Nyumbani
HABARI ZOTE
Habari
KITAIFA & KIMATAIFA
BIASHARA & UCHUMI
Siasa
Michezo
Burudani
BURUDANI ZOTE
JEMBE INTERVIEW
Zaidi
MAGAZETI YA LEO
MAKALA
VIDEO
MATUKIO
JEMBE FM TEAM
PARTNERS
Tafuta
BREAKING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
Soma Habari Husika
Habari Nzima Kwa Ujumla
Ruto aongoza sherehe za Jamhuri Dei
Na
Asha Business
December 12, 2025
RAIS William Ruto ameongoza sherehe za Jamhuri Dei nchi ikiadhimisha miaka 62 tangu ilipopata uhuru.
Sherehe hizo zinazoendelea katika uwanja wa Nyayo Stadium, Nairobi pia zilitumika kumkumbuka Hayati Raila Odinga ambaye aliaga dunia Oktoba 15, 2025.
Kando na hayo, sherehe hizo pia ziliandaliwa katika kaunti mbalimbali kama vile Siaya, Nyeri, Garissa, Homa Bay miongoni mwa mengine.
#
10
Yrs
Jembefm
#
Familia
moja
#
Ahsantekwa
Time
Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii
Follow Us
Follow Us
Follow Us
Subscribe
Unaweza Penda Hizi
Afrika Kusini yatangaza kuwaondoa wanajeshi wake Kongo
Uchaguzi wa Japan: Chama cha Takaichi chatabiriwa ushindi
Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi
Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii
Ukraine na Urusi zimefanya ubadilishanaji wa wafungwa
Wanaume waonywa saratani ya matiti
Matawi Yetu
Jembe Group
Jembe Development
Jembe Beach
Jembe Digital
Jembe DJ
Jembe Stage And Sound
Jembe Events
Jembe Ni Jembe Team