watu wote 15 waliokuwemo, shirika la ndege la serikali la nchi hiyo, Satena, limethibitisha.Katika taarifa, shirika hilo lilisema ndege yake . . .
Wakala wa Taifa wa Udhibiti wa Afya wa Brazil imeruhusu rasmi kilimo cha mmea wa Cannabis sativa nchini Brazil kwa matumizi ya tiba na utafiti wa kisayansi.Uamuzi huo umetokana na maelekezo ya Mahakam . . .
Iran imesema itajibu vikali shambulizi lolote litakalofanywa na Marekani. Ujumbe wa Iran kwenye umoja huo umetoa onyo hilo jana Jumatano likijibu kitisho cha Rais Donald Trump cha kuiingilia kijeshi.U . . .
Umoja wa mataifa siku ya jumatatu umeonya vikali kuhusu kitisho kinachowakabili zaidi ya watu milioni 4 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na ufadhili wa kiutu kupunguzwa kwa kiasi kikub . . .
Idadi ya wanajeshi wa Urusi na Ukraine waliokufa, kujeruhiwa ama kupotea maisha huenda ikafikia milioni 2 katika majira ya machipuko huku Urusi ikiwa imeathirika zaidi tangu Vita vya Pili vya Du . . .
Rwanda imeishitaki serikali ya Uingereza kwa kukiuka makubaliano ya wahamiaji Rwanda imeishtaki serikali ya Uingereza kuhusu makubaliano ya wahamiaji ambayo London imeyatelekeza yapata miaka miwili il . . .
Saudi Arabia imesema haitoruhusu anga wala ardhi yake kutumika kwa oparesheni yoyote ya kijeshi kuishambulia Iran.Saudi Arabia imesisitiza kuwa haitaruhusu ardhi yake kutumika kutekeleza shambulizi lo . . .
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un, ametangaza kuwa mipango ijayo ya nchi yake ya kuongeza hazina ya silaha za nyuklia itawekwa wazi wakati wa mkutano mkuu wa chama tawala utakaofanyika wiki kadh . . .
Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa kufuatia ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na roli, iliyotokea katika eneo la Mnada wa Tinde, wilayani Shinyanga.Ajali hiyo ilito . . .
Waliokuwa Marais wa zamani nchini Marekani Barack Obama na Bill Clinton, wamewataka Wamarekani kusimama na kulinda kile walichokiita maadili na msingi ya taifa, kufuatia mauaji ya muuguzi wa chumba ch . . .
Tume huru ya kuchunguza vurugu za Oktoba 29, 2025, iliyoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, imeagiza vyombo vya habari nchini Tanzania kutotoa moja kwa moja ushahidi au taarifa zinazotolewa na waathiri . . .