logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2023

WAZIRI JAFO AWATAKA WACHIMBAJI KUFUATA SHERIA YA MAZINGIRA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewaasa wachimbaji wadogo wa dhahabu kutumia teknolojia mbadala wa miti katika shughuli zao.Dkt. Jafo ametoa kau . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2023

Russia na Ukraine zabadilishana zaidi ya wafungwa 200 wa vita

Russia na Ukraine zimebadilishana zaidi ya wanajeshi 200 katika mabadilishano ya hivi karibuni ya wafungwa, maafisa wamesema Jumatatu.Wizara ya ulinzi ya Russia imesema wanajeshi wake 196 waliachiliwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2023

Algeria yajianda kupitisha sheria inayominya zaidi uhuru wa vyombo vya habari

Bunge la Algeria Jumatatu lilikaribia kupitisha sheria inayominya zaidi uhuru wa vyombo vya habari katika nchi hiyo ya Afrika kaskazini kwa kuweka sheria kali za umiliki wa vyombo vya habari na kuwazu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 11, 2023

Kenya Yakiri Wazi Wazi Kukumbwa na Ukata wa Fedha, Wafanya Kazi Kugoma

Serikali ya Kenya imekiri kwamba inakabiliwa na uhaba wa pesa ambao umechelewesha malipo ya mishahara ya maelfu ya wafanyikazi wa umma.Inasema ilibidi kufanya maamuzi magumu iwapo italipa mishahara au . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 10, 2023

Abiy Ahmed aapa kuyavunja majeshi ya mikoa

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ameapa kuvivunja vikosi vya kikanda vilivyoanzishwa na baadhi ya majimbo, akionya kwamba hatua za utekelezaji wa sheria zitachukuliwa dhidi ya upinzani wowote utaokw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 10, 2023

Rais Samia avunja bodi ya TRC na kutengua TGFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameivunja Bodi ya Shirikila la Reli (TRC) na kutengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) Mhandisi John Mzulule.Ta . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 10, 2023

DPP na Maafisa Wake Wachunguzwe

Mkurugenzi wa Mashitaka na maafisa wake walikiuka taratibu za makubaliano ya kukiri kosa katika kukamata, kuendesha mashitaka, na kushughulikia kesi.Uchunguzi ufanyike kwani ukiukwaji huo unaonesha uk . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 9, 2023

Makamu wa Rais awataka wazazi kuzingatia Maadili

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Mwenyeheri Maria Theresa L . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 9, 2023

Sakata la maandamano Kenya: Odinga akubali kiaina matakwa ya Ruto

Kinara wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga ameonesha nia ya kukubaliana na masharti ya Rais William Ruto juu ya mazungumzo ya Bungeni, kwa kuunga mkono matakwa yake ya awali ya kuundwa kwa timu saw . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 7, 2023

Serikali yafikiria kuharamisha ajira za kigeni sekta ya Afya

Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Constantino Chiwenga amesema wanakusudia kuanzisha sheria itakayoyafanya mataifa ya nje kutowaajiri wafanyakazi wake wa afya, ikilenga kuzuia upungufu wa wataalamu wa sekta . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 7, 2023

Waziri ashitakiwa kwa Ufisadi Uganda

Mahakama nchini Uganda siku ya Alhamisi imemfungulia mashtaka waziri wa serikali Mary Goretti Kitutu pamoja na kaka yake kwa kuilaghai serikali katika kesi ya nadra kwa mtumishi wa umma wa ngazi ya ju . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 7, 2023

Ripoti ya CAG: Tanzania Yatumia Tsh Bilioni 6.6 Kutunza Vyura wa Kihansi Nchini Marekani

Kupitia ukagauzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2021/2022 imebainika kuwa Vyura 500 bado wapo #Marekani licha ya kumalizika kwa mkataba wa matunzoSerikali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2023

Jafo atangaza msako wa mifuko ya Plastiki

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Selemani Jafo ametoa siku 30 kwa Mameneja wa Kanda zote wa NEMC kuendesha kampeni za kuondosha mifuko ya plastiki isiyoruhusi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2023

Madaktari 3 Wafungwa JELA kwa Makosa ya Kuua, Kutoa Mimba na Kubaka

Mahakama Nchini #GuineaBissau imetoa adhabu hiyo baada ya kubaini kuwa Madaktari walihusika na matendo hayo dhidi ya M'Mah Sylla, aliyebakwa akiwa Hospitali na kuhamishiwa kutibiwa Nchini Tunisia Mwak . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 6, 2023

Waziri Ashtakiwa Kwa Kashfa Ya Wizi Wa Mabati Eneo La Kaskazini-Mashariki

Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Uganda ameidhinisha mashtaka ya ufisadi dhidi ya Waziri wa Masuala ya Karamoja Mary Goretti Kitutu kuhusu jukumu lake katika kashfa ya mabati eneo la kaskazini-mashariki. . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 6, 2023

Polisi watoa tahadhari kuelekea sikukuu

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa tahadhari kwa watu ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu katika msimu wa sikukuu huku akihimiza zaidi wazazi na walezi kuwa makini z . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 6, 2023

Zaidi ya watu 20 wafariki Somalia kutokana na mafuriko.

Ofisi ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imesema Jumatano kwamba takriban watu 21 wakiwemo watoto 6 wamekufa kutokana na mafuriko nchini Somalia ndani ya wiki moja iliyopita.Kwa mujibu wa shirika la ha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2023

Mahasimu Wanalenga Kunizuia Kuwania Urais – Trump

AIS wa zamani wa Amerika, Donald Trump, amejitetea akidai kuwa hatua ya kumshtaki inalenga kuhujumu azma yake ya kuwania kiti cha urais mwaka 2024.Rais huyo wa zamani alifikishwa mahakamani kwa mashta . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2023

RAIS DKT.SAMIA AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavYo:-Amemteua Bw. Andrew Wilson Massawe kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Kil . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2023

Wanafunzi 20 wa kike wapelekwa hospitali baada ya kupewa sumu Iran

Chombo cha habari cha serikali  ya Iran kimesema kwamba wasichana 20 wa shule wamelazwa hospitali Jumanne, ikiwa tukio la karibuni la wimbi la mashambuizi ya ajabu ya  kuwekewa sumu, na kuwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2023

SHADA LA MAUA LA MAKAMU WA RAIS WA MAREKANI LAVUTIA WENGI MAKUMBUSHO YA TAIFA.

Shada la Mauwa aliloweka Makamu wa Rais wa Marekani, Mhe. Kamala Harris kwenye onesho maalum la kuwakumbuka wahanga wa Bomu la Ubalozi wa Marekani mwaka 1998 lililopo Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2023

Mataifa ya Uarabuni yaungana na China kwenye uzalishaji wa Mafuta

Ikiwa ni hatua ya kuidhibiti Marekani na Ulaya kweye mchakato wa uuzaji na uzalishaji wa mafuta, Urusi imefanikiwa kuzishawishi nchi wazalishaji wa Mafuta duniani kupunguza uzalishaji wa mafuta kwa le . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 3, 2023

Wanafunzi Wawili Waaga Dunia chanzo ikiwa ni mlipuko wa magonjwa

Wanafunzi wawili wameaga dunia katika shule ya upili ya wasichana ya Mukumu katika Kaunti ya Kakamega Nchini Kenya kufuatia mlipuko wa ugonjwa wa kuendesha shuleni humo. Takriban wanafunzi 246 wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2023

Watakaotumia Kiingereza Katika Mawasiliano Kupigwa Faini Italy

Serikali ya Italia yapania kuanzisha sheria ya kuwatoza faini raia wake watakaotumia maneno ya Kiingereza au lugha nyingine yoyote ya kigeni katika mawasiliano au nyaraka rasmi. Sheria hiyo mpya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 3, 2023

Maelfu waugua kipindupindu Msumbiji kutokana na mafuriko yaliosababishwa na kimbunga Freddy

Wiki kadhaa baada ya kimbunga Freddy kugonga Msumbiji kwa mara ya pili, taifa hilo ambalo bado limefurika, linashuhudia ongezeko kubwa la maambukizi ya kipindupindu kutokana na hali hiyo.Kwa mujibu wa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • April 2, 2023

Kifo mikononi mwa Polisi: IGP apeleka timu Chato

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Camillus Wambura, ametuma timu ya Maafisa kutoka Polisi Makao Makuu Dodoma kwenda Kata ya Mganza, Wilaya ya Chato, Mkoa wa Geita kufuatilia tukio la kuchomwa moto kwa K . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Watu waandamana Senegal dhidi ya kesi dhidi ya kiongozi wa upinzani inaendelea

Darzeni ya waandamanaji wamekamatwa na polisi katika mji mkuu wa Dakar nchini Senegal, wafuasi wa upinzani wakishutumu mashtaka dhidi ya kiongozi wa upinzani, wanayosema yana lengo la kumzuia kugombea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Bunge la Uturuki laidhinisha mswaada unaoiruhusu Finland kujiunga na NATO

Bunge la Uturuki Alhamisi limeidhinisha mswaada wa sheria ili kuiruhusu Finland kujiunga na NATO, na hivyo kuondoa pingamizi zote kwa Helsinki kujiunga na muungano wa ulinzi wa mataifa ya Magharibi wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Kamala kuhitimisha ziara nchini, kuelekea Zambia

Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris hii leo Machi 31, 2023 anakamilisha ziara yake ya kikazi nchini hapa ambapo anatarajia kuelekea Zambia na kuhitimisha ziara yake akiwa Barani Afrika.Akiwa nch . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

WAZIRI BASHUNGWA AZINDUA BODI YA SHIRIKA LA MZINGA

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Innocent Bashungwa (Mb) amezindua Bodi ya Shirika la Mzinga lililopo Mkoani Morogoro, Shughuli hiyo iliyofanyika Magadu Mess ilihudhuriwa pia na . . .

Kurasa 81 ya 130

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Miaka kumi ya Jembefm

    • 21 masaa yaliopita
  • Madhara ya kichokonoo kwenye meno

    • 21 masaa yaliopita
  • Chaguzi za UDA kupima nguvu zake Mlima Kenya

    • 22 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode