Baadhi ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited wametishia kutompa kura za “Ndio” mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Mtaa huo kupitia Chama hicho end . . .
Muungano wa vyama unaoongoza Japan, Jumapili, umepoteza wingi wake kwenye uchaguzi wa kitaifa wa Jumapili, hali ambayo imezua wasi wasi kuhusu serikali mpya itakayoundwa kwenye taifa hilo la nne kiuch . . .
Kyiv inasema inamzuilia mwanaume mwenye asili ya Ukraine anayefanya kazi ya kujitolea na shirika la mpango wa chakula duniani WFP kwa kuwasaidia wanajeshi wa Urusi kuingia mashariki ya taifa hilo.Kuli . . .
Jeshi la Polisi mkoani Njombe linamshikilia Castory Abusalam Kindole mwenye umri wa miaka 48 mkazi wa Kijiji cha Idindilimunyo wilayani Wanging’ombe kwa tuhuma za mauaji ya mke wake Sifa Lusemwa &nb . . .
VIJANA wawili wamekamatwa na vyombo za ulinzi na usalama wilayani Magu mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuzalisha na kusambaza mbegu feki za mahindi zenye thamani ya zaidi ya Sh milioni 41 pamoja na dawa f . . .
Maafisa wa jeshi la Cameroon wamesema kwamba wanafanya uchunguzi baada ya video iliyosambazwa mitandaoni ikionyesha mwimbaji maarufu akiteswa na vikosi vya usalama.Maafisa wa jeshi la Cameroon walisem . . .
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert John Chalamila, ameendelea na ziara yake ya usiku kwa usiku leo, Oktoba 23, 2024, ikiwa ni siku ya pili ya ziara ya ukaguzi wa miundombinu na utoaji wa hudum . . .
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza kwamba Ufaransa itatoa euro milioni 100 kwa Lebanoni, akiongeza kwamba "vita vinapaswa kukoma haraka iwezekanavyo" kati ya Israel na Hezbollah."Ufaransa&nbs . . .
Zaidi ya vijana 500 kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika Jumatatu wamekutana Jijini Arusha ,Tanzania kujadili namna watakavyoweza kupata fursa na haki ya kumiliki ardhi katika nchi &n . . .
Rais wa Cameroon Paul Biya amerejea nchini Tangu siku ya Jumatatu Oktoba 21, 2024. Aliwasili kwenye uwanja wandege wa kimataifa wa Yaounde saa 12: 38 za za Cameroon, kulingana na picha zilizorushwa he . . .
Mamlaka mjini Buenos Aires inaendelea na uchunguzi wao kuhusu kifo cha nyota wa zamani wa #OneDirection #LiamPayne, Wanashuku kuwa mfanyakazi wa hoteli huenda alimpa dawa za kulevya kabla ya kuanguka . . .
Hapa ndipo kuna hadithi ya maisha ya Bw. Hamis Omary Uchuro na Bi Hadija ambao ni walemavu wa macho wakazi wa Kijitonyama, jijini Dar es Salaam.Safari ya maisha ya wanandoa hawa ilianza tangu mwaka 20 . . .
Shirika la Afya duniani WHO, limeithibitisha rasmi Misri kuwa nchi isiyokuwa na Malaria jambo linaloashiria hatua muhimu sana katika vita dhidi ya ugonjwa huo.Hatua hii ni kauli yenye kuonyesha nguvu . . .
'WATU ZAIDI YA 1000 KANDA YA ZIWA WANA SARATANI' WAZIRI MHAGAMA,BUGANDO HEALTH MARATHON 2024 . . .
Nchini Msumbiji, upinzani unaitisha mgomo mkuu leo Jumatatu, Oktoba 21 na maandamano nchini humo kukemea udanganyifu wakati wa uchaguzi uliopita wa Oktoba 9, ambao matokeo yake rasmi yanatarajiwa ndan . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan Amemzawadia Kiasi cha Shilingi Milioni 50 Mwimbaji wa Muziki wa zamani Mzee Steve Hiza aliyeimba wimbo wa Tanzania ndiyo nchi ya Furah . . .
Mahakama Kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda utekelezwaji wa azimio la Bunge la Seneti juu ya hoja ya kumuondoa madarakani Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua.Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Ok . . .
Naibu wa Rais wa Kenya aliyetimuliwa Rigathi Gachagua amefika mahakamani kupinga mchakato wa kuondolewa wake Ofisini na bunge.Kupitia Wakili wake Paul Muite, Gachagua pia ameitaka mahakama kutoa maagi . . .
Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika, CDC, pamoja na wizara ya Afya ya Rwanda, Alhamisi wamesema kuwa kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Marburg nchini humo zimeshuka.Hilo ni kufuatia utoaj . . .
Rais William Ruto amemteua Waziri wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki kuwa Naibu Rais ajaye kufuatia kutimuliwa kwa Rigathi Gachagua Alhamisi usiku.Jina la Kindiki limewasilishwa Bungeni ambapo wabung . . .
Oktoba 17, Wakili Mkuu Paul Muite alifichua kuwa alifanikiwa kuzungumza na madaktari wanaomhudumia naibu rais. Kulingana na Muite, kwa sasa Gachagua amelazwa The Karen Hospital baada ya kupatwa n . . .
Mkuu wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Rebeca Nsemwa ameagiza Taasisi ya Kuzia na kupambana na Rushwa TAKUKURU kuwachunguza msaidizi wa kituo cha afya Bahi pamoja na polisi kata Chipanga kuhusu utatata . . .
Mkazi mmoja mkoani Lindi amefariki dunia baada ya kuugua ugonjwa wa kipindupindu huku wengine 24 wakiendelea kupatiwa matibabu mara baada ya kugundulika kuwa na ugonjwa huo.Hayo yameelezwa na Mganga M . . .
Ndege zisizopungua 10 za mashirika tofauti ya ndege nchini India, zimelazimika kusitisha safari zake za ndege, kuchelewesha ratiba na kubadili njia za safari zake baada ya kupokea vitisho vya mabomu n . . .
Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini limewataka madereva kufuata sheria za Usalama Barabarani ambapo limewataka madereva hao kutoa lugha nzuri na rafiki kwa abiria Pamoja na kuongea na . . .
Kwa mujibu wa shirika la Save the Children, watoto milioni 10 kwa sasa hawasomi nchini Nigeria, Mali, Niger na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Shule zimeharibiwa au kutotumika kwa sababu ya maji kuo . . .
Mchungaji aliyejulikana kwa jina la Geor Davie ameshangaa baada ya kufahamu kwamba mmoja wa wafuasi wake alifukuzwa na mumewe baada ya kuamua kachorwa tattoo ya jina lake (mchungaji). pasta . . .
Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyochapishwa siku ya Jumatatu Oktoba 14, mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ametangaza "kuanzisha upya" uchunguzi wake nchini Jamhuri ya Kide . . .
Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Felician Gasper Mtahengerwa ameongoza washiriki zaidi ya 500 wa Land Rover festival 2024 kwenye zoezi la Upandaji wa miti zaidi ya 500 kwenye Eneo la Magereza Kisongo Jijini . . .
WAKAZI wa Mlima Kenya sasa wameonekana kumkataa Rais William Ruto kwa kukosa kumnusuru naibu wake Rigathi Gachagua anayekabiliwa na hatari ya kutimuliwa afisini na maseneta wiki hii.Aidha, wamekuwa wa . . .