logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 2, 2024

Tanzania namba moja kwa watu wenye unene Afrika Mashariki

Kunenepa sana sio tu kushindwa kuficha manyama uzembe au kutotosha kwenye nguo. Sasa ni janga la afya duniani ambalo linaonekana wazi lakini mara nyingi hupuuzwa. Watafiti wanasema kuwa unene kupita k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2024

Polisi ya Uturuki yawatia mbaroni waandamanaji 200

Polisi wa Uturuki jana Jumatano walifyatua mabomu ya kutoa machozi na risasi za mpira pamoja na kuwaweka kizuizini  zaidi ya waandamanaji 200 baada ya mamlaka kupiga marufuku mikusanyiko ya kuadh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 2, 2024

Kura ya kutaka kumuondoa spika Johnson kupigwa wiki ijayo

Wabunge wa Marekani watapiga kura wiki ijayo, itakayobaini iwapo Spika wa baraza la wawakilishi Mike Johnson atasalia mamlakani, kwenye mojawapo ya nyadhifa za juu za uongozi katika serikali ya Mareka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 1, 2024

Wanafunzi kadhaa wakamatwa wakiandamana kupinga vita Gaza

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia kilichopo jijini New York, wamemakamatwa na polisi baada kuanzisha maandamano ya kulaani vita vinavyoendelea kwenye ukanda wa Gaza.Polisi wamewamia wafunzi hao wal . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 18, 2024

Ulaya yaiwekea vikwazo vipya Iran baada ya kulipiza kisasi

Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kuweka vikwazo vipya kwa watengenezaji wa ndege zisizo na rubani na makombora wa Iran kutokana na shambulio la kulipiza kisasi dhidi ya Israel mwishoni mwa jum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2024

Marekani yawawekea vikwazo maafisa wa zamani wa serikali ya Malawi

Marekani imewazuia maafisa wanne wa zamani wa serikali ya Malawi kuingia nchini, kwa sababu ya kuhusika kwao katika ufisadi mkubwa, Wizara ya Mambo ya Nje ilisema Jumatano.Marekani imewazuia maafisa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 18, 2024

Burkina Faso yawafukuza wanadiplomasia watatu wa Ufaransa kutokana na "shughuli za uasi"

Baada ya kutangaza kuwa "watu wasiofaa" kwa "shughuli za uasi" na mamlaka ya Burkina Faso, wanadiplomasia watatu wa Ufaransa wametakiwa kuondoka nchini Burkina Faso, kulingana na barua iliyoandikwa si . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2024

Marufuku Kutumia Mbwa Kukagua Abiria

Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile amemuagiza Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuwachukulia hatua watumishi watakaokiuka utaratibu kwa kutumia mbwa wanapowakagu . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2024

Wazimbabwe watua nchini kujifunza mfumo wa NeST

Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma ya Zimbabwe – PRAZ, imeingia nchini kupata uzoefu wa uendeshaji wa michakato ya Ununuzi wa umma kupitia PPRA.Akizungumza baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa D . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2024

Mahakama ya Argentina yaishutumu Iran kwa mashambulizi dhidi ya jumuiya ya Wayahudi

Mahakama ya Argentina iimeamua hivi punde siku ya Alhamisi jioni Aprili 11 kwamba mashambulio dhidi ya ubalozi wa Israeli mnamo mwaka 1992 na majengo ya Jumuiya ya Waisraeli ya Argentina (AMIA) mnamo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2024

Israel yaua watoto watatu wa kiongozi mkuu wa Hamas

Israel Jumatano iliwaua watoto watatu wa kiongozi mkuu wa Hamas Ismail Haniyeh katika shambulio la anga huko Gaza, ikisema ndugu hao walikuwa wanachama wa tawi la kijeshi la Hamas.Wajuku wanne wa Hani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2024

Jeshi lasitisha shughuli zote za kisiasa

Utawala wa Jeshi Nchini Mali unaoongozwa na Kanali Assimi Goita umesitisha shughuli zote za vyama vya siasa hadi pale itakapotolewa amri nyingine, ukisema hatua hiyo inalenga kudumisha usalama wa umma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 9, 2024

Jaji wa Mahakama ya rufaa ya New York apinga ombi la Trump la kuahirisha kesi ya jinai dhidi yake

Jaji mmoja wa mahakama ya rufaa ya New York amepinga ombi la Rais wa zamani Donald Trump, la kuchelewesha kesi yake ya jinai ya Aprili 15, wakati akipambana kuondoa kesi hiyo kutoka mji wa Manhattan, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

MAJADILIANO YANAENDELEA KUIREJESHA TFDA KWA TMDA

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel amesema suala la kurejesha usimamizi TFDA kwa TMDA bado linaendelea kujadiliwa ndani ya Serikali na litakapokamilika mapendekezo ya utekelezaji yatawasilishwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

Elon Musk kushitakiwa Brazil

Jaji wa Mahakama ya Juu ya Brazil, Alexandre de Moraes, ameanzisha uchunguzi dhidi ya mmiliki wa mtandao wa kijamii wa X, Elon Musk.Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, Musk anatuhumiwa kwa kuzuwia sheria . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

Watu 28 wameuawa katika shambulio la RSF

Watu 28 wameuawa baada ya kushambuliwa na wanamgambo wa RSF katika kijiji  cha  Um Adam  umbali wa Kilomita 150 Kusini mwa jiji kuu Khartoum, kwa mujibu wa ripoti za maafisa wa afya.Mau . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

Ujumbe wa Hamas wawasili Cairo kwa mazungumzo ya kusitisha vita vya Gaza

Ujumbe wa Hamas uliwasili mjini Cairo kukutana na mkuu wa idara ya ujasusi ya Misri Abbas Kamel, taarifa ya kundi la Hamas ilisema Jumapili.Hamas imesisitiza madai iliyotoa katika pendekezo la tarehe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 7, 2024

Vita kati ya Israel na Hamas vyaingia mwezi wa sita

Vita kati ya Israel na wanamgambo wa Hamas vimeingia mwezi wake wa 6, huku Marekani na wapatanishi wengine wakitarajiwa kujiunga na wenzao wengine mjini Cairo kujaribu kufikia makubaliano juu ya usiti . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 7, 2024

Rwanda leo inaadhimisha miaka 30 ya mauaji ya Kimbari

Hii leo Aprili 7, 2024 Rwanda inaadhimisha miaka 30 tangu kufanyika kwa mauaji ya kimbari, ambapo karibu watu 800,000 waliuawa.Maadhimisho haya yanawadia huku makaburi ya halaiki yakiendelea kugu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 7, 2024

Pigo Kwa Madaktari Wanaogoma Ruto Akisema Serikali Haina Pesa

RAIS William Ruto amewaambia madaktari wanaogoma kwamba serikali haina pesa za kuwaongezea mishahara na marupurupu huku akiwataka warejee kazini.Akiongea Jumapili, Aprili 7, 2024 baada ya kuhudhuria i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2024

Macron asikitishwa na Ufaransa kutokuzuwia mauaji ya Rwanda

Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa anasema anaamini nchi yake na washirika wake wa Magharibi na Afrika "wangeliweza kusitisha" mauaji ya halaiki ya Rwanda, lakini hawakuwa na dhamira ya kufanya hivyo na . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 4, 2024

Waziri Mkuu wa zamani wa Sudan Abdallah Hamdok alengwa na uchunguzi

Waendesha mashtaka wa Sudan, wanaoshirikiana na mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhane, walifungua uchunguzi siku ya Jumatano dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani Abdallah Hamdok kwa tuhuma zinazoadhibiwa na . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 4, 2024

Rais mteule Faye awaalika wawekezaji wa kigeni

Senegal itafanya ukaguzi wa sekta za mafuta, gesi na madini, rais mteule wa Senegal Bassirou Diomaye Faye alisema Jumatano katika hotuba kwa taifa kwa njia ya televisheni, huku akiwahakikishia wawekez . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2024

DCEA yanasa zaidi ya kilo 54,000 Dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya – DCEA, kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama pamoja na wakala wa misitu – TFS, imefanya operesheni katika mikoa ya Shinyang . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2024

Mawaziri wa mambo ya nje wa NATO wajadili msaada kwa Ukraine

Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa 32 wanachama wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO, wanakutana mjini Brussels leo, kujadili uungaji mkono wa Ukraine pamoja na mustakabali wa uhusiano wa jumuiya hiyo na U . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2024

Faye amebeba tumaini jipya la Wasenegali

Rais mpya wa Senegal ni Bassirou Diomaye Faye, mwenye umri wa miaka 44, mzaliwa wa eneo la Ndiaganiao aliyefanikiwa kuingia madarakani baada ya kupata uungwaji mkono kutoka kwa kiongozi wa upinzani, O . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Upinzani Uturuki washinda uchaguzi wa manispaa Istanbul

Rais Recep Erdogan amesema leo kuwa Uturuki imo kwenye kipindi cha "mabadiliko makubwa" baada ya upinzani unaopinga utawala wake wa miongo miwili kushinda uchaguzi wa manispaa mjini Istanbul na miji m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Waandishi wa Habari Waiba Vitu Katika Ndege ya Rais wa Marekani

Waandishi wa habari wametakiwa kuacha kuiba vitu kutoka ndani ya ndege ya Rais wa Marekani.Hesabu ya vitu ndani ya ndege hiyo- Air Force One- baada ya ziara ya Joe Biden katika pwani ya magharibi ya M . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Ajali ya Zuma: Rais Ramaphosa Atajwa

Chama cha Umkhonto we Sizwe (MK) cha Afrika Kusini, kimekishutumu Chama tawala cha ANC kwa kuhusika katika tukio la ajali iliyompata Kiongozi wao Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma aliyenusur . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Makazi ya Waziri Mkuu yashambuliwa kwa bomu

Watu ambao bado hawajafahamika, wanadaiwa kushambulia kwa mabomu makazi ya Waziri Mkuu wa Libya, Abdulhamid al-Dbeibah Machi 31, 2024 tukio ambalo halikusababisha maadhara.Akizungumza kwa sharti la ku . . .

Kurasa 50 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 21 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 21 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode