logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Dini
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mchungaji Aanguka na Kufa Kanisani Wakati Akihubiri Kuhusu Wachawi

Tukio la kusikitisha limetokea katika Kanisa la Evangelical Winning All (ECWA) nchini Nigeria baada ya shemasi kuanguka ghafla na kufariki papo hapo akihubiri dhidi ya mauaji ya kiibada na dhabihu . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mwanaharakati Asiyemwamini Mungu Afungwa Jela Miaka 24.

Mwanaharakati mashuhuri raia wa Nigeria asiyeamini uwepo wa Mungu, amehukumiwa kifungo cha miaka 24 gerezani na mahakama kuu katika jimbo la kaskazini la Kano baada ya kupatikana na hatia ya kukufuru . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mwanamume, 25, Apanga Kuoa Mpenziwe wa miaka 85, na Wajukuu 20.

Mwanamume mchanga mwenye umri wa miaka 25, amewashangaza wengi baada ya kufichua mipango yake ya kufunga kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa miaka 85.Wapenzi hao wanalandana sana wazimu na kuzam . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Mary Muthoni Ataja Sababu za Kumruhusu Mama Ngina Kunyoa Rasta zake za Miaka 70.

Mpigania uhuru Muthoni Wa Kirima, mwenye umri wa miaka 92, amefafanua sababu za kumruhusu aliyekuwa mama wa taifa, Mama Ngina Kenyatta, kunyoa nywele zake za rasta.Baada ya kuzifuga nywele zake za ras . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Polisi Morocco imewakamata watu wanaohusika na biashara ya figo

Polisi wa Morocco wamewakamata watu wane wanaoshukiwa kuhusika na mtandao wa kimataifa wa ulanguzi wa dawa za kulevya na viungo vya binadamu unaofanya kazi kati ya Morocco na Uturuki chanzo cha . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 6, 2022

Raia takribani 300 wameuawa nchini Mali; HRW inasema

Wanajeshi wa Mali na watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Russia waliwauwa takribani raia 300 mwishoni mwa mwezi Machi kati-kati mwa taifa lililokumbwa na mzozo la Sahel, Human Rights Watch (HRW . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

FBI Wakamata Boti ya Kifahari ya Mshirika wa Urusi, Waongeza Presha kwa Urusi

SHIRIKA la Ujasusi la Marekani (FBI) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi na mamlaka nyingine nchini Hispania, wameikamata na kuishikilia boti ya kifahari iliyopewa jina la Tango inayomilikiwa na V . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Ajali ya reli yauwa wanane na kujeruhi 20 kusini mashariki mwa DRC

Watu wasiopungua wanane waliuawa katika ajali ya treni ya mizigo iliyotokea kusini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamesema maafisa wa eneo hilo. Afisa wa habari wa ofisi ya mkoa w . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Mshukiwa wa mauaji wa Sacramento akamatwa

Polisi wa mji wa Sacramento katika jimbo la California nchini Marekani imesema imemkamata mtu anayeshukiwa kufanya shambulizi la bunduki lililouwa watu sita na kuwajeruhi wengine 12 usiku wa Jumap . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Marekani kupendekeza azimio jipya la kuilaani Korea Kaskazini

Marekani inao mpango wa kuwasilisha muswada wa azimio jipya katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kuiwajibisha Korea Kaskazini baada ya nchi hiyo kufanya jaribio jingine la makombora ye . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Watu 150 hawajulikani waliko Nigeria baada ya treni yao kushambuliwa

Watu wasiojulikana waliojihami kwa bunduki wameishambulia treni kwa viripuzi kaskazini magharibi mwa Nigeria, na hadi sasa watu 150 waliokuwa wakisafiri kwa treni hiyo hawajulikani walipo. Wapatao . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Ujerumani kuwafukuza wanadiplomasia 40 wa Urusi kuhusiana na mauaji ya Bucha, Ukraine

Ujerumani imesema inawafukuza wanadiplomasia 40 wa Urusi kama jibu kwa mauaji ambayo wanajeshi wa Urusi wanatuhumiwa kuyafanya katika wa Bucha nchini Ukraine. Ufaransa na Lithuania pia zimesema zi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Biden analaani ukatili wa Putin ndani ya nchi ya Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden alitamka Jumatatu kuwepo kwa kesi ya uhalifu wa kivita dhidi ya Rais wa Russia Vladmir Putin na kulaani ukatili unaodaiwa kufanywa na wanajeshi wa Russia ambao umegund . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Zelensky aonya kuhusu hali mbaya zaidi

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky ameonya kuwa hali mbaya zaidi inaweza kutokea wakati Urusi ikielekeza tena nadharia yake kusini na mashariki mwa nchi hiyo, katika juhudi za kuiunganisha Rasi y . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Paddy Aaga Dunia

Mbunge  wa zamani wa Kasipul Kabondo amefariki dunia wakati akipokea matibabu katika hospitali ya doha nchini Qatar.Kulingana na kaka yake, Gabriel Alienda, kiongozi huyo alikumbwa na kiharusi ch . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Baraza la mawaziri Sri Lanka lajiuzulu

Baraza zima la mawaziri la Sri Lanka limejiuzulu kufuatia maandamano makubwa ya kuipinga serikali, yaliyofanyika licha ya sheria ya kutotoka nje iliyotangazwa mwishoni mwa juma lililopita. Mawazir . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Papa Francis awaenzi wanahabari waliouawa katika vita vya Ukraine.

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis, Jumapili amewaenzi waandishi wa habari waliouawa katika vita vya Ukraine akisema anatumai Mwenyezi Mungu atawapa malipo kwa kuwatumikia kwa wema . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Ukraine yachukua udhibiti wa eneo la Kyiv kutoka kwa Warusi

Ukraine imesema imechukua udhibiti wa eneo zima la Kyiv baada ya wanajeshi wa Urusi kurudi nyuma kutoka katika baadhi ya miji muhimu karibu na mji huo mkuu. Kuna hofu ya kutegwa mabomu ya ardhiniN . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watatu wafa kwenye ajali ya ndege za jeshi la anga Korea Kusini

Ndege mbili za Korea Kusini zimegongana angani wakati wa mazoezi na kuanguka karibu na kambi yake, na kuua watu wote wanne waliokuwemo ndani yake. Kulingana na mamlaka ya kijeshi, ndege hizo za ma . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Eu yaitaka China kutoisaidia Urusi katika vita vya Ukraine

Viongozi wa Umoja wa Ulaya na China wamekutana leo kwa mara ya kwanza katika miaka miwili, huku Brussels ikiishinikiza Beijing kutoa uhakikisho kwamba haitopatia Urusi silaha wala kuisadia Moscow . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Warusi waondoka Chernobyl wakati mapigano yakiendelea kwingineko

Wanajeshi wa Urusi wamekabidhi udhibiti wa kiwanda cha nyuklia cha Chernobyl kwa Waukraine na kuondoka eneo hilo lililochafuliwa na mionzi kwa kiasi kikubwa mapema leo. Maafisa wa Ukraine wamesema . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Watu 45 wauawa katika mapigano ya kikabila Darfur nchini Sudan.

Mapigano makali kati ya makundi hasimu huko Darfur nchini Sudan yameua watu 45, maafisa wamesema Alhamisi, huku viongozi wa kikabila wakiripoti kwamba mapigano yaliendelea katika ghasia za kikab . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Mwendesha mashtaka wa Uturuki aomba kesi ya mauaji ya Jamal Khashoggi ihamishiwe Saudi Arabia.

Mwendesha mashtaka wa Uturuki katika kesi dhidi ya raia 26 wa Saudi Arabia walioshtakiwa kwa mauaji ya mwandishi wa gazeti la Washington Post Jamal Khashoggi, Alhamisi amewasilisha ombi la kusha . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Wapalestina 2 wauwawa Ukingo wa Magharibi

Mamlaka ya Palestina imesema Wapalestina wawili wameuwawa leo wakati majeshi ya Israel yalipofanya uvamizi katika Ukingo wa Magharibi. Hii ni baada ya msururu wa mashambulizi yaliyofanyika nchini . . .

Kurasa 51 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 8 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • jana

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • jana

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • jana

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • jana

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • jana

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 8 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode