logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 29, 2025

Mwanafunzi wa Kidato cha 3 Apatikana Ameuawa Akielekea Shuleni Asubuhi

Polisi huko Siaya wanachunguza mazingira yaliyopeleka mwanafunzi kupatikana ameuawa karibu na ofisi za Shirika la Utangazaji la Kenya (KBC). Marehemu, mwanafunzi wa kidato cha tatu mwenye umri wa . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • May 29, 2025

MTUNZI WA RIWAYA NA TAMTHILIA GWIJI NGUGI WA THIONG’O AFARIKI DUNIA.

Ngugi wa Thiong’o Mwandishi gwiji wa fasihi kutoka Kenya ameripotiwa kufariki dunia  Mei 28, 2025 akiwa na umri wa miaka 87 ambapo taarifa rasmi zinaeleza kuwa Mwandishi huyo mashuhuri amefarik . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2025

WANAMGAMBO WANNE WAUAWA KWA KUKANYAGA BOMU

Wanamgambo wanane wanaoliunga mkono Jeshi la Nigeria kwenye vita dhidi ya makundi ya siasa kali wameuawa baada ya gari yao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la kaskazini mashariki la Born . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 27, 2025

Cheti feki cha KCSE: Mbunge Sunkuyia atiwa mbaroni

MBUNGE wa Kajiado Magharibi, George Sunkuyia, amekamatwa na wapelelezi wa Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) kwa kosa la kughushi cheti cha masomo cha Mtihani wa Kidato cha Nne (KCSE).Mbun . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 27, 2025

Wezi wavunja kanisa, wafurahia sakramenti, divai na kuiba mali

MAJAMBAZI walivunja kanisa jingine katika kaunti ya Kirinyaga na kuiba mali ya thamani ya Sh120,000 usiku wa Jumapili Mei 25, 2025.Majambazi hao pia walikula sakramenti na kunywa divai ya kanisa katik . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2025

Kwa mwaka 2024/2025 Matukio ya vitendo vya ukiatili wa kijinsi na makundi maalum vimepungua

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu  amesema wizara yake imeshughulikia migogoro ya ndoa 97,234 katika kipindi cha Julai hadi kufikia Aprili 2025 kupitia Kitengo cha U . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2025

Wezi wa Divai ya kanisa na kula Sakramenti wasakwa na police Kenya

Polisi Nchini Kenya wameanzisha uchunguzi kufuatia uvamizi katika kanisa la Kirinyaga ambapo wezi  walivamia na kunywa  divai ya madhabahuni huku wakishiriki kula mkate wa sakramenti pia kuo . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • May 26, 2025

MBUNGE KENYA ATUPWA KATIKATI YA SHAMBA

Nchini  Kenya Mbunge wa Juja George Koimburi amekutwa ametupwa akiwa hai katikati ya shamba la kahawa katika kaunti ya Kiambu nchini humo baada ya kukamatwa na watu wasiojulikana nje ya kanisa ka . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 24, 2025

DIWANI WA KIWERE AFARIKI GHAFLA

Diwani wa Kiwere Felix Waya amefariki dunia ghafla jana Mei 23, 2025 baada ya kumaliza kuhutubia katika mkutano wa ziara ya CCM uliofanyika katika ukumbi wa Masai uliopo kwenye kata hiyo Wilaya ya Iri . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 24, 2025

CHUO KIKUU CHA HARVARD KUTOPOKEA WANACHUO WA KIGENI

Serikali ya Marekani imekizuia Chuo Kikuu cha Harvard kuandikisha Wanafunzi wa Kigeni ambapo imaelezwa imechukua hatua hiyo kwa kuwa #Harvard inaiunga Mkono Palestina pamoja na kushirikiana na Chama c . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2025

SAINI YA KIBALI CHA MAZIKO YALETA UTATA

Vurugu zimeibuka na kudumu zaidi ya saa kumi katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Mwea Mission iliyopo huko Karira, Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya ambapo wanawake wawili na watoto wao . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • May 22, 2025

Mwanafunzi ashtaki shule kwa kujeruhiwa sikio

MWANAFUNZI ameshtaki Shule ya St Bakhita, Nairobi, akidai kuwa taasisi hiyo ilishindwa kumlinda baada ya kudaiwa kuadhibiwa na mwalimu mnamo Machi, jambo lililosababisha jeraha kwenye sikio lake.Kupit . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2025

KABURI LAKUTWA KATIKA SHAMBA LA VIAZI

Katika hali isiyo ya kawaida Kaburi linalodhaniwa kuwa amezikwa binadamu limekutwa katika shamba la viazi mtaa wa Edeni B kata ya Momoka manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa hali ambayo imezua taharuki . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 19, 2025

TAHADUKI YATANDA KENYA

TAHARUKI imetanda katika makazi ya Gavana wa Trans Nzoia George Natembeya katika mtaa wa Milimani, Kitale baada kikosi cha maafisa wa kukabiliana na ufisadi EACC na DCI kuvamia nyumba yake Jumatatu as . . .

Habari
  • Na Jembe Digital
  • May 18, 2025

WAZAZI WATAKIWA KUZINGATIA SHERIA KUTOA ADHABU KWA WATOTO

Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto Dodoma Mratibu Msaidizi wa Polisi ASP Crister Kayombo amewataka waumini wa kanisa la Waadventista  Wasabato Msangalalee Jijini Dodoma  kusimamia misingi ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 13, 2025

Jeshi la Israel latekeleza shambulio kwenye hospitali ya Nasser Gaza

Jeshi la Israel limethibitisha kutekeleza shambulio katika kile limesema ni hospitali ambayo ilikuwa inatoa hifadhi kwa magaidi wakati wa oparesheni zake katika Ukanda wa Gaza.Hamas inasema wanahabari . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 8, 2025

BUNDUKI ILIYOTUMIKA KUMUUA POLISI KENYA YAOATIKANA

Inspekta Jenerali wa Polisi Douglas Kanja ametangaza kupatikana kwa bunduki iliyotumika kumpiga risasi na kumuua Mbunge wa Kasipul Charles Ong'ondo, katika barabara ya Ngong jijini Nairobi wikiiliyopi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 8, 2025

RSF yaendelea kushambulia mji wa Port Sudan, wasiwasi watanda

Ndege zisizokuwa na rubani kwa mara ya tano siku ya Alhamisi, zimeshambulia ngome za jeshi Mashariki na Kusini mwa nchi ya Sudan.Mashambulio hayo yanatekelezwa na wanamgambo wa RSF wanaoendelea kupamb . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 4, 2025

Ndege zisizo na rubani za Sudani zashambulia mji wa mpakani karibu na Eritrea

Wanajeshi wa Sudani wamefanya shambulio la nadra la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Kassala, karibu na mpaka wa Eritrea, chanzo katika serikali pinzani, inayoshirikiana na jeshi, kim . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 2, 2025

Familia Ikifukua Mwili wa Marehemu Mchungaji Aliyezikwa Kisiri na Mkewe

Familia ya mwanamume aliyedaiwa kuzikwa kisiri na mkewe huko Voi, kaunti ya Taita Taveta, imechukua hatua kutokana na kucheleweshwa kwa haki. Edward Mwaigo Maghanga alizikwa na mkewe bila idhini ya fa . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • April 25, 2025

Mkazi Wa Maswa Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa Kumbaka Binti Yake Na Kumpa Mimba

Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Daudi Mabele (38), mkazi wa Kijiji cha Kakola, kilichopo Kata ya Shishiyu, wilayani humo.Mabele amehukumiwa kifungo hic . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • April 24, 2025

Jeshi la Polisi Simiyu Lamfikisha Mahakamani Binti kwa Kudai ni Askari JWTZ

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19), mkazi wa Kijiji cha Mbuga ya Banya, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, kwa tuhuma za ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 23, 2025

Jeshi Lazima Jaribio la Mapinduzi Dhidi ya Kapteni Traore

Maafisa kadhaa wa Jeshi walikamatwa kufuatia uvumi kuhusu Mapinduzi yaliyopangwa dhidi ya Kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore ambaye alichukua madaraka mwaka wa 2022.Hii imezua hali ya was . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 18, 2025

Kaunti hizi 11 zinaongoza kwa magenge hatari

MOMBASA, Nairobi na Kilifi zimeibuka kama kaunti zinazoongoza kwa magenge ya uhalifu nchini, kulingana na ripoti ya 2025 iliyotolewa na Kituo cha Kitaifa cha Utafiti wa Uhalifu (NCRC).Ripoti hiyo, ili . . .

Kurasa 8 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • 9 masaa yaliopita

Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

Habari
news
  • jana

SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

Habari
news
  • jana

UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

Habari
news
  • jana

UTPC, C-Sema na Elimika Waanzisha Mwongozo wa Uandishi wa Habari za Ukeketaji Kukomesha Ukatili ifikapo 2030

Michezo
news
  • jana

CAF Yatangaza Zawadi za Fedha za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025

Makala
news
  • jana

Je unafahamu faida za Kunywa Juisi ya Karoti Kila Wiki

Michezo
news
  • jana

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Mbappé Avunja Ukimya wa Miaka 12 Real Madrid, Aifikia Rekodi ya Ronaldo

    • 9 masaa yaliopita
  • SIMBACHAWENE AVIOMBA VYOMBO VYA HABARI KUFANYA UTAFITI JUU YA RUSHWA

    • jana
  • UN yaomba ufadhili wa dharura kuhudumia wakimbizi Burundi

    • jana

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode