logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 3, 2023

Rais wa FIFA" Tutaomba kila nchi kutaja jina la Pele kweny mmoja ya viwanja vyao"

nyota wa Brazil ambaye alishinda Kombe la Dunia mara tatu na kufunga zaidi ya mabao 1,000, alifariki Alhamisi iliyopita akiwa na umri wa miaka 82. Infantino, ambaye yuk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 30, 2022

Yanga"Feisal Ametoroka Kambini Hatujui Alipo"

Sakata la mchezaji wa Yanga SC, Feisal Salum (Feitoto) lazidi kuchukua sura mpya tangu tetesi za kuhusishwa kuondoka Young Africans Sports na kujiunga na Azam FC.“Feisa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 27, 2022

KIPA SIMBA SC AINGIA ANGA ZA AZAM FC

Inaelezwa  kuwa Klabu ya Azam FC ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya.Mkataba wa kipa huyo ambaye aliongeza hivi karibuni . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 26, 2022

Claudio Ranieri Arejea Italia Kuwa Kocha Wa Klabu Ya Cagliari Aliyowahi Kuinoa Zaidi Ya Miaka 30 Iliyopita

CLAUDIO Ranieri ameaajiriwa tena kuwa kocha wa Cagliari, zaidi ya miaka 30 tangu apokezwe mikoba ya kudhibiti kikosi hicho cha soka ya Italia kwa mara ya kwanza.Umaarufu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • December 22, 2022

Argentina Kuweka Picha ya Messi Kwenye Pesa ya Nchi Hiyo

Baada ya Lionel Messi kushinda Kombe la Dunia la FIFA huko Qatar, Benki Kuu ya Argentina inafikiria kuweka sura wa mchezaji huyo mashuhuri wa PSG katika noti ya 1000 kuto . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

Umati wa mashabiki wa Argentina wakusanyika Buenos Aires kukaribisha washindi wa kombe la Dunia

Maelfu ya wakazi wa Argentina Jumanne wamemiminika kwenye barabara za mji mkuu wa Buenos Aires, ili kuishangilia timu yao iliyochukua kombe la dunia ikiongozwa na nyota L . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 21, 2022

Ronaldo Kujiunga na Klabu ya Saudia ya Al Nassr Mwishoni mwa Mwaka

Klabu ya Saudi Arabia ya Al Nassr inatarajia kupata saini ya mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo mwishoni mwa mwaka huu. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester Un . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 20, 2022

RASMI KOCHA COASTAL UNION AONDOKA

RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo.Taarifa rasmi iliyotolewa na Coa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 20, 2022

Benzema atangaza kustaafu mpira

Karim Benzema ametangaza kustaafu soka la kimataifa, siku moja baada ya Ufaransa kushindwa na Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia 2022.Benzema alikosa michuano hiy . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 17, 2022

FIFA wakataa ombi la Rais Zelensky wa Ukraine Kuhusu World Cup

Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) linadaiwa kuwa limekataa ombi la Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kutaka kabla ya mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia kati ya Arge . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

Mbappe "Waafrika ni Ndugu Zetu Tunategemea Support yenu"

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amesema kwenye mechi yao ya fainali dhidi ya Argentina anategemea sapoti kubwa kutoka barani Afrika kwa kuwa Wafar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

Da Cruz atambulishwa Brazil

LIYEKUWA mshambuliaji wa Singida Big Stars, Peterson Da Cruz ‘Peu’ ametambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Clube Nautico Marcilio Dias inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 16, 2022

Dirisha Dogo La Usajili Kwa Ligi Kuu, Daraja La Kwanza, Daraja La Pili Lafunguliwa

Dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu, Daraja la Kwanza, Daraja la Pili na Ligi ya Wanawake limefunguliwa Desemba 15, 2022 na litafungwa Januari 15,2023. . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • December 15, 2022

Bondia Mwakinyo Kuchunguzwa Sakata la Kupoteza Pambano Nchini Uingereza

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amesema wizara bado inaendelea kuchunguza sakata la Hassan Mwakinyo baada ya kupoteza pambano lake nchini Uinger . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 14, 2022

Messi avunja rekodi ya kombe la dunia

Lionel Messi amempiku nyota wa soka wa Argentina, Gabriel Batistuta kama mfungaji bora wa taifa hilo katika Kombe la Dunia baada ya kuifungia timu yake goli dhidi ya Croa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 12, 2022

Waarabu Wafunga Safari Kumfuata Feisal Salum ‘Fei Toto

MABOSI wa Berkane FC ya nchini Morocco wamefunga safari kumfuata kiungo mchezeshaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa ajili ya kuinasa saini yake ikiwa ni baada ya kukoshw . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 11, 2022

Sababu za Barbara Kujiuzulu Simba SC

Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez leo ameandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake kama Afisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo kuanzia January mwakani.“Nimetoa notisi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 8, 2022

Ronaldo alitaka kuondoka Qatar

Inadaiwa kuwa Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo alitaka kupakia mabegi yake na kuondoka nchini Qatar baada ya kukasirishwa kutokana na kutopangwa kwenye kikosi cha kwanza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 6, 2022

Klabu ya Al-Nassr nchini Saudi Arabia yaweka mezani Sh25.8 bilioni kwa ajili ya maarifa ya Cristiano Ronaldo

KLABU ya Al-Nassr iliyoko Saudi Arabia imeweka mezani ofa nono ili kujitwalia huduma za nyota Cristiano Ronaldo baada ya fainali za Kombe la Dunia kukamilika nchini Qatar . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 6, 2022

MRITHI MIKOBA YA MKWASA ATANGAZWA

Uongozi wa Klabu ya Ruvu Shooting umemtangaza Kocha Mkuu Mbwana Makataa ambaye atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa sasa.  Ni mkataba wa mwaka mmoja amepewa akibeba mik . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 2, 2022

POLISI TANZANIA WAMTAMBULISHA KOCHA MPYA

MWINYI Zahera aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametambulishwa kuwa Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na uongozi wa Polisi Tanzania umebainisha k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 30, 2022

TIMU ZILIZOTOA WACHEZAJI WENGI KOMBE LA DUNIA

KUTOKANA na Kombe la Dunia la FIFA la 2022 linalofanyika Qatar kuanza karibia majira ya baridi, msimu huu umekuwa wa kitofauti ambapo ligi mbalimbali duniani zimesimama k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 30, 2022

Tunisia ina kibarua kwa Ufaransa leo Jumatano

UFARANSA tayari wamefuzu kwa hatua ya 16-Bora, lakini leo Jumatano watakutana na Tunisia ambao ushindi utafufua matumaini yao ya kutinga katika raundi hiyo ya maondoano. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 29, 2022

Brazil na Ureno Zatinga Hatua ya 16-Bora Kwenye Kombe la Dunia

Brazil iliungana na Ufaransa katika hatua ya mwondoano kwenye Kombe la Dunia siku ya Jumatatu, Novemba 28, baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Switzerland.Kiungo wa kati wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Shirikisho la vyama vya kandanda duniani FIFA kuichunguza timu ya Ujerumani

Shirikisho la vyama vya kandanda duniani FIFA litachunguza hatua ya timu ya Ujerumani ya kukiuka taratibu za kuitisha mkutano na waandishi habari kabla ya pambano na timu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

TANZANIA YANG’ARA MASHINDANO YA KUOGELEA

Waogeleaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ya wanaume na wanawake (Tanzanite) wameipeperusha vyema bendera ya nchi baada ya kushinda mashindano ya Kanda ya tatu Afrika yaliy . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Museveni "Marufuku kutoka nje kwa muda wa wiki tatu"

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametoa amri ya watu kutotoka nje ya Wilaya mbili ambazo mlipuko wa virusi vya Ebola ulianzia, kwa muda wa siku 21. Museveni amesema kwamba . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Qatar yaaga mapema michuano ya Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Qatar imekuwa ya kwanza kuaga mashindano ya kombe la dunia baada ya kufungwa na Senegal bao 3-1 siku ya Ijumaa katika uwanja wa  Al Thumama Do . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Wachezaji wa Saudi Arabia Kuzawadiwa Magari aina ya Rolls Royce Phantom

Wachezaji wa Saudi Arabia watazawadiwa gari aina ya Rolls Royce Phantom baada ya kuifunga Argentina kwenye Kombe la Dunia la Fifa 2022.Rolls Royce itazawadiwa kwa kil . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

Mgunda aleta kitu kipya

Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amemuongeza kwenye benchi lake, staa wa zamani wa Msimbazi, Mussa Hassan Mgosi.Straika huyo aliyekuwa anakochi timu ya vijana ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

NEYMAR AANZA NA MAJANGA

WAKATI timu ya taifa ya Brazil ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia staa wao Neymar alipata maumivu ya enka.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye benchi la ufun . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

Waziri wa Saudia Arabia Agusia Kuinunua Man United na Liverpool

Waziri wa Michezo wa Saudi Arabia Prince Abdulaziz bin Turki Al-Faisal amebainisha nia ya kutamani kumuona Cristiano Ronaldo akishiriki katika Ligi Kuu ya Nchi hiyo k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Ufaransa waanza kutetea ufalme wao kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Australia

Mabingwa  watetezi wa Kombe la Dunia, Ufaransa, walianza kampeni za kipute hicho mwaka huu kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Australia katika pambano la Kundi D lililo . . .

Kurasa 19 ya 27

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Uchaguzi wa Japan: Chama cha Takaichi chatabiriwa ushindi

    • Sasa Hivi
  • Nchemba Awaagiza Viongozi Kutatua Kero za Wananchi

    • 2 siku zilizopita
  • Spika Zungu: Hakuna Udini Kwenye Miradi ya Utalii

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode