logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
siasa
  • Na Asha Business
  • October 29, 2024

CCM Arusha wagoma kumpigia Kura mgombea wao

Baadhi ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited wametishia kutompa kura za “Ndio” mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Mtaa huo kupitia Chama hicho end . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2024

Chama tawala cha Japan chapoteza pakubwa kwenye uchaguzi wa bunge

Muungano wa vyama unaoongoza Japan, Jumapili, umepoteza wingi wake kwenye uchaguzi wa kitaifa wa Jumapili, hali ambayo imezua wasi wasi kuhusu serikali mpya itakayoundwa kwenye taifa hilo la nne kiuch . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 28, 2024

Raia wa Ukraine anazuiliwa kwa kutoa taarifa za kijasusi kwa wanajeshi wa Urusi

Kyiv inasema inamzuilia mwanaume mwenye asili ya Ukraine anayefanya kazi ya kujitolea na shirika la mpango wa chakula duniani WFP kwa kuwasaidia wanajeshi wa Urusi kuingia mashariki ya taifa hilo.Kuli . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • October 28, 2024

Mke auawa akituhumiwa kutoka kuchepuka

Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Castory Abusalam Kindole mwenye umri wa miaka 48 mkazi wa Kijiji cha Idindilimunyo wilayani Wanging’ombe kwa tuhuma za mauaji ya mke wake Sifa Lusemwa &nb . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 25, 2024

Wazalishaji mbegu feki wadakwa Magu, DC Nassari atoa ujumbe kwa wakulima

VIJANA wawili wamekamatwa na vyombo za ulinzi na usalama wilayani Magu mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuzalisha na kusambaza mbegu feki za mahindi zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 41 pamoja na dawa f . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 25, 2024

Maafisa wa jeshi Cameroon wanafanya uchunguzi baada ya video kusambazwa ikionyesha mwimbaji akiteswa na vikosi vya usalama

Maafisa wa jeshi la Cameroon wamesema kwamba wanafanya uchunguzi baada ya video iliyosambazwa mitandaoni ikionyesha mwimbaji maarufu akiteswa na vikosi vya usalama.Maafisa wa jeshi la Cameroon walisem . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2024

RC Chalamila Aendelea na Ziara Usiku wa Manane Kinondoni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert John Chalamila, ameendelea na ziara yake ya usiku kwa usiku leo, Oktoba 23, 2024, ikiwa ni siku ya pili ya ziara ya ukaguzi wa miundombinu na utoaji wa hudum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 24, 2024

Ufaransa itatoa euro milioni 100 kwa Lebanoni, atangaza Emmanuel Macron

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kwamba Ufaransa itatoa euro milioni 100 kwa Lebanoni, akiongeza kwamba "vita vinapaswa kukoma haraka iwezekanavyo" kati ya Israel na Hezbollah."Ufaransa&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 22, 2024

Zaidi ya vijana 500 wa kiafrika wakutana Arusha kuzungumzia umiliki wa ardhi

Zaidi ya vijana 500 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Jumatatu wamekutana Jijini Arusha ,Tanzania  kujadili namna watakavyoweza  kupata fursa na haki ya kumiliki ardhi katika  nchi &n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 22, 2024

Rais Paul Biya arejea nchini baada ya wiki saba za kutokuwepo na kuzua wasiwasi

Rais wa Cameroon Paul Biya amerejea nchini Tangu siku ya Jumatatu Oktoba 21, 2024. Aliwasili kwenye uwanja wandege wa kimataifa wa Yaounde saa 12: 38 za za Cameroon, kulingana na picha zilizorushwa he . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • October 22, 2024

Muhudumu wa Hotel Ahusishwa Kumuwekea DAWA za Kulevya Marehemu Mwanamuziki Liam Payne

Mamlaka mjini Buenos Aires inaendelea na uchunguzi wao kuhusu kifo cha nyota wa zamani wa #OneDirection #LiamPayne, Wanashuku kuwa mfanyakazi wa hoteli huenda alimpa dawa za kulevya kabla ya kuanguka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 21, 2024

Miaka 17 kwenye ndoa na hawaonani

Hapa ndipo kuna hadithi ya maisha ya Bw. Hamis Omary Uchuro na Bi Hadija ambao ni walemavu wa macho wakazi wa Kijitonyama, jijini Dar es Salaam.Safari ya maisha ya wanandoa hawa ilianza tangu mwaka 20 . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 21, 2024

Shirika la Afya duniani WHO Yatangaza Nchi ya Kwanza Afrika Kutokuwa na Ugonjwa wa Malaria

Shirika la Afya duniani WHO, limeithibitisha rasmi Misri kuwa nchi isiyokuwa na Malaria jambo linaloashiria hatua muhimu sana katika vita dhidi ya ugonjwa huo.Hatua hii ni kauli yenye kuonyesha nguvu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 21, 2024

'WATU ZAIDI YA 1000 KANDA YA ZIWA WANA SARATANI' WAZIRI MHAGAMA,BUGANDO HEALTH MARATHON 2024

'WATU ZAIDI YA 1000 KANDA YA ZIWA WANA SARATANI' WAZIRI MHAGAMA,BUGANDO HEALTH MARATHON 2024 . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 21, 2024

Upinzani waitisha mgomo mkuu kupinga mauaji yanayolenga wanasiasa wa upinzani

Nchini Msumbiji, upinzani unaitisha mgomo mkuu leo Jumatatu, Oktoba 21 na maandamano nchini humo kukemea udanganyifu wakati wa uchaguzi uliopita wa Oktoba 9, ambao matokeo yake rasmi yanatarajiwa ndan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 20, 2024

Rais Samia Amzawadia Milioni 50 Mtunzi Mkongwe Wa Wimbo Wa Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Amemzawadia Kiasi cha Shilingi Milioni 50 Mwimbaji wa Muziki wa zamani Mzee Steve Hiza aliyeimba wimbo wa Tanzania ndiyo nchi ya Furah . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 18, 2024

Mahakama yapinga Gachagua kung'olewa

Mahakama Kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda utekelezwaji wa azimio la Bunge la Seneti juu ya hoja ya kumuondoa madarakani Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua.Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Ok . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 18, 2024

Aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua awasilisha kesi mahakamani

Naibu wa Rais wa Kenya aliyetimuliwa Rigathi Gachagua amefika mahakamani kupinga mchakato wa kuondolewa wake Ofisini na bunge.Kupitia Wakili wake Paul Muite, Gachagua pia ameitaka mahakama kutoa maagi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 18, 2024

Kesi za maambukizi ya Marburg zashuka Rwanda

Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika, CDC, pamoja na wizara ya Afya ya Rwanda, Alhamisi wamesema kuwa kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Marburg nchini humo zimeshuka.Hilo ni kufuatia utoaj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 18, 2024

Rais Ruto Amteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais

Rais William Ruto amemteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ajaye kufuatia kutimuliwa kwa Rigathi Gachagua Alhamisi usiku.Jina la Kindiki limewasilishwa Bungeni ambapo wabung . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 17, 2024

Wakili poul muite"Rigathi Gachagua Amelazwa Karen Hospital Akiwa na Maumivu Makali ya kifua"

Oktoba 17, Wakili Mkuu Paul Muite alifichua kuwa alifanikiwa kuzungumza na madaktari wanaomhudumia naibu rais. Kulingana na Muite, kwa sasa Gachagua amelazwa The Karen Hospital baada ya kupatwa n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 17, 2024

DC Bahi Aagiza Polisi Kuchunguzwa

Mkuu wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Rebeca Nsemwa ameagiza Taasisi ya Kuzia na kupambana na Rushwa TAKUKURU kuwachunguza msaidizi wa kituo cha afya Bahi pamoja na polisi kata Chipanga kuhusu utatata . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • October 17, 2024

Kipindupindu chaua mmoja Lindi

Mkazi mmoja mkoani Lindi amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu huku wengine 24 wakiendelea kupatiwa matibabu mara baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa huo.Hayo yameelezwa na Mganga M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2024

Vitisho vya Mabomu Vyazua Taharuki Safari za Ndege India

Ndege zisizopungua 10 za mashirika tofauti ya ndege nchini India, zimelazimika kusitisha safari zake za ndege, kuchelewesha ratiba na kubadili njia za safari zake baada ya kupokea vitisho vya mabomu n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2024

Madereva Wanaotumia Lugha Chafu Kwa Abiria Waonywa

Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini limewataka madereva kufuata sheria za Usalama Barabarani ambapo limewataka madereva hao kutoa lugha nzuri na rafiki kwa abiria Pamoja na kuongea na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • October 16, 2024

Watoto milioni 10 hawasomi baada ya mafuriko makubwa barani Afrika

Kwa mujibu wa shirika la Save the Children, watoto milioni 10 kwa sasa hawasomi nchini Nigeria, Mali, Niger na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Shule zimeharibiwa au kutotumika kwa sababu ya maji kuo . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • October 15, 2024

Mwanaume amfukuza mke kisa tatoo

Mchungaji aliyejulikana kwa jina la Geor Davie ameshangaa baada ya kufahamu kwamba mmoja wa wafuasi wake alifukuzwa na mumewe baada ya kuamua kachorwa tattoo ya jina lake (mchungaji).  pasta . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • October 15, 2024

ICC: Mwendesha mashtaka aamuru 'kuanzishwa upya' kwa uchunguzi nchini DRC

Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyochapishwa siku ya Jumatatu Oktoba 14, mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ametangaza "kuanzisha upya" uchunguzi wake nchini Jamhuri ya Kide . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • October 14, 2024

DC Arusha Aongoza Washiriki Wa Land Rover Festival Kwenye Upandaji Wa Miti Jijini Arusha

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Gasper Mtahengerwa ameongoza washiriki zaidi ya 500 wa Land Rover festival 2024 kwenye zoezi la Upandaji wa miti zaidi ya 500 kwenye Eneo la Magereza Kisongo Jijini . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • October 14, 2024

William Ruto Aashiria Sababu ya Kususia Ibada ya Embu Iliyohudhuriwa na Gachagua

WAKAZI wa Mlima Kenya sasa wameonekana kumkataa Rais William Ruto kwa kukosa kumnusuru naibu wake Rigathi Gachagua anayekabiliwa na hatari ya kutimuliwa afisini na maseneta wiki hii.Aidha, wamekuwa wa . . .

Kurasa 41 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 7 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 7 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode