logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Zelensky ahimiza kufanyika maandamano kimataifa kupinga uvamizi wa Urusi

Kyiv, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa watu duniani kote kuandamana barabarani kama hatua ya kupinga uvamizi wa Urusi nchini Ukraine. Katika ujumbe alioutoa kuelekea mkesha wa ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Kifaa cha kunasa sauti kwenye ndege ya abiria ya China kimepatikana

Wuzhou,Afisa wa mamlaka ya usafiri wa anga ya China amesema wachunguzi wamepata kile wanachoamini ni kijisanduku cheusi, kifaa cha kunasa sauti kwenye chumba cha marubani kwenye ndege ya abiria ya . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

DPP aachana na kesi ya Abdul Nondo

Mahakama ya Rufani Tanzania, Masjala ya Iringa imeondoa kesi iliyokuwa inamkabili aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP).Nondo alikuwa anashtakiwa kwa makosa mawili, moja ni . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Jaji Ketanji ajitetea kuhusu kesi za uhalifu

Ketanji Brown Jackson, aliyeteuliwa na Rais wa Marekani Joe Biden kuhudumu katika mahakama ya juu zaidi nchini Marekani, amejitetea juu ya kuwawakilisha wafungwa wa gereza la Guantamano Bay. Ketan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Guterres aitolea mwito Urusi kumaliza vita Ukraine

Maelfu ya raia wa Ukraine wanajaribu kuukimbia mji wa Mariupol wakati Urusi ikiendeleza mashambulizi ya mabomu kwenye mji huo wa bandari. Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, ameitole . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Zelensky yuko tayari kujadili Donbass na Crimea na Putin

 Wanajeshi wa Urusi bado wanajaribu kuizingira kyiv ambapo shambulio la bomu liliua takriban watu wanane usiku wa Jumapili hadi kuamkia Jumatatu. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amese . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

AFUNGWA KWA KUWALAWITI WATOTO WA DARASA LA SABA

Mahakama ya Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa, imemhukumu mkazi wa Kijiji cha Kitelewasi, Godi Waya (30) kifungo cha maisha baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumlawiti mtoto wa miaka saba (jina . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Kesi ya maofisa saba wa polisi yatumia dakika mbili

Kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis inayowakabili maofisa saba wa polisi mkoani Mtwara, imeahirishwa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa upelelezi bado haujakamilika.Washitakiw . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Urusi yatekeleza shambulio baya la bomu kwenye kituo cha biashara Kyiv

Wanajeshi wa Urusi bado wanajaribu kuzingira mji mkuu wa Ukraine, kyiv, ambapo shambulio la bomu liliua takriban watu wanane usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu. Kulingana na msemaji wa Wizar . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Zaidi ya wanajeshi 10 wauawa katika shambulizi la Burkina Faso

Zaidi ya wanajeshi 10 wameuawa na watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi katika eneo la mashariki mwa Burkina Faso, duru za kijeshi zimesema.Ilifuatia shambulio la Jumapili dhidi ya kikosi cha askari wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Ndege ya China Eastern Airlines iliyobeba watu 132 yaanguka huko Guangx

Ndege ya shirika la ndege la China Eastern Airlines aina ya Boeing 737 iliyokuwa imebeba watu 132 imeanguka katika mkoa wa Guangxi, vyombo vya habari vya serikali ya China vinaripoti.Idadi ya wali . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 20, 2022

Mabomu ya Urusi yadaiwa kuyashambulia makazi ya watu 400

Mamlaka katika mji wa bandari uliozingirwa nchini Ukraine, Mariupol imesema jeshi la Urusi limeishambulia shule ya sanaa ya mji huo, eneo ambalo lilikuwa likiwahifadhi takribani watu 400 waliopote . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Afungwa miaka 30 jela kwa kumbaka mwanafunzi mara bili

uraha Samweli Ligate (26) mkazi wa kijiji cha Unyangala wilaya ya Makete mkoani Njombe amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mara mbili mtoto mwenye umri wa miaka 15 aliyekuwa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Pasta Maarufu Aliyekuwa Anatarajiwa Kufanya Miujiza Kenya Anaswa na Dawa za Kulevya

Videoz nyingi zinasambaa mtandaoni na Instablog9ja zimeonyesha baadhi ya 'miujiza' yaliyofanywa na Ugochukwu Emmanuel Ekwem wiki chache zilizopita ili kuweka kando tamaa za kibinafsi na kutoa kipaumbe . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Mchungaji aliyekuwa jambazi sugu

Mchungaji ambaye amekiri kuhusika na ujambazi wa hali ya juu nchini Kenya wakati wa ujana wake miaka ya 90. Rebecah alikuwa ameishi kijijini kwao kaunti ya Makueni hadi alipofikisha miaka 23 aka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Mwandishi Mwingine Auawa Ukraine Akiripoti

Mwandishi wa habari na mpiga picha wa kituo cha Fox News, Pierre Zakrzewski aliyekuwa na umri wa miaka 55, ambaye alikuwa na makazi yake jijini London, ameuawa katika shambulio la majeshi ya Uru . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Mkuu wa majeshi afungwa kwa jaribio la mapidunzi Sudan

Mahakama ya kijeshi nchini Sudan imemuhukumu kifungo cha miaka tisa gerezani mkuu wa majeshi wa zamani wa taifa hilo, Hashem Abdel-Muttalib Babakr na maafisa wengine watano miaka mitano kila mmoja . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Mshtakiwa amuogopa Sabaya asema ni mtu hatari

Shahidi wa saba upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, Watson Mwahomange (27) ameiomba Mahakama impatie ulinzi gerezani . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Hukumu rufaa ya Sabaya Mei 6

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imepanga Mei 6, 2022 kutoa hukumu ya rufaa iliyokatwa na aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili wanaopinga hukumu ya kifungo cha miaka 30 . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

Watu wasiopungua 60 wafa katika ajali ya treni Congo

Watu wasiopungua 60 wamethibitishwa kufariki baada ya treni ya mizigo kutoka kwenye njia yake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.Ajali hiyo ilitokea siku ya Ijumaa wakati treni hiyo, ambayo i . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Wanajeshi wa kitengo cha anga Marekani wamepelekwa Poland

Mamia ya wanajeshi kutoka kitengo cha anga namba 82 cha Marekani wamepelekwa katika milima ya msituni ya mashariki mwa Poland kilomita chache tu kutoka mpaka wa Ukraine. Hilo linawaweka karibu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Ukraine yaondoa wanajeshi wake DRC

Ukraine imetangaza kuwaondoa wanajeshi wake 250 katika kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo MONUSCO ili kuilinda nchi yao dhidi ya uvamizi wa Urusi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Mtu Mmoja auwawa na Tembo Arusha

Mfugaji NarudashwaTitika mwenye umri wa miaka 45 mkazi wa kijiji cha Alaitore kilichopo ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha amefariki dunia baada ya kushambuliwa na mnyama aina . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Hospitali tatu Ukraine zashambuliwa

Mamlaka nchini Ukraine zinasema ndege za Urusi zimezishambulia hospitali tatu usiku wa kuamkia Alkhamis (Machi 10) magharibi mwa mji mkuu, Kyiv, na kwenye mji wa bandari wa Mariupol, huku juhudi z . . .

Kurasa 53 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 4 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • 23 masaa yaliopita

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • jana

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • jana

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • jana

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • jana

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • jana

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 4 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • 23 masaa yaliopita
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode