logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwanasiasa wa Kawangware Atekwa Nyara na Mwili wake Kutupwa Nyeri.

Familia ya Joseph Ochieng almaarufu Obude ambaye alitekwa nyara na kisha mwili wake ukapatikana katika makafani moja mjini Nyeri, inalalamik . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mwanamitindo wa Ukraine aliyevaa Gwanda kuingia vitani

Mwanamitindo wa Ukraine Anastasia Lenna amabye habari zake zimesambaa kwa kasi kubwa kote mitandaoni baada ya kupiga picha akiwa amevalia . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Lwanga" Nipo tayari kuitetea Simba SC"

Kiungo kutoka nchini Uganda na klabu ya Simba SC Thadeo Lwanga amesema yupo tayari kuipigania klabu yake katika Mzunguuko wa Pili wa Lig . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Urusi, Ukraine wafanya mazungumzo

Siku ya tano baada ya majeshi ya Urusi kuingia Ukraine, wajumbe kutoka nchi hizo mbili wameanza mazungumzo yenye lengo la kumaliza vita. . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Mchekeshaji Eric Omondi Sasa Asema Hatawahi Kuoa Maishani Mwake, Ataja Sababu.

Mchekeshaji Eric Omondi sasa anadai kuwa hatawahi kufunga pingu za maisha kwani anaogopa ndoa na matatizo yake.Mchekeshaji huyo licha ya kuw . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Goncalo Inacio Amekubali Kusaini Mkataba Mpya

Mlinzi wa Sporting Lisbon mreno Goncalo Inacio amekubali kusaini mkataba mpya kusalia klabuni hapo. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 20 a . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Usajili umewadia Wa Franck Kessie

Barcelona wanakaribia kumsajili kiungo wa Ivory Coast Franck Kessie kwa uhamisho huru wakati mkataba wa nyota huyo wa AC Milan mwen . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Robert Lewandowski hajakubali kujiunga na Real Madrid

mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski pale Bayern Munich unamalizika mwaka 2023, wakati mkongwe huyo mwenye miaka 33 akitaka mkatab . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Google yasitisha mapato ya matangazo kwa vyombo vya habari Urusi

Google haitaruhusu tena vyombo vya habari vya serikali ya Urusi kuonyesha matangazo, kufuatia uamuzi kama huo uliofanywa Jumamosi na kam . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Nikki Mbishi kuja na Album mpya

Rapa Nikki Mbishi ametangaza rasmi kuwa album yake mpya ‘Welcome to Gamboshi’ tayari imefikia asilimia takribani 97 kukamilika ili kuw . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2022

Jux kugawa Kitita kwa shabiki

Jux ametangaza kutoa zawadi kwa shabiki yake atakayeweza kubashiri siku na muda atakaoachia wimbo wake mpya ‘I love you’ alioshirikian . . .

Mastaa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Wema Amrudia Mungu

STAA mwenye nyota zake Bongo, Wema Sepetu amesema baada ya mapito ya muda mrefu amebadili mfumo wake wa maisha na kwamba anafanya dua na . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Shambulio kubwa latokea katika mkutano wa upinzani Zimbabwe

Mtu mmoja ameuawa na wengine 10 kujeruhiwa katika mapigano kwenye mkutano wa chama cha upinzani huko Kwekwe, katikati mwa Zimbabwe, Juma . . .

Matukio
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Watu 14 Wahofiwa Kufa Katika Ajali ya Ndege Comoro

Watu 14 wakiwemo marubani wawili wa Tanzania, wanahofiwa kupoteza maisha baada ya ndege ndogo waliyokuwa wakisafiria kutoka Kisiwa cha M . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Shambulio kubwa latokea katika mkutano wa upinzani Zimbabwe

Mtu mmoja ameuawa na wengine 10 kujeruhiwa katika mapigano kwenye mkutano wa chama cha upinzani huko Kwekwe, katikati mwa Zimbabwe, Juma . . .

SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Roman Abramovich akabidhi usimamizi wa Chelsea kwa bodi ya wadhamini

Mmiliki wa Chelsea Mrusi Roman Abramovich anasema "anawapa wadhamini wa wakfu wa hisani wa Chelsea usimamizi na utunzaji" wa klabu hiyo. . . .

Uchumi biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

DELLAH CAR TRADERS YATIMIZA MIAKA MITATU, YAFUNGUA OFISI MPYA SHINYANGA MJINI

Kampuni ya Uagizaji wa Magari aina zote nje ya nchi maarufu Dellah Car Traders Company imefungua rasmi Ofisi Mpya katika jengo la NSSF Mjini . . .

SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Urusi yazuiwa kuimba wimbo Taifa

Shirikisho la Soka Duniani ( FIFA ) jana lilijibu shinikizo la kimataifa linaloongezeka kuhusiana na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine lik . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Umri wa Watanzania kuishi waongezeka

Makadirio ya ukomo wa umri wa kuishi kwa Watanzania yameongezeka kutoka miaka 67 na miezi mitatu mwaka huu hadi kufikia ukomo wa miaka 74 . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Madiwani Korogwe wampa wiki mbili DED, menejimenti

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe limemuagiza Mkurugenzi na menejimenti ya Halmashauri hiyo kupeleka taarifa ya ma . . .

Elimu
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Kisa Mabala kuukana uraia wa Uingereza

Ukikutana naye kwa mara ya kwanza, hutaamini kuwa mzungu huyu ni raia wa Tanzania na tena ni mlumbi wa Kiswahili pengine kuliko Waswahili . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

BALOZI KOMBO AKUTANA NA WADAU WA NGO’s JIJINI ROMA

Balozi wa Tanzania nchini Italia Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mkutano na wadau wa NGO’s takribani sitini na nne zina . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Rais Putin aibua mapya, aamuru vikosi vyenye silaha za nyuklia vikae tayari

Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika “tahadhari maalum” – kiwango cha juu cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

India Yaahidi Kuisadia Ukraine

WAZIRI  Mkuu wa India Narendra Modi amejitolea kuisaidia Ukraine katika juhudi za kuleta amani, Modi ameyasema haya wakati wa mazun . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Afariki kwa kusimamisha uume muda mrefu

Mwanafunzi mmoja wa mwaka wa kwanza katika chuo kikuu cha Maasai Mara nchini Kenya, ameripotiwa kufariki siku ya Alhamisi baada ya uume w . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Radi yaua 7 Rukwa

Watu saba wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi katika maoneo tofauti katika wilaya zaNkasi na Sumbawanga mkoani Rukwa.Akizungumza na . . .

Muziki
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Asa Aachia Albamu Yake Akimshirikisha Wizkid

SIKU chache baada ya kuachia ngoma mbili kwa mpigo za Mayana na Ocean, staa mrembo kutoka nchini Nigeria, Asa amezindua rasmi albamu yak . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Grand P " Mimi na wewe ‘dam dam"

Mwanamuziki mashuhuri kutoka Guinea Moussa Sandiana Kaba almaarufu Grand P amethibitisha kuwa bado anampenda mwanasoshalaiti Eudoxie . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Waziri Jafo atoa siku 14 tatizo hili lipatiwe ufumbuzi

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt. Selemani Jafo ametoa siku 14 kwa Uongozi kwa Wilaya ya Kinondoni kuhak . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Watanzania takribani 300 kurejeshwa nchi wakitokea Ukraine

Serikali imeanza kuchukua hatua za kuwarejesha nchini Watanzania takribani 300 waliopo nchini Ukraine kutokana na hali ya usalama kuende . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Mfalme Zumaridi akamatwa kwa Usafirishaji haramu wa binadamu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Diana Edward Bundala maarufu Mfalme Zumaridi kwa kosa la usafirishaji haramu wa Binadamu na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Vita vinaweza kuwa mwanzo wa mwisho kwa Putin-Waziri wa mambo ya nje wa Uingereza

Shambulio la kijeshi la Urusi dhidi ya Ukraine "linaweza kuwa mwanzo wa mwisho" kwa Rais Vladimir Putin, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingere . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 27, 2022

Takriban watu elfu 150 watoroka Ukraine

Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi, UNHCR, limesema takriban watu laki moja na nusu wamekimbia kutoka Ukraine kuing . . .

Jembe Maktaba
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Ifahamu nchi ambayo unaweza usipoteze kitu chochote

Kila mwaka, mamilioni ya mali za kibinafsi hupotea huko Japan.Lakini tofauti na nchi nyingine, ukipoteza simu au pochi yako katika nchi hii, . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Udanganyifu mkubwa ulitumika kuwarubuni watu kufanya kazi katika shirika feki

Simu ya Zoom ilikuwa na takriban watu 40 - au ndivyo watu ambao walikuwa wameingia walifikiria. Mkutano wa wafanyakazi wote katika kampuni . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Viongozi wa kidini Congo waunga mkono amani

Viongozi wa dini huko Kivu ya Kaskazini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameafikiana kuiunga mkono serikali katika juhudi . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Wakenya wasifia umahiri wa marubani waliofanikisha kutua salama kwa ndege wakati wa Dhoruba Eunice

Wakenya mtandaoni wamewasifu marubani wawili wanaofanya kazi katika shirika la ndege la Kenya Airways, ambao walitua ndege huku kukiwa na . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Mwanamke huko Florida ashtakiwa kwa mauaji ya mumewe kwa kumchoma kisu mara 140

Mwanamke mmoja katika jimbo la Florida nchini Marekani ameshtakiwa kwa mauaji baada ya polisi kusema kuwa alidaiwa kumdunga kisu mume wake . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Nigeria yanasa tani za ngozi zinazouzwa kama chakula

Mamlaka ya Nigeria inasema kuwa imekamata tani 120 za ngozi za wanyama zilizoagizwa kutoka nje katika jiji la Lagos.Zilinaswa kwa tuhuma . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 21, 2022

Baba ambaye alitoa watoto wake watatu kwa serikali ya Korea Kaskazini

Mtengeneza filamu wa Kikorea Yonghi Yang alikulia Japani miaka ya 1960, kama sehemu ya jamii kubwa ya wahamiaji kutoka nchi yake ya kuza . . .

Kurasa 189 ya 212

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category